Yanga bingwa kombe la shirikisho Afrika?

Yanga bingwa kombe la shirikisho Afrika?

CARDLESS

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
7,869
Reaction score
16,014
Kila nikiangalia game kwa angle zote, na kwa wataalam wote, matokeo yanasomeka USMA 1-3 YANGA.

Kila mkulungwa niliyemuuliza anajibu Yanga tayari ameshachukua Kombe hilo.

Nami nawatangaza RASMI MABINGWA WAPYA WA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA KUWA NI DAR YOUNG AFRICANS.

MATOKEO YA JUMLA YATAKUWA USMA 3-4 YANGA.

MAYELE akifunga Goli zuri la KICHWA.

Aziz akifunga kwa mkwaju mkali wa nje ya Box, huku Goli moja likiweka na kati ya MORRISON, MUSONDA AU KISINDA.

Nitafuteni Game ikiisha.

Napatikana SINZA KANISANI/VATICAN tujumuike tulewe na kufurahia ushindi huu muhimu kwa nchi.

MAKOLO MULI BWANJI.
 
Watoto wa Jangwani piga keleleeeeeeeeeeee timu bora na ya kujivunia ni moja tu Tz Yanga. Kama haupo Yanga wewe hujui mpira na ni mshamba tu.

#WHYNOTUS#
#timuyawananchi#
#tunapinduajamvii#
#jangwanitunakiwashaalgeria#
🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

Since 1935
 
Kila nikiangalia game kwa angle zote, na kwa wataalam wote, matokeo yanasomeka USMA 1-3 YANGA.

Kila mkulungwa niliyemuuliza anajibu Yanga tayari ameshachukua Kombe hilo.

Nami nawatangaza RASMI MABINGWA WAPYA WA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA KUWA NI DAR YOUNG AFRICANS.

MATOKEO YA JUMLA YATAKUWA USMA 3-4 YANGA.

MAYELE akifunga Goli zuri la KICHWA.

Aziz akifunga kwa mkwaju mkali wa nje ya Box, huku Goli moja likiweka na kati ya MORRISON, MUSONDA AU KISINDA.

Nitafuteni Game ikiisha.

Napatikana SINZA KANISANI/VATICAN tujumuike tulewe na kufurahia ushindi huu muhimu kwa nchi.

MAKOLO MULI BWANJI.
Woyoooooooo
 
Hao wataalamu na wewe wote hamna mnalojua, mngekuwa mnaweza kutabiri matokeo mngeshatajirika kwa BETTING.

Acheni mbwembwe mtamwaga.
 
Njia pekee kwa Yanga kuchukua hilo Kombe ni kuliiba tu.... Kivumbi leo🎙️
 
Yanga asiporudi na kombe hapa moderator naombeni Bani ya maisha hapa
 
Back
Top Bottom