Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Simulizi : ZAWADI TOKA IKULU Mwandishi : EMMANUEL VENANCE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES Sehemu ya 1 Ni jumapili tulivu sana ambayo imejidhihilisha tangu jua linachoza, kwani hakukuwa hata na...
2 Reactions
101 Replies
17K Views
chinese vs japanise
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Wale waliokuwepo kipindi hiki au wanaopenda kusikikiliza aina ya miziki ya 60's, 70's, 80's na 90's basi huu ndiyo uzi wenu maalumu. Miziki ya aina hii huwa inanikumbusha miaka ya utoto wangu...
10 Reactions
451 Replies
30K Views
Habari za muda huu wanajamvi, ni muda sana nimeitazama movie hii ya tabia kama kichwa cha thread kinavyosema. Nimepata changamoto katika kudownlod kwani youtube haipo kama kuna msaada niweze kuipata.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
HABARI WA KUU NIMEIPATA HII TAARIFA JUUJUU TU WANADAI ETI WAMETOA USHURU WA ONLINE TV KWA WANAO UPLOAD CONTENTS TOFAUT NA HABARI.LINAUKWEL WOWOTE HILI SWALA MWENY DETAILS KMA ANIJUZE MNA NTKA...
0 Reactions
4 Replies
570 Views
Hivi kuna burudani zaidi ya hii kwenye muziki? Halafu mtu atashangaa kwanini sipendi hizi takataka za Dabliyusibii! Af anatokea kenge mmoja anasema sikuhizi kuna mziki? Noorah was a pure talent...
8 Reactions
7 Replies
3K Views
Najua maisha yetu yamejaa moment nyingi za stress..kuna wakati kwenye siku yako unahitaji utulivu sana. Najua tupo wengi ambao tunatumia nyimbo kujifariji. Tupa nyimbo zako tatu kali ambazo...
2 Reactions
93 Replies
15K Views
Leo nilikuwa zangu Gheto nimepumzika nikaona bora nipige playlist zangu mbili tatu za kitambo nikumbuke Enzi Aiseee kama bahati hivi nikajikuta nimeitupia ngoma ya Ngwair na Mchizi Mox ya kuitwa...
10 Reactions
53 Replies
8K Views
Bruno The Fisherman (Mvuvi Bruno) Mtunzi. Nyemo Chilongo Epsod 1 Hali ya hewa angani ilibadilika ghafla, jua kali lililokuwa likiwaka lilifunikwa na mawingu mazito ya kijivu yaliyokuwa yametanda...
15 Reactions
335 Replies
60K Views
MAMA MWAJEY HAIKUWA siri kwamba maandazi anayouza Mama Mwantum hayakuwa na tofauti yoyote ya maana pale mtu angeyalinganisha na ya wenziwe. Tangu unga anaotumia, mafuta anayokaangia mpaka meza...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimetoka Kusikiliza Nyimbo za Wasanii Wakubwa Watatu wa ' Singeli " hapa Tanzania nikajuta hata kwanini nilifungulia hiyo Redio ambayo TCRA nao wana Wajibu wa Kuisimamia. Maudhui ya Kimatusi ya...
7 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakati wa Uvamizi wa Benkii nchini fulaniii majambazi waliwaambia kwa sauti watu waliopo Mule benki "Musisogeee hata kidogo maana Pesa ni mali za serikali ila uhai wako ni ni mali yako " Basi...
10 Reactions
6 Replies
3K Views
MZIGO USIO NA ANUANI Sehemu ya 01. Dar es Salaam, Saa 8:36 Usiku. Mlio wa simu ndiyo uliomshtua Ashrafu Maganza kutoka katika usingizi mzito. Mwili wake ulichoka kutokana na kuchelewa kulala...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Ni Miaka Minne sasa imepiita, toka kifo cha mwanamziki huyu ambaye alikuwa na mvuto wa kipekee atutoke . Jean de Dieu Makiese (Madilu Mult System) alifariki tarehe 11.08.2007, huko kinshasa, akiwa...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Ni nyimbo gani ya reggae unayoipenda sana uko radh hata kuisikiliza mda wote. Me naikubali 'God is one' ya Alpha Blond
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Habar ndugu wana JF,bila shaka tuko pamoja katika swala la burudani,ebu tuhamie katika nyanja ya burudani za cinema hasa zile za kitambo kidogo kwani,cha kale dhahabu hii imejidhihilisha katika...
2 Reactions
143 Replies
27K Views
Ni kuwa tunaukike au ni nini? Waimbaji kama Q chief, Zed Anto, Voice Wonder, Alikiba, Diamond, sijui nani the prince, oliver ngoma, Muumin Mwijuma, Waziri Sonyo nk ndiyo wanakubalika sana. Watu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimeiangalia hii clip ambayo huyu dada amefanya "cover" kwenye sauti ya mchungaji mgogo, aisee huyu dada ana kipaji cha hali ya juu! Hii performance aliyoonyesha hapa ni kiwango cha hollywood 😂😂...
2 Reactions
65 Replies
6K Views
Kondeboy juzi kafanya booking o2 arena. Sababu ni AFROEAST album. Humo ndani kuna nyimbo kwangaru ambao ndo wimbo mkubwa kuwah kutokea tz haufikiii. Yaani kuna hits songs hataree. Ikitoka hii...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom