BASATA mmeshindwa kazi, mjitathimini

BASATA mmeshindwa kazi, mjitathimini

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,046
Reaction score
8,979
"Ana dela jipya chupi ya zamani"... nyimbo kama hii ya Miss Buza inafundisha nini jamii na nyie mmeruhusu ipigwe?

Badilisheni jina kutoka BASATA muitwe BANGOTA
 
Sio kila nyimbo lazima iwe na lengo la kufundisha.

Kuna mda watu wanahitaji kuburudika na sio kufundishwa,

nyimbo Kama hizo Ni kwa ajili burudani

Hamna tusi pale, labda ulitengeneze mwenyewe.
 
Sio kila nyimbo lazima iwe na lengo la kufundisha.

Kuna mda watu wanahitaji kuburudika na sio kufundishwa,

nyimbo Kama hizo Ni kwa ajili burudani

Hamna tusi pale, labda ulitengeneze mwenyewe.
Eti eeh! Sawa Great Thinker
 
Hongereni BASATA kusikia hiki kilio.
 
Back
Top Bottom