Wahuni wetuMsanii Nay wa Mitego, ameshusha Ngoma mpya humo ndani wanatajwa Panya Road, waliovaa suti mm bado sijawajua hao Panya Road waliovaa suti ni wa kina nani. Mwenye uelewa tafadhali.
Utaelewaga tu mdo mdo, cha kwanza fuatilia mikataba yetu tang 1985 mpaka sasa!! Mengine utajiongeza mwenyew mbele kwa mbele!!Msanii Nay wa Mitego, ameshusha Ngoma mpya humo ndani wanatajwa Panya Road, waliovaa suti mm bado sijawajua hao Panya Road waliovaa suti ni wa kina nani. Mwenye uelewa tafadhali.
Bana bana banaMsanii Nay wa Mitego, ameshusha Ngoma mpya humo ndani wanatajwa Panya Road, waliovaa suti mm bado sijawajua hao Panya Road waliovaa suti ni wa kina nani. Mwenye uelewa tafadhali.
Kwann?Bana bana bana
Usitutake ubaya tukimwaga nyongo zetu😄
Tunaishi nao ila wao wapo kwenye sutiKwann?
Okay.Tunaishi nao ila wao wapo kwenye suti