Hadithi: Jini Mweusi

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,444
Mtunzi : Eric J Shigongo


SEHEMU YA 01


Sauti kubwa ya muziki ilikuwa ikisikika, huku watu wengi wakionekana kurandaranda huku na kule katika eneo maarufu la Sinza Afrikasana jijini Dar es Salaam. Japokuwa ilikuwa ni usiku wa manane, mandhari ya mahali hapo ilikuwa imechangamka mno utafikiri mchana.

Taa za rangi mbalimbali zilikuwa zikimulika huku na kule, sauti kubwa ya muziki ikazidi kupachangamsha mahali hapo ambapo kulikuwa na baa kadhaa zilizojipanga ambazo zote zilikuwa zikikesha mpaka asubuhi. Idadi ya wanawake waliokuwa eneo hilo, ilikuwa kubwa ukilinganisha na wanaume. Wanawake wa kila rika, wasichana wadogo, wa makamo na wanawake watu wazima, walikuwa wakizungukazunguka huku na kule, tena wakiwa wamevalia mavazi ambayo yaliacha wazi sehemu kubwa za miili yao.

Kama ndiyo mara yako ya kwanza kufika eneo hilo, ungeweza kudhani zile zama za Sodoma na Gomora zimerejea tena kwani uchafu mkubwa ulikuwa ukifanyika hadharani, huku kukiwa hakuna mtu anayejali, kila mmoja akiendelea na shughuli zake.

“Psii! Psiii! Njoo basi anko, si unaniona nilivyo bomba?” nichukue mimi ukafurahi, hata ukitaka usiku kucha ni wewe tu na roho yako,” msichana mmoja alisikika akiongea kwa sauti ya kilevi, huku akipandisha juu kisketi kifupi alichokuwa amevaa, wakati akizungumza na mwanaume aliyekuwa ndani ya gari dogo, akitafuta sehemu ya kuegesha gari hilo.
Mwanaume huyo aliposimamisha gari lake, wanawake wengine wengi walilizunguka gari lake na kila mmoja akawa anatangaza ‘biashara’ yake. Baada ya majadiliano yaliyochukua dakika chache, mlango ulifunguliwa, mmoja kati ya wale wanawake akaingia kwenye gari kisha likaondoka kwa kasi eneo hilo.

Hali ilikuwa hivyohivyo, magari mengi ya kila aina yakawa yanakuja eneo hilo na kuondoka yakiwa na wanawake hao ambao bila hata kuuliza, ungeweza kugundua kwa urahisi kwamba walikuwa wakifanya biashara haramu ya ngono iliyokuwa inasifika mno katika eneo hilo.

Wale ambao hawakuwa na magari, nao hawakuwa nyuma, walikuwa wakifika eneo hilo kwa teksi za kukodi, Bajaj au bodaboda huku wengine wakitembea kwa miguu. Baada ya makubaliano, kila mtu alikuwa akiondoka na wake. Kadiri muda ulivyokuwa unasonga mbele ndivyo watu walivyokuwa wanazidi kuongezeka eneo hilo huku pilikapilika zikizidi kupamba moto.

Saa tisa na dakika kadhaa za usiku, gari jipya la kisasa aina ya Volkswagen lenye rangi nyeusi liliwasili eneo hilo, kama kawaida akina dada hao walilikimbilia na muda mfupi baadaye, changudoa maarufu wa eneo hilo, Aisha au Ndembendembe kama wengi walivyokuwa wanamfahamu, alipanda kisha gari hilo likaondoka kwa kasi. Pilikapilika ziliendelea mpaka kulipoanza kupambazuka ambapo watu walianza kupungua na ilipofika majira ya saa kumi na mbili za asubuhi, eneo lote lilikuwa kimya kabisa baada ya watu wote kuondoka.

Kulipopambazuka kabisa, watu mbalimbali waliendelea na shughuli za kawaida eneo hilo kiasi kwamba kama ulikuwa mgeni, usingeweza kujua chochote kinachoendelea mahali hapo giza likiingia. Saa ziliyoyoma na hatimaye giza likaanza kuingia tena. Kama kawaida, watu kutoka sehemu mbalimbali wakaanza kumwagika kwa wingi eneo hilo, wanawake wanaofanya biashara haramu ya kuuza miili yao nao wakaingia kazini kama kawaida. Mambo yalianza taratibu lakini kadiri muda ulivyokuwa unakwenda mbele ndivyo eneo hilo lilivyozidi kuchangamka.

“Jamani leo Aisha Ndembendembe mbona hajafika mpaka saa hizi wakati yeye ndiye anayesifika kwa kuwahi?” changudoa mmoja alimuuliza mwenzake lakini hakuna aliyekuwa na jibu. Wakajua huenda kuna sehemu alikuwa amepitia, kila mmoja akaendelea na kazi ya kuwinda wateja mpaka usiku wa manane.

Magari yaliendelea kumiminika kwa wingi kama kawaida na kila lililokuwa linafika eneo hilo, lilikuwa likiondoka na changudoa. Saa tisa juu ya alama, lile gari lililofika eneo hilo siku moja iliyopita, Volkswagen la kisasa kabisa, lenye rangi nyeusi na vioo vyenye ‘tinted’, liliwasili na kuegesha pembeni.

Kama kawaida, wanawake wa kila aina wasiopungua kumi walilizunguka na kuanza kujinadi kwa dereva ambaye alikuwa ameshusha kioo kidogo, mahali palipomtosha kuzungumza na watu wa nje tu ila siyo yeye kuonekana. Baada ya kuridhika na changudoa mmoja, Sikitu ambaye alikuwa akisifika kwa kupenda kupigana na machangudoa wenzake kugombea wanaume, aliingia na kukaa siti ya nyuma. Gari likaondoka kwa kasi na kutokomea kusikojulikana.

Kama ilivyokuwa kwa Aisha Ndembendembe, Sikitu naye hakurejea tena tangu alipochukuliwa usiku huo. Hata hivyo, hakuna aliyetilia maanani sana, wenzao wakawa wanahisi wamepata fedha nyingi hivyo wanaendelea kuzitumia mpaka ziishe kama ilivyokuwa kawaida yake.

Siku ya tatu iliwadia, kama kawaida ya eneo la Sinza Afrikasana, pilikapilika zilianza pale tu giza lilipoingia. Biashara ya ukahaba ikaendelea kufanyika waziwazi usiku kucha. Kama ilivyokuwa kwa siku mbili zilizopita, ilipofika majira ya saa tisa za usiku, Volkswagen nyeusi yenye vioo vya tinted iliwasili eneo hilo na kupaki pembeni.

“Anko leo nichukue mimi, kila siku unanikataa unawachukua wenzangu, kwani mimi siyo mzuri? Cheki nilivyojazia,” alisema changudoa mmoja machachari ambaye wenzake walimbatiza jina la utani la Lily Mcharuko, akaendelea kumfanyia vituko dereva huyo mpaka alipomuoneshea ishara kwamba aingie ndani ya gari.

Akaondoka naye na kutokomea kusikojulikana. Siku iliyofuatia, Lily hakuonekana kabisa wala lile gari halikuonekana kufika eneo hilo. Siku kadhaa baadaye, liliendelea kuja na kuchukua machangudoa wengine ambao baada ya kuchukuliwa, hawakuonekana tena eneo hilo, jambo lililoanza kuzusha hofu kwa wenzao.

“Jamani mbona wenzetu wanapotea kimaajabu na hakuna mwenye taarifa zozote?” aliongea changudoa mmoja katika mkutano ambao haukuwa rasmi usiku mmoja, wakaanza kujadiliana kwani ilionesha dhahiri kuna jambo halikuwa sawa.
“Lile gari jeusi lina nini? Mbona kila anayelipanda harudi tena hapa wala simu yake haipatikani tena?”
“Jamani ee, wasiwasi wa nini? Huenda yule bosi anatoa fedha nyingi mpaka kila anayetoka naye anaamua kuacha kazi ya uchangudoa,” alisema changudoa mmoja na kushambuliwa vikali na wenzake ambao walimtaka kutoleta masihara wakati wenzao walikuwa wakizidi kupukutika.

Mjadala mkali uliendelea na muafaka waliofikia, ilikuwa ni kwenda kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kwani walishindwa kupeleka malalamiko hayo polisi kwani kazi yao haikuwa halali kisheria na mara kwa mara walikuwa wakisumbuana na polisi waliokuwa wanawavamia eneo hilo na kuwakamata. Kutokana na mtandao mpana waliokuwa nao machangudoa hao, habari zilisambaa kwa kasi kubwa.

“Mpaka sasa wenzenu wangapi wamepotea?”
“Wenzetu kumi na moja hawafahamiki walipo, kwa kweli hali ni mbaya sana, tunawaomba nyie waandishi wa habari mtusaidie kufikisha taarifa sehemu husika, tunakwisha jamani,” changudoa mmoja ambaye hakutaka jina lake wala sura vionekane, alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali ambao walifika eneo hilo baada ya habari kuanza kusambaa.

Habari zilisambaa kama moto wa nyikani kuhusu kupotea kimaajabu kwa machangudoa hao ambao walikuwa wakichukuliwa na mtu aliyekuwa anaendesha gari jeusi aina ya Volkswagen.
Ndugu wa waliopotea walianza kujitokeza ambapo familia mbili kutoka Tandale Kwa Mtogole zilidai kupotelewa na mabinti zao wawili kwa siku mbili tofauti. Familia hizo zilipotoa picha ya watoto wao, machangudoa wenzao waliwatambua kuwa ni wenzao.

“Mungu wangu, kumbe mwanangu alikuwa anafanya uchangudoa?” mwanamke mmoja aliangua kilio kwa nguvu kwenye eneo hilo baada ya machangudoa kadhaa kukiri kumfahamu binti yake na kueleza kuwa alikuwa mwenzao.
“Alikuwa ananiaga anasema anafanya kazi kiwanda cha soda na kila siku anapangiwa shifti za usiku,” aliendelea kueleza mwanamke huyo huku akilia kwa uchungu mno. Mambo mengi yalizidi kufichuka ambapo ndugu wengine waliendelea kujitokeza na kueleza kupotelewa na ndugu zao. Hata hivyo, kati ya waliopotea, ni ndugu wa wasichana wanne tu ndiyo waliojitokeza na kukiri hadharani kupotelewa na ndugu zao.

Utambulisho wa wasichana wengine waliopotea ulikuwa mgumu kwani hakukuwa na taarifa zozote za kina lakini kutokana na habari hiyo kuanza kutawala kwenye vyombo mbalimbali vya habari, ukweli ulizidi kufichuka kila kukicha na kuzidi kuwashangaza wengi kuhusu wanawake waliokuwa wakijihusisha na biashara ya uchangudoa na kilichokuwa kinawapata.

Je, nini kitafuatia? Machangudoa wanaopotea wanakwenda wapi?
 
Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi @Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad @Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO @multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij adden
bwii ONTARIO Kobe The Vein @Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya SITAKI ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo @shedede kamtu33 SteveMollel Ngushi DONALD stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 Ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61 BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY wa stendi FaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise Jabman kalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb witnessj Gide MK Mmanyema mgogoone Mnongane Mandingo koncho77 afsa ngaboru Paradoxer Heavy Metal KIMBURU 06 Raaj kichekoh ngumba njeche kikale DullahTza Goodluck Mshana julius Darcy Denis Kasekenya mashonga kitalembwa Khaleed Shaban middle east SirChief jiwe jeusi Mkambarani mansakankanmusa gambada ynwa ney kush
 
Niko nao ghetto waambie wasiwatafute, hizi siku situmii gari jeusi na siji saa tisa, maana washakariri, hizi siku naja mapema tuu, saa tatu....hadithi imeanza vizuri mkuu.
 
SEHEMU YA 02

Wasichana wanaofanya biashara haramu ya kuuza miili yao au maarufu kwa jina la machangudoa katika eneo la Sinza Afrikasana jijini Dar es Salaam, wanajikuta katika wakati mgumu baada ya wenzao kuanza kupotea mmoja baada ya mwingine katika mazingira ya kutatanisha.

Kinachozidi kuzua utata, kila anayepotea, inaonesha kwamba mara ya mwisho alichukuliwa na mwanaume mmoja asiyejulikana, aliyekuwa anatembelea gari la kifahari aina ya Volkswagen, ambaye alikuwa akienda eneo hilo usiku wa manane.

Awali walidhani mwanaume huyo huwapa fedha nyingi machangudoa anaotoka nao kiasi cha kuwafanya waachane na biashara hiyo lakini kadiri siku zilivyokuwa zinazidi kusonga mbele ndivyo hofu ilivyoanza kuwaingia ndani ya mioyo yao. Tayari machangudoa kumi na moja wamepotea katika mazingira ya kutatanisha baaada ya kuchukuliwa na mwanaume huyo aliyekuwa anakuja na gari jeusi lenye vioo vyenye tinted.

Taarifa za kupotea kwa machangudoa hao zimeanza kuripotiwa na vyombo vya habari ambapo polisi wanalazimika kuingilia kati na kuanza kufanya uchunguzi wa kina juu ya wasichana hao waliopotea na mtu aliyekuwa anawachukua.

Je, nini kitafuatia? SONGA NAYO

Miongoni mwa wasichana waliopotea, ni wanne tu ndiyo ambao ndugu zao walijitokeza na kutoa vithibitisho vyote vilivyoonesha kwamba wao ni ndugu zao, huku wote wakikiri kwamba hawakuwa wakijua mabinti hao walikuwa wanafanya kazi ya ukahaba. Uchunguzi wa kina uliendelea kufanyika kupata utambulisho wa wasichana wengine ambao bado walikuwa hawafahamiki walipo.

Maafisa wa polisi hususan kutoka kitengo cha upelelezi wa makosa ya jinai walikuwa na kazi ya ziada kuhakikisha wanapata taarifa zote kuhusu wasichana hao na mtu aliyekuwa anatajwa kuhusika na kutoweka kwao.
Mitego iliwekwa kila sehemu, kuanzia kwenye barabara zote zilizokuwa zinaingia na kutoka eneo la Sinza Afrikasana, kwenye gesti bubu zilizokuwa zimetapakaa eneo hilo na kwenye maeneo yote ambayo biashara ya uchangudoa ilikuwa ikifanyika.

Maafisa usalama wa kike waliokuwa wamepikwa vizuri kimafunzo, walipandikizwa katika kundi la machangudoa kwa lengo la kufuatilia kwa karibu kila kilichokuwa kinaendelea ili kuujua ukweli uliokuwa umefichika nyuma ya pazia.
***
“Jamani kwani Nancy yuko wapi? Siku ya pili hahudhurii kwenye group discussion (majadiliano ya vikundi).” “Labda tuwaulize wenzake wanaokaa pamoja hosteli, eti Neema, shosti wako yuko wapi?” “Mh! Kwa kweli sijui alipo, mara ya mwisho aliondoka karibu siku nne zilizopita akasema anaenda kumtembelea shangazi yake Mabibo na atalala hukohuko, hajarudi mpaka leo.”

“Kwani namba yake ya simu si unayo?” “Ninayo ndiyo lakini hapatikani, kila mara najaribu kumpigia lakini hapatikani.” “Mh! Sasa itakuwaje?” “Kwani umeshaenda kutoa taarifa kwa Dean of Students (Mlezi wa wanachuo)?” “Hapana, labda tukitoka hapa ndiyo niende.”

“Fanya hivyo, inawezekana amepata matatizo dada wa watu hakuna anayejua,” wanachuo wa Chuo Kikuu cha Ustawi wa Jinsia, walikuwa wakijadiliana jioni moja wakiwa kwenye ukumbi maalum wa majadiliano, baada ya kutomuona mwanachuo mmoja, Nancy Emanuel kwa siku kadhaa, jambo ambalo halikuwa kawaida yake. Baada ya majadiliano hayo ya vikundi kumalizika, rafiki mkubwa wa msichana huyo, Neema Timbuka, alifanya kama alivyoshauriwa na wenzake, akaenda kutoa taarifa kwa Dean of Student wa chuo hicho, Profesa Sijaona Matiko.
“Umesema mara ya mwisho aliondoka lini?” “Aliondoka Jumamosi usiku, muda wa kama saa mbili hivi usiku.” “Alisema anakwenda wapi?” “Alisema anaenda kumsalimia shangazi yake Mabibo na kwamba angelala hukohuko. “Alikuwa amevaaje?”

“Alivaa gauni la zambarau lakini kwenye mkoba wake alikuwa na nguo nyingine,” alisema mwanachuo huyo, Profesa Sijaona akawa anaandika maelezo yote kwenye kitabu maalum kwa ajili ya kuanza ufuatiliaji. Baada ya kuchukua taarifa zote muhimu, Profesa Sijaona aliamuahidi kuwa kwa sababu muda ulikuwa umeenda, kesho yake asubuhi ataanza kulishughulikia suala la mwanachuo huyo.

Neema akaondoka na kurudi hosteli. Muda mfupi baada ya mwanachuo huyo kuondoka, wanachuo wengine wawili nao walienda kwa mlezi huyo wa wanachuo, nao wakiwa na taarifa za kutoonekana kwa mwenzao, Sarafina Mshana kwa zaidi ya siku tano huku namba ya simu ikiwa haipatikani wala kukiwa hakuna taarifa zozote juu ya mahali alipo.

“Alipoondoka alisema anakwenda wapi?” “Alisema anaenda klabu kucheza muziki na kuanzia hapo hakurudi tena wala simu yake haipatikani hewani,” alisema mmoja kati ya wanachuo hao, jambo lililomshangaza sana Profesa Sijaona. Akahisi lazima kuna jambo lilikuwa linaendelea nyuma ya pazia, ikabidi aanze kushughulikia suala hilo jioni hiyohiyo kwani aliona kesho yake atakuwa amechelewa. Harakaharaka akatoka na kuwasha gari lake, breki ya kwanza ilikuwa ni kwenye Kituo cha Polisi cha Kijitonyama kilichokuwa jirani na chuo hicho, akateremka kwenye gari na kwenda moja kwa moja mpaka ndani ya kituo hicho.

Kwa kuwa alikuwa akifahamiana vyema na mkuu wa kituo hicho, aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwake. “Vipi mzee mwenzangu, mbona mbiombio muda huu?” “Nina tatizo afande, wanachuo wangu wawili hawafahamiki walipo, nahitaji msaada wako,” alisema Profesa Sijaona akiwa bado hajakaa, mkuu huyo wa kituo akamtaka kukaa kwanza ili wazungumze vizuri.

Akaanza kumhoji mazingira ya wasichana hao walivyopotea ambapo profesa huyo alimueleza kila kitu kama alivyokuwa amechukua maelezo kutoka kwa marafiki wa wanachuo hao waliokuwa wamepotea. “Unajua hivi sasa kuna wimbi la kupotea kwa wanawake katika mazingira ya kutatanisha lakini taarifa tulizonazo ni kwamba ni machangudoa ndiyo waliopotea, tena wanaofanya biashara haramu ya kuuza miili yao kwenye Kituo cha Sinza Afrikasana,” alisema mkuu wa kituo, Profesa Sijaona akashtushwa na taarifa hizo.

Mkuu wa kituo akaendelea kumueleza jinsi walivyokuwa wakihangaika kumtafuta mwanaume ambaye inadaiwa ndiye aliyekuwa akiwanunua machangudoa hao na kutokomea nao kusikojulikana. Waliendelea kujadiliana, kengele ya hatari ikalia ndani ya kichwa cha Profesa Sijaona na kuhisi kuwa huenda wanachuo wake nao walikuwa wakijihusisha kwenye biashara ya uchangudoa, jambo ambalo alikuwa akisikia minong’ono kwa muda mrefu ingawa hakukuwa na ushahidi wa moja kwa moja.

“Kalete picha zao ili machangudoa wanaoisaidia polisi waweze kuwatambua kama ni miongoni mwao au la,” alisema mkuu wa kituo na bila kupoteza muda, Profesa Sijaona alitoka na kuwasha gari lake, akarudi chuoni haraka ambapo alichukua picha mbili kama alivyoelekezwa na kurudi kituoni hapo. Akazikabidhi na kupewa maelezo kwamba afike asubuhi kwa ajili ya kupata majibu ya kilichoendelea. Kesho yake asubuhi, Profesa Sijaona aliwahi kuripoti kazini kisha muda mfupi baadaye, akaondoka kuelekea Kituo cha Polisi cha Kijitonyama ambapo alikutana na mkuu wa kituo ambaye alimpa maelezo yaliyomshangaza na kumshutua mno.

“Tumefanya uchunguzi na machangudoa wamewatambua wote wawili kuwa ni wenzao na wamekuwa wakifanya biashara haramu ya kuuza miili yao kwa kipindi kirefu ingawa nao walikuwa hawajui kwamba ni wanachuo,” alisema mkuu wa kituo, Profesa Sijaona akasimama na kumsogelea mkuu wa kituo, macho yakiwa yamemtoka pima.

Je, nini kitafuatia?
 
SEJEMU YA 03

Tayari machangudoa kumi na moja wamepotea katika mazingira ya kutatanisha baaada ya kuchukuliwa na mwanaume huyo aliyekuwa anakuja na gari jeusi lenye vioo vyenye tinted. Taarifa za kupotea kwa machangudoa hao zimeanza kuripotiwa na vyombo vya habari ambapo polisi wanalazimika kuingilia kati na kuanza kufanya uchunguzi wa kina juu ya
wasichana hao waliopotea na mtu aliyekuwa anawachukua.

Hata hivyo, wakati uchunguzi wa kina ukiendelea kufanyika, taarifa za kupotea kwa baadhi ya wanachuo wa kike zinaanza kusikika na kuongeza hofu kwenye jamii.

Je, nini kitafuatia? SONGA NAYO

Baada ya kupokea taarifa za kupotea kwa wanachuo wawili wa Chuo Kikuu cha Ustawi wa Jinsia, Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kijitonyama alishirikiana na maafisa upelelezi wa kituo hicho kujaribu kukusanya taarifa zinazoweza kuwasaidia kujua mahali walipowasichana hao.

Kwa kutumia picha za wanachuo hao, waliwahoji baadhi ya wanawake waliokuwa wanafanya biashara ya kuuza miili yao ambapo katika hali ya kushangaza, walionesha kuwatambua na kueleza kuwa walikuwa ni wenzao katika biashara ya ukahaba. Wanachuo wangu hawafanyi biashara ya ukahaba afande, utakuwa umechanganya ,” alisema Profesa Sijaona lakini mkuu huyo wa kituo akaendelea kumsisitiza kwamba hakuwa na sababu yoyote ya kuwatetea kwani wanachuo wengi siku hizi wamekuwa wakijihusisha na biashara hiyo.

“ Huwa tukiendesha msako wa machangudoa usiku, tunawanasa wengi ambao ni wanachuo, ukiwauliza wanasingizia kwamba fedha za mikopo zimechelewa kutoka, ” mkuu wa kituoalimtolea ufafanuzi, Profesa Sijaona akajikuta akiishiwa kabisa nguvu.Kwake aliiona hiyo kuwa skendo kubwa kwakehasa kutokana na ukweli kwamba yeye ndiye aliyekuwa mlezi na mshauri wa karibu wa wanachuo. Akajihisi aibu kubwa ndani ya moyo wake huku akili yake ikikataa kuukubali ukweli. Muda mfupi baadaye, taarifa zilifika kwenye vyombo vya habari na kuendelea kusambaa kwa kasi ya moto wa nyika, kila aliyekuwa akisikia habari hizo alishindwa kuamini kwamba wasichana waliokuwa wanasoma vyuo vikuu wanaweza kuwa wanajihusisha na biashara haramu ya kuuza miili yao.

“ Ama kweli Mungu akiamua kukuumbua hakuna cha kumzuia, sasa kama hao wazazi wao wanajua wapo chuoni kusoma kumbe kazi yao ni kujiuza ?” wanawake wawili walikuwa wakijadiliana baada ya kumaliza kuangalia taarifa ya habari iliyokuwa inaeleza kuhusu wanachuo wawili waliotoweka baada ya kuchukuliwa na mtu asiyejulikana wakati
wakifanya biashara ya kujiuza.

Taarifa hizo ziliendelea kuwa gumzo kila sehemu na kabla hazijatulia, ziliibuka taarifa nyingine zilizozidi kuwashangaza wengi. Wanachuo wengine watatu wa Chuo Kikuu cha Mlimani nao waliripotiwa kupotea katika
mazingira ya kutatanisha, kila mtu akazidi kupigwa na butwaa. Kabla habari hizo nazo hazijatulia, zilikuja taarifa nyingine ambazo zilieleza kuwa kati ya machangudoa kumi na moja waliopotea, wawili ambao bado walikuwa hawajatambuliwa, walikuwa ni wanachuo wa Chuo Kikuu cha Uhasibu ambao nao walipotea katika mazingira yaleyale kama wenzao.

“ Jamani hawa wanachuo wa siku hizi wamekumbwa na nini? Badala ya kuhangaikia elimu ili wapate digrii za maana waowanajishughulisha na uchangudoa , tunajenga taifa gani ?”“ Wewe umechelewa kujua tu, unafikiri wameanza leo biashara ya uchangudoa? Mbona tangu kipindi kirefu tu wanachuo wa kike walikuwa wakijiuza, hasa‘ bumu ’ zikichelewa kutoka ndiyo mchezo wao, ” watu waliokuwa wamekusanyika pembeni ya kituo cha polisi cha Kijitonyama walikuwa wakijadiliana kwani hali ilionekanakuwa tete.

Vyombo vya habari navyo vikatawaliwa na habari hizo za wanachuo wa kike kufanya biashara haramu ya kuuza miili yao badala ya kusoma kama walivyotumwa na wazazi wao. Magazeti pendwa nayo hayakuwa nyuma, kurasa za mbele zikawa zinapambwa na picha za wanachuo hao waliopotea na habari zao kwa undani. Habari ilibadilika kabisa kutoka kupo aba. Kila mtu alikuwa akizungumza lake, wapo waliokuwa wakiwalaumu wazazi kwa kushindwa kuwalea watoto wao kwenye maadili mazuri mpaka kufikia hatua ya kujiuza na wengine walikuwa wakiwalalamikia viongozi wa vyuo vikuu kwa kuwaachia uhuru wanachuo mpaka kufikia hatua ya kwenda kujiuza usiku bila mtu yeyote kujua.

Upelelezi wa kina uliendelea kila mahali kuhakikisha mwanaume aliyekuwa akihusishwa na kupotea kwa machangudoa
hao anapatikana na kuwekwa chini ya ulinzi . Hata hivyo , kazi haikuwa nyepesi kama polisi walivyodhani kwani kuanzia siku ya kwanza walipowapandikiza polisi wa kike ambao walikuwa wakivaa kama machangudoa, lile gari jeusi lililokuwa linatumiwa na mwanaume huyo halikuonekana tena eneo hilo.

Hata kwenye maeneo mengine ambayo machangudoa walikuwa wakifanya biashara hiyo haramu, halikuonekana gari jeusi wala mwanaume huyo, hali iliyosababisha ugumu mkubwa wa kuupata ukweli wa kilichokuwa kinaendelea nyuma ya pazia. “ Kama angekuwa anawaua si lazima maiti zao zingeonekana?” “ Ni kweli kabisa lakini hakuna taarifa zozote
za kuonekana maiti wala wanawake hao
waliopotea . ”
“ Inabidi upelelezi uongezwe, haiwezekani mtu mmoja atusumbue kichwa kiasi hiki , ” maafisa wa ngazi za juu wa polisi walikuwa wakijadiliana ndani ya ofisi ya mkuu wa polisi kuhusu kilichotokea. Upelelezi uliongezwa maradufu , mashushushu wengi wakamwagwa kwenye kumbi za starehe na kwenye madanguro yote yaliyokuwa yanafahamika na yale yasiyofahamika ili kuhakikisha mhusika anapatikana.

“ Haloo ! Haloo ! Koplo Jenifa hapa , ova . ”
“ Tunakupata Koplo Jenifa, ova . ”
“ Nipo hapa Afrika Sana, kuna gari jeusi
linakuja mbele yangu, linafanana na maelezo
ya gari la mtuhumiwa namba moja,
ova !”

Askari walikuwa wakiwasiliana moja kwa moja na mwenzao aliyekuwa amepandikizwa kuwa kama changudoa kwenye eneo la Sinza Afrika Sana ili kurahishisha kazi ya kumnasa mtuhumiwa. Baada ya taarifa hizo, polisi waliokuwa doria kwenye maeneo mbalimbali, walipeana taarifa haraka kwa kutumia simu za upepo na ndani ya muda mfupi, wote wakawa wanaelekea eneo hilo, huku kila mmoja akiwa makinin kuhakikisha mtuhumiwa anakamatwa usiku huohuo.
Gari jeusi la kisasa lilisimama eneo la Sinza Afrika Sana, ikiwa ni saa nane za usiku.

Machangudoa waliokuwa wakiendelea na biashara yao kama kawaida, walipoliona tu gari hilo, walianza kutimua mbio huku wakipiga kelele kwamba muuaji amewasili tena. Hakuna aliyekuwa tayari kuchukuliwa na mtu huyo, ndani ya dakika chache, machangudoa wote wakawa wamejikusanya upande wa pili wa barabara huku wakisikika wakipiga kelele za kumlaani mwenye gari hilo ambaye mpaka muda huo hakuwa ameteremka garini wala kushusha vioo.

Waliobaki eneo hilo walikuwa ni mashushushu pekee ambao kwa kuwatazama, ungeweza kudhani ni machangudoa. Muda mfupi tu baadaye, magari manne ya polisi yakiwa na askari wenye silaha, yalivamia eneo hilo kutoka kila upande na kulizingira gari hilo, wale machangudoa wakawa makini kutaka kuona kitakachotokea.

Polisi wakashuka kwenye magari yao na kulizunguka gari hilo, kila mmoja akiwa ameiweka bunduki yake tayari kwa chochote.

Je, nini kitafuatia?
 
SEHEM YA 4

Kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa wanawake waliokuwa wakifanya biashara haramu ya kuuza miili yao, maarufu kama machangudoa, kunalitingisha Jiji la Dar es Salaam hasa maeneo ya Sinza Afrika Sana, biashara hiyo ilipokuwa ikifanyikia. Kinachozidi kuzua utata , kila anayepotea, inaonesha kwamba mara ya mwisho alichukuliwa na mwanaume mmoja asiyejulikana, aliyekuwa anatembelea gari la kifahari aina ya Volkswagen, ambaye alikuwa akienda eneo hilo usiku wa manane. Awali walidhani mwanaume huyo huwapa fedha nyingi machangudoa anaotoka nao kiasi cha kuwafanya waachane na biashara hiyo lakini kadiri siku zilivyokuwa zinazidi kusonga mbele ndivyo hofu ilivyoanza kuwaingia ndani ya mioyo yao.

Tayari machangudoa kumi na moja wamepotea katika mazingira ya kutatanisha baaada ya kuchukuliwa na mwanaume huyo aliyekuwa anakuja na gari jeusi lenye vioo vyenye tinted. Taarifa za kupotea kwa machangudoa hao zimeanza kuripotiwa na vyombo vya habari ambapo polisi wanalazimika kuingilia kati na kuanza kufanya uchunguzi wa kina juu ya
wasichana hao waliopotea na mtu aliyekuwa anawachukua. Hata hivyo , wakati uchunguzi wa kina ukiendelea kufanyika, inakuja kubainika kuwa wengi kati ya machangudoa waliopotea , walikuwa ni wanafunzi wa vyuo vikuu, jambo
linalowashangaza wengi na kuzua gumzo kubwa.

Mipango ya kumnasa mhusika bado inaendelea lakini kazi haiwi nyepesi kama watu walivyodhani. Upande wa pili , historia ya kijana aliyekuwa na mwonekano tofauti na binadamu wa kawaida, Dickson Maduhu inaelezewa. Wanafunzi wenzake wanamtania na kumuita Zinja kwani alikuwa akifanana na binadamu wa kale.

Je, nini kitafuatia ? SONGA NAYO…

Kwa kuwa sasa Dickson Maduhu alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi katika Shule ya Tosamaganga aliyokuwa akisoma , alipunguza matukio ya kuwajeruhi wenzake waliokuwa wakimtania na kumuita jina la Zinja. Taratibu akaanza kulizoea jina hilo ambalo liliendelea kuwa maarufu mno miongoni mwa wanafunzi wenzake na walimu.

Kiumri, Dickson alizidi kuwa mkubwa na kupevuka, sasa hisia za ujana zikawa zinamsumbua. Mara kwa mara alikuwa akiota ndoto nyevu usiku akiwa amelala, jambo ambalo ni kawaida kumtokea mvulana yeyote anayevuka kutoka hatua ya utoto kuingia ut uzima.

Siku zilizidi kusonga mbele , kama ilivyokuwa kawaida ya shule hiyo ambayo ilikuwa ni ya wavulana tu, kila mwisho wa muhula, kulikuwa kukifanyika disko ambapo wanafunzi wa kike wa shule jirani ya Iringa Girls Secondary School walikuwa wakija kuwatembelea shuleni hapo na kucheza muziki pamoja. Japokuwa tangu ajiunge na kidato cha tano shuleni hapo kulifanyika disko zaidi ya mara nne, Dickson hakuwahi kushiriki hata mara moja. Hakuwa akipenda kuchanganyikana na
wasichana na aliona kama hakukuwa na umuhimu wowote wa kucheza disko.

Alianza kujiapiza kuwa disko ambalo lilikuwalikifuatia, lazima na yeye akacheze muziki nammoja kati ya wasichana wengi wazuriwaliokuwa wakija kutoka Shule ya Sekondariya Iringa Girls.Tarehe ya disko hiyo ilipotangazwa tu ,wanafunzi wengi walianza kujiandaa kwakwenda kununua nguo za kuchezea muziki nawale ambao hawakuwa na uwezo, walikuwawakianza kuazima kwa wenzao tangumapema. Siku zilizidi kusonga mbele huku matangazomengi yakibandikwa kwenye kuta zamatangazo shuleni hapo.

Wanafunzi wengiwakawa wanaisubiri kwa hamu siku hiyo. Dickson naye hakuwa nyuma, aliazima nguonzuri kwa rafiki yake kipenzi , LupakisyoMwanyumba waliyekuwa wakilala chumbakimoja. Kwa kuwa hakuwa akijua kucheza muziki, mara kwa mara alikuwa akisubiri wenzakewote watoke chumbani humo na kuanzakufanya mazoezi ya kucheza huku akijiapizakuwa siku hiyo lazima na yeye atafutemsichana wa kucheza naye.“ Wenzangu wote wana wapenzi kutoka Iringa Girls, na mimi safari hii lazima nitafutempenzi.

Nitacheza naye muziki taratibu ,nitamkumbatia na kusogea naye kwenye kona ,kama hakuna mtu atakayekuwa anatuangalia ,nitaanza kumtongoza, nimechoka maisha yaupweke , ” Dickson alikuwa akiwaza akiwaamelala kwenye kitanda chake cha juu ( doubledecker ) huku tabasamu pana likianzakuchanua kwenye uso wake .“ Vipi Zinja mbona unafurahi peke yako ?”“ Nafikiria jinsi nitakavyoopoa mkosho siku yadisko ,” alisema Dickson kwa lugha iliyokuwaimezoeleka shuleni hapo akimaanisha kuwaanasubiri kwa hamu jinsi atakavyopatamsichana wa kumtongoza siku hiyo.

Sikuzilizidi kusonga mbele , hatimaye sikuiliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwailiwadia.Ilikuwa ni Jumamosi nzuri ambapo sautikubwa ya muziki ilianza kusikika kuanziamapema kutoka ndani ya ukumbi wa kuliachakula au maarufu zaidi kwa jina la DH (Dining Hall ), wanafunzi wa kiume wakawawanapishana kwenda mabafuni. Hata waleambao hawakuwa na utaratibu wa kuoga marakwa mara kwa kisingizio cha baridi kali yaIringa, siku hiyo walioga. Kila mtu akawa bize kujiandaa kwa kuvaanguo nzuri na kujipulizia marashi, tayari kwakupokea ugeni wa wanafunzi wa kike kutoshashule hiyo ya jirani. Majira ya saa saba zamchana, magari mawili yaliwasili shuleni hapoyakiwa yamejaa wanafunzi wa Shule yaSekondari ya Iringa Girls au Zoo kamawalivyokuwa wakijulikana zaidi.

Wanafunzi wa kiume wa Tosamaganga waliokuwa wakiendelea kujiandaa, walianzakushangilia kwa nguvu, kila mtu akaacha kilaalichokuwa akifanya na kukimbilia kwenyeeneo magari hayo yalipokuwa yamepaki.Wasichana hao wakawa anateremka kwenyemagari huku wakipokelewa kwa furaha nawenzao. Wale waliokuwa na marafiki zao wa kudumu ,walichukuana na kutafuta sehemu tulivu hukuwale ambao hawakuwa na marafiki kama Dickson, wakihangaika huku na kule kutafutamarafiki wa kucheza nao muziki kama fisiwanaotafuta mifupa.Dickson naye hakuwa nyuma, akiwa amevaliatisheti nzuri , pensi ya kisasa na raba nyeupealivyoazimwa na Lupakisyo, alikuwaakizunguka huku na kule akijitahidi kutafutamsichana wa kucheza naye muziki.

Hata hivyo, tofauti na wenzake ambao kila mtualikuwa akipata rafiki , kila msichana ambayeDickson alimsogelea, alikuwa akipiga kelele nakukimbia .“ Mbona wananikimbia? Au kwa sababunimenuna sana ?” alijiuliza Dickson na kuanzakulazimisha tabasamu kwenye uso wake lakiniilikuwa sawa na kazi bure. Mpaka muda wakuingia disko unafika , Dickson bado hakuwaamefanikiwa kupata msichana wa kuchezanaye. Hata hivyo, hakukata tamaa, naye aliingiakwenye ukumbi wa disko kwenda kujaribukujaribu bahati yake kwani hisia zake zilikuwahazijatulia kabisa, alichokuwa akikitaka ilikuwani kupata msichana wa kucheza naye, amkumbatie na kufurahi naye ili angalau rohoyake itulie.

Hata alipoingia kwenye ukumbi huo, haikuwarahisi kupata msichana wa kucheza naye. Pensi aliyokuwa amevaa ilifanya vinyweleo vyamiguuni vionekane vizuri na kumfanya azidikutisha. Tisheti ya mikono mifupi nayo ilifanyavinyweleo vingi vilivyokuwa kwenye mikonoyake vionekane, ukichanganya na jinsi surayake ilivyokuwa, kila msichana alikuwaakimkimbia. Alilazimika kucheza peke yakemuda wote huku roho ikimuuma sana , akafikiahatua ya kuwa anamkufuru Mungu wake kwakumuumba akiwa tofauti na wenzake.Baadaye alipoona jitihada zake zotezimeshindikana, alitoka kabla hata muzikihaujaisha na kwenda kujifungia bweniniambapo alikuwa akiangulia kilio kwa uchungu, akiiona dunia yote mbaya.

Mpaka muda wa disko kuisha, yeye badoalikuwa chumbani kwake, akiwa amejifunikablanketi mwili mzima ili wenzake wakirudiwasimuone kwamba alikuwa analia. Wakatiwenzake wanatoka na kuhadithiana jinsiwalivyofaidi kucheza muziki na wasichana, yeye alikuwa akiendelea kulia .Siku hiyo ilipita, akawa anaendelea kumkufuruMungu mara kwa mara kwani hisia zakutamani kuwa na rafiki wa kike ziliendeleakumsumbua lakini hakuwa na uwezo wakumpata. Siku zilizidi kusonga mbele, ikawakila wasichana hao wakija kucheza disko, Dickson anaambulia patupu.

ITAENDELEA
 
SEHEM YA 5

Jiji la Dar es Salaam linatingishika kutokanana wimbi la kupotea kwa wanawake waliokuwawanafanya biashara haramu ya kuuza miiliyao , maarufu kama machangudoa. Awaliilianza kama masihara lakini kadiri siku zilivyokuwa zinazidi kusonga mbele, machangudoa walizidi kupotea hadi idadi yaoikafikia kumi na moja.

Kinachozidi kuzuautata, kila anayepotea, inaonesha kwambamara ya mwisho alichukuliwa na mwanaumemmoja asiyejulikana.Mwanaume huyo aliyekuwa anatembelea garila kifahari aina ya Volkswagen, alikuwaakienda eneo la Sinza Afrikasana usiku wamanane na kununua machangudoa ambaohawakurudi tena baada ya kuondoka naye. Awali machangudoa wengine walidhanimwanaume huyo huwapa fedha nyingimachangudoa anaotoka nao kiasi chakuwafanya waachane na biashara hiyo lakinikadiri siku zilivyokuwa zinazidi kusonga mbelendivyo hofu ilivyoanza kuwaingia ndani yamioyo yao.

Baada ya taarifa za kupotea kwamachangudoa hao kuanza kuripotiwa navyombo vya habari, polisi wanalazimikakuingilia kati na kuanza kufanya uchunguzi wakina juu ya wasichana hao waliopotea na mtualiyekuwa anawachukua. Hata hivyo , wakati uchunguzi wa kinaukiendelea kufanyika , inakuja kubainika kuwawengi kati ya machangudoa waliopotea ,walikuwa ni wanafunzi wa vyuo vikuu, jambolinalowashangaza wengi na kuzua gumzokubwa. Mipango ya kumnasa mhusika badoinaendelea lakini kazi haiwi nyepesi kamawatu walivyodhani. Upande wa pili , historia ya kijana aliyekuwana mwonekano tofauti na binadamu wakawaida, Dickson Maduhu inaelezewa .Kutokana na mwonekano wake wa kutisha,wasichana wanamuogopa na kumkimbia kilaanapojaribu kuwasogelea.

Je, nini kitafuatia? SONGA NAYO

Kitendo cha wanafunzi wa kike waliokuwawanasoma shule ya jirani na aliyokuwaanasoma , Iringa Girls kumkataa na kumkimbiakila alipokuwa akijaribu kutafuta wa kuchezanaye muziki kipindi walipokuwa wakitembeleashule yao , kilimuathiri sana kisaikolojia . Akawaanajiuliza maswali mengi yaliyokosa majibuhuku wakati mwingine akifikia hatua yakumkufuru Mungu wake kwa jinsialivyomuumba tofauti na binadamu wengine.Kwa kuwa hisia za kimapenzi nazo zilizidikumtesa , mara kwa mara akiota ndoto nyevu ,aliendelea kuteseka huku akijaribukuwashawishi hata wasichana waliokuwawakifanya biashara ndogondogo shuleni hapowakubali kuwa na uhusiano naye wakimapenzi.

Kila alipokuwa akijaribu kutongoza, alikuwaakigonga mwamba kutokana na mwonekanowake uliokuwa ukimfanya aonekane kamamnyama wa porini. Hisia za kutamanikukutana kimwili na mwanamke zilipomzidi, alijikuta akianza kujihusisha na mchezo wakujichua. Kila alipokuwa akienda bafuni kuoga ,alikuwa akitumia muda mrefu akiwaamejifungia ambapo alikuwa akifanya mchezohuo mara kwa mara na kumaliza matamanioyake.Kadiri siku zilivyokuwa zinazidi kusongambele , Dickson alionekana kuendeleakuufurahia mchezo huo, kiasi cha kufikia hatuaya kuwa anakwenda kuoga mara mbili haditatu kwa siku moja, bila kujali baridi kali yaeneo hilo.Siku zilizidi kusonga mbele, hatimayewanafunzi wa kidato cha sita wa shule hiyowakaanza kujiandaa kwa ajili ya mtihani wamwisho wa kuhitimu elimu ya sekondari.

Kama ilivyokuwa kawaida, kabla ya kuingiakwenye kipindi cha mitihani, wanafunzi hao wakidato cha sita walifanyiwa mahafali yakuwaaga.Wanafunzi wa kike kutoka shule jirani ya IringaGirls wakaalikwa kuja kujumuika na wenzaokufurahi pamoja, kucheza muziki na kutakianaheri kwenye mitihani yao.

Safari hii Dicksonhakutaka kabisa kuihangaisha nafsi yake kwakujaribu kutafuta msichana wa kucheza nayemuziki au wa kuanzisha naye uhusiano wakimapenzi.Alishapata mbinu ambayo aliamini inamsaidiakutuliza hisia zake bila usumbufu. Mahafaliyakafanyika na wakati wenzake wakiendeleakucheza muziki na wasichana hao, yeyealielekea bafuni kuoga .Baada ya hapo, alivaa vizuri na kutafutasehemu tulivu, akaenda kukaa peke yakekwani hakupata ugeni wowote kutokanyumbani kwao kama ilivyokuwa kwa wenzakeambao walitembelewa na wazazi , ndugu ,jamaa na marafiki kwenye siku hiyo muhimu.Uduni wa maisha ya familia aliyotokea, ulikuwakikwazo kingine kwenye maisha yake.

Sikuhiyo ilipita, maandalizi ya mitihani yakazidikupamba moto na hatimaye , waliianzamitihani.Kutokana na uchungu aliokuwa nao ndani yamoyo wake, uliosababishwa na hali ngumu yamaisha ya nyumbani kwao na jinsi alivyokuwaanatengwa na kutaniwa na wenzake, Dicksonau Zinja kama wenzake alivyozoea kumuita ,aliamini kitu pekee kinachoweza kumkomboana kuyabadili maisha yake ni elimu. Akatulia na kufanya mitihani yake yote kwaumakini mkubwa huku akimuomba Munguwake amsimamie. Hatimaye alimaliza elimu yasekondari na kurudi kijijini kwao, Ichenjezyamkoani Mbeya walikokuwa wakiishi wazaziwake.Alikaa nyumbani kwao kwa muda usiozidimiezi mitatu ambapo kila siku alikuwaakiendelea na mchezo wake wa kujichuakwani hata wasichana wa kijijini kwao naohawakuwa wakimkubali kutokana namwonekano wake na umaskini wa familia yao.

Hatimaye matokeo ya kidato cha sita yalitokana miongoni mwa wanafunzi waliokuwawamefaulu kwa kiwango cha juu, Dickson auZinja naye alikuwemo . Alifurahishwa sana namatokeo hayo , wazazi wake nao wakafurahisana kwani sasa walikuwa na uhakika kwambamtoto wao huyo atawakomboa kutoka kwenyedimbwi la umaskini .Dickson alianza kufanya taratibu za kujiungana chuo kikuu , japokuwa wazazi wakehawakuwa na uwezo kiuchumi, alibahatikakupata nafasi ya kipekee ya kusomeshwa naserikali kutokana na jinsi alivyokuwa amefauluvizuri.“ Naenda kusoma Chuo Kikuu cha Dar esSalaam,” alisema Dickson wakati akiwaoneshawazazi wake fomu alizotoka kuzifuatiliaserikalini. Kila mmoja alifurahishwa mno namafanikio aliyoyapata mtoto wao.

