Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna kipindi inafika naona tasnia ya kuchekesha Tanzania imeshakufa kabisa, wengine wamebaki kujichetua kama wanawake hata anacho chekesha ukijui, wengine kujisifia na kukashifu watu wakati...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Hawa jamaa wamenipa sababu nyingine ya kutoacha kuwakubali Kama kawaida ubunifu wao wa hali ya juu unaofanya kuwakimbiza wasanii wengine wa hip hop kwa Trending na Views nchini Verse ya Stamina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Poleni na mihangaiko wadau, lakini nina imani kama ushawahi ingia cassino lazima unaijua spin and win au russian roulette na ulishawishika kucheza hii michezo. Yafuatayo ni machache kama tahadhari...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Binafsi mimi ni mpenzi sana wa hizi movie za animation ama cartoons kama kuna wadau mnafatilia hizo movie share nasi tuweze kuzicheki tusogeze muda.
0 Reactions
8 Replies
807 Views
Habar wadau wa jamiforums kama huto elewa heading basi usichangie chochote Kama wewe ni mdau na mfatiliaji wa Mtandao wetu pendwa basi ningependa kuwauliza siku izi mtandao umekua slow Sana pia...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
UZINDUZI WA UVCCM JOGGING CLUB CHAMWINO WAFANA SANA. Mapema leo UVCCM Wilaya ya Chamwino wamezindua UVCCM JOGGING CLUB kisha wakafanya BONANZA la Michezo mbalimbali ikiwemo cricket, Kula...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Salute.. B.Obama mwanzoni mwa wiki katoa orodha yake ya Movies na Series bora alizotazama mwaa huu. Ifuatyo ni orodha ya muvi bomba nilizotazama mwaka huu 2020. Nb Kuna zingine sio za mwaka huu...
4 Reactions
85 Replies
13K Views
Here are some of my classic hits playlist 01. Ace Of Base - Everytime It Rains 02. Angelique Kidjo - Agolo 03. Donna Summer - Unconditional Love 04. Jade - Don't Walk Away 05. Baltimora - Tarzan Boy
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Niko sehemu hapa napata mbili nne za moto, mara nasikia wimbo wa Shania twain ule wa still the one unapigwa, ukanirudisha kumbukumbu zangu nyuma sana. So wakuu nauliza huyu mwanamama bado...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Ha bari za jioni wakuu..! Kuna jambo nimeliona nataka kupata ufafanuzi kwa wale wajuvi wa mambo,ni mara nyingi nimekuwa nikiona hizi nyimbo za singeli lakini kuna kitu bado sijaelewa naomba...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Carl Weber inawezekana ni very Amateur katika ulimwengu wa Film na Series. Nliona sana BET wakiitangaza hii Series yenye ushiriki wa Black Americans wengi. Nikashawishika kuipata niitizame...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
siku ya jana msanii diamondplatnumz alijikuta akisikiliza na kutazama ngoma za zamani kutoka kwa msanii Qchief. Iko wazi kuwa Qchief ni msanii pendwa wa diamondplatnumz na hilo mpaka sasa bado...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapa tutakuwa tunajuzana nyimbo kali zilizohits kipindi hicho miaka ya 70s, 80s, 90s Mi naanza na kali hizi Janet Jackson~ That's the way love goes Eve~ Gangsta lovin Santana~ Maria maria...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Ginimbi Dreams nightclub, Club maarufu zaidi jijini Harare. Ni Club iliyochangamka zaidi katika jiji la Harare, Ni club pekee unayoweza kwenda huna kitu na ukarudi mifuko imenona ( Hii ni kwa...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Baada ya msiba wa baba ndugu wote waliondoka na kuitelekeza kabisa familia yetu. Hakuna hata ndugu mmoja aliyeonyesha moyo wa kuendelea kujihusisha kwa namna yoyote na maisha yetu. Mbaya zaidi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa movie. Kuna kampuni ukiona tu nembo yake unakaa kitako vyema unajua hii movie itakuwa kali. Kwangu kampuni kama New line cinema Columbia pictures nazikubali sana. Ipi...
8 Reactions
101 Replies
14K Views
To be totally independent and sufficient Africa, must have peace b'cause wars bring chaos and Babylon thieving interference, cause destructions, poverty and starvation! Tell and teach the children...
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Wadau, napenda tushirikishane nyimbo ambazo kila mmoja wetu anaupenda sana, akiisikia anajisikia yupo on top of the world. Nyimbo ambayo ukiisikia moyo wako unafarijika sana, hata kama una hasira...
9 Reactions
417 Replies
84K Views
Kuna series au drama ya kikorea inaitwa The Penthouse ni moja ya drama kali sana iliyotoka hivi karibuni.Kwa sisi tunaopenda kufuatilia series au drama zinazoongelea maisha halisi yetu basi hii si...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Huyu Dj anapiga ngoma kali za dancehall na ragga ila anaboa anaongea muda wote hata kipindi kinakosa ladha kabisa aisee hebu mwambieni mnaomfaham aisee aache mambo ya kizamani apandanishe mangoma...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…