Kijana ukipata nafasi kula raha

Kijana ukipata nafasi kula raha

Dkt Mwijuma

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2023
Posts
205
Reaction score
614
Ishi ukiamini ipo siku hautapata nafasi hiii unayo sasa, leo wewe mdada unaweza kukaa na na nguo yoyote beach ukiogelea ipo siku utazeeka hautaweza.

Leo unavaa nguo yoyote vimini nk kuna siku hauta vaa, hiii hali ya ujana ipo kwa mda tu kuna wazee hawakuenjoy wanataman kurudi ujana.

Mm sio team kataaa ndoa ila kuoa bila kuwajua vizuri dada zetu sio poa kula raha kijana.

Sio siku uje kuzeeka, ustaafu kazi ndio uanze kuishi ujana wakata age imekata.

Ni hayo tu.
 
Nimekuelewa wewe ni mtu wa aina gani

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hata mm due to u'r sign "Sent from my Infinix PR652B" nimejua ww ni mtu wa aina gani

Kama simu yenyewe ni hii hapa [emoji116]
Screenshot_2023_0625_075601.jpg
 
Kwahiyo point yako hasa ni ipi??

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Inawezekana hii haikuhusu mkuu ww huna hela kama unatumia simu ya laki na ishirini

Point yangu ni kwamba walio na nafasi ya kipato kizuri wasijivunge waishi maisha wakiamini kuna kuzeeka ama kufa kabisa

Ukipatacho wekeza kidogo kula kidogo sio kuwekeza chote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom