4293
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 218
- 353
Manara tokea ameingia Yanga hakuna alichoongeza wala kupunguza, zaidi zaidi amekuwa akipigwa mifiani na TFF pamoja na kula burn. Pesa za mshahara mnazomlipa bora mkazigawe kwa kina vigelegele Yanga na vikundi vya ushangiliaji.
Kila timu ikifungwa anakuja na Alhamdulilahi zake, hajawahi na hatowahi kuwa mshabiki wa Yanga. Tusilazimishe vitu na aachwe afanye maisha yake mengine.
Kila timu ikifungwa anakuja na Alhamdulilahi zake, hajawahi na hatowahi kuwa mshabiki wa Yanga. Tusilazimishe vitu na aachwe afanye maisha yake mengine.