Baada ya Khali kutoa kebei kwa wanamziki wa Hip Hop ya Bongo kuwa hawana uwezo wa kushindana naye.
Khaligraph Jones alitoa masaa 24 kwa wasanii wa Hip Hop wa Bongo wajitokeze kum-challenge.
Japo...
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za EDM kuna mkali mwingine anazalisha mangoma kama ya Alan Walker anitajie maana ukiacha ngoma za kusikitisha ngoma nyingine ninazozielewa ni EDM..
GANGWE MOB, MAMILIONEA WA MCHICHA NA KABICHI
BABU Inspector Haroun na Luteni Kalama, let me raise hell kuhusu umilionea wa Gangwe Mob.
Msimu wa kiangazi unaisha mwaka 2001, Gangwe wapo top...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amefungua Tamasha la pili la kitaifa la Utamaduni Agosti 25, 2023 katika viwanja vya Stendi ya zamani mkoani Njombe.
Katika...
Kuna hii movie ya 2023, inaitwa The Channel. Ni simple tu, kwamba mshikaji (ex marine) anaenda na wenzie kama wanne hivi (nao ni ex marine) akiwemo kaka yake mmoja kupora bank.
Mission ilikua...
Mtu kwao,
Mama anaungana na ndugu zake, jamaa na marafiki wa kwao kusheherekea na kuzindua miradi ya maendeleo.
Mnaeonda muende salama na mrudi salama majumbani mwenu.
1. Pesa nyingi...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu akiimba na kikundi cha Utamaduni toka India wimbo wa kihindi katika Tamasha la Pili la Kitaifa la Utamaduni linaloendelea Njombe.
Hata kama hajui kuandika mistari ntamuandikia Mimi. Tutapiga hela hatari.
Huyu ndio rapper sasa sio watoto wa mama kama kina Omollo
( pichani ni baada ya mama ake kuja eneo la tukio na...
morng
Its weekend again 26/08/2023 ni siku ya vibe nikualike au nikukumbushe wewe ambaye unatamani kutoka leo na upajui wapi kwa kwenda lakini pia wewe ni new comer in Dar es salaam unahitaji...
Binafsi naipenda zaidi fast 5. Location fulani ya kiuswazi swazi kule Brazil ambayo movie imechezwa na ingizo la Hoobs liliinogesha sana ile movie jamaa kaacha pengo kubwa sana baada ya kujitoa...
Nilisha wasikiliza sana Fid Q, Joh Makini, Chid Benzi, Songa, Jay Mo, Afande Sele, Niki wa pili, Stamina, Roma n.k
Baadae katika Hip Hop tunaona ujio wa vijana kama kina Country Boy, Young Killer...
Kijana Rahim anatokea kumpenda binti Sarah katika nyakati za mwisho za uhai wa binti huyo.
Wasichokijua ni kwamba penzi lao limeletwa kwa nguvu ya ajabu ili mtu aliyeharibu maisha ya Sarah atubu...
Wadau habari zenu, naomba msaada kw hapa moro/dar anaejua mahali wanapotoa huduma ya kucheza game za magari, yaan unakua na kiti na sterling then kuna tv mbele unakua unaendesha gari. Naonelea...
Msanii Nay wa Mitego, ameshusha Ngoma mpya humo ndani wanatajwa Panya Road, waliovaa suti mm bado sijawajua hao Panya Road waliovaa suti ni wa kina nani. Mwenye uelewa tafadhali.
Filamu 25 za Muda Wote Ambazo Zimeingiza Pesa Nyingi zaidi kwenye Kumbi za Filamu (Theatres)
1. Avatar: $2,923,706,026
2. Avengers: Endgame: $2,797,501,328
3. Avatar: The Way of Water...
Mimi sio mwandishi mzuri hivyo tutavumiliana kidogo.
Mimi ni kati ya wale vijana wachache ambao tumepata bahati ya kuwa na pesa tukiwa na umri mdogo, nikisema umri mdogo sijui mnanielewa? By 22...
Mu hali gani wadau poleni na mchakato mzima wa DPW pamoja na TEC. Rejea kichwa cha habari hapo juu nataman sana kuzipata hizo tamthilia nimejaribu kuzitafta youtube na platform mbali mbali lakin...
WACHAGAAAA MPOOOOOOO
SHIMBONI SHAFOOO WACHAGAAAAA... HAYA MMESHAHESABIWAAA MKUJEEE HUKU TUWEKANE SAWAAA.... MAISHA YAMEBADILIKAAAA SASAAAA MFANYE KAZIIII KWERI KWERIII
KIRU
SEHEMU YA 1
A...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.