Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nothing beats passion, nimeangalia zaidi ya mara 10 hii video..wow!
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Amapiano ndio habari ya mujini kwa sasa kunako sekta ya burudani hasahasa kiwanda cha muziki. Kama Amapiano ni jina geni kwako basi sikiliza wimbo wa Mama Amina wa kwake Marioo ft Sho Madjozi na...
4 Reactions
19 Replies
7K Views
Ni movie gani ulishawahi kuiangalia zaidi ya mara mbili na bado unatamani kuiangalia tena??!!
0 Reactions
44 Replies
3K Views
NILISOMESHA MCHUMBA Mezaliwa kijijini, kukulia huko pia, Mazao yetu shambani, mengi tulijivunia, Tukayajaza ghalani, akiba kijiwekea, Tukawa wenye furaha, usiku tumevimbiwa. Nilimaliza la...
1 Reactions
0 Replies
358 Views
MAPENZI BWANA NI PESA Mapenzi bwana ni pesa, wahenga walishanena, Ukiwa na nyingi pesa, tapendwa na wasichana, Macho kwako tapepesa, hela wakishaziona, Mapenzi bwana ni pesa, wahenga walishanena...
0 Reactions
0 Replies
510 Views
Jifunze kuwa mkimya, maana hata samaki aliyefumba mdomo huwa hanaswi na ndoano.
0 Reactions
4 Replies
592 Views
Kupitia ukarasa wa Instagram wa msanii huyo, familia imeweka taarifa ya kupokea taarifa za kufariki kwa Constantinos Tsobanoglou aliyeanguka ghafla akiwa jukwaani. Pia, familia imewashukuru Watoa...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Hapa siongelie zile historical kama Jumong, Yisan, Painter of the Wind, Tree with Deep Roots n.k., naongelea zile modern. Kwa kweli nyingi nazoziona ni kama zinafanafana saana as well as ni...
4 Reactions
241 Replies
24K Views
Wakuu hii ndo list yangu ya movies za kisanyansi na fiction za muda wote enjoy [emoji419]Terminator [emoji419]planet of the apex [emoji419]Alien [emoji419]Blade runner [emoji419]The matrix...
3 Reactions
56 Replies
3K Views
Wakuu hii ndo list ya movie zilizotengenezwa kwa budget kubwa na pesa walizoingiza kupitia box office [emoji419]Star wars:the force awakens $446million , box office $2,068,223,624...
2 Reactions
66 Replies
4K Views
Kama mpenzi wa mziki, nimeamua kutengeneza hii ngoma na ni kwa mara ya kwanza nimefanya kila kitu mwenyewe kuanzia beat, mixing na mastering. Hebu isikilizeni kisha mtoe maoni yenu... Song...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
This is the story of a young man who grew up in the ghetto with his mother. As a child, he didn't understand the struggles his mother faced to raise him and his siblings on her own. He caused her...
4 Reactions
2 Replies
739 Views
Production zetu bongo c nzuri na Biti zetu nyingi ni legevu na zisizoweza kushindana na Nigeria. Nimekuwa naenda Club nyingi za usiku, ila Kila zinapopigwa nyimbo hizi mbili yaani Amelowa ya...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
𝐑𝐚𝐬𝐦𝐢 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐍𝐀𝐕𝐘 𝐊𝐄𝐍𝐙𝐎 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐛𝐢𝐝𝐡𝐢𝐰𝐞 𝐛𝐞𝐧𝐝𝐞𝐫𝐚 𝐲𝐚 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐧𝐚𝐢𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐭𝐮𝐳𝐨 𝐲𝐚 𝐆𝐫𝐚𝐦𝐦𝐲 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐡𝐚𝐰𝐚 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐚[emoji119][emoji119][emoji119]
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Taarifa njema kutoka Lockin255 ni rasmi sasa siyo tetesi tena. Sabi Girl Ayrastarr will be performing in Tanzania[emoji1241], at The Superdome on the 20TH of MAY 2023. Get your tickets now from...
0 Reactions
0 Replies
358 Views
Dear boys dear... men Ni sisi wasichana kina dada, mabinti na mama zenu Tunaongea kutoka upande wa chini, upande mbali upande kutoka usawa wenu Upande nilipo msichana kuna hitilafu 'So' sikio...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kupitia mahojiano na Jarida la Complex, mwigizaji Michael B. Jordan ameweka wazi kuwa nyota huyo mwenye asili ya Canada anapaswa kupewa heshima ya juu zaidi ya wakongwe wa #HipHop kama 2Pac na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Majirani +254, Kenya Kenya imekuwa ikitambulishwa na blocks kuu mbili; Nairobi na Mombasa (ni) lakini andiko hili litawaunganisha. 1. Ukoo Fulani Maumau Kalamashaka (Johny Vigeti, Kimya, Roba na...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Hii ni battle ya Baba na mtoto. Kwenye ukweli tusemeni ukweli EP ya Afro-Bongo ndio imepelekea wasanii wengi kuachia extended playlists kibongobongo katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom