Tanzania songs only
Barua- Daz Nundaz
Kamandaaaaa-Daz Nundaz
Mwanamkiwa - K -sal ft Ferooz
Sauti ya Manka- Gk
Nitakufaje - GK
Maisha ya Bongo - 20%
Tunataabika - Mabaga Fresh
Mama- Mr Nice
Mbona...
Wimbo huu ukipigwa unafanya nimkumbuke baba yangu mzazi enzi hizo tukiwa uwingereza malechela akiwa balozi uk naumia Sana .
Naomba mwenye mashairi yake video zipo utube .
I shall sing sing my...
Hivi vile beat/instrument za kwenye hadithi zile ambayo hua ni za taratibu
YouTube nimejarbu kutafta ila zina kuja za hip hop.
Je, niandikeje ili iwe rahisi kuzipata au hua zinaitwaje?
Soma haya mashairi ya nyimbo zinazopigwa kila uchao na watoto wetu wanasikiliza no wonder nimesoma huko Temeke watoto wanabakana sababu mojawapo ni manyimbo haya yasiyo na maadili. Kwaani BASATA...
Kuna siku nilikua kwenye gari la haya ya mkoani, iliwekwa move moja Kali sana nitahadithia hapa kwa alieiona na kuijua jina aniambie nikaitafute dukani, stori ya move inaanza ilikua familia moja...
10. Iokote /Maua Sama ft Roma Stamina
9. Niite basi/ Joslin Wakali Kwanza
8. Fresh - Fid Q ft Diamond Platnum
7. Si uliniambia /MB dog ft Yakuza
6. Uswazi take away / Chege ft Diamond
5. Mzee...
Kwa wale wanaokifahamu kipindi cha Our Perfect wedding kinachorushwa na Mzanzi Wethu wamekuwa wakitumia beat ya wamerudi ya Belle 9.
Ni moja ya vipindi navyovipenda saana....mara kibao nimekuwa...
Aiseee nimesikiliza goma jipya la Mboso Khan linaitwa "Yalaah" nimehitimisha Kwa kusema kuwa Mbosso ni fundi mpya wa mashairi hapa mjini......
Director Hanscana ni legend
Kitu kingine...
STORY: JINI KURUTHUMU
EPISODE 1
Ni jumapili angavu ndani ya mji wa Moshi, mji uliosheni kila aina ya pilikapilika na purukushani. Jua lilikuwa likielekea magharibi na kulipisha giza lichukue...
Kwa urembo na uzuri wa mama, wanaume wengi walipenda kuwa nae ili awe mke wao. Lakini kati ya wanaume hao wengi ni baba tu aliyebahatika kumuoa mama. Baba alijitahidi sana kuchakarika ili familia...
RIWAYA: MERISA - JINI MWITU
MTUNZI: ZAYNAB TALY
Zaynab Taly ni mwandishi chipukizi ambaye ndotozake ni kuja kuwa mwandishi mkubwa katika nchihii. Wapo waliokwisha msoma kazi zake na wapoambao...
NAKUFAHAMU VIZURI
MTUNZI: KJM (0718274130)
SEHEMU YA KWANZA
Niliamka mapema kidogo kuliko kawaida yangu. Nikaingia bafuni na kuoga kisha nikarudi chumbani kwangu. Nikavaa nguo harakaharaka kisha...
RIWAYA: HUJUMA 1
MTUNZI: richard R. MWAMBE
UTANGULIZI
Tanzania inasonga katika nyanja ya sayansi na teknolojia, inapate uwezo wa kutengeneza silaha kubwa na za kisasa, vitu mbalimbali vya thamani...
RIWAYA:: MAISHA YANGU YA UVUVI
MTUNZI:: Author Mudhihili
SIMU:: 0652667153
LINDI-RUANGWA
SEHEMU YA KWANZA 01
ENDELEA..............
.................Niliweza kuishi Maisha ya tabu baada
ya...
RIWAYA: JOTO LA MSHUMAA
MTUNZI: MUDHIHILI MNALI
SIMU: 0652667153
LINDI-RUANGWA
SEHEMU YA KWANZA 01
Anza nayo...............
Ndani ya kijiji kimoja kijulikanacho kwa jina la
BWAWANI. Kwenye familia...
Hebu wakuu tuje hapa tujadili masuala mbalimbali.
Mbinu za uandishi, namna na sehemu za kupublish, masoko, hatimiliki nk.
mpasta, Chachasteven, Nelson Ntimba Mogambi Yericko Nyerere Six Man...
Mtunzi: Ally Katalambula
SEHEMU YA 01
Awali ya yote, namshukuru mwandishi wa mkasa huu, kaka Ally Katalambula, pamoja na mhariri wa gazeti la Champion ndugu John Joseph ambaye ameipa nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.