Kiukweli tuache utani mbona naona kama huu wimbo unamashairi mazuri ama kwa kuwa si mchambuzi wa mziki
@Ommydimpoz ulikomaa sio mhezo
Oh cherie
Usione nachelewa
Mwenzako nafanya mipango
Tupate...
Hivi hawa wasanii wetu hasa hizi lebo mbili kubwa Tanzania nini kina wakumba awawezi kufanya kazi bila kuwa na kiki?
Ukiangalia mziki watanzania ulikuwa una kua kwa kasi kubwa sana, lakini hii...
A Grain of Wheat ni riwaya ya tatu na riwaya iliyojulikana zaidi ya Ngugi wa Thiong'o, mwandishi kutoka Kenya .Riwaya hii huchanganya hadithi kadhaa pamoja katika hali ya dharura nchini Kenya...
Nimeipenda hii movie. Inafaa kupotezea wakati. Ila sijapenda Kong kupewa kipigo cha hadi kukaribia kufa kutika kwa Godzilla. Nilifurahi kichapo walichopewa Godzilla na Kong kutika kwa...
Ni burdan kwa kweli kusikiliza vipindi kuanzia Joto la Asubuhi mpaka Sports Hq.
Wameamua kucheza musiki wa zamani kama kukupoza hivi, yaani raha isokuwa na maelezo. Najua pana wapiga chabo...
Wasanii muachege kutumika vibaya aisee.
Haswa nyie wachafu sijui wachafu wa nafsi na team yenu.
Yaani mnapewa pesa na maagizo ya watu fulani fulani hivi mtengeneze kiki ili mutoe watu kwenye...
Hii movie inatokana na kitabu kinachoitwa Dune kilichoandikwa na Frank Albert mwaka 1965.
Kitabu kimebase kwenye sayari moja inayoitwa Arakis ambapo kiungo adimu na ghali kiitwacho melange...
Naangalia hapa zaidi ya mara tano kila moja
Guys wenzetu wapo mbali sana sana
Hizi ni mfululizo wa movie zinazomuhusu captain Jack sparrow
zipo tano
kinachonivutia walioandika script hawa jamaa...
Kama title inavojieleza ningependa hii thread iweze kutusaidia kupata majina ya movie mbali mbali ambazo tumewai kuangalia, kusikia au kusimuliwa afu ukasahau au kushindwa kujua jina movie husika...
SISI TULIWAAMBIA, MKATUPUUZIA
Unakumbuka kipindi kile ulipokuwa unabishana na watu mtaani kwako kuhusu Diamond na Ali Kiba nani mkali? Sijui nani ana tuzo nyingi? Sijui nani amefanya hivi na...
Leo nmetulia siku nzima naisikiliza hii ngoma ya nenga aka mafioso. Hii ngoma ni kalia sana jamaa kaimba kwa hisia sana[emoji91][emoji119]
“Twende na mashairi”
Sio, sio kwamba mi nina wivu...
Naangalia kipindi cha ultimate survival kwenye channel 136 Family discovery HD inaonyesha jamaa anavyosurvive kwenye nyika za Africa imefika mahali jamaa kakuta mzoga wa pundamilia katoa kisu...
Kama unataka kuwa jasusi moja matata huna budi kuifutilia season ya SOZ
Bonge ya season mzee nawashauri maafisa usalama wawe wanapata muda w a kufuatlia muvi kama hizi very relevant to the...
Kuna watu wanapendezea mziki kwakweli.
Tuache ushabiki wa kizuchu
Kikonde gang
Kikiba
Au mondi
Ukweli
Leo supa musician ni PR J .
Utaniambia nini!?
Ninaushahidi kama taulo la guest!
Eti wewe...
Habar wadau
Kuna mambo huwa yanachekesha sn ukiyafuta wachambuzi wa filamu ukimwambia akutajie movie bora 2020 atakuambia siji wonder woman 1984 mara sijui bloodshoot na movie zengine za ajabu...
Kwanini isianzishwe hapa Bongo Channel itakayokua inaonyesha Movie za action tu za kimataifa 24 hrs kwa quality ya HD?
Iwe ni channel inayoonyesha movie kali za actions tu movie zinazofanya...
Mwanamuziki King Giovann aliyewahi kupitia bendi kadhaa kama FM academia na Chuchu sound amefariki dunia. King alikuwa mahili katika ucharazaji wa gitaa la solo amefariki ghafra muda mfupi...
RIWAYA; KUTA ZA DARFUR.
NA; BAHATI K MWAMBA.
SIMU; 0656741439/0758573660.
1:
Alikuwa akikatiza katikati ya mitaa ya jiji la Dar Es laam akiwa amening'iniza mfuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.