Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ndiyooo! Siku hizi angalau wasanii wetu wanaimba vitu vya kuburudisha sio zile kila siku kulialia mapenzi. Ila hizi style za uchezaji kwetu watu wazima zinaweza kukutia wazimu, juzi nimecheza...
3 Reactions
3 Replies
438 Views
Muziki unawatii hawa viumbe. Wameshindikana.
2 Reactions
11 Replies
804 Views
RIWAYA: MZEE WA BUSARA MWANDISHI - SULTAN TAMBA ANGALIZO, Riwaya hii ni ya zamani iliwahi kutamba kwenye magazeti ya kila wiki, leo nimewaletea mpate kuburdika. MWANZO NILIHISI kupagawa. Akili...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Weka screenshots za scores waje watu wakuchallenge. Namaanisha games za aina yoyote za kielekronic na zingine zikijumuisha PlayStaions. Mi jana nimekutana na haka kadude kaninusumbua mwenye aidia...
3 Reactions
70 Replies
5K Views
Wadau wa jamii forum, Heri ya sikukuu ya Simba Day. Leo nimeamka na mzuka wa kumsikiliza Jabari la muziki. Naomba kama unao wimbo wowote wa Marijani basi uniwekee hapa. Nitafurahi nilipata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naanza na 1. John Lissu - Nitaongozwa na Bwana 2. Boazi Danken - Ninakupenda 3. Essence of worship - Umetenda 4. Hymnos 2- majina yote mazuri 5. Dr. Ipyana - Nikupe nini kwa yote umetenda 6...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
Ifike pahala huyu jamaa wamuache apumzike maana kwa mambo yanayoendelea sasa ni kumkosea adabu bondia bora wa muda wote na wa vizazi vyote Floyd Sinclair Joy Money Mayweather Junior ...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
ENRIQUE IGLESIAS VS ED SHEERAN. Hero vs Perfect. . Your my number one vs Thinking out loud. . Bailando vs Shape of you. . Takin back my love vs Heartbeat. . Why not me vs photograph. . Some...
4 Reactions
55 Replies
4K Views
Wakuu habari za mda leo nimeleta mada hii tujadili kwamba tangu ujio wa microgenre mpya ya hiphop 2016 iliyoanzishwa na future, Gucci mane na chiefkeef iliyo kwenye trap genre hiphop style na...
3 Reactions
77 Replies
3K Views
Katika majira ya joto ya mwaka huu, filamu ya katuni ya kichina “Chang An” (mji mkuu wa taifa la China katika enzi ya Tang) imejizolea umaarufu mkubwa. Ndani ya mwezi mmoja na zaidi tangu...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Kama mdau wa soka jana nilifuatilia na kufurahia sana sherehe ya wana-simba ambayo kiuhalisia ni tukio waliolianzisha miaka kadhaa iliyopita na linaloendelea kukua mwaka hadi mwaka. Si ajabu pia...
1 Reactions
2 Replies
427 Views
Huu wimbo ni wa kawaida sana, ni vile tu umeimbwa na Diamond. Diamond anajua, ila kwa huu wimbo hapana.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii ni kwa mujibu wa wavuti rasmi ya warner bros. hii inaifanya kuwa filam ya kwanza kutengenezwa na mwanamke kuingiza kiasi hicho cha pesa. source:cnn
1 Reactions
7 Replies
498 Views
Nakumbuka kipindi hicho tunaangalia Rocky ya Rambo na huku tukijifunza kurukiana mateke baada ya kuangalia bloodsport ya van damme. Ilikuwa ukitoka kuangalia commando ya arnold na wewe unaenda...
10 Reactions
165 Replies
8K Views
Morogoro ni mji WA vipaji na vituko kila siku toka enzi Za afande sele , o. Ten, stamina , Jack simela r. I. P no wengineo taja wasanii wengine WA morogoro tuwape shout out apa Kwa uwepo wao
1 Reactions
4 Replies
666 Views
Nlikuwa na CD yao ikapasuka. Kama kuna mtu ana ngoma zao anisaidie. Ukiwepo wimbo: Usiniache Bwana Natanguliza shukrani 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Hapa nimeshangazwa na ujasiri wa Dj aliye zamu leo RFA maana anapiga nyimbo za mixtape za Anti Virus live live ni matusi matusi tu. Kama hamtaamka na barua ya TCRA asubuhi Mungu yupo nanyi...
9 Reactions
27 Replies
2K Views
Yamenikuta Kama yaliyotokea kwenye hz movie. Dhadkan upande wa sunnly shet Tere ma'am. Darr.upande wa sharukhan. Dil karshta upande wa Arjun rampal n hvo tu
1 Reactions
13 Replies
923 Views
Kiongozi na mwimbaji mkongwe wa bendi ya 'Twanga Pepeta' luiza Mbutu amefunguka na kuonyesha kukerwa kwake na tabia ya baadhi ya wasanii wa filamu na bongofleva wanaojihusisha na skendo za...
1 Reactions
22 Replies
16K Views
....Siooo leeeeeo toka zamani, Mnyama hana mpinzani.....
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom