Denis ni kijana mwerevu mwenye uwezo mkubwa wa kuamua na kutenda mambo mbali mbali kwa hali
ya juu sana. Ni kijana ambaye amelelewa na familia ya Mr John Kapinga waziri mkuu wa nchi ya
KONGOA...
Haueleweki hata uki-shine kwa punchlines on Facebook/
Haiwi-fine ka' Rayvan, we' fake tu/
Sikuoni B.E.T au MTV wak-play tunes/
Miaka nenda we' msanii, MC una play tu/
Makida, we' sio king kama...
Kwa sasa kuna Commedy huko Star Tv inajulikana kama Futuhi, kimsingi Futuhi ni neno la kiswahili linalomaanisha Commedy, yaani tamthiliya ya ucheshi, jamaa kipindi chao kinarushwa saa 3 Usiku...
Hii sasa imekuwa too much ingawa mimi sisaidii kulipa mishahara hao watangazaji wenu na mnatumia hayo matangazo labda kulipa hao watangazaji kiukweli vituo vya radio vya Tanzania vinakera sijajua...
Nilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam 😁 dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii...
Yeroo subhai
Game ya watani wa jadi mwenyeji YANGA SC dhidi ya SIMBA FC naona muamuzi wa kati Ramadhani Kayoko anatembeza kadi za njano hatari,huu mchezo una msukumo mkubwa sana kwa wachezaji...
Yapata wiki mbili sasa toka kwa Rapa mkali hapa bongo Young Killer atoe albamu yake ya kwanza toka ameanza kuimba muziki. Nyimbo zote zinazopatikana kwenye albamu yake nimezisikiliza, kiukweli...
Kuna huyu mwamba raia wa Sweden anazitendea haki ngoma za asili hususani zile za kabila kubwa la nchi hii.
Huyu mswidish kabadili hadi jina lake la kiswidish anatumia jina la kisukuma ambalo ni...
Habari wakuu, mimi ni mpenzi wa nyimbo zote nzuri. Mwezi Septemba Barnaba na Marioo walitoa wimbo wao unaitwa "Marry Me".
Kwakweli ni wimbo mzuri sana. Unaweza kuusikiliza ukiwa sehemu yoyote na...
Mashabiki wa mtayarishaji wa muziki (Producer), mwenye uwezo wa kipekee, aliyetayarisha wimbo wa Leka Dutigite wa Kigoma All Stars na zingine nyingi, Tudd Thomas, wamekuwa wakiulizana maswali...
99.9% ya Nyimbo za Singeli zimejaa Maudhui ya Matusi tupu na nimeshangaa kuona Msanii wa Nyimbo za Singeli Sholo Mwamba akipewa nafasi ya Kutumbuiza katika Hafla za Rais Samia huku Matusi...
Filamu ya Kitanzania imeorodheshwa kuwania Tuzo hiyo, na hivyo kuhitimisha subra ya takriban miongo miwili kwa nchi hiyo kushiriki katika tuzo hiyo.
Filamu ya Vuta N'kuvute - inayomaanisha...
Kwa wale wa wapenzi wa aina hii ya muziki tukutane hapa.
Baadhi ya nyimbo ningependa usikilize pia;
1. Hollow Coves - coastline, these memories
2. Haevn - we are, the sea
3. Out of my hair - In...
Manara tokea ameingia Yanga hakuna alichoongeza wala kupunguza, zaidi zaidi amekuwa akipigwa mifiani na TFF pamoja na kula burn. Pesa za mshahara mnazomlipa bora mkazigawe kwa kina vigelegele...
Ndege ya shirika la ndege la Tanzania ilitua katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ikitokea nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Ndege ilisimama mlango ukafunguliwa na...