Amapiano ndio habari ya mujini kwa sasa kunako sekta ya burudani hasahasa kiwanda cha muziki. Kama Amapiano ni jina geni kwako basi sikiliza wimbo wa Mama Amina wa kwake Marioo ft Sho Madjozi na...
MAPENZI BWANA NI PESA
Mapenzi bwana ni pesa, wahenga walishanena,
Ukiwa na nyingi pesa, tapendwa na wasichana,
Macho kwako tapepesa, hela wakishaziona,
Mapenzi bwana ni pesa, wahenga walishanena...
Kupitia ukarasa wa Instagram wa msanii huyo, familia imeweka taarifa ya kupokea taarifa za kufariki kwa Constantinos Tsobanoglou aliyeanguka ghafla akiwa jukwaani.
Pia, familia imewashukuru Watoa...
Hapa siongelie zile historical kama Jumong, Yisan, Painter of the Wind, Tree with Deep Roots n.k., naongelea zile modern.
Kwa kweli nyingi nazoziona ni kama zinafanafana saana as well as ni...
Wakuu hii ndo list yangu ya movies za kisanyansi na fiction za muda wote enjoy
[emoji419]Terminator
[emoji419]planet of the apex
[emoji419]Alien
[emoji419]Blade runner
[emoji419]The matrix...
Wakuu hii ndo list ya movie zilizotengenezwa kwa budget kubwa na pesa walizoingiza kupitia box office
[emoji419]Star wars:the force awakens $446million , box office $2,068,223,624...
Kama mpenzi wa mziki, nimeamua kutengeneza hii ngoma na ni kwa mara ya kwanza nimefanya kila kitu mwenyewe kuanzia beat, mixing na mastering.
Hebu isikilizeni kisha mtoe maoni yenu...
Song...
This is the story of a young man who grew up in the ghetto with his mother. As a child, he didn't understand the struggles his mother faced to raise him and his siblings on her own. He caused her...
Production zetu bongo c nzuri na Biti zetu nyingi ni legevu na zisizoweza kushindana na Nigeria.
Nimekuwa naenda Club nyingi za usiku, ila Kila zinapopigwa nyimbo hizi mbili yaani Amelowa ya...
Taarifa njema kutoka Lockin255 ni rasmi sasa siyo tetesi tena.
Sabi Girl Ayrastarr will be performing in Tanzania[emoji1241], at The Superdome on the 20TH of MAY 2023.
Get your tickets now from...
Dear boys dear... men
Ni sisi wasichana kina dada, mabinti na mama zenu
Tunaongea kutoka upande wa chini, upande mbali upande kutoka usawa wenu
Upande nilipo msichana kuna hitilafu
'So' sikio...
Kupitia mahojiano na Jarida la Complex, mwigizaji Michael B. Jordan ameweka wazi kuwa nyota huyo mwenye asili ya Canada anapaswa kupewa heshima ya juu zaidi ya wakongwe wa #HipHop kama 2Pac na...
Majirani +254, Kenya
Kenya imekuwa ikitambulishwa na blocks kuu mbili; Nairobi na Mombasa (ni) lakini andiko hili litawaunganisha.
1. Ukoo Fulani Maumau Kalamashaka (Johny Vigeti, Kimya, Roba na...
Hii ni battle ya Baba na mtoto.
Kwenye ukweli tusemeni ukweli EP ya Afro-Bongo ndio imepelekea wasanii wengi kuachia extended playlists kibongobongo katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.