Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jaman mwenye huo wimbo naomba anisaidie please
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Wale wapenzi wa ngoma za Dini kuna hii ngoma inaitwa EKUEME, Ekueme ni neno la ki-Igbo huko Nigeria likimaanisha Mungu anayeahidi, anayesema na kutenda ni spirit song nzuri sana ukipata na video...
0 Reactions
1 Replies
827 Views
Wakali wa series mje na vyuma vikali vya moto hapa jf amkosekani tupeane. Izo chini nsha zicheki ziko poa sana na binafsi nazielewa za mtindo huo zenye mwendelezo na sio za kuunga matukio kama 24...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Inafahamika kama Nunchaku. Wengine wa mtaani wanaiita Cheni (kila mmoja uipachika jina lake kwa namna yake). Tupeane experience na mbinu mbili tatu. Uliijulia wapi na ulijifunzia/Fundishwa wapi...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Simulizi : ZAWADI TOKA IKULU Mwandishi : EMMANUEL VENANCE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES Sehemu ya 1 Ni jumapili tulivu sana ambayo imejidhihilisha tangu jua linachoza, kwani hakukuwa hata na...
2 Reactions
101 Replies
17K Views
chinese vs japanise
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Wale waliokuwepo kipindi hiki au wanaopenda kusikikiliza aina ya miziki ya 60's, 70's, 80's na 90's basi huu ndiyo uzi wenu maalumu. Miziki ya aina hii huwa inanikumbusha miaka ya utoto wangu...
10 Reactions
451 Replies
30K Views
Habari za muda huu wanajamvi, ni muda sana nimeitazama movie hii ya tabia kama kichwa cha thread kinavyosema. Nimepata changamoto katika kudownlod kwani youtube haipo kama kuna msaada niweze kuipata.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
HABARI WA KUU NIMEIPATA HII TAARIFA JUUJUU TU WANADAI ETI WAMETOA USHURU WA ONLINE TV KWA WANAO UPLOAD CONTENTS TOFAUT NA HABARI.LINAUKWEL WOWOTE HILI SWALA MWENY DETAILS KMA ANIJUZE MNA NTKA...
0 Reactions
4 Replies
570 Views
Hivi kuna burudani zaidi ya hii kwenye muziki? Halafu mtu atashangaa kwanini sipendi hizi takataka za Dabliyusibii! Af anatokea kenge mmoja anasema sikuhizi kuna mziki? Noorah was a pure talent...
8 Reactions
7 Replies
3K Views
Najua maisha yetu yamejaa moment nyingi za stress..kuna wakati kwenye siku yako unahitaji utulivu sana. Najua tupo wengi ambao tunatumia nyimbo kujifariji. Tupa nyimbo zako tatu kali ambazo...
2 Reactions
93 Replies
15K Views
Leo nilikuwa zangu Gheto nimepumzika nikaona bora nipige playlist zangu mbili tatu za kitambo nikumbuke Enzi Aiseee kama bahati hivi nikajikuta nimeitupia ngoma ya Ngwair na Mchizi Mox ya kuitwa...
10 Reactions
53 Replies
8K Views
Bruno The Fisherman (Mvuvi Bruno) Mtunzi. Nyemo Chilongo Epsod 1 Hali ya hewa angani ilibadilika ghafla, jua kali lililokuwa likiwaka lilifunikwa na mawingu mazito ya kijivu yaliyokuwa yametanda...
15 Reactions
335 Replies
60K Views
MAMA MWAJEY HAIKUWA siri kwamba maandazi anayouza Mama Mwantum hayakuwa na tofauti yoyote ya maana pale mtu angeyalinganisha na ya wenziwe. Tangu unga anaotumia, mafuta anayokaangia mpaka meza...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimetoka Kusikiliza Nyimbo za Wasanii Wakubwa Watatu wa ' Singeli " hapa Tanzania nikajuta hata kwanini nilifungulia hiyo Redio ambayo TCRA nao wana Wajibu wa Kuisimamia. Maudhui ya Kimatusi ya...
7 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakati wa Uvamizi wa Benkii nchini fulaniii majambazi waliwaambia kwa sauti watu waliopo Mule benki "Musisogeee hata kidogo maana Pesa ni mali za serikali ila uhai wako ni ni mali yako " Basi...
10 Reactions
6 Replies
3K Views
MZIGO USIO NA ANUANI Sehemu ya 01. Dar es Salaam, Saa 8:36 Usiku. Mlio wa simu ndiyo uliomshtua Ashrafu Maganza kutoka katika usingizi mzito. Mwili wake ulichoka kutokana na kuchelewa kulala...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Ni Miaka Minne sasa imepiita, toka kifo cha mwanamziki huyu ambaye alikuwa na mvuto wa kipekee atutoke . Jean de Dieu Makiese (Madilu Mult System) alifariki tarehe 11.08.2007, huko kinshasa, akiwa...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Ni nyimbo gani ya reggae unayoipenda sana uko radh hata kuisikiliza mda wote. Me naikubali 'God is one' ya Alpha Blond
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom