Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

  • Closed
Simulizi hii ilitolewa humu ndani kwa sababu nilisema kwamba nataka kuitolea kitabu hivyo nikaisitisha lakini watu wakaomba thread ifutwe hivyo mods wakaitoa. Kuna watu ambao wamenicheki pm na...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kilimanjaro Kilimanjaro Kilimanjaro 🔥🔥🔥🔥🔥
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Hello wana JF, Nawaletea baadhi ya movies/series ambazo si za kutazama na watoto 🔞 yaani ni movie ambazo hazifai kutazama hata na wazazi wako, zingine haifai kutazama hata na wana 🤣🤣🤣msije...
19 Reactions
163 Replies
53K Views
Mimi Ni mpenzi mkubwa Sana WA muvi za mapenzi..zipo nyingi nzuri..but ninazo zipenda Sana Ni The Notebook,a walk to remember,dear John..40 and the first date..just go with it.shrek...
2 Reactions
53 Replies
8K Views
Nimeandaa uzi huu hususani kukumbushana juu ya asili yetu wanadamu. Maana mbali na uwepo wetu hapa duniani lazima kuna UKUU/UFALME ambao ndio unatuongoza ktk maisha yetu ya kila siku kwa misingi...
0 Reactions
0 Replies
818 Views
UMOJA NAMBA TISINI NA SABA KAULI YA MWISHO YA RAISI KABLA YA KIFO CHAKE MWANDISHI: SINGANOJR GENRE: FICTION (KUBUNI ) ........................…...
11 Reactions
353 Replies
106K Views
Mgaga wa kienyeji aliishi kanisani, alitumika kanisani. Akajificha humo. Sijui ni kitu gani alikuwa anakifikiria. Sijui kwanini aliamua kutokukaa kwenye makazi yake kama mganga. Na kwanini...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimejiridhisha na kwa mafanikio hizi ndo nyimbo Tani Kali zaidi za amapiano kuwahi kutengenezwa Tanzania 1. Single Again - Harmonize 2. Mama Amina - Mario 3. Ticha- Harmonize 4. Shetani -...
7 Reactions
42 Replies
7K Views
Binadamu tunatofautiana sense of humour meaning kitu kinaweza kuwa funny Kwa mtu mmoja kikawa cha kawaida kwa mwingine. Lakini mawazo yawengi huwa mara nyingi yanakaribia ukweli. Kwangu Mimi best...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
Kendrick Lamar yupo wapi? Lilikuwa swali la muda mrefu kwa wapenda Hip Hop Duniani kote! Wengine labda walichoshwa na rap hizi za kina Lil Pump, Tekashi69. Baada ya kimya kirefu, Kendrick Lamar...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Nakumbuka ilikuwa mwaka mwezi wa saba nikazini na mdada mmoja hivi ilikua usiku kucha basi bhana kuna muda tulicheza show lkn wazungu hawakutoki demu akasema toa condom nikagoma wote tulikuwa...
20 Reactions
69 Replies
5K Views
Habari wanajamii forums, Mimi ni kijana ninayependa masuala ya utangazaji, na kutokana na nafasi iliyotangazwa na wasafi media ya mashindano ya kutafuta watu wenye kipaji cha utangazaji, nikaona...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Episode 01 Ulikua usiku mzuri ambapo kulikua na mawingu angani yaliyochangia kuleta ubaridi. Nilivaa sweta swetu zito lililonikinga na baridi ile, tayari ilikua saa tatu na dakika kumi siku ya...
2 Reactions
37 Replies
4K Views
WATOTO WASIOZALIWA 1. LETTER TO MY UNBORN CHILD - 2 PAC Pac anamwandikia barua mtoto wake ambaye bado yupo tumboni mwa mama yake na KUMWAMBIA UKWELI kuhusu dunia hii. Mistari ambayo inanigusa...
1 Reactions
0 Replies
608 Views
Msanii huyo kutoka #Nigeria, ameendelea kuweka rekodi Kimataifa kupitia ngoma hiyo aliyomshirikisha #SelenaGomez akikaa kileleni kwa wiki 27 katika wiki 50. Kati ya ngoma 50, hakuna msanii yeyote...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni asubuhi na mapema. Unaamka na kijiandaa kuelekea kazini kwako. Baada ya kumaliza kujiandaa, unavaa viatu kuelekea kazini kwako. Mara ghafla simu inaita, Unapokea simu ambayo imeingia kwa namba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
ALITAKA KUNIUA Nilikuwa nimekaa chumbani hostel kipindi hicho nasoma chuo mwaka wa pili. Nikapigiwa simu na mama akiwa na furaha kubwa sanaaa. Akaniambia kama ninaweza kwenda nyumbani kwa wiki...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Marquese Scott Huyu ni mmarekani alizaliwa mwaka 1981 November anayecheza dance aina ya Dubstep, popping pamoja na style ya slow motion. Ameisha perform katika stages kubwa kama Ellen shows...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
UPDATE: nimefanikiwa kumpata huyo mrembo Queen Clouds , thanx to John Dilinga , huyu dada alikua dancer miaka ya late 80's and early 90's , enzi hizo ni kuna gazeti la Mfanyakazi ndilo...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom