Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari zenu wadau Kuna game la kivita nalitafuta lakini kibaya nikwamba silijui jina ila naamini humu kuna watu watalijua tu. Liko hivi shooter yuko kwenye helcopter juu(haitembei) chini kuna...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Najua wengi wetu tumecheza sana video games na bado wengine tunaendelea kucheza video games. Katika kucheza kwako games umewahi kucheza game zilizotengenezwa na kampuni ya EA SPORTS au KONAMI...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kuwa mtoto niliyekataliwa na ndugu zangu wote mjini, sikuwa na kwingine kwa kwenda zaidi ya kuanza kufikiria kutorokea mtaani. Kila mahali nilipodhani naweza kupata msaada ilishindikana...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
1.Wanawake na Maendeleo - Vick Kamata. 2.Malkia wa Nguvu - Linnah Sanga. 3.Supper Woman - Women All Stars.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sipo hapa kushindanisha watu ila Anjela ft Harmonize bonge la wimbo huyu dem anajua kuimba sio kutoa sauti mdomoni na kufatisha midundo kama wale shaolin socer Sent from my TECNO-W3 using...
1 Reactions
4 Replies
731 Views
Kutoka Tanzania namleta kwenu kijana mwenye upako wa tofauti ktk kumtumikia mungu kwa njia ya uimbaji na kufungua . Artist; Michael john song;Msaada wako Ingia youtube kuona kazi yake nami...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Msanii wa Bongo flavor kutoka lebo ya Wasafi Rayvanny maarufu Vanny boy ametangaza jina la lebo yake ambayo ameipa jina NEXT LEVEL MUSIC. Rayvanny sasa anakuwa msanii wa kwanza Tanzania kuwa na...
3 Reactions
117 Replies
17K Views
Clouds FM ilituhumiwa sana na inaendelea kutuhumiwa kuwanyonya wanamuziki kwa namna mbali mbali, Lakin ukiangalia jinsi clouds FM walivyo pangilia vipindi vyao wana mashabiki na wadau wa rika...
24 Reactions
165 Replies
23K Views
Wana JF Umofia kwenu usiku wangu wa kuamkia tarehe hii 22/02/2019, Nimeutumia hapa Last Minute Lounge iliyopo sinza mori mbele ya La Chaaz njia ya kuelekea Wanyama Hotel. Hakika ni usiku mzuri na...
4 Reactions
74 Replies
14K Views
Tazama hii show wimbo wa now we are free wa hans zimmer ukipigwa live, kila kifaa kinapigwa unakiona na kukifeel, kuanzia violin, marimba, na takataka zote. Huu mziki si wakiwango cha dunia hii
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Njaa imezidi kubana kiasi kwamba watu wanachungulia fursa popote. Yaani hakuna kuacha hata kazi ya Buku. Sisi wasanii wadogo tunaponea wapi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kondeboy Weeeeeeeee Chorus Huo ni ushambaa huo ni wee huo ni ushambaa huo ni wee Huo ni ushambaa huo ni eeeeh huo ni ushambaa Verse pesa ya kulipa gesti unayo eeeh nyumbani familia inapiga...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari, ile mixtape ya antivirus vol 1 & 2 ya vinega na sugu nitaipata wapi?? kama unayo njoo PM plz
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Today marks the 25th anniversary of Mariah Carey classic hit 'Always Be My Baby' Artist: Mariah Carey Title: Always Be My Baby Album: Daydream Genre: R&B Label: Columbia Records Year: 1996 Oh...
1 Reactions
0 Replies
457 Views
Habari wakuu, Naomba kujua ni wapi ntapata old disc za wasanii hawa George Michael and WHAM, Babatunde Olatunje kwa Dar es Salaam. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Habari wana JF Leo ningependa ku share na nyie hivi unadhani kwanini bongo movie zetu bado tunasitasita japo kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kufanya mambo .. Embu chek hii clip alafu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana JF. Kifupi, ningependa tujadiliane kuhusu utafauti kati ya watu hawa wawili, Famous na Superstar! Ninavyofahamu, FAMOUS ni mtu maarufu, haijalishi umaarufu wake umetokana...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hili pindi la mangoma ya kisauzi kila J2 Wasafi FM kwangu ni balaa sana, kiufupi wasauzi wanamabiti mazito na ya maana sana ila sijui why ngoma zao hazivumi. Ukiangalia hata biti za wimbo wa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Riwaya: MUME GAIDI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Ilikuwa ni kipindi cha mvua za masika, na siku hiyo mvua ilikuwa inanyesha. Kijana Patrick alikuwa...
4 Reactions
156 Replies
31K Views
Back
Top Bottom