Peace and Much Love Family,
Karibu kwenye hii Deep Study juu ya majabali watatu wabobezi kabisa wa taaluma Ijulikanayo kama Emceein inayopatikana ndani ya Utamaduni wa Hip Hop.
Lengo kuu la...
Shanghai!
Wakati 2022 inaenda kubaki kwenye vitabu vya historia, tujikumbushe movie za huu mwaka
Kumekuwa na movie nzuri kama woman king, Black panther, RRR, Top gun Maverick, batman, avatar nk...
Wakuu habarini. Mtanisamehe kdg kwa uwandishi wng Kama mada apo juu inavyosema nitasimulia niliyopitia mpaka kufanikiwa kufunga ndoa na mke wng.
Mimi ni mtot wa 2 katika familia yetu...
SEHEMU YA 01
“Wewe una hoja Martha, kumbe unajua chakula kizuri...nikuambie kitu mke wangu.”
Martha alipoisoma meseji hiyo, akaguna kwanza, akamjibu”
“Mh! Nimekuwa mkea mara hii jamani?”
“Kwani...
OMUKAZI MURUNGI MUSICFESTIVAL
Sekta ya sanaa na burudani ni moja ya sekta inayokuwa kwa kasi hapa nchini kwetu Tanzania, sekta hii imekuwa chachu katika kuchangia mapinduzi ya kiuchumi, kijamii...
PROFESA
.
Kuna Nyakati Mechi ikiendelea Unabaini kabisa uwanjani Wachezaji wamebanwa na wamekosa mbinu Mpya wao binafsi ya Kujiokoa ili wapate ushindi
Lakini Ghafla utaona Nabi anafanya Maamuzi...
Hello JF
Nimetumia namna tofauti katika kichwa cha habari ila lengo ni kutaka tujadili kuhusu movies za kizungu ambazo na nyingi hukusanya jumbe za maisha ya baadae mfano "Contingence" ni movie...
Ni lini timu yetu ya taifa itafika mbali? maana ikifanya vizuri mara moja tu, wanasiasa wote wanakuwa motivational speakers, mara huyu anatoa sijui tiketi, huyu sijui motisha, mara huyu anatoa...
Jamaa anajua sana kuigiza na ana muonekano fulani wa kisanii lakini sijui anafeligi wapi yani.
Nahisigi alikuwa na potential kubwa zaidi ya hapa alipofika since the wire HBO lakini sijui...
Habarini, ndugu mimi ni muandishi wa script za movie ninaejifunza.Nimepata changamoto ya kujua.Jinsi ya kuandika script za Series yaani filam zenye muendelezo.Ninapenda kujua vitu vifuatavyo...
16 years ago today, Rihanna released ‘Umbrella’ featuring Jay-Z.
The Grammy-winning song served as the lead single off ‘Good Girl Gone Bad.’ It reigned atop the Billboard Hot 100 for seven...
LANGO LA MOTONI
CHAPTER 1
Jumatatu YA TAREHE 26/12/2022
Majira ya saa tisa na dakika arobaini na saba kulionekana dada mmoja ambaye hakuonekana nadhifu kwa mwonekano wa mavazi yake pamoja...
Ed Sheeran tells Rolling Stone that he wanted Jay-Z to be on “Shape Of You.”
“I sent him the song, and he said, ‘I don’t think the song needs a rap verse.’”
“He was probably right. He’s got a...
Morng Africa. Mimi ninyimbo zangu bora kabisa ni hizi
1) Moyo wangu umekuambia
2) Nalisema nitayakili maasi yangu kwa bwana
3) Fahari yetu ni msalaba
4) Ikatoka damu ikatoka maji pia
5) Mama pale...
Katika pita pita zangu YouTube nilikua nimeumiss wimbo wa Ambwene mwasonge "unikumbuke" maana hua navutiwana Melody yake pamoja na ujumbe ndani ya wimbo huo.
Wakati nasikiliza wimbo unao simulia...
Kuthibitisha kuwa kijana bado ana njaa ya mafanikio,tarehe 22 July ataachia project aliyoifanya na msanii kutoka Marekani,Future.
Diamond Platnumz ameyasema hayo kupitia account yake ya...
Kwanza tu jina lake ukilisikia limekaa kibabe. Mandonga Mtu Kazi. Huyu jamaa amewafanya watu wengi wafatilie ngumi tofauti na ilivyokuwa awali. Hapa naongelea wale watu wasiopenda huu mchezo hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.