Siku zilizidi kuyoyoma hatimaye siku yakwenda kuripoti chuo kikuu ikawadia, wazaziwake wakamsindikiza mpaka kwenye Stendiya Mabasi ya Vwawa ambapo alipanda basi lakuelekea jijini Dar es Salaam. Japokuwahakuwa amewahi kufika jijini Dar es Salaamhata siku moja, aliamini atafika salama chuonikwao .Saa kumi na mbili asubuhi , basi alilopandaliliianza safari ya kuelekea jijini Dar es Salaam.Baada ya safari iliyochukua saa nyingi ,hatimaye aliwasili kwenye Stendi ya Mabasi yaUbungo majira ya saa kumi na moja jioni.

Akateremka kwenye basi pamoja na mizigoyake michache , akajaribu kuulizia njia yakuelekea chuo kikuu ambapo alielekezwa navijana ambao nao walikuwa wakimshangaakwa jinsi alivyokuwa na mwonekano wa tofautina watu wengine.Mwenyewe hakujali, akatoka mpaka njeambapo alipanda daladala kamaalivyoelekezwa na hatimaye akawasili ChuoKikuu cha Dar es Salaam. Alienda moja kwamoja kwenye ofisi za utawala ambapoalijiandikisha sambamba na wanachuowenzake wa mwaka wa kwanza waliokuwawamewasili siku hiyo.

Kila mtu alikuwa akimshangaa kutokana najinsi alivyokuwa anafanana na binadamu wakale, mwili wake ukiwa na vinyweleo vingivilivyomfanya atofautiane kabisa na binadamuwa kawaida. Hata hivyo , kwa kuwaalishataniwa sana na wenzake tangu akiwasekondari, wala hakujali watu waliokuwawanamshangaa .Baada ya kumaliza kujiandikisha , alipangiwahosteli ambayo angekuwa anaishi kwa kipindichote ambacho angeishi chuoni hapo.

Wanachuo wenzake waliopangwa naye chumbakimoja, awali walikuwa wakiogopa kulala nayewakidhani angeweza kuwadhuru hasa nyakatiza usiku lakini kadiri siku zilivyokuwazinasonga mbele, taratibu walianza kumzoea .Siku zikawa zinazidi kusonga mbele, Dicksonakaanza kuwa maarufu kwa sababu yamwonekano wake ambapo kama ilivyokuwawakati akisoma sekondari , alipachikwa tenajina la Zinjathropus au kwa kifupi Zinja, ikimaanisha binadamu wa kale. Mwenyewehakujali sana , akawa anajitahidi kuikubali halihiyo na kuiona kama ya kawaida .Mwili wake nao ulizidi kutanuka na kuwamkubwa, hisia za mapenzi zikawa zinazidikumtesa na licha ya kujitahidi kuendeleakujichua mara kwa mara , bado hamu yake yakukutana kimwili na mwanamke, ilikuwa ikizidikuongezeka kadiri siku zilivyokuwa zinasongambele. Ikafika mahali , akawa hawezi tenakutulia , nafsi yake ilikuwa ikihitaji jambo mojatu, mwanamke wa kufanya naye ngono .
 
SEHEMU YA 06

Mipango ya kumnasa mhusika badoinaendelea lakini kazi haiwi nyepesi kamawatu walivyodhani . Upande wa pili , kijanaaliyekuwa na mwonekano tofauti na binadamuwa kawaida, Dickson Maduhu amehitimukidato cha sita na kupata nafasi ya kuendeleana masomo ya chuo kikuu. Tayari ameshafikajijini Dar es Salaam alikojiunga na Chuo Kikuucha Dar es Salaam.

Je, nini kitafuatia? SONGA NAYO


Siku za mwanzo zilikuwa ngumu sana kwaDickson chuoni hapo kwani kama ilivyokuwakila mahali alipowahi kuishi, watu walikuwawakimshangaa sana na kuanza kumtaniakutokana na mwonekano wake uliokuwatofauti kabisa na binadamu wa kawaida.Kama ilivyokuwa wakati akisoma kidato chatano na sita katika Shule ya Sekondari yaTosamaganga, baadhi ya wanachuo wenzakewalianza kumtania na kumuita jina laZinjathropus au kwa kifupi Zinja ,bwakimaanisha binadamu wa kale.

Hata hivyo , kwa kuwa sasa alikuwa na uzoefuwa kutaniwa na kuitwa majina mabaya,haikumuumiza sana , wanachuo wenzakewakawa wanaendelea kumshangaa na baadayewakamzoea, maisha yakazidi kusonga mbele .Hata hivyo , bado hisia za mapenzi zilizidikumsumbua Dickson, kila kukicha alikuwaakitamani sana kumpata rafiki wa kike ambayeangekuwa akikidhi haja zake za kimwili lakinihaikuwa rahisi.

Kila msichana aliyejaribu kumtongoza chuonihapo, alikuwa akimkataa huku wenginewakimtolea kashfa waziwazi kwamba hawawezikuwa na uhusiano wa kimapenzi na sokwe -mtu , jambo ambalo lilimuumiza sana moyowake.“ Kuanzia leo sitatongoza tena mwanamkehapa chuoni, nimechoshwa na matusi haya , nibora niendelee kuteseka , ” alijisemea Dicksonhuku akijifuta machozi yaliyokuwayanaulowanisha uso wake baada ya kutukanwana msichana machachari lakini mrembo, Euclesia alipojaribu kumtongoza.

Njia pekee aliyoona inamfaa , ilikuwa nikuendelea kujichua ingawa alikuwa akiufanyamchezo huo kwa siri kubwa akihofia wenzakewasijue.Siku zilizidi kusonga mbele , jioni moja akiwakwenye chumba alichokuwa akiishi nawenzake, mwanachuo mmoja , Hans aliyekuwana kawaida ya kwenda kunywa pombe mitaanina kurudi usiku wa manane , alikuwaakiwapigia stori wenzake.“ Jana bwana nimeenda kuopoa changu palemitaa ya kati , jirani na Meeda Bar.

Nikaendanaye gesti palepale jirani. Hata sijui ishu ganiilitokea kwani baada ya kwenda kujimwagiamaji ili nije kujilia vitu vyangu , alinipa juisi nanilipokunywa tu , nilianza kusikia kizunguzungukikali . ”“ Ebwana eeeh ! Duh, ikawaje?”“ Mara kidume nikaangusha gari, kuja kushtukatayari kumekucha , demu kanikombamazagazaga yote , kaniacha mweupee,kanilostisha kichizi yule demu!”“ Ayaaa! Kakuibia ? Na wewe umezidi kuopoamachangu, acha yakukute fala wewe. Lazimaalikuwekea madawa ya kulevya huyo, ” alisemaMaten , mwanachuo mwingine , wenzakewakacheka sana .Stori hiyo aliyowasimulia Hans , iliwafurahishawote waliokuwa ndani ya chumba hicho,akiwemo Dickson ambaye muda wote alikuwaametega masikio kwa makini akiwa na shaukukubwa ya kujua kilichotokea.

Badala ya kumpa pole , wenzake wotewaliendelea kumcheka Hans kutokana nakilichomtokea. Dickson ambaye hakuwa nakawaida ya kupiga stori na wenzake ,akamuuliza Hans swali lililowashangazawenzake.“ Kwani huko Meeda ndiyo wapi?”“ Ni hapo jirani tu , ukifika Mlimani City ,unavuka ng’ ambo ya barabara, upande wa pilikwenye kituo cha daladala kuna barabara yalami inaingia kule ndanindani, ukimuuliza mtuyeyote atakuelekeza. ”“ Ebwana vipi Zinja na wewe unataka ukaopoenini? Angalia watakuibia mpaka nguo ya ndaniurudi mtupu hapa, ” alisema mwanachuomwingine na kuwafanya wazidi kuanguavicheko.

Kwa Dickson, huo ulikuwa ni msaada mkubwasana kwake, moyoni akajiapiza kuwa lazimaakipata fedha kidogo, na yeye aende kujaribukununua changudoa mmoja ili auonjeulimwengu wa kikubwa ambao mpaka wakatihuo, hakuwa akiujua.Ili asisahau , aliandika kwenye kitabu chakekidogo namna ya kufika eneo hilo. Siku zilizidikusonga mbele na hatimaye , fedha kutokakwenye Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu aumaarufu kama ‘ bumu ’ , iliingizwa kwenyeakaunti ya kila mwanachuo aliyekuwa akisomakwa mkopo.

Dickson alikuwa miongoni mwa wanachuowalioingiziwa fedha hizo . Akaongozana nawenzake mpaka kwenye tawi la benkilililokuwa jirani na chuo hicho ambapo alitoafedha kiasi kwa ajili ya matumizimadogomadogo.“ Leo lazima na mimi niende kununuachangudoa, nimechoshwa na maisha yakujichua kila siku , ” alisema wakati akijiandaajioni moja . Hakumuaga mtu yeyote , akatokana kujifanya haendi mbali, akapita njia zavichochoroni mpaka alipotokezea kwenyebarabara ya lami .Akakodi bodaboda na kumuelekeza derevakumpeleka mitaa ya Meeda Bar . Muda mfupibaadaye, tayari alikuwa amefika eneo hilo,akamlipa dereva wa bodaboda fedha zakekisha akashuka na kuanza kuangaza machohuku na kule.

Kwa kuwa hakutaka mtu yeyote amtambue ,alisimama kwenye duka moja kubwa nakununua kofia ambayo aliivaa na kuuficha usowake, akawa anazungukazunguka mitaa hiyo ,akiwa makini kutafuta wanawake waliokuwawakifanya biashara ya kujiuza .Kwa kuwa bado ilikuwa ni mapema, hakuwezakuwaona kwa urahisi, ikabidi atafute sehemuya kutulia kusubiri giza liingie kwanialishawahi kusikia kwamba machangudoawengi hufanya biashara hiyo nyakati za usiku .Sauti kubwa ya muziki iliyokuwa ikisikikakutoka jirani na mahali alipokuwa amekaaakisubiri giza liingie , ilimvutia kuinuka nakuanza kuifuata .

Muda mfupi baadaye, alifikakwenye baa kubwa ya kisasa , iliyokuwaimechangamka sana.Aliangaza macho huku na kule , akaamuakuingia ndani kwani kama ni fedha , siku hiyoalikuwa nazo za kumtosha kufanya chochote.Aliingia ndani na kuanza kushangaa mandhariya baa hiyo, taa za rangirangi zilizokuwazikiwaka na kumulika huku na kule , zilizidikupafanya mahali hapo pazidi kuchangamka .

Alienda kukaa kwenye kona moja na kuagizakinywaji, kwa kuwa hakuwa mnywaji wapombe, aliagiza juisi ya kwenye boksi nakutulia, macho yake yakiwa makini kuangaliahuku na kule . Muziki ulizidi kupigwa na kadirimuda ulivyokuwa unasonga mbele , ndivyowatu walivyozidi kuongezeka ndani ya baahiyo.

Miongoni mwa watu hao, wengi walikuwa niwanawake waliokuwa wamevalia nusu utupuambao bila hata kuuliza, alijua ndiyo machangudoa wenyewe kwani wenginewalikuwa wakivuta sigara , wengine kunywapombe na wengine kucheza muziki kwakujiachia. Kila alipofikiria kumuita mmoja kati yao, mapigo ya moyo wake yalikuwa yakimuendambio mno, akaamua kupiga moyo konde nakujikakamua kiume.“ Pssssiiii!” Dickson aliita, wanawake zaidi yawatano wakamgeukia huku kila mmojaakimuuliza kwa ishara kama yeye ndiyealiyekuwa akiitwa. Harakaharaka alimchaguammoja kati yao aliyekuwa jirani, akamuoneshea ishara ambapo bila kujivunga, alimfuata mpaka pale alipokuwa amekaa.
 
SEHEM YA 7

Mipango ya kumnasa mhusika badoinaendelea lakini kazi haiwi nyepesi kamawatu walivyodhani . Upande wa pili , kijanaaliyekuwa na mwonekano tofauti na binadamuwa kawaida, Dickson Maduhu amejiunga naChuo Kikuu cha Dar es Salaam .Hata hivyo, hisia kali za mapenzi zinaendeleakumsumbua na kusababisha aende kwenyeeneo maarufu lililokuwa na machangudoawaliokuwa wakiuza miili yao, jirani na Baa yaMeeda, Sinza.

Je , nini kitafuatia? SONGA NAYO …


Pssssiiii!” Dickson aliita, wanawake zaidi yawatano waliokuwa eneo hilo walimgeukia hukukila mmoja akimuuliza kwa ishara kama yeyendiye aliyekuwa akiitwa . Harakaharakaalimchagua mmoja kati yao aliyekuwa jirani,akamuoneshea ishara ambapo bila kujivunga ,alimfuata mpaka pale alipokuwa amekaa.“ Mambo!” alisema Dickson huku akishushakofia yake kuziba uso wake kwani alijua kuwahuenda mwanamke huyo akiiona sura yake,atafanya kama ambavyo wanawake wengiwamekuwa wakifanya.“ Poa, mambo bebi , ” alisema msichana huyohuku akiwa ameshajisogeza mwilini mwaDickson, mapigo ya moyo ya kijana huyoyakawa yanamuenda mbio kuliko kawaidakwani katika maisha yake, hakuwahikusogelewa jirani na mwanamke kiasi hicho.

Kilichozidi kumchanganya akili zake nikwamba mwanamke huyo alikuwa amevaanguo fupi iliyoyaacha mapaja yake yote wazi .Juu alikuwa amevaa kiblauzi chepesikilichomuonesha mwili wake waziwazi, machoya Dickson yakatua juu ya kifua chamwanamke huyo, akazidi kuishiwa nguvu.“ Aah! Ee … unajua nakufana … nisha ka …”Dickson alibabaika , maneno yakawa yanatokanusunusu, msichana huyo akamkatakauli. “ Jamani we kaka, mbona unaniogopakiasi hicho? We sema tu una shilingi ngapitwende nikakupe raha ,” alisema msichanahuyo, safari hii akimkumbatia Dickson nakumwangushia mvua ya mabusu.“ Shi… li . . ngi nga… pi nikupe ?” alihoji Dicksonhuku kijasho chembamba kikianza kumtokajapokuwa ilikuwa ni jioni .

Msichana huyoakamtajia bei pamoja na gharama za chumbacha gesti .Harakaharaka Dickson alikubaliana naye,wakainuka na kutoka mpaka nje ya baa hiyo ,msichana huyo akamuongoza mpaka mtaa wapili kulikokuwa na nyumba ya kulala wageniambayo machangudoa wengi wa eneo hilowalikuwa wakiwapeleka wateja wao.“ Kinga unayo ?”“ Hapana. ”“ Nenda kanunue , ” alisema changudoa huyolakini kwa kuwa tayari hisia za mapenzizilikuwa zimekolea kwenye kichwa chaDickson, hakukubali kutoka nje ya chumbahicho na kumuacha msichana huyo.“ Ukitaka bila kinga inabidi uongeze fedha, ”alisema msichana huyo , Dickson akakubaliharakaharaka, akampa mwanamke huyokiwango cha fedha alichokuwa anakitaka kishaakaenda kuzima taa kisha akavua kofia yake.

Hakupoteza muda , akavua nguo zake zote nakuzitupa pembeni, akapanda kitandani hukuakiwa haamini kwamba hatimaye kitualichokuwa akitamani kitokee kwa siku nyingikilikuwa kikielekea kutimia.Muda mfupi baadaye, kijana huyo alikuwaakielea kwenye bahari ya huba, ikiwa ndiyomara yake ya kwanza kushiriki mchezo wakikubwa tangu alipopata akili . Hakujaliusalama wake wala matatizo anayowezakuyapata kwa kufanya ngono na changudoa,tena bila kinga .Aliendelea kuogelea kwenye bahari ya hubampaka alipokidhi haja zake. Kwa kuwaalishasimuliwa kwamba machangudoa wanakawaida ya kuwaibia wateja wao, alikuwamakini kuhakikisha na yeye hayamkuti kamayaliyomkuta mwenzake. Harakaharaka aliendakuchukua nguo zake, akavaa.

Alipomaliza alivaa na kofia yake kishaakawasha taa . Yule mwanamke hakutakakupoteza muda , aliingia bafuni kuoga kishaakatoka na kurudi kwenye eneo lake kuendeleakuwinda wateja wengine.Kwa kuwa Dickson alikuwa ameshapataalichokitaka , hakutaka kuendelea kukaa eneohilo, alikodi bodaboda iliyomrudisha mpakachuoni kwao . Njia nzima alikuwa akijipongezakwa kufanikisha jambo lililokuwa likimtesa kwakipindi kirefu.“ Kumbe nilikuwa nazikosa raha za dunia kiasihiki? Nitakuwa nakuja mara kwa mara , sinahaja ya kuhangaika kutongoza tena ,”alijisemea moyoni kijana huyo wakatibodaboda ikikata mitaa kuelekea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alikokuwa anasoma .Alipofika jirani na eneo la chuo, alimlipadereva wa bodaboda kisha akapita njia zamkato na kuingia eneo la chuo. Harakaharakaakatembea mpaka kwenye hosteli aliyokuwaanaishi.

Alipitiliza bafuni ambako alioga kishaakarudi kitandani kwake na kujibwaga ,tabasamu pana likiwa limechanua kwenye usowake.“ Vipi Zinja mbona leo una furaha sana ?”mwanachuo mwenzake waliyekuwa wakiishichumba kimoja alimuuliza baada ya kumuonamuda wote akiwa na tabasamu pana , jamboambalo halikuwa kawaida yake.“ Kuna kitu kimenifurahisha sana leo , ” alisemaDickson au Zinja kama wanachuo wenzakewalivyokuwa wakimuita, akageukia upande wapili wa kitanda na kuendelea kutabasamu kwafuraha. Kwa jinsi alivyokuwa amechoka,usingizi ulimpitia akiwa hapohapo kitandani .Alikuja kuzinduka kesho yake alfajiri .Akaamka na kuanza kujiandaa kama kawaidakwa ajili ya kuingia darasani .

Siku hiyo piaalikuwa na furaha sana tofauti na siku zotetangu aanze kusoma chuoni hapo. Kilaaliyekuwa anamjua , alikuwa akimshangaakwani haikuwa kawaida yake kutabasamu ,watu wakawa wanajiuliza maswali yaliyokosamajibu. Ratiba ziliendelea kama kawaida, jioni baadaya masomo , Dickson alijiandaa tena kwakuvaa nguo nzuri , akaomba pafyumu kwamwenzake waliyekuwa wakikaa naye chumbakimoja na kujipulizia. Akavaa na kofia yake iliyouziba kabisa usowake na kumfanya kuwa na mwonekanotofauti kabisa, akatoka na kupita njia alizopitajana yake, akafanikiwa kutoka nje ya eneo lachuo na kuelekea moja kwa moja mpakabarabarani alikosimamisha bodaboda .“ Nipeleke ule mtaa ilipo Baa ya Meeda, ”alisema Dickson wakati akikaa kwenye siti yabodaboda, safari ikaanza .

Muda mfupibaadaye, tayari walikuwa wamewasili eneohilo, akashuka na kumlipa fedha zake kishaakanyoosha moja kwa moja kwenye ile baaaliyokaa jana yake.Akaenda kwenye kona ileile na kuagizakinywaji, akawa anakunywa taratibu hukuakipepesa macho huku na kule kuangaliamwanamke wa kumuita. Kwa kuwa hichokilikuwa kituo maarufu cha machangudoa, gizalilipoanza kuingia tu, wanawake wa kila ainawalianza kumwagika kwa wingi , wengi wakiwawamevaa nusu utupu.

Dickson aliachia tabasamu pana , mate yauchu yakawa yanamtoka kama fisi aliyeonamfupa. Kwa kuwa jana yake alitoka namwanamke mwembamba , safari hii aliamuakujaribu kitu tofauti. Alitaka mwanamke mnenena kwa kuwa walikuwepo wengi eneo hilo,alipotoa ishara tu, mwanamke mmoja mnene,alitembea harakaharaka kuelekea palealipokuwa amekaa.
 
SEHEM YA 8

Hisia kali za mapenzi zinasababisha kijanahuyo aanze kutoka usiku na kwenda kutafutamachangudoa. Mara ya kwanza anafanikiwakuopoa changudoa na kushiriki naye tendo landoa kwa mara ya kwanza . Anaonekanakunogewa na mchezo huo.

Je, nini kitafuatia? SONGA NAYO

Baada ya kufanikiwa kwa mara ya kwanzakukutana kimwili na mwanamke aliyekuwaakifanya biashara ya kuuza mwili wake.

Dickson au Zinja kama wengi walivyokuwawanapenda kumuita , alikuwa ni kama ameonjaasali na sasa alitaka kuchonga mzinga.Kesho yake alijiandaa tena na kuelekea eneolilelile , akakaa kwenye kona ileile na kutuliakusubiri muda usonge mbele ili aopoechangudoa mwingine na kwenda kuvunja nayeamri ya sita .Muda mfupi baadaye, wanawake wengiwaliokuwa wakifanya biashara hiyo haramu ,walianza kumiminika kwa wingi kwenye baaambayo kijana huyo alikuwa amekaa ndaniyake.

Dickson aliachia tabasamu pana , mateya uchu yakawa yanamtoka kama fisi aliyeonamfupa.Kwa kuwa jana yake alitoka na mwanamkemwembamba , safari hii aliamua kujaribu kitutofauti. Alitaka mwanamke mnene na kwakuwa walikuwepo wengi eneo hilo, alipotoaishara tu , mwanamke mmoja mnene,alitembea harakaharaka kuelekea palealipokuwa amekaa.“ Mambo bebi !” alisalimia mwanamke huyoambaye hata kabla hajatongozwa,alimkumbatia Dickson na kumbusu shavuni .Naye hakutaka kulaza damu , akamkumbatiakiunoni na kumbusu. Akazungumza nayemaneno machache ambapo walikubaliana bei .

Muda mfupi baadaye, wawili hao walitokawakiwa wamekumbatiana mithili ya wapenziambao wapo pamoja kwa kipindi kirefu nakuelekea moja kwa moja mpaka mtaa wa pili ,kwenye gesti ileile ambayo siku moja iliyopitaDickson aliingia na mwanamke mwingine.Kwa muda wote huo, Dickson alikuwa amevaakofia na kuishusha usoni kiasi cha kufanyaisiwe rahisi kwa msichana huyo kuiona surayake halisi. Walipoingia chumbani , Dicksonalimlipa msichana huyo fedha zake. Msichanahuyo alianza kuvua nguo zake mwenyewe,Dickson akazima kwanza taa kisha na yeyeakaanza kuvua zake.Muda mfupi baadaye, miguno ya kimahabailikuwa ikisikika ndani ya chumba hicho,Dickson akiendelea kujisifu ndani ya moyowake kwa kuanza kuzipata raha ambazo kwakipindi kirefu alikuwa akizikosa.

Baada ya kukidhi haja zake, Dickson aliwahikuamka na kuvaa nguo zake, akatokachumbani humo haraka ili msichana huyoasipate nafasi ya kuiona sura yake. Kwa kuwatayari alishakuwa amekidhi haja zake, hakutakakusubiri chochote, alitoka na safari ya kurudichuoni kwao ikaanza .Kama kawaida, alikodi pikipiki iliyompelekampaka jirani na chuo chao ambapo alimlipadereva fedha zake kisha akashuka nakujipenyeza kwa kupitia njia za vichochoronimpaka kwenye hosteli aliyokuwa anaishi.Moja kwa moja alipitiliza bafuni ambakoalijimwagia maji kisha akarudi kitandanikupumzika , tabasamu pana likiwa limeupambauso wake .

Alijiona mshindi kwa kufanikiwakukidhi haja za mwili wake kwa urahisi kulikoalivyokuwa akitegemea. Aliendelea kujiapizakuwa kamwe hatapata shida ya kutongozamwanamke yeyote chuoni hapo na kuishiakuambulia matusi na kejeli kama ilivyokuwasiku za nyuma.“ Nikihitaji mwanamke wa kujirusha naye tu,naelekea eneo la tukio kisha nachaguaninayempenda , hayo ndiyo yatakuwa maishayangu , ” aliwaza Dickson huku akijigeuzageuzakitandani , tabasamu pana likiwa limechanuakwenye uso wake .Siku hiyo hakwenda hata kujisomea masomoya usiku kama ilivyokuwa kawaida yake,alipitiwa na usingizi mzito mpaka kesho yakeasubuhi . Kulipopambazuka, aliwahi kuamka nakuelekea bafuni kwa ajili ya kujiandaa na sikumpya ya masomo .“ He ! Mbona nasikia maumivu makali kiasihiki ,” Dickson alijiuliza wakati akijisaidia hajandogo .

Awali alihisi ni maumivu ya kawaidalakini kadiri alivyokuwa anajikamua ili kutoahaja ndogo , ndivyo maumivu kwenye sehemuzake za siri yalivyozidi na kujikuta akipigakelele .Kwa kuwa wanachuo wengi walikuwa badohawajaamka, hakuna aliyemsikia . Akaendeleakujikamua na katika hali ambayo ilimshtuakuliko kawaida, alishangaa kuona akitokwa nausaha baada ya haja ndogo kuisha.“ Mungu wangu, nimeambukizwa gonjwa lazinaa, ” alisema Dickson huku mapigo ya moyowake yakimuenda mbio kuliko kawaida .

Hakuna kitu alichokuwa anakiogopa maishanimwake kama kupata magonjwa ya zinaa,akawa anatetemeka huku akiwa hajui ninihatima yake.Kwa kuwa alikuwa na uelewa wa kutosha wasomo la Biolojia, moja kwa moja aligunduakuwa kilichosababisha akapata gonjwa hilo nikitendo cha kufanya mapenzi na machangudoawawili bila kutumia kinga .Hakujua ni yupi kati ya wawili hao ndiyealiyemuambukiza gonjwa hilo kwani wotealikutana nao kimwili bila kutumia kinga .Majuto makubwa yakaanza kuizonga nafsiyake.

Alimalizia kuoga na kurudi chumbanikwake, hakuweza kuendelea kujiandaakutokana na maumivu makali aliyokuwaanayahisi .“ Watu wakijua kwamba naumwa ugonjwa wazinaa si itakuwa aibu sana ? Hapana, sitakubalimtu yeyote ajue , ” alisema Dickson hukuakijikongoja na kuamka kitandani, akavaanguo zake na kutoka bila kumwambia mtuyeyote mahali alikokuwa anaenda .Akasubiri wakati wenzake wameenda kwenyevipindi vya asubuhi ambapo yeye aliondoka nakuelekea nje kabisa ya chuo hicho.

Akapanda daladala iliyompeleka mpaka Mwenge kwenyeduka kubwa la dawa la Makete Pharmacyalikonunua dawa za kuzuia uambukizo wabakteria ( antibiotics ) kwa ajili ya kujitibugonjwa alilolikwaa .“ Kwani unaumwa nini kaka?”“ Siyo mimi , kuna rafiki yangu ana matatizo yamkojo mchafu. ”“ Cheti cha daktari kiko wapi?” alihojimhudumu wa duka hilo la madawa, ikabidiDickson apenyeze rupia kwani alishahisi kunauzia mbele yake. Akampa mhudumu huyoshilingi elfu tano nje ya malipo ya kawaida yadawa na kumwambia kuwa atakunywa soda ,anachotaka yeye ni dawa tu.Mhudumu huyo alifanya kama alivyoambiwa,akampa dawa aina ya Ampicillin nakumuelekeza namna ya kutumia.

Alimshukuru na kuondoka , mbele kidogo alinunua maji yakunywa na kumeza dawa alizoandikiwa .Alirudi chuoni kwao ambapo aliendelea kufichakilichokuwa kinamsumbua huku akiendeleakutumia dawa hizo kimyakimya.Hata hivyo , licha ya kutumia dawa hizo nakuzimaliza , bado hakuwa na dalili zozote zakupona, usaha ulizidi kumtoka kwa wingi nasafari hii ulianza kutoa harufu kali.

Je , nini kitafuatia?
 
SEHEM YA 9

Mipango ya kumnasa mhusika badoinaendelea lakini kazi haiwi nyepesi kamawatu walivyodhani . Upande wa pili , kijanaaliyekuwa na mwonekano tofauti na binadamuwa kawaida, Dickson Maduhu amejiunga naChuo Kikuu cha Dar es Salaam .Hisia kali za mapenzi zinasababisha kijanahuyo aanze kutoka usiku na kwenda kutafutamachangudoa . Anafanikiwa kuopoamachangudoa mara mbili lakini baada yahapo, anajikuta akianza kuumwaugonjwa wa ajabu na kuanza kutokwa usahasehemu za siri.

Je , nini kitafuatia? SONGA NAYO …

Baada ya kufanikiwa kwenda kununua dawamitaani, Dickson au Zinja kama wenzakewalivyozoea kumuita kutokana na mwonekanowa sura yake, alirudi chuoni kwao ambapoaliendelea kuficha kilichokuwa kinamsumbuahuku akiendelea kutumia dawa hizokimyakimya. Hata hivyo , licha ya kutumiadawa hizo na kuzimaliza , bado hakuwa nadalili zozote za kupona, usaha ulizidi kumtokakwa wingi na safari hii ulianza kutoa harufukali.“ Ebwana unasumbuliwa na nini mshikajiwangu? Mficha maradhi kifo humuumbua, ”Jaicko, rafiki yake waliyekuwa wanaishichumba kimoja , alimuuliza Dickson baada yakuona wiki nzima imekatika bila rafiki yakehuyo kwenda darasani huku muda woteakilalamikia maumivu makali.

Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya ,ilibidi Dickson awe mkweli na kumwelezarafiki yake huyo aliyeonesha nia ya kumsaidialakini akamuomba sana suala hilo liwe siri yaowawili tu .“ Usiwe na wasiwasi, nakuahidi kwambaitakuwa siri yetu mimi na wewe tu ,” alisema Jaicko na kumsogelea Dickson ambayealimueleza ukweli kwamba alifanya ngono namachangudoa wawili bila kutumia kinga nabaada ya hapo ndipo alipoanza kusikiamaumivu makali kwenye sehemu zake za sirihasa wakati wa kujisaidia haja ndogo .“ Utakuwa umeambukizwa ugonjwa wa zinaalakini utapona wala usiwe na wasiwasi, nendakaoge kisha ujiandae twende hospitalini ,”alisema rafiki yake huyo na kuamua kukatisharatiba yake ya kwenda darasani kwa ajili yakumsindikiza rafiki yake huyo hospitalini .Kwa kuwa bado Dickson alikuwa na fedha ,walikubaliana kwenda Hospitali ya MarieStopes, Sinza. Baada ya kijana huyo kumalizakujiandaa, aliongozana na Jaicko bila mtuyeyote kujua walikokuwa wanaelekea.

Kwa kuwa tayari ugonjwa huoulishamshambulia sana Dickson, alikuwaakishindwa hata kutembea vizuri, akawaanaitanua miguu yake na kuchechemea hukuakiinama kutokana na maumivu makalialiyokuwa anayahisi .Ilibidi wakodi teksi kwani kwa hali aliyokuwanayo Dickson, isingekuwa rahisi kutembeamwenyewe mpaka nje ya chuo hicho.Wakamuelekeza dereva sehemu yakuwapeleka ambapo baada ya takribani dakikaishirini, walikuwa tayari wamewasili kwenyehospitali hiyo .Wakaingia ndani na kufuata taratibu zakawaida na hatimaye zamu yao ya kuingiakumuona daktari ikafika .

Walipoingia kwenyechumba cha daktari, walikutana na mwanaumewa makamo, aliyekuwa amevalia koti lakidaktari na miwani aliyoishusha chini kidogoya macho yake, akawapokea kwa uchangamfu.“ Nani anayeumwa kati yenu ?”“ Ni mimi dokta, ” Dickson alijibu harakaharakahuku akionesha kuugulia maumivu makali, daktari huyo akamuomba Jaicko atoke nje nakuwapisha ili Dickson apate uhuru wakuzungumza kilichokuwa kinamsumbua, kamamaadili ya kidaktari yalivyokuwa yanaelekeza .Baada ya Jaicko kutoka, Dickson alikaa vizurikwenye kiti chake ambapo daktari alianzakumhoji na kumtaka awe huru kuelezakilichokuwa kinamsumbua . Japokuwa alikuwaakijihisi aibu kubwa ndani ya moyo wakekutokana na aina ya ugonjwa aliokuwaakiumwa, Dickson hakuwa na ujanja zaidi yakueleza ukweli.

Hata alipotakiwa kuvua suruali yake nakumuonesha daktari jinsi ugonjwa huoulivyokuwa umemuathiri, Dickson hakuwa nacha kufanya. Baada ya kumchunguza kwakina, daktari huyo alimuandikia vipimo ambapoalitoka na kuelekea maabara.Baada ya kuchukuliwa vipimo vyotealivyoandikiwa , Dickson alitoka na kwendakukaa na rafiki yake Jaicko kwenye sehemumaalum ya kusubiria majibu. Baada yatakribani dakika ishirini, majibu yalikuwa tayariyameshatoka.

Akarudi tena kwa daktari ambaye baada yakuyasoma vizuri majibu hayo , alivua miwaniyake na kuifuta vumbi kwa kitambaa lainikisha akaivaa tena na kuishusha chini yamacho, akawa anamtazama Dickson akiwa nikama haamini alichokibaini kwenye majibu yavipimo vyake .“ Kijana , una mpenzi?”“ Hapana dokta, wasichana woteninaowatongoza wananikataa . ”“ Mara ya mwisho ulifanya ngono lini ?”“ Wiki moja iliyopita dokta. ”“ Ulitumia kinga ?”“ Hapana. ”“ Sasa majibu yanaonesha kwambaumeambukizwa ugonjwa wa kaswende lakinikwa mujibu wa sheria za kidaktari , sitawezakukutibu peke yako mpaka ukamletemwanamke uliyekutana naye kimwili ili mjekutibiwa wote ,” alisema daktari huyo hukuakiendelea kumtazama Dickson usoni.Kijana huyo alijiinamia chini kwani huoulikuwa ni mtihani mwingine kwake.

Hakuwahikukutana kimwili na mwanamke yeyote mpakasiku chache zilizopita ambapo alifanyamapenzi na machangudoa wawili tofauti ndaniya siku mbili, tena bila kinga .Hakujua ni yupi kati ya machangudoa haondiye aliyemuambikiza ugonjwa huo, hatakama angemjua bado isingekuwa rahisikumpata na kukubali kuongozana nayekwenda hospitalini , akajikuta akikosa majibu.Alishusha pumzi ndefu na kuinua sura yake,akamtazama daktari kwa macho yake yakutisha .“ Mbona hujibu chochote?” daktari huyoalimuuliza, akashusha pumzi ndefu kwa maranyingine kisha ikabidi ajikaze kisabuni nakuamua kumwambia ukweli kwamba gonjwahilo alikuwa ameambukizwa na machangudoa.“ Aisee una hatari sana kijana .

Lazimaujihurumie nafsi yako vinginevyo ndoto zakozote zitaishia kaburini. Unawezaje kufanyangono na changudoa, tena bila kinga ?”alisema daktari huyo na kuanza kumpa nasahaDickson juu ya kuepukana na magonjwa yazinaa na Ukimwi.“ Usikubali kufanya ngono na mtu yeyote bilakutumia kinga , siku hizi maradhi yamekuwamengi mno na ukifanya mchezo , utakufa hukuunajiona , ” alisema daktari huyo na kuendeleakumpa nasaha .Baadaye alimuandikia sindano na kumpa dawanyingine za kumeza na kumtaka kuzingatiaalichomwambia.

Dickson alimshukuru sana nakutoka mpaka nje alikomuacha rafiki yakeakimsubiri.Walienda kulipia huduma na dawa kishawakaondoka kurudi chuoni kwao huku Dicksonakijiapiza kuwa makini siku nyingine ili asijeakaambukizwa tena magonjwa ya zinaa auUkimwi.Baada ya wiki moja tu tangu aanze kutumiadawa , tayari alikuwa na maendeleo mazurilakini kama kawaida yake, alianza kujisikiahamu ya kukutana tena kimwili namwanamke.Je, nini kitafuatia?
 
SEHEM YA 10

Hisia kali za mapenzi zinasababisha kijanahuyo aanze kutoka usiku na kwenda kutafutamachangudoa. Anafanikiwa kuopoamachangudoa mara mbili lakini baada yahapo, anajikuta akianza kuumwa ugonjwa waajabu na kuanza kutokwa usaha sehemu zasiri. Inabainika kwamba ameambukizwaugonjwa wa zinaa ambapo anatibiwa lakinihakomi.

Je , nini kitafuatia? SONGA NAYO

Kama wahenga walivyosema kwamba mwonjaasali haonji mara moja, licha ya kuambukizwagonjwa la zinaa na machangudoa , badoDickson au Zinja hakutaka kukoma . Hata kablahajamaliza dozi aliyopewa hospitalini , alianzatena kujisikia hamu ya kukutana kimwili namwanamke.Kwa kuwa bado fedha za mkopo wa chuo au‘ boom ’ kama wengi wanavyopenda kuitazilikuwa hazijaisha , Dickson aliamua kutoka nakwenda eneo lake la kuwindia machangudoalakini safari hii akijiapiza kuwa makini ili yasijekumtokea kama yaliyomtokea mara yakwanza.

Alisubiri wenzake wote wameenda kujisomeana kumuacha peke yake chumbani , akaendakuoga na kujiandaa ambapo harakaharakaalitoka na kupita njia za vichochoroni mpaka alipotokea kwenye barabara ya lami, njekabisa ya chuo. Akasubiri kwa dakika chache na kusimamishabodaboda, akamuelekeza dereva kumpelekajirani na Baa ya Meeda, mahali alikokuwaakijipatia machangudoa kwa urahisi.

Alipofika, kama kawaida yake aliingia mpakandani ya baa moja iliyokuwa ikipiga muzikikwa sauti kubwa na kwenda mpaka kwenyekona moja alikoenda kujibanza huku akiwaameishusha kofia yake kiasi cha kuuziba usowake.Akaagiza kinywaji na kuanza kuangaza machohuku na kule, huku akiendelea kuburudishwana sauti kubwa ya muziki uliokuwa ukipigwandani ya baa hiyo .

Kadiri muda ulivyokuwa unasonga mbele ndivyo jinsi baa hiyoilivyokuwa inazidi kuchangamka .Wanawake nao walizidi kuongezeka kwa wingi,huku wengine wakicheza muziki uliokuwaukipigwa bila aibu yoyote . Kama kawaida,karibu wote walikuwa wamevalia nguozilizoyaacha wazi maungo yao nyeti na kuzidikumuweka Dickson katika wakati mgumu.Kigiza kikiwa kimeshaanza kuingia , Dicksonaliamua kumuita changudoa mmoja aliyekuwaakicheza muziki kwa mbwembwe nyingi hukuakijitingisha sana sehemu za nyuma ya mwiliwake.

Harakaharaka msichana huyo ambayekiumri alionekana kuwa mtu mzima, alimfuataDickson na kumkumbatia .“ Nambie mpenzi wangu, ” alisema hukuakimbusu na kuendelea kumkumbatia Dickson ,wakazungumza biashara na baada yakukubaliana, walitoka wakiwa wamekumbatianautafikiri walikuwa wapenzi kwa kipindi kirefu. Badala ya kuelekea moja kwa moja gesti kamaalivyokuwa akifanya, Dickson alimtakamwanamke huyo wapitie kwanza kwenye dukalililokuwa jirani ambapo alinunua kondom nasafari ikaendelea.

Wakaenda kwenye gesti ileileambayo Dickson alishaitumia mara mbili zaawali. Wakalipa mapokezi na kuingia mpakandani ambapo hakukuwa na cha kusubiri. Dickson alizima taa kisha akaanza kuvua nguozake huku yule changudoa naye akifanyahivyohivyo.Muda mfupi baadaye, hakukuwa nakilichokuwa kinasikika ndani ya chumba hichocha gesti zaidi ya kelele za kitanda na migunoya kimahaba.

Dakika kadhaa baadaye, taailiwashwa Dickson akiwa ameshavaa nguozake, akatoka huku mkononi akiwa ameshika‘ zana zilizotumika ’ alizoenda kuzitupa nje .Dickson hakutaka kuendelea kukaa eneo hilobaada ya kukidhi haja zake, alienda kukodibodaboda iliyomrudisha chuoni kwao ambapokwa kuwa hakuna aliyejua kwamba kuna mudaalitoka, aliingia kimyakimya na kwenda kuogakisha akarudi kitandani na kujipumzisha .“ Ebwana vipi unaendeleaje ? Dawazinakusaidia?” Jaicko, mwanachuo mwenzakena rafiki yake kipenzi ambaye ndiye pekeealiyekuwa anajua kinachomsumbua Dickson,alimuuliza baada ya kumkuta akiwa amejilazakitandani kwake, akionesha kuchoka sana .“ Zinanisaidia sana, naelekea kupona ilanamalizia dozi tu ,” Dickson alimjibu hukuakijaribu kuvaa sura ya ugonjwa, haliiliyomfanya rafiki yake huyo asigunduekwamba muda mfupi tu uliopita, alikuwaametoka kufanya ngono na changudoamwingine.

Siku hiyo ilipita , maisha yakaendelea kamakawaida ambapo Dickson aliendelea na doziyake mpaka alipomaliza, akawa ameshaponakabisa lakini bado mchezo wake wa kwendakununua machangudoa haukukoma .Kilichobadilika ni kwamba baada ya kupatagonjwa la zinaa, hakuthubutu tena kufanyangono bila kinga , siku zikawa zinasongambele huku tabia hiyo ya Dickson ikizidi kuotamizizi. “ Hivi Zinja starehe yako kubwa huwa ninini? Hunywi pombe , huvuti sigara , hupendimichezo , huendi disko wala sijawahi kukuonana demu . ”“ Mi starehe yangu ni kusoma tu, nataka kujakuwa mwanasheria mkubwa nchini, ” alisemaDickson jioni moja wakati mwanachuomwenzake mmoja alipomuuliza kwa masihara.“ Watu kama hawa ambao hata pombehawanywi wanakuwaga na mambo yao yachini kwa chini , hakuna mtu ambaye hanastarehe anayoipenda, huyu Zinja anatuzuga tuhapa , ” alisema mwanachuo huyo nakusababisha wenzake wote wacheke kwanguvu.Hatimaye mwaka wa kwanza wa masomouliisha, Zinja na wanachuo wengine wakarudimakwao ambapo baada ya mapumziko, walirejea tena chuoni kuuanza mwaka wa pili .

Kadiri Dickson alivyokuwa akizidi kuwamkubwa, ndivyo hamu ya kukutana kimwili nawanawake ilivyokuwa inazidi kuongezeka.Ikafika kipindi akawa hawezi kuvusha zaidi yasiku tatu bila kwenda kununua changudoa nakufanya naye ngono . Hata fedha za mkopoalizokuwa anazipata kutoka bodi ya mikopo yaelimu ya juu, zilionekana kutotosha kwanihakuwa akifanyia kitu kingine chochote zaidiya kununua machangudoa. Hata vitabu na vifaa vingine kwa ajili yamasomo yake, alikuwa akilazimika kuazimakwa wenzake kwani yeye hakuwa na uwezo wakununua kutokana na kuendekeza ngono .Kilichomsaidia ni kwamba Mungu alikuwaamemjalia uwezo mkubwa wa kiakili hivyohakuwa na haja ya kusoma sana ili aelewe.Mwaka wa pili nao uliyoyoma mpaka ulipofikamwisho, tabia ya Dickson ya kwenda kununuamachangudoa na kufanya nao ngono ikawaimeshakuwa sugu.

Ilikuwa ni bora akosechakula anaweza kuvumilia lakini asikosechangudoa wa kufanya naye ngono . Alipokosafedha , alikuwa akitamani hata kuiba au kuuzavitu vyake. Hata hivyo , kutokana na umakini aliokuwaakiutumia , haikuwa rahisi kwa wanachuowenzake kumgundua kuwa alikuwa na tabiahiyo chafu. Alipoona baadhi ya watuwameanza kumzoea au kumhojihoji maswalikutokana na kumuona mara kwa mara Meeda, aliamua kubadilisha kiwanja na kuelekea Sinza Afrika Sana.

Je, nini kitafuatia?
 
SEHEM YA 11

Hisia kali za mapenzi zinasababisha kijanahuyo aanze kutoka usiku na kwenda kutafutamachangudoa . Anafanikiwa kuopoamachangudoa mara mbili lakini baada yahapo, anajikuta akianza kuumwa ugonjwa waajabu na kuanza kutokwa usaha sehemu zasiri.Inabainika kwamba ameambukizwa ugonjwawa zinaa ambapo anatibiwa lakini hakomi .Tabia hiyo inashamiri na kuwa sugu.

Je , nini kitafuatia? SONGA NAYO

Mwaka wa pili nao uliyoyoma kwa kasi, tabiaya Dickson ya kwenda kununua machangudoana kufanya nao ngono ikawa imeshakuwasugu. Ilikuwa ni bora akose chakula anawezakuvumilia lakini asikose changudoa wakufanya naye ngono . Alipokosa fedha , alikuwaakitamani hata kuiba au kuuza vitu vyake. Hata hivyo, kutokana na umakini aliokuwaakiutumia , haikuwa rahisi kwa wanachuowenzake kumgundua kuwa alikuwa na tabiahiyo chafu.

Alipoona baadhi ya watuwameanza kumzoea au kumhojihoji maswalikutokana na kumuona mara kwa mara mitaaya Baa ya Meeda, aliamua kubadilisha kiwanjana kuelekea Sinza Afrika Sana.Aliamua kuhamishia makazi yake Sinza- AfrikaSana ambako aliendelea kununuamachangudoa kwa kipindi kirefu. Hata hivyo ,baada ya kuanza kuwaona wanachuo wa kikenao wakiwa wanajiuza eneo hilo, hasa kipindiambacho mikopo waliyokuwa wanapewa nabodi ya mikopo ya elimu ya juu kuisha , alionainaweza kuwa rahisi kwa siri yake kuvuja .

Akaamua kuhamishia makazi yake Manzese na Mabibo ambako aliendelea na tabia yake hiyokwa kipindi kirefu mpaka mwaka wa pili naoulipoisha. Mwaka wa tatu wa masomoulipoanza, baada ya likizo ndefu, wanachuowengi walirejea chuoni , akiwemo Zinja ambayehuo ulikuwa ndiyo mwaka wake wa mwishochuoni hapo alipokuwa akisomea Shahada ya Kwanza ya Sheria au kwa kifupi LLB (Legum Baccalaureus) .Bado aliendelea na tabia yake ileile, sikualipokosa fedha za kwenda kununuamachangudoa, alikuwa akifanya kilaliwezekanalo na pale aliposhindwa kabisa,alikuwa akirudia mchezo wake wa kujichuabafuni mpaka anapokidhi haja zake.

Hisia za mapenzi zilimfanya awe kamamtumwa, hakuwa na tofauti na mraibu wamadawa ya kulevya ambaye bila kupata ketekadhaa, hawezi kujisikia vizuri zaidi yakuteseka na arosto . Licha ya ubize wawanachuo wa mwaka wa tatu, hasa waliokuwawanasomea sheria , bado Dickson au Zinjakama wengi walivyokuwa wakimuita, hakuachatabia yake. Alishaathirika kiakili na kitu pekeekilichokuwa kinamtuliza , kilikuwa ni ngono .“ Jamani we kaka unatisha !” msichana mmojamdogo aliyekuwa amejiunga na chuo hichokwa mwaka wa kwanza, akisomea shahada yakwanza ya elimu ya watu wazima , Neemaalimwambia Dickson, jioni moja baada yakukutana naye wakati wakielekea kantini kupata chakula cha jioni .

Dickson hakumjibu kitu zaidi ya kuendelea nasafari yake ya kuelekea kantini, hata hivyomsichana huyo aliendelea kumfuata nyumanyuma huku akimsemesha, jamboambalo halikuwa kawaida ya Dickson chuonihapo. Hakuna msichana ambaye alikuwaanaweza kuzungumza naye zaidi ya maramoja.Mwenyewe alishajua kuwa hayo yoteyanasababishwa na mwonekano wa sura yakendiyo maana hakuwa akijishughulisha kabisana wasichana wa chuoni hapo, zaidi yamachangudoa ambao nao alipokuwa akiendakuwawinda, ilikuwa ni lazima avae kofia yakuziba sura yake na wakati wa kuvua nguo,ilikuwa ni lazima azime kwanza taa. Msichana huyo aliendelea kumsemesha hukuakimfuata nyumanyuma, ikabidi asimame nakumgeukia, macho yao yakakutana.

Licha yasura iliyokuwa ikifanana na binadamu wa kale,akiwa na nywele nyingi zilizokaribia kukutanana nyusi na macho mekundu , bado msichanahuyo hakukwepesha macho yake,wakatazamana kwa sekunde kadhaa.“ Kaka kwani wewe unaitwa nani ?” alisema Neema huku akiendelea kumtazama Dickson usoni. Katika maisha yake, hakuwahi kutazamana na msichana kama ilivyotokeakwa binti huyo mdogo, akahisi kitu tofautindani ya moyo wake. Hata pale alipotegemeakwamba msichana huyo ataonesha hofu, walahakufanya hivyo zaidi ya kuachia tabasamukwa mbali.“ Naitwa Dickson . ”“ Naomba uwe rafiki yangu na kaka yangu ,”alisema msichana huyo na kuzidikumshangaza Dickson.

Hakuwahi kuambiwakauli kama hiyo na mwanamke yeyote tangualipopata akili zake timamu , akajikuta nayeakitabasamu.“ We huniogopi?” aliuliza huku akianza kupigahatua za taratibu kuelekea kantini , msichanahuyo akawa anamfuata huku akimjibu kwambahawezi kumuogopa kwani na yeye nibinadamu kama walivyo binadamu wengine. Walienda pamoja mpaka kantini ambapoDickson alienda kuagiza chakula kisha akarudina kutafuta meza ya peke yake na kukaa kamakawaida yake. Muda mfupi baadaye, msichanahuyo mdogo naye alikuja akiwa na sahaniyake na kukaa pembeni yake, wakatazamanatena kisha wakaendelea kula taratibu huku kilammoja akiwa kimya . “ Hujanijibu ombi langu,”alisema Neema na kuuvunja ukimya .“ Ombi gani ?”“ La kutaka uwe rafiki yangu , ” alisemamsichana huyo huku akiwa anamtazamaDickson usoni.“

Tumeshakuwa marafiki ndiyo maana tumekaameza moja tunakula pamoja, ” alijibu Dickson,msichana huyo akacheka kwa furaha kishawakaendelea kula . Stori za kawaida za hapana pale ziliendelea ambapo msichana huyoalijitambulisha kwamba ni mzaliwa wa Mkoawa Kilimanjaro .“Nimefurahi sana kukufahamu . ”“ Mimi pia nimefurahi kukufahamu , ” alijibu Dickson wakati wakiinuka baada ya kumalizakula chakula cha jioni , wakawa wanatembeataratibu kurudi hosteli huku mazungumzo yahapa na pale yakiendelea .“ Kwani wewe unakaa hosteli gani ?” Neemaalimuuliza Dickson, akamuelekeza ambapomsichana huyo aliahidi kwenda kumtembelea .

Wakaagana na kila mmoja kushika njia yake.Hatua kadhaa mbele, Dickson aligeuka nakumtazama msichana huyo.Alilitathmini umbo lake la kuvutia na kujikutaakitabasamu mwenyewe, muda mfupi baadaye,Neema naye aligeuka na kumkuta Dicksonakiwa ameganda kama sanamu , akimkodoleamacho, akampungia mkono kisha kila mmojaakaendelea na safari yake.“ Mbona mzuri sana halafu haoneshi kuniogopakama wasichana wengine?” Dickson alijiulizawakati taswira ya msichana huyo ikipitakwenye kichwa chake.

Licha ya umri wake mdogo, msichana huyo alikuwa na umbile lililojengeka vizuri sana .Alikuwa na kiuno chembamba kilichogawanyika vizuri, eneo la chini kidogolikiwa limetanuka na kujaa kwa nyuma. Rangiya weusi wa asili aliyokuwa nayo, uso mzurina meno meupe yaliyojipanga vizuri, zilikuwani baadhi ya sifa za msichana huyozilizomfanya Dickson azidikuchanganyikiwa. Siku hiyo ilikuwa ya kipekeesana kwa Dickson, muda wote akawa amejawana tabasamu huku akiendelea kumfikiriamsichana huyo.

Je, nini kitafuatia?
 
SEHEM 12

Ananogewa na mchezo huo kiasi cha kuwamtumwa wa ngono. Fedha zake zote zinaishiakwa machangudoa na anaendelea na tabiahiyo mpaka anapoingia mwaka wa tatu chuonihapo. Msichana mdogo aliyekuwa akisoma mwakawa kwanza chuoni hapo, anaanza kujengamazoea na Dickson, jambo ambalo halijawahikumtokea kwani wasichana wengi walikuwawakimuogopa kutokana na jinsi sura yakeilivyokuwa ya ajabu.

Je , nini kitafuatia? SONGA NAYO

Baada ya kuachana na msichana huyo,Dickson aliendelea kumfikiria huku mudamwingi tabasamu likichanua kwenye usowake, hasa alipokuwa akivuta taswira ya jinsimsichana huyo mdogo alivyokuwa na mvutowa kipekee .Kiuno chake chembamba kilichogawanyika nakumfanya kuwa na umbo linalokaribiakufanana na namba nane, macho yake meupe, ambayo muda wote alikuwa akiyarembuautafikiri anasikia usingizi, miguu yake iliyojaavizuri na kufanana na chupa ya shampenizilikuwa ni baadhi ya sifa zilizomfanya Dickson ajikute akipagawa mno kila alipomfikiriamsichana huyo.

Ukiachana na sifa hizo , pia msichana huyoalikuwa na kifua kibichi, kilichojaa vizuri nakuchomoza mithili ya michongoma na menomeupe ambayo alipokuwa akicheka yalikuwayakizidi kumuongezea mvuto , sifa ambazokwa pamoja zilimfanya Dickson aendeleekuchekacheka mwenyewe kamamwendawazimu. Japokuwa katika kuhangaika kwake namachangudoa, alishafanya mapenzi nawanawake wa kila aina, hakuwahi hata maramoja kukutana na msichana mrembo kama Neema, akawa anajiapiza kuwa endapomsichana huyo atamuonesha mapenzi yadhati, yupo tayari kufanya chochote ilimradiawe mkewe wa ndoa.

Usiku huo ulikuwa mrefu sana kwake, taswiraya msichana huyo iliendelea kukisumbuakichwa chake mpaka alipopitiwa na usingizi.Alipokuja kuzinduka , tayari kulikuwakumeshapambazuka, akaamka na kuelekeabafuni kisha alirudi chumbani na kujiandaakwa ajili ya kuelekea darasani kwani siku hiyoalikuwa na kipindi cha asubuhi. Wakati akielekea darasani, alishtuka baada yakusikia sauti laini ya kike ikimuita, akageukana kuangalia ni nani aliyekuwa anamuita kwanihaikuwa kawaida yake kuitwaitwa nawasichana.“ Whaooo!” alijikuta akijisemea baada yakugeuka na kugundua kuwa ni yule msichanawaliyekuwa naye jana yake, Neema ndiyealiyekuwa akimuita.

Kwa jinsi alivyokuwaamependeza, ungeweza kudhani siyo yulewaliyekutana naye jana yake chuoni hapo.Japokuwa kiumri alikuwa mdogo , alivaa nakupendeza mithili ya mwanamkeanayejiheshimu, anayefanya kazi kwenye ofisiau taasisi kubwa nchini. Sketi iliyoishia chinikidogo ya mapaja aliyokuwa ameivaa, iliifanyamiguu yake iliyonawiri vizuri ionekane sawia ,ukichanganya na viatu vyenye visigino virefualivyokuwa amevaa, hakuna ambayehakugeuka kumtazama kila alipopita .Juu alivaa blauzi laini iliyokifanya kifua chakekionekane vizuri, kichwani akiwaametengeneza nywele na kuzibana katikamtindo wa kisasa kabisa na kumfanyaapendeze mno .“ Habari za asubuhi Dickson, ” alisemamsichana huyo huku akinyoosha mkono wakena kumpa Dickson, tabasamu pana likiwalimechanua kwenye uso wake.

Alikuwaananukia manukato mazuri yaliyomfanyaDickson ajihisi kama yupo kwenye dunia yatofauti.Alishindwa kujibu kwa wakati , akabakiamemtumbulia macho msichana huyo hukutabasamu hafifu likianza kuchanua kwenye usowake. Alimshika mkono kwa sekunde kadhaaakiwa bado amezubaa vilevile mpakamsichana huyo alipovunja ukimya kwakumsalimia tena .“ Ooh! Samahani, akili zilikuwa mbali kidogo,umependeza sana , utafikiri malaika, ” alisemaDickson na kusababisha msichana huyoaangue kicheko kwa nguvu , meno yake meupeyaliyopangika vizuri yakaonekana na kumfanyaDickson azidi kuwa kwenye wakati mgumukihisia.“ Nilitaka nikusalimie tu, basi tutaonanabaadaye,” alisema msichana huyo na kubebavizuri vitabu vyake, akageuka na kuanzakutembea harakaharaka kuelekea darasanisambamba na wanachuo wenzake wa mwakawa kwanza.

Dickson alibaki ameduwaa kwa sekundekadhaa, akitazama sehemu za nyuma zamsichana huyo ambazo zilikuwa zikitingishika kwa utaratibu maalum kufuata hatua alizokuwaanazipiga. Akamsindikiza kwa macho mpakaalipopotelea kwenye kundi la wanachuowenzake, akatingisha kichwa hukuakitabasamu na kuendelea na safari yake.Hata utulivu darasani siku hiyo ulipunguasana, wakati wenzake wakiwa makini kufuatiliawalichokuwa wanafundishwa na mhadhirialiyekuwa mbele kabisa ya ukumbi huomkubwa, Dickson alikuwa akimuwaza Neema kiasi cha kumfanya asielewe chochote kilichokuwa kinaendelea.“ Ananipenda kweli au ananitania? Halafu kitugani kimemvutia kwangu? Mbona sina sifayoyote ya kupendwa na msichana mrembokama yeye? Isitoshe anaonekana kutokeakwenye familia inayojiweza sana kiuchumi,kanipendea nini?” Dickson aliendelea kuwazakwa muda mrefu .Mpaka kipindi kinaisha, hakuwa ameambuliachochote kilichofundishwa siku hiyo.

Mhadhiriwao alipotoka tu, Dickson alikuwa wa kwanzakutoka, akawa anatembea harakaharakakuelekea kwenye majengo yaliyokuwayakitumiwa na wanafunzi wa mwaka wakwanza kusomea .Hata hivyo , alikuwa amechelewa kwaniwanachuo wote wa mwaka wa kwanzawalikuwa wameshamaliza vipindi vya asubuhina kutawanyika kusubiri awamu ya pili yakuingia tena darasani .Dickson hakukata tamaa , akawa anazungukahuku na kule kujaribu kumtafuta Neema bilamafanikio. Kila alikokuwa anapita , wanachuowa mwaka wa kwanza ambao wengi walikuwahawamjui, walikuwa wakimshangaa , hukuwengine wakimkimbia , hasa wasichana .Hali hiyo iliitibua kabisa furaha aliyokuwa nayondani ya moyo wake . Alipoona wanachuo haowanazidi kumshangaa , aliamua kuacha kazi yakumtafuta Neema , akarudi kwenye hostelialiyokuwa anaishi huku akionesha kuwa nahuzuni kutokana na jinsi wale wanachuowengine walivyokuwa wanamshangaa .

Hakutaka kuzungumza na mtu , akaendakujilaza kitandani kwake huku akiendeleakutafakari hili na lile kuhusu maisha yake.Akiwa amelala juu ya kitanda chake, alisikiaakiitwa na mwenzake waliyekuwa wakikaanaye chumba kimoja .“ Kuna mgeni wako anakutafuta huku, ” alisemamwenzake aliyekuwa akifua nguo nje yahosteli hiyo .“ Mgeni gani bwana, tangu lini miminikatembelewa na wageni ?” alisema Dicksonhuku akijigeuza pale kitandani .“ Ni mimi Dickson !” sauti laini ya kike ilisikikakutoka nje , harakaharaka akakurupuka palealipokuwa amelala, akiwa ni kama haaminialichokisikia. Akatoka lakini kabla hajafika nje ,alikutana na Neema koridoni akiingia hukutabasamu pana likiwa limechanua kwenye usowake.

Je, nini kitafuatia?
 
SEHEM YA 13

Ananogewa na mchezo huo kiasi cha kuwamtumwa wa ngono . Fedha zake zote zinaishiakwa machangudoa na anaendelea na tabiahiyo mpaka anapoingia mwaka wa tatu chuonihapo.Msichana mdogo aliyekuwa akisoma mwakawa kwanza chuoni hapo, anatokea kumpendaDickson, jambo ambalo halijawahi kumtokea .Ukaribu kati yao unazidi kuongezeka.

Je, nini kitafuatia? SONGA NAYO …

Baada ya kugonga ukuta kwa jitihada zanguvu za Dickson kujaribu kumtafuta Neemamuda mfupi baada ya kumaliza kipindikutokana na jinsi wanachuo wa mwaka wakwanza walivyokuwa wakimshangaa , aliamuakwenda kwenye hosteli aliyokuwa akiishi nakujibwaga kitandani huku mawazo mengiyakiendelea kuzunguka ndani ya kichwachake. Akiwa kwenye hali hiyo , mwanachuomwenzake waliyekuwa wakiishi pamojakwenye hosteli hiyo , alimuita na kumwambiakuwa kulikuwa na mgeni wake nje lakinimwenyewe akapuuza. Muda mfupi baadayeakamsikia msichana huyo akiingia, moyo wakeukashtuka na mapigo kuanza kumuenda kasi.

Hakuweza kuamini kwamba msichana huyoanaweza kuwa na kichwa chepesi kiasi chaakukariri chumba anachoishi kwa kumtajiamara moja tu .“ Karibu,” alisema Dickson huku akitabasamu,uso wake ukiwa umejawa na haya kwanihakutegemea ugeni kwa muda huo. “ Ahsante, ”alisema msichana huyo na kupeana mkono naDickson, wakaingia mpaka ndani huku badoDickson akiendelea kujishtukia. Wakaanzakupiga stori za hapa na pale , msichana huyoakionesha kuwa na furaha kubwa ndani yamoyo wake kufahamu chumba anachoishiDickson.Mazungumzo ya kawaida yaliendelea kwamuda mrefu huku wakicheka na kufurahipamoja.

Kadiri walivyokuwa wakizidi kupigastori za hapa na pale, ndivyo hofu ilivyokuwainapungua ndani ya moyo wa Dickson kwanikiuhalisia hakuwa na mazoea ya kuzungumzaana kwa ana na msichana , tena mrembo kamaNeema.Kwa upande wa Neema, naye moyo wakeulitokea kumpenda tu Dickson kwani licha yaubaya wa sura yake, macho yake mekunduyanayotisha na vinyweleo vingi vilivyotapaasehemu kubwa ya mwili wa kijana huyo,alijikuta akivutiwa naye na kutamani kuendeleakukaa karibu yake.Hata muda wa kuingia kwenye vipindi vyamasomo ya mchana ulipofika, Si Dickson walaNeema aliyekuwa na habari, walipokujakushtuka baadaye, hosteli zote zilikuwa kimyakabisa kuashiria kwamba wenzao walikuwawameshaingia madarasani .

Dickson akainuka pale kwenye kitandaalipokuwa amekaa na msichana huyo mrembona kwenda mpaka kwenye mlango wa chumbahicho, akachungulia huku na kule, alipoonahakuna mtu, aliufunga kwa ndani na kurudipale alipokuwa amemuacha msichana huyo.Akakaa pembeni yake, safari hii akiwaamemsogelea zaidi kiasi cha kila mmojakuanza kuyasikia mapigo ya moyo yamwenzake.

Ni kama msichana huyo nayealikuwa anaisubiri nafasi hiyo kwani alijilegezamwili wake kama mtoto mchanga anayetakakulala, akaegamia kifua cha Dickson hukunaye pumzi zake zikimuenda mbio .“ Nee… ma, ” aliita Dickson kwa sauti nzito yakukwaruzakwaruza , msichana huyo akaitikiakama hataki , kwa sauti iliyokuwa imejaa hubandani yake. “ Na … ku . . penda sa … , ” alisemaDickson lakini kabla hajamalizia kauli yake,msichana huyo alimvutia kwake nakumkumbatia kwa nguvu kisha wakagusanishandimi zao.

Hiyo ndiyo ilikuwa mara ya kwanzakwa Dickson kufanyiwa kitendo hicho, akawahata hajui na yeye afanye nini.Licha ya kuwa na orodha ndefu yamachangudoa ambao alikuwa amevunja naoamri ya sita ndani ya kipindi kifupi tu tanguajiunge na chuo hicho, Dickson hakuwahikukutana na mwanamke aliyekuwa akimfanyiauchokozi wa kimahaba kama ilivyokuwa kwamsichana huyo mdogo .Alishazoea kwamba akiopoa changudoa,wanaingia gesti na kuzima taa kisha kaziinafanyika chapchapu na kila mmojakuendelea na hamsini zake kama wafanyavyomachangudoa wengi na wateja wao.Hali ilikuwa tofauti mno siku hiyo , Dicksonakajikuta akianza kutokwa na kijashochembamba wakati msichana huyo akiendeleakumfanyia visa vya hapa na pale, akawaanamwagia mvua ya mabusu shingoni hukuakiwa amemkumbatia kwa nguvu, mikono yakeikivinjari sehemu mbalimbali za mwili wake.

Hisia za mapenzi zilizidi kuwa kali zaidi kwaDickson, akawa anaendelea kugugumia hukuakitoa sauti za miguno ambazo kamawanachuo wengine wa vyumba jiraniwangekuwepo, wangeweza kuzisikia kilakipingamizi chochote. Baada ya kuona uzalendo unamshinda, ilibidiDickson amuombe msichana huyo wavunjeamri ya sita lakini tofauti na alivyotegemea ,Neema alikataa na kueleza kuwa hawezikufanya hivyo mpaka atakapokuja kufungandoa halali .“ Si unajua kwamba ni dhambi ? Isitoshe mibado mdogo nikipata mimba huoni itakuwahatari kwangu, ” alijitetea Neema huku akijitoakwenye mwili wa Dickson ambayealishachanganyikiwa kabisa. Akili yake ilikuwainahitaji jambo moja tu ; ngono .Dickson aliendelea kubembeleza lakinimsichana huyo naye aliendelea kushikiliamsimamo wake mpaka muda wa wanachuowengine kutoka darasani ulipowadia.

Dickson hakuwa na ujanja , akakubali yaishe lakiniakiwa amebaki na maumivu makubwa ndaniya moyo wake .Kwa kuwa hakutaka wanachuo wenginewamkute chumbani akiwa na Dickson, Neem aliaga harakaharaka na kuvaa nguo zake vizuri, akatoka na kumuacha Dickson akiwa amelala palepale kitandani, akiwa hajiwezi kutokana na kuzidiwa na hisia za mapenzi. Alijikaza na kuinuka, akaelekea bafuni ambakokwa hasira aliamua kutumia muda mrefu akijichua mpaka alipokidhi haja zake. Akarudikitandani ambapo tayari wenzake walikuwawamesharejea. Akasingizia kwamba hakuingiadarasani kwa sababu hakuwa akijisikia vizuri.

Aliendelea kujilaza pale kitandani kwa mudamrefu huku bado akiwa anaendelea kutesekana hisia kali za mapenzi . Baadaye alipoonahali yake inazidi kuwa mbaya , ilibidi aelekeetena bafuni na aliporudi , alianza kujiandaa.“ Vipi huingii vipindi vya jioni ?” mwanachuomwenzake mmoja alimuuliza baada yakumuona akijiandaa kama mtu aliyekuwa nasafari ya nje ya chuo. “ Nafuata dawa maramoja nikiwahi nitaingia , ” alidanganya Dickson .

Japokuwa bado ilikuwa mapema, akili zakezilimtuma kwenda kutafuta changudoa yeyoteili akidhi haja zake kwani ni kama Neemaalikuwa ameyaamsha mashetani yaliyokuwa yamelala kwenye kichwa chake.Alitoka akiwa na imani hakuna anayemuona ,akapita njia yake ileile na kutoka mpaka nje yachuo. Neema ambaye naye alikuwa akimfuatatena Dickson ili wakae tena pamoja, alimuonakwa mbali akiondoka, ikabidi aanzekumkimbilia kimyakimya bila kumuita.Akashangaa kumuona anapita njia zavichochoroni na hatimaye akatokezeabarabarani. Na yeye akapita njia ileile bilaDickson kujua kwamba kuna mtu alikuwaakimfuatilia kwa nyuma.

Je, nini kitafuatia?
 
SEHEMU YA 14

Ananogewa na mchezo huo kiasi cha kuwamtumwa wa ngono . Fedha zake zote zinaishiakwa machangudoa na anaendelea na tabiahiyo mpaka anapoingia mwaka wa tatu chuonihapo. Msichana mdogo aliyekuwa akisomamwaka wa kwanza chuoni hapo, anatokeakumpenda Dickson , jambo ambalo halijawahikumtokea .Hata hivyo , msichana huyo hayupo tayarikuanza kufanya mapenzi na Dickson mpakawatakapokuja kufunga ndoa, jambo ambalokijana huyo haliafiki na kuamua kwenda tenakutafuta machangudoa .

Je , nini kitafuatia? SONGA NAYO…

Baada ya Neema kukataa katakata kufanyamapenzi na Dickson, alimuacha kwenye halimbaya sana kihisia. Akajaribu kutumia mbinuya kwenda kujichua bafuni kama alivyokuwa akifanya kwa muda mrefu lakini haikusaidiachochote. Uamuzi wa mwisho aliofikia ulikuwani kwenda kutafuta changudoa wa kukidhi hajazake.Hakuwa na habari kwamba wakati akitokakupitia njia za vichochoroni, Neema nayealikuwa akimfuatilia kwa nyumanyuma akitakakujua alikuwa akielekea wapi muda huo. Baada ya kufika barabarani, kama kawaida, Dicksonalisimamisha bodaboda na kumuelekezadereva kumpeleka Sinza Afrika Sana .

Akapanda na safari ikaanza , huku kamakawaida akiwa amevaa kofia kichwani iliyozibasehemu kubwa ya uso wake .“ Anaenda wapi? Mbona simuelewi ?” Neemaalisema huku naye akiipungia mkonobodaboda iliyokuwa inakuja upande wake, ikasimama ambapo bila kupoteza muda ,alipanda na kumuelekeza dereva kuifuatiliabodaboda aliyopanda Dickson ambayo tayariilishafika mbali.Wakaondoka kwa kasi huku dereva akitiialichoambiwa . Dakika chache baadaye,walikuwa kwenye mzunguko wa Mlimani City, dereva akakunja upande wa kushoto nakushika Barabara ya San Nujoma kumfuatadereva yule wa bodaboda aliyembeba Dickson .“ Usiwapite, endelea kuwafuata nyumanyumampaka wanakoelekea , ” alisema Neema baadaya kuona wamewakaribia akina Dickson eneola vinyago , Mwenge. Walipokata kona upandewa kulia nao waliwafuata na kuingia barabaraya TRA ambapo walinyoosha mpaka AfrikaSana.

Wote wakashuhudia bodaboda iliyombebaDickson ikisimama jirani na kituo cha mafutaeneo la Sinza Afrika Sana. HarakaharakaNeema naye alishuka na kumlipa dereva huyo .Kwa kuwa alishukia mbali haikuwa rahisi kwakijana huyo kumuona. Akasimama pembeni yamagari yaliyokuwa yamepaki na kuendeleakumtazama Dickson .Alipomuona amevuka barabara na kuhamiaupande wa pili, naye alitoka pale alipokuwaamejificha na kutembea harakaharaka mpakakwenye barabara ya lami ya Shekilango, nayeakavuka kuelekea upande ule alioelekeaDickson.

Alimfuatilia kwa makini mpaka alipoendakukaa kwenye viti vingi vilivyokuwavimepangwa mita chache kutoka barabarani.Akamshuhudia akiagiza soda na kuanzakunywa taratibu . Kwa tahadhari kubwa, Neemanaye alitafuta sehemu na kukaa , harakaharakawahudumu wakamfuata kumhudumia. Nayealiagiza soda tu kama Dickson , akawaanaendelea kumfuatilia Dickson kwa makinikwani alionekana kuwa kwenye harakati zakufanya jambo fulani ambalo msichana huyohakuwa akijua ni jambo gani.

Akiwa bado amekaa eneo hilo, Neemaalishtushwa na wingi wa wasichana waliokuwawakirandaranda huku na kule , wengi wakiwawamevaa nusu utupu japokuwa bado gizalilikuwa halijaingia kabisa.Bila hata kuuliza, alitambua kwamba hao nimachangudoa kutokana na mavazi ya ajabuwaliyokuwa wamevaa, yaliyoacha sehemukubwa za miili yao wazi na jinsi walivyokuwawakigombea wanaume .“ Psiii ! Psiii !” ilisikika sauti kutoka kwa mmojakati ya watu waliokuwa wamekaa upandealiokuwepo Dickson.

Neema ambaye alikuwaameinyanyua chupa ya soda ili anywe ,alishtuka kuona wanawake zaidi ya wannewaliokuwa wamevaa nusu utupu wakipiganavikumbo kuelekea pale Dickson alipokuwaamekaa.Baada ya sekunde chache, wale wenginewaliondoka na kubakia mmoja ambaye alikuwana umbo kubwa lililogawanyika vizuri nakubinuka sehemu ya nyuma. Neema akiwabado amepigwa na butwaa, alimuona Dicksonakiinuka na yule mwanamke, wakatoka eneohilo na kuelekea upande wa nyuma.“ Dickson ananunua machangudoa? Munguwangu, ” alisema msichana huyo huku akiinukakwa tahadhari na kuanza kuwafuatilia kwanyuma ili kuhakikisha kama kile alichokuwaanakihisi ndicho walichokuwa wanaendakukifanya .

Kwa macho yake, aliwashuhudia wawili haowakiingia kwenye nyumba iliyokuwa upandewa nyuma wa baa hiyo , iliyokuwa namaandishi makubwa yaliyosomeka ‘ Catalonia Guest House ’ .Neema alijikuta akitetemeka kamaaliyemwagiwa maji ya baridi, hakutaka kabisakuamini kwamba mwanaume ambaye saakadhaa zilizopita walikuwa pamoja chumbani, wakifanyia michezo ya kimahabailiyozihamisha hisia za kila mmoja , sasa hivialikuwa akienda kufanya ngono na changudoa,tena aliyemzidi umri na umbo.

Ndani ya nafsi yake alijikuta akijilaumukutokana na hatua yake ya kuamua kumfuatiliaDickson kwani maumivu aliyokuwa anayahisindani ya moyo wake yalikuwa sawa na mtualiyechomwa na mkuki mkali moyoni.Kwa upande mwingine , alimshukuru Munguwake kumuonesha suala lile kwani kamaasingegundua mapema, angeendeleakumpenda mtu ambaye kumbe ana tabiahatarishi kama hiyo, ambazo zingewezakusababisha aambukizwe magonjwa hatariukiwemo Ukimwi.Licha ya kujifariji lakini bado moyo wakeuliendelea kumuuma sana hasa kutokana najinsi alivyokuwa akimpenda kijana huyo lichaya kasoro zote alizokuwa nazo.

Uchungumkali aliokuwa nao ndani ya nafsi yakeulisababisha ashindwe kuyazuia machoziyasiulowanishe uso wake .Akawa anatembea taratibu kurudi palealipokuwa amekaa awali huku akiendelea kuliakwa uchungu mithili ya mtu aliyepokea taarifaza msiba . Hakuweza kukaa tena palealipokuwa amekaa awali wala hakuwezakumalizia hata soda yake.Aliamua kuondoka , akawa anatembea taratibukuelekea kwenye barabara ya lami kwa lengola kuvuka hadi upande wa pili ili akapandebodaboda ya kumrudisha chuoni.

Badoalikuwa akiendelea kulia kwa uchungu kwanihakutegemea kama Dickson anaweza kuwaanajihusisha na mchezo hatari kama huo .Baada ya Dickson kukidhi haja zake, alitokaharakaharaka kwenye chumba cha gestialichokuwa ameingia na yule changudoa nakumuacha akiendelea kuvaa nguo zake. Kwakuwa kilichompeleka tayari alishakipata ,hakutaka kuendelea kukaa eneo hilo.Akawa anaelekea barabarani kwa lengo lakuvuka kwenda kutafuta usafiri wa kumrudishachuoni lakini akiwa amekaribia kuvukabarabara, alishtushwa na kelele za watuwaliokuwa wanakimbilia barabarani .“ Amegonga mtu! Daah, sijui kama ataponayule dada, ” alisema mtu mmoja ambayealikuwa miongoni mwa mashuhuda wa tukiohilo. Dickson akawa miongoni mwa watuwaliokuwa wanakimbilia eneo huku akiwa nashauku kubwa ya kutaka kujua kilichotokea.

Je, nini kitafuatia?
 
Back
Top Bottom