Habari zenu wadau
Kuna game la kivita nalitafuta lakini kibaya nikwamba silijui jina ila naamini humu kuna watu watalijua tu.
Liko hivi
shooter yuko kwenye helcopter juu(haitembei) chini kuna...
Najua wengi wetu tumecheza sana video games na bado wengine tunaendelea kucheza video games. Katika kucheza kwako games umewahi kucheza game zilizotengenezwa na kampuni ya EA SPORTS au KONAMI...
Baada ya kuwa mtoto niliyekataliwa na ndugu zangu wote mjini, sikuwa na kwingine kwa kwenda zaidi ya kuanza kufikiria kutorokea mtaani.
Kila mahali nilipodhani naweza kupata msaada ilishindikana...
Sipo hapa kushindanisha watu ila Anjela ft Harmonize bonge la wimbo huyu dem anajua kuimba sio kutoa sauti mdomoni na kufatisha midundo kama wale shaolin socer
Sent from my TECNO-W3 using...
Kutoka Tanzania namleta kwenu kijana mwenye upako wa tofauti ktk kumtumikia mungu kwa njia ya uimbaji na kufungua .
Artist; Michael john
song;Msaada wako
Ingia youtube kuona kazi yake nami...
Msanii wa Bongo flavor kutoka lebo ya Wasafi Rayvanny maarufu Vanny boy ametangaza jina la lebo yake ambayo ameipa jina NEXT LEVEL MUSIC.
Rayvanny sasa anakuwa msanii wa kwanza Tanzania kuwa na...
Clouds FM ilituhumiwa sana na inaendelea kutuhumiwa kuwanyonya wanamuziki kwa namna mbali mbali,
Lakin ukiangalia jinsi clouds FM walivyo pangilia vipindi vyao wana mashabiki na wadau wa rika...
Wana JF Umofia kwenu usiku wangu wa kuamkia tarehe hii 22/02/2019, Nimeutumia hapa Last Minute Lounge iliyopo sinza mori mbele ya La Chaaz njia ya kuelekea Wanyama Hotel.
Hakika ni usiku mzuri na...
Tazama hii show wimbo wa now we are free wa hans zimmer ukipigwa live, kila kifaa kinapigwa unakiona na kukifeel, kuanzia violin, marimba, na takataka zote. Huu mziki si wakiwango cha dunia hii
Kondeboy
Weeeeeeeee
Chorus
Huo ni ushambaa huo ni wee huo ni ushambaa huo ni wee
Huo ni ushambaa huo ni eeeeh huo ni ushambaa
Verse
pesa ya kulipa gesti unayo eeeh nyumbani familia inapiga...
Today marks the 25th anniversary of Mariah Carey classic hit 'Always Be My Baby'
Artist: Mariah Carey
Title: Always Be My Baby
Album: Daydream
Genre: R&B
Label: Columbia Records
Year: 1996
Oh...
Habari wana JF
Leo ningependa ku share na nyie hivi unadhani kwanini bongo movie zetu bado tunasitasita japo kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kufanya mambo ..
Embu chek hii clip alafu...
Habari za muda huu wana JF.
Kifupi, ningependa tujadiliane kuhusu utafauti kati ya watu hawa wawili, Famous na Superstar!
Ninavyofahamu, FAMOUS ni mtu maarufu, haijalishi umaarufu wake umetokana...
Hili pindi la mangoma ya kisauzi kila J2 Wasafi FM kwangu ni balaa sana, kiufupi wasauzi wanamabiti mazito na ya maana sana ila sijui why ngoma zao hazivumi.
Ukiangalia hata biti za wimbo wa...
Riwaya: MUME GAIDI
Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
Ilikuwa ni kipindi cha mvua za masika, na siku hiyo mvua ilikuwa inanyesha. Kijana Patrick alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.