Mwenye albam ya Whispers Band naomba

Mwenye albam ya Whispers Band naomba

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,709
Reaction score
35,712
Nlikuwa na CD yao ikapasuka.
Kama kuna mtu ana ngoma zao anisaidie.

Ukiwepo wimbo: Usiniache Bwana

Natanguliza shukrani 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Ninaye baba yangu asiyeshindwe kamwe.... Ni kibao kilichobamba na kuitambulisha bendi hii ya muziki wa injili. Albamu yao sijui iliitwaje na hili kundi haijulikani siku hizi lipo au limesambaratika
 
Ninaye baba yangu asiyeshindwe kamwe.... Ni kibao kilichobamba na kuitambulisha bendi hii ya muziki wa injili. Albamu yao sijui iliitwaje na hili kundi haijulikani siku hizi lipo au limesambaratika
Nitumie, usiniache Baba nina haja nawe
 
Back
Top Bottom