Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wale wahenga njooni huku Kumenoga
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wadau nataka kujua wale tunaofuatlia mziki wa bongo fleva kuanzia miaka 2010 kurud nyuma ni wimbo gan ulioupenda na uliimbwa na msanii gani ambao hauchuji masikion mwako hadi saiz unaukubali ile...
2 Reactions
103 Replies
10K Views
Kwa tukio kubwa kama hili kuwa na ukimya kama huu kisanaa, hasa kwa nyimbo bora za maombolezo, Pengo aliloliacha Marehemu John Komba inaonekana kabisa halijazibika
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Zifuatazo ni tovuti bora ambazo zitakuwezesha kusoma tovuti bure au kwa gharama 1. Jamiiforums Tembelea tovuti ya Jamiiforums kisha nenda katika jukwaa la Sports & Entertainment halafu...
2 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari wanajamii, Niende moja kwa moja kwenye mada husika Nimebahatika kuangalia vipindi kadhaa vya hii tamthilia ya slay queen ndani ya Maisha magic na nimeshangazwa sana na ukosefu wa umakini...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Haka kajamaa na crew yake very funny Sana , wakenya kwenye Commedy wametuzidi tuwe Tu wa kweli. Huyu jamaa page yake ya insta ukipitia inakuondolea stress aisee. Wabongo now sio wabunifu kabisa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeusikiliza huu wimbo aisee kijana ameimba kwa hisia saaana.. inawezekana ukawa ndio wimbo unaoamsha sana hisia kuliko zote kwenye nyimbo za maombolezo ya msiba wa raisi wetu Magufuli. Kuanzia...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba mwenye hii Series anisaidie nahitaji kuitazama
0 Reactions
30 Replies
5K Views
TIPWATIPWA TETEMA... OOH TETEMA!- 1 MTUNZI: HASHIM AZIZ Hashpower7113 MWANZO Sauti ya jogoo aliyekuwa anawika kuashiria mapambazuko ndiyo iliyonizindua kutoka kwenye usingizi mzito. Nilifumbua...
3 Reactions
121 Replies
34K Views
THAMANI YA MTU MWEMA, HUNG’ARA AKISHALALA! Tenda wema nenda zako, msemo tangia enzi, Timiza wajibu wako, kwa watu na kwa Mwenyezi, Iache alama yako, kwa kizazi na vizazi, Thamani ya mtu mwema...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Wengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi...
23 Reactions
205 Replies
18K Views
Kendrick Lamar amezaliwa 17 /6/ 1987 Lamar alianza kazi yake ya muziki akiwa kijana alikuwa hakifahamika kama K-Dot. • Kendrick Lamar ni miongoni mwa rapa wafupi zaidi katika Hip-Hop, anaurefu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni muda sasa imekuwa nilitafakari sana kuhusu hizi tamthilia za kihindi na za kichina zilizotafsiriwa kwa kiswahili. Kwakweli zimepa mashabiki wengi sana hapa nchini kwetu. Tamthilia hizi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni tafsiri ya nyimbo hizi za fally ipupa 1. Ecole 2. Allo telephone
0 Reactions
0 Replies
615 Views
1.Will Smith 2. Samuel Jackson Nk. Ebu taja unaowakubali
2 Reactions
60 Replies
7K Views
MAGUFULI, DAIMA TUTAKUKUMBUKA Kifo hakina rufani, pia hakina huruma, Kimempoka kundini, Rais mwenye heshima, bado ali ujanani, mudawe umesimama, Daima tutakuenzi, Tangulia Magufuli Kifo hakina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimejaribu kuangalia video zao nyingi walizoweka You Tube, hawa vijana wanatisha. Kwenye hii kolabo nammiss Ringo na Maufundi, wangewaongeza hawa mbona tungecheka hadi kuzimia[emoji13][emoji13]
6 Reactions
25 Replies
8K Views
Igweeee! Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu kwa msiba mzito wa taifa letu. Najaribu kupitia mitandao lkn bado sijapata nyimbo za maombolezo. Tushirikishane tafadhali ht kwa kutaja...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
katika album ambazo zipo underrated basi album ya pili ya Albert Mangwear Nipe ni dili speed 120 Bata kila sehemu kimafia bonnie and clyde tuko juu CNN wakitaa Bila muziki Mapenzi gani inakosaje...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Back
Top Bottom