Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari wapenzi wa movie, ni mwaka mwengine wa 2023 kuna movie mbalimbali kali zinategemewa kutoka huu mwaka kwa wapenzi wa movie huu mwaka ni wamoto sana Mwaka 2022 zimetoka movie kali sana...
9 Reactions
30 Replies
5K Views
Dogo anajua sana nimekuwa nikimfuatilia aisee noma. Yeye ana flow za elimu tu hana kujisifia wala kumsema mtu. Ana kwambia kwenye safari kuna matuta cha msingi saa 24 tumepewa wote.. Jaribu...
1 Reactions
9 Replies
943 Views
Maskini Raiden (Mungu wa mvua) anapigwa mbaya na Scorpion mpala anakufa sijui ni motokombati ipi ile. Raiden huwa sio mtu wa kupigana yeye anatoaga onyo kumbe mikwara tu kakutana na Scorpio...
0 Reactions
12 Replies
983 Views
Ebu tuongee hapa wakuu! . Hivi kwenye Hii Collabo ya Dhahabu nani alimfunika mwenzake! . Dully ft Joslin,Mr Blue. . Nani alifunika kati ya Joslin na Blue??
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Na: Mwalimu Makoba "NI hadithi kama hadithi za sungura na fisi. Haihusiani na tukio lolote halisi." Sehemu ya Kwanza Hapo zamani za kale watu kutoka mbali waliwavamia Wenyeji. Watu hawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Nimetoka kuangalia tangazo la huyu binti anayerudi shule baada ya kupata ujauzito, na kwamba ni kweli haki elimu ni matangazo bora zaidi ya Elimu kwa miaka mingi. Ni nani...
1 Reactions
2 Replies
538 Views
ENGINEER PETII ( TRUE STORY) Nilikua Kijana wa Miaka 21. Elimu yangu ya Form 4 tu. Nilijishuhulisha na Uuzaji wa Spare za Magarii Kwenye Duka la baba yangu Mjini Dodoma. Nilipendelea sana...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Best International Act Aya Nakamura (France) Ayra Starr (Nigeria) Burna Boy (Nigeria) Central Cee (UK) Ella Mai (UK) K.O (South Africa) L7nnon (Brazil) Stormzy (UK) Tiakola (France) Uncle...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini Wakuu, Samahani nahitaji kuutambua huu Wimbo kwa Majina.
0 Reactions
1 Replies
568 Views
MTUNZI: SHAABAN ROBERT. WACHAPISHAJI : Tanzania Publishing House. Dar es Salaam. SURA YA 1 Mfalme Rai Rai, mfalme wa Ughaibu , alikuwa mfalme namna ya peke yake duniani. Alikuwa na tabia...
4 Reactions
98 Replies
29K Views
Juzi kati nilianza kufwatilia hii show, inanoga kuicheki ila concept yake mna dhani kweli watu wanaishia kuoana baada ya kukutana hapo? au wanaigiza tu? Kuna upendo hata?
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama wangekuwa au wana akaunti YouTube, wangekuwa na mamilioni ya viewers na wangekuwa wanajiandaa kuvuna mamia ya mamilioni. Nadhani watu wameona kipaji cha muziki cha hali ya juu, ni wazi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Uzi huu ni kwa ajili ya Kuandika Mstari wa Nyimbo yotote Iliyowahi Kuvuma Tanzania au East Afrika halafu Utajibiwa na wataalamu kuwa ni nani aliyeimba wimbo huo. Nitaanza mimi nikiona mmeshindwa...
1 Reactions
6 Replies
662 Views
Kwa wale wapenda series basi nadhani hiki chuma cha night night ilisukwa ikasukika haswa kama ulipenda jack ryan basi na hii ipende watoto wa mjini wanasema ishi nayo [emoji16][emoji91] Series...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amemtaka msanii wa miondoko ya HipHop nchini kuachana na muziki kama ataendelea kuikosoa serikali. Kauli ya Mwakyembe imekuja...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
bonizacharia.bz@gmail.com. Wamekuwepo wengi katika tasnia ya muziki hasa muziki wenye radha halisi ya kiafrika, na wamesaidia mengi katika kutangaza utamaduni wenye maadili ya kiafrika, lakini...
4 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimejikuta kuwapenda hawa jamaa kwa story zao wamazodai ni za kweli ingawaje nyingi ni za kufikirika. Wewe unamkubali nani?
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Natafuta site nzuri kwa ajili ya kudownload movie kwenye simu.
1 Reactions
11 Replies
43K Views
Habari za muda huu waungwana? Naomba mwenye wimbo huo hapo juu anisaidie. Nadhani uliimbwa na Mchinga Sound kama sijakosea. Nitashukuru sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SITALISAHAU KABURI LAKO MADALITSO Mwandishi:Saadala Muaza --- Ilikuwa ni saa kumi na mbili takribani na dakika arobaini na saba za jioni.Sauti yako ikapenyeza hadi kwenye ngoma za sikio langu...
2 Reactions
1 Replies
646 Views
Back
Top Bottom