Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimesikiliza nyimbo za maombolezo za msiba wa John Pombe Magufuli zaidi ya 100 Msanii wa pekee alieweza tengeneza HIT ni PETER MSECHU. Katoa melody (ala) ya pekee na mashairi safi yanafariji...
5 Reactions
33 Replies
5K Views
Nimeuanzisha huu uzi tushee changamoto ambazo mnakutana nazo katika hii channel ya Netflix lakini pia najua wengi wenu mngependa kujiunga na Netflix Ila hamna hela ya bandle. Sasa nimewaletea...
0 Reactions
3 Replies
924 Views
Simulizi : ZAWADI YA USHINDI Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES Sehemu ya 1 SHANGWE na vigelegele ambavyo viliutoka umati huu mkubwa vilipaa hewani na kujaza anga lote...
1 Reactions
39 Replies
7K Views
habarini wanajamvi! poleni na misuko suko moja kwa mojaa kuna wimbo nimeshindwaa kupata jina au lyrics yake, umeimbwa na msaani kutoka mwanzaa. baadhi ya lyrics zake, "jitunze mke wangu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni kweli sina mpenzi na sipo kwenye mahusiano, mimi ni binti mdogo nina miaka 19 sitakiwi kujihusisha na hayo mambo, siwezi ku-control mapenzi na kazi kwa wakati mmoja kwa hiyo itabidi nipige...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kevin De Bruyne amemaliza dili la kusaini mkataba wake mpya wa kuendelea kubaki katika kikosi cha Manchester City chini ya kocha Pep Guardiola ambapo mkataba wake ameongeza hadi ifikapo April 2025
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Upepo wa vuma twainama Twainama hatuvunjiki Mwalimu akisema ye hasikii Mwenye nyimbo hii na Hadithi yake atupie hapa. Jogoo wa ajabu.. Machaku na njiwa... Sungura na fisi Sitaki mbichi hizi...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Ukisikiliza biti ni ileile tofauti ni sauti moja ya kike nyingine ya kiume.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amepiga hatua nyingine kubwa katika kazi yake ya muziki. Diamond kwa jina halisi Naseeb Abdul amekuwa mwanamuziki wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Inafaa kunena, inafaa kunena labda ni muhimu sijui, labda kusimulia si karama kama wanavyo sema Ikiwa msimuliaji huingia hatarini, labda kweli baraka ni laana njema Wasikilizaji naskia wana...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Sina hakika huu wimbo ni wa lini, ila kwa video nimeona kama ni wa kipindi kile cha ajali ya wale watoto wa sekondari Arusha. Pamoja na hayo, hiyo sio mada yenyewe. Umetokea msiba wa Rais...
0 Reactions
4 Replies
44K Views
Author: Akida S. Rambao Contact: 0658328596 Email: akidasiri@gmail.com Naweza sema nilijiona mtu sahihi nisiyekuwa na makosa, lawama nyingi niliziweka kwake. Nilimtuhumu kwa kila tukio...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu nataka kufahamu net worth za wasanii wa bongo. Nikimtazama mwanamuziki jux naona msanii mkubwa ndani yake. mwenye kipaji. Ana pesa kiasi gani na anazipata je, kwa kuimba tu au ana vyanzo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eagle Wings Official Trailer The military-themed movie, a first of its kind in Nigeria, was produced and directed by Paul Apel Papel in partnership with the Nigerian Air Force (NAF) Investments...
2 Reactions
0 Replies
568 Views
SEHEMU YA 01: Baada ya kuwa ametumia miaka miwili nchini Irak akiripoti vita vya Ghuba kupitia televisheni ya SkyNews na kupokea Tuzo ya Kimataifa ya Boldness Award iliyoambatana na zawadi ya...
4 Reactions
20 Replies
14K Views
Habari zenu wadau wa JF, Karibuni kwenye Uzi Huu mahsusi katika jukwaa maridhawa la burudani. Lengo la kuanzisha uzi huu ni kujionea Video bora kuliko zote kwa kuangaliwa na watu duniani, ila pia...
0 Reactions
2 Replies
861 Views
Ngoma ya Drake aliyomshirikisha Kayla na Wizkid. Ngoma iitwayo One Dance imefikisha Streaming Bilion 2 kwenye mtandao wa Spotify. Unadhani Wizkid anahitaji pongezi kwa hilo?
0 Reactions
2 Replies
865 Views
Kama wewe ni mfuasi wa muziki, basi utakubaliana na mimi kwamba hii kazi ni ya kiwango cha kimataifa (World Class). Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Kwangu mimi huyu ni rapa bora wa muda wote ninamuweka kundi moja na marapa bora kabisa waliowahi kutokea Tanzania. Sijaona kazi yake yoyote ambayo hajaitendea haki. Huyu jamaa hajawahi kukosea...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom