ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,278
- 2,364
Muziki si kitu cha kawaida kama wengi tunavyodhani,Muziki ni nguvu katika ulimwengu wa Roho,inaweza vuta nguvu ningine za kiroho kuja eneo la tukio
Muziki ni dawa ya nafsi inaweza kutibu na kubadilisha vile una feel dakika yeyote.
Anko Jei napenda kufahamu,ukiwa sad unasikiliza wimbo/nyimbo gani,ili kutibu nafsi yako,na kurudi kwenye hali ya kawaida?
Binafsi ni mtu wa Gospel sana na wimbo unaonipaga nguvu ni huu
Christopher Mwahangila - Yesu yuko hapa
Wewe unasikiliza wimbo gani?
Muziki ni dawa ya nafsi inaweza kutibu na kubadilisha vile una feel dakika yeyote.
Anko Jei napenda kufahamu,ukiwa sad unasikiliza wimbo/nyimbo gani,ili kutibu nafsi yako,na kurudi kwenye hali ya kawaida?
Binafsi ni mtu wa Gospel sana na wimbo unaonipaga nguvu ni huu
Christopher Mwahangila - Yesu yuko hapa
Wewe unasikiliza wimbo gani?