sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Hii nchi enda wapi aise?
Hatuna wasomi? hatuna wasanii wanaoweza kuimba nyimbo kulingana na matukio yanayoendelea?
Msaniii mzuri ni yule anaeweza kubadilika Kwa tunzi zinazoweza badilika kulingana na hadhira na mandhali.
Sasa usipo weza mtofautisha Dr Jakaya na Dr Samia Wewe utawapigia nyimbo zinazofanana wakati ni watu wawili tofauti.
Sasa nyimbo ya maswali mengi Kwa waitaa hauna hela Nini? ni kitu gani hiki mbele ya Dr Samia?
Nina uhakika Dr Jakaya Kwa Wimbo huu angetikisa hata kamguu kichini chini ila kwa mama yetu labda ungeimba kataalabu kidogo. Chagueni wasanii kulingana na matukio na nature ya miziki yao diamondi ana pahala pale sio hapo.
Kwa ushauri diamondi usirudi Dar bure, ukitoka hapo nenda bar moja pembene hapo shika maiki utakutana na wenzako mcheze.
Hatuna wasomi? hatuna wasanii wanaoweza kuimba nyimbo kulingana na matukio yanayoendelea?
Msaniii mzuri ni yule anaeweza kubadilika Kwa tunzi zinazoweza badilika kulingana na hadhira na mandhali.
Sasa usipo weza mtofautisha Dr Jakaya na Dr Samia Wewe utawapigia nyimbo zinazofanana wakati ni watu wawili tofauti.
Sasa nyimbo ya maswali mengi Kwa waitaa hauna hela Nini? ni kitu gani hiki mbele ya Dr Samia?
Nina uhakika Dr Jakaya Kwa Wimbo huu angetikisa hata kamguu kichini chini ila kwa mama yetu labda ungeimba kataalabu kidogo. Chagueni wasanii kulingana na matukio na nature ya miziki yao diamondi ana pahala pale sio hapo.
Kwa ushauri diamondi usirudi Dar bure, ukitoka hapo nenda bar moja pembene hapo shika maiki utakutana na wenzako mcheze.