Habari rafiki!
Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha kuimba, kupiga piano, au kupiga gitaa? Ikiwa ndiyo, tuna furaha kukualika ujiunge nasi katika safari ya kuendeleza kipaji chako!
Tunayo akaunti...
HISTORIA YA EXTRA MUSICA SEHEMU YA II
Sehemu ya pili inahusu
(a) Kutoka Uimbaji wa kwaya/misibani hadi Extra musica na baadae kugawanyika
(b) Nini wanafanya baada ya mgawanyiko...
NI SANAA AU UTELEZI?
Anajulikana kama DOLLO MOSSES TMK HALISI.
Nilimfahamu toka enzi za Radhia, Inahitaji roho ya chuma kuishi na watu vizuri na ngoma nyingine za Wachuja Nafaka na TMK WANAUME...
Tanzania ni nchi pekee ambayo mtoa huduma ni boss kwa mteja, na maboss wamiliki hawajali chochote kuhusu wateja.
Arusha wako vizuri hapa hawasiki nawakubali 🙏🙏🙏
Mimi mpambanaji, mjasiliamali...
NDANI YA MISTARI
BAD MAN - D KNOB FT CANNIBAL
Mtumishi wa Bwana, Innocent Sahani aka kinundu kichafu "Dirty Knob" kwa kifupi D KNOB akiwa na Mla nyama kutoka Mombasani waliangusha dude hili...
oyyy niaje wana duu aisee mjini fm ni habari nyini apa kunapindi cha Soggy na darboy dah aisee ni noma apa saizi kuna wana wana freestyle hatari sana
alafu kubwa kuliko kuna beer za bure kabisa...
( 1-5 )
CHOMBEZO ❤️🔞
NITAKUPA LAKINI NIMEOLEWA
SEHEMU YA 01
Anza nayo.......
“Mke wangu ananipenda sana,” Tasriki alisema hivyo.
“Kitu pekee
ambacho unatakiwa
ukiamini ni kuwa wewe unampenda...
Charles Hillary a.k.a Jitu
Julius Nyaisanga a.k.a a Anko J
Flora Nducha
John Dilinga
Sebastian Maganga
Sostenes Ambakisye
DJ Fast Eddy
Misanya Bingi
Asia Mohamed
Hivi hawa watangazaji...
Nmejaribu sana kuangalia baadhi ya series za mataifa mengine nmejikuta nashindwa kabisa hasa za:
1. Spain
2. Mexico
3. Philippines
4. Turkey
5. Korea
6. China
Hawa jamaa bado wana series za...
Angalia tamthilia za kituruki za Azam TV; tangu Sultan, Wounded Love na hata sasa Ertugrul utagundua kitu kimoja tu.
Kwamba tamthilia hizi ni simulizi za historia ya nchi yao ya Uturuki...
• Mejja - Landlord
Kwenye hili song kutoka 254 hakuna chochote kinacho endana na story..
Ila kwa kuwa nimeisikia kwa dereva bajaji hapa basi imenikumbusha 2015. Experience ya kupanga kwa nyumba...
NAJILIPUA
NI kweli ni trend- setter na alitengeneza top ten lakini kwa upande wangu, midundo mitano ninayoielewa zaidi kutoka kwake ni hii;
1. MTOTO WA KIUME - GEEZ MABOVU
Dundo linaanza...
Hello,hope you are courageously going about through your daily activities.For those going through a bit of a patch,well I'm here to invite you to travel with me through extraordinary good music...
JINGLES KALI NA MATANGAZO MAKALI KABISA YA MIAKA HIYO
1. WEEKEND FEVER - RADIO FREE AFRICA- JAY MOE
Ni weekend fever
Jumamosi naisikiliza
2. BAMIZA - MAGIC FM - NGWEA
Magic Fm tuko juu, sisi...
Habari,
Weekend iliyopita nilikuwa naangalia tuzo za TMA yaani Tanzania Musics Awards na kuona vipengele tajwa hapo juu. Sasa bado sijaelewa tofauti zake. Mwenye kuelewa naomba anijuze.
ONYESHO DOGO KUTOKA TAMTHILYA INAYOITWA "WE ARE ONE", by Tanzanian British.
It is just After THE AFRICAN KING ASKED THE MISSIONARY FROM BRITAIN,WHAT DOES SLAVE MEAN!? CHECK IT please.-
MISSIONARY...
MAGORI MATATU YA MGENI!
Ngurumo na radi vilitawala,huku wingu zito likitanda,ilikuwa ni dalili kuwa muda wowote mvua itanyesha,tena siyo ya rasharasha ilikuwa ya uhakika!
Muda huo ndiyo nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.