Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Sawa, hauna video, lakini hata kwenye redio haukuchezwa pia (a) Ni kwamba wamiliki wa redio zetu pamoja na watangazaji wao hawana uhakika na uhuru wa vyombo vya habari walionao? (b) Au ndo...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Usiku wa Jumamosi ya tarehe 29 mwezi Aprili ulikuwa usiku wa kutolewa tuzo za Muziki Tanzania zilizoandaliwa na kuratibiwa na Wizara inayohusika na Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Baraza la...
1 Reactions
5 Replies
786 Views
TUCHUKUE LIPI, TULIACHE LIPI? STIMU ZIMELIPIWA (COPY MY MOTION) Hii ni segment mpya ambayo itakuwa inaangazia wasanii waliotamka kauli zinazokinzana. Tuanze na John Simon "Mwamba wa Kaskazini, Joh...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Targeted Risk is a Strangers & Freaks side mission in Grand Theft Auto V given by Dom Beasley, involving protagonist Franklin Clinton. It's the 3° mission for Dom Beasley, after the Liquidity Risk...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Assalaam, Napenda kuchukua fursa hii kuwakaribisha ili tushirikiane katika fursa hii ambayo, bila shaka ni njia mojawapo ya kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi miongoni mwetu. Kama unadhani...
1 Reactions
1 Replies
460 Views
Naamka asubuhi, sina hata buku shi ndala Cha kukila sijui, bora hata pa kulala Chumbani matandabui, mende wamefanya utawala Na mjomba panya haelewi, riziki yake hasara Eh kwachakwacha, nakwenda...
1 Reactions
17 Replies
503 Views
NILINUSURIKA KUCHOMWA MOTO 1 Nilikuwa nimekaa zangu sina hili wala lile, mara simu ikaingia kutoka kwa rafik yangu, akanimbia leo unaonaje tukachek mechi pale uwanjani? Nikamwambia sina uhakika...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
MOYO UNA MENGI. Kiukweli ni mapito haya napitia Moyo umeshindwa hauwezi kutulia Mbona kutamka nafusi yanizuia Nimeyabeba mengi ya huzuni moyoni. Natamani kusema na kuyasimulia Lakini sijui nani...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Nahesabu kura
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Dhiki 1 Naomba kuwauliza, majibu yawe mezani Hayano ndoyaniliza, sijui nimekosani Yataka kunimaliza, mwenzenu nitaabani Rafiki niliyenae, katu ataki niwata 2 Amenigomea hasa, hunitoka na kurudi...
1 Reactions
1 Replies
403 Views
Wakuu hii ndo list ya movie zakutisha, kusumbua, mazombi, mauaji, kutesa nk [emoji419]Trauma [emoji419]The human centipede [emoji419]Atrocious [emoji419]A Serbian film [emoji419]Terrifier...
3 Reactions
83 Replies
4K Views
UMASIKINI NI DHIKI, Umasikini ni dhiki, kila siku mashakani, Na tena hathaminiki, mtu kuwa masikini, Fukara hana rafiki, humtenga majirani, Ni dhiki umasikini, Umasikini ni dhiki.. Ukiwa hauna...
2 Reactions
1 Replies
521 Views
Ngoma gai unaikubali kutoka kwa P The MC.
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mtunzi ni CK Allan Madam President Juni 1998 Ilikua jioni nzuri kabisa ambapo sehemu mbali mbali za jiji la Tanga Kuna Hali ya baridi na mvua nyepesi zilikua zimeanza, nikiwa na Rafiki yangu Jacob...
11 Reactions
217 Replies
30K Views
Pamezuka ubishi kuhusu wimbo wa "Superwoman" wa Phina na "Superwoman" wa Zuchu. Kuna mjadala mkali sana kuhusu wimbo upi umetulia kusikiliza ukiwa safarini. Nimeamua kuileta hii mada hapa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Binafsi kuanzia Sasa n shabik nambar uno wa muvi na series za kinaija Hawa jamaa wanajua na wanakuja kwa Kasi ya ajabu Kimzki wametushinda hata muvi pia wametushinda Ukitaka kuamin maneno yangu...
3 Reactions
43 Replies
3K Views
THE BEST RADIO PRESENTER EZDEN JUMANNE " EZDEN THE ROCKA" KISS COLLABO MIX SHOW KISS FM SAHARA MEDIA *** Mbali na Ezden, wafuatao ni watangazaji wa Tv na radio na Djs...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Alipita kwenye mikono ya Kameta, akapita UPTOWN RECORDS na baadaye akaja na studio yake, COMBINATION SOUNDS. Nilianza kumsikia kwenye ngoma za msanii mmojammoja kama; Blue, Rhyno, Mb Doggy lakini...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Moja kati ya wimbo bora wa hip hop wa mapenzi ni huu wimbo kuanzia beat, sauti na ujumbe. Humo ndani kaimbiwa binti mmoja mkali wa kiafrika asiye na uslay queen. Endelea kupumzika kwa amani huko...
3 Reactions
0 Replies
463 Views
Habari rafiki! Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha kuimba, kupiga piano, au kupiga gitaa? Ikiwa ndiyo, tuna furaha kukualika ujiunge nasi katika safari ya kuendeleza kipaji chako! Tunayo akaunti...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom