Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,931
- 13,423
Hapa nimeshangazwa na ujasiri wa Dj aliye zamu leo RFA maana anapiga nyimbo za mixtape za Anti Virus live live ni matusi matusi tu.
Kama hamtaamka na barua ya TCRA asubuhi Mungu yupo nanyi.
Nimekumbuka ile barua ya onyo waliyopewa miaka mingi nyuma kisa kupiga nyimbo ya Kaka Suma by Nash MC, na Nash akajiita mchochezi kuanzia hapo.
Usiku mwema
Kama hamtaamka na barua ya TCRA asubuhi Mungu yupo nanyi.
Nimekumbuka ile barua ya onyo waliyopewa miaka mingi nyuma kisa kupiga nyimbo ya Kaka Suma by Nash MC, na Nash akajiita mchochezi kuanzia hapo.
Usiku mwema