Hadithi: Bora mchaga mwizi kuliko mpare bahili

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,930
14,826
WACHAGAAAA MPOOOOOOO


SHIMBONI SHAFOOO WACHAGAAAAA... HAYA MMESHAHESABIWAAA MKUJEEE HUKU TUWEKANE SAWAAA.... MAISHA YAMEBADILIKAAAA SASAAAA MFANYE KAZIIII KWERI KWERIII


KIRU


SEHEMU YA 1

A. MAMA SITAKI KUOLEWA NA WACHAGAA

MANKA:



Yani mama mimi sipendi kabisa kuolewa na hawa ma shemeji zako wa kichaga, unajua sielewi kwanini uliolewa nao mama; kwanza ilikuwaje ukaolewa na wachaga!?


Mama Manka: ah acha tu mwanangu, ila baba yako nampenda sana


Manka: du kweli una moyo! sio kwa maisha haya tunayoishi asee. Mzee ana hela ana mali lakini tunaishi kama mafukara machokoraa wa kutupwaa!


Angalia familia ya akina Eliza na akina Ngosha pale angalia akina Lulu wanavyoishi.

Huyu Mumeo sijui yupoje!? kwanza amerudi? maana akiniskia nitakomaa


NKAKENI: kwanza Mama hii Tabia ya Baba kila akirudi nyumbani watoto tunamwogopa kama Mungu ni nini lakini?!


Kwanini tusiwe kama akina Ngosha Baba yao akija tu wanamkimbilia wanamkumbatia wanaenda nae ndani.

Sisi Baba akija kila mtu anakimbilia kulala na hapo uwe umefanya homework zote umemaliza, Baba yako mzazi anakuwa kama shetani wa kuzimu bwana! Mimi haya maisha siyapendi hata kidogo yani wachaga nimewachukia hakuna mfano wake! siwapendi na sidhani kama nataka hata kuolewa nao, wanaanzaje labda? na ikitokea siku mmeamua kula mahari ya mchaga kisa mnanioza mimi, mtajiju, nitafanya mpango huo mtanikuta nimeshaolewa sehemu nyingineee... yani kuolewa na mchaga! Bora nikaolewe na Mpemba au Mwarabu anigeuze jinsia lakini sio Mchaga, Never!


Manka: alafu Tabia ya kutulazimisha kwenda Moshi, kila mwezi wa 12 kama wafungwa nimeshachoka sitaki.. sasa hivi nimemaliza sekondari naenda chuo nataka uhuru wangu. Nimefaulu form 6 sawa naenda hapo Ifm kusoma kwanza nataka nikae hostel, niishi maisha ambayo Mungu amenipangia kuishi sio haya ya Mungu-shetani-Binadamu

Mungu akitokea shetani anakimbia

Shetani akitokea Binadamu anakimbia nimeshachoka Mama


Nataka nikienda chuo niende kujirusha nakula bata na kuku mzima, sio hapa nyumbani ni vipapatio tangu tupo wadogo mpaka wakubwa ni nini hiki?


Mimi mpaka sahivi sina bwana, sijui hata kupenda, sijui chochote kuhusu wanaume, wanaume nawaona kama mashetani maisha gani sasa haya!? yani wanaume siwapendi kwasababu ya huyu anayeitwa Baba yetu, mshenzi sana ni katili wa kufa mtu!


Nkakeni: kuhusu kula kuku, kwanza mpaka twende sabasaba au twende Moshi Krismas ndio tunakula paja na mgongo ila hapa nyumbani vipapatio kwenda mbele yani mama ni aibu sana!


Alafu Mama nimesahau kukwambia, nimepata mchumba Mama yangu, natamani nije kumtambulisha ila nawaza naanzaje, wakati baba namwona kama Chui


Mama; oh mwanangu umepata mchumba, jamaani hongera sana, anaitwa nani, kabila gani, anaishi wapi, anafanya wapi kazi? analeta lini mahari? !


Nkakeni: mahari?! Mahari nani analeta nimempiga stop staki mahari maana ni aibu na huyu baba yetu ushenzi mtupu! Mama sio kwa mateso ya hapa nyumbani

Huyu mzee ni dictator wa kufa mtu, alafu mama mumeo nitakuja mfanya kitu kibaya mpaka arudishe namba kwa Mungu!


Mama: kwaiyo unataka kumwuua baba yako?!


Nkakeni: simuui ila nitamfanya kitu mbaya mpaka ajute kuzaliwa ataondoka mwenyewe atuachie sisi tuishi vizuri.

watu tunaishi kama tupo mafia au Sudan kusini kwenye vita kumbe tunaishi kwa wazazi


Pendo: Hivi Mama, huyu mumeo anajua kupenda kweli?

Kwanza ulimpatia wapi maana wewe sio wa kabila hili wewe ni mtu wa Dodoma


Mama: mh jaman mbona mmeniandama hivi?!

Wewe Nkakeni unataka kuolewa wakati shule ndio kwanza form 4 umemaliza acha ujinga, soma mpaka chuo upate kazi. Baba yako hatopokea mahari bora umrudishe huyo mchumba wako


Manka: dada Pendo, unakumbuka tuliendaga Moshi juzi kati kwa ajili ya christmass, si shangazi akawa anaongea na marafkizake anawaambia wifi yake ni Chyasaka?!


Pendo & Nkakeni: eh niliskia nilitamani kumpiga shangazi na jiwe kama sio kaka kunistopisha! alinikera sana shangazi


Pendo: Hawa wachaga mimi siwapendi hata tone

Embu angalia Baba ana hotel 3 Dar es salaam. .. Ana hotel 1 Moshi. .. Ana nyumba 3 dar za kupanga, anafanya kazi serikalini ni boss lakini watoto wooote tumesoma shule za kayumba kuanzia vidudu mpaka chuo labda kama Nkakeni atapata bahati ya kusomeshwa shule za uzunguni za ulaya


Mimi kama dada yenu Pendo sitaki kabisa kusikia habari za kuolewa.


Kama wanaume wote wapo kama baba yangu, basi wakae na madyu dyu yao sitaki kabisa kuwaona! bora nife na bikira yangu nirudi Mbinguni niitwe Mtakatifu kuliko kumpa mwanaume usichana wangu alafu aje anitese kama Baba alivyomtesa Mama, sitaki huo ujinga hata kusikia!


Mama: akainama chini, mchozi ukaanza kumtoka mama wa watu, wakawa wanambembeleza ikabidi Mama yao afunguke kabla mumewe hajarudi


Unajua nimeumia sana pale Pendo aliposema hataki kuolewa tena imeniuma sana. Pendo naomba ufute hio kauli haraka sana maana itakutesa maisha yako yote hata kama utaolewa au laa


Miaka ya 70 nilipomaliza shule form 6, wazazi wangu wote walifariki katika ajali ya bus, wakitokea dodoma kwenda Dar.


Wazazi wangu walikuwa wanapendana sana sana sana hamna mfano wake!


Tangu hapo nikaja kulelewa na jamaa ya baba alikuwa Mchaga, alinitesa sana hakunijali alinifanya kama kijana wa kazi... kuamka asbh saa 12 kukatia ng'ombe majani na kurudi kukamua maziwa mpaka uje kunywa chai ni saa 4 asbh, chakula cha mchana saa 9 jioni cha usiku saa 5 usiku Kuamka asbh saa 10 asbh

Maisha yakawa magumu Elimu yangu ya form 6 ikaishia hapo hapo sikuweza kwenda national service wala wapi nikawa mkatia ng'ombe majani wa jamaa alienichukua.


Kwetu nimezaliwa mtoto peke yangu, sikuwa na ndugu na wazazi walipokufa nikabaki mwenyewe


Nikaishi na wale watu kwa muda wa miaka 5, siku moja akaja Baba yetu toka kijiji kingine cha huku Moshi, akaniona akanipenda akawa ananitaka mimi namkataa kwasababu sikuwahi kuwapenda wachaga kabisaa kwa yale mateso ya yule Baba na mkewe


Hapo natamani kutoroka sipati nafasi, kila nikijaribu nakamatwa basi nikakata tamaa nikaamua kukaa tu sasa sina msaada hakuna kitu, kanisani siendi maana nimeshakuwa dada wa kazi wa ile nyumba.


Nikaona bora nijifunzage na kichaga nikaanza kujifunza nikaweza!


Yule baba alienichukua aliniwekea ulinzi mkali na akahakikisha watu wote pamoja na majirani kuwa mimi ni mtoto wake.


Maisha ykawa yanazidi kuwa magumu kwangu kweli kweli, tena sana nikawa navumilia navumilia nahisi 40 yangu ikafikia tamati.


Siku 1, ilikuwa usiku wa mwaka mpya pale kijijini kwetu Kilimanjaro, wakawa wanachoma matairi shangwe za hapa na pale, wanapika pombe za makunduuu (makunduu ni ndizi za kupikia pombe )




Nikakaa kwenye kijiwe naangalia watu wanasherehekea mwaka mpya wa 1978

Sipo mbali na mlango wa nyumbani nikaamua kuonja na pombe ya makunduuu

Mara naskia mtu ananikaba shingo alafu akaniziba mdomo sikukumbuka kitu kingine tena baada ya hapo!


kuzinduka niko kwenye chumba nisicho kijua, kuna kitanda kimoja basi.

Nikajua naota nikarudia kulala, kuzinduka tena baadae kweli sipo nyumbani kwetu, nikaanza kupiga kelele;

Mara akaja kijana mmoja nisiemjua akanifokea unanini wewe mwanamke shida nini?!

Hujui kuwa umeshaolewa?!


Nikamwuliza nimeolewa?! kivipi?!


Kijana: nimekuoa jana usiku nimekuiba kwenye mkesha wa mwaka mpya na leo yameshapita masaa 18 yakifika 48 hawakuoni nyumbani basi wanajua ushaolewa


Eh kuskia hivyo nikapiga makelele zaidi, ili majirani waje lakini hamna cha majirani wala nini!

Kumbe kanificha porini hamna watu mpaka utembee km 5, alifanya makusudi akijua kule watanitafuta akaamua kunificha mbali.


Kweli masaa 48 yakapita kweli, nikawa rasmi mke wa mtu nisiemjua kwa kuibwa baada ya siku 3 nikarudishwa kijijini kwao Machame.

Nikakaa mke wa mtu, nina uchungu sina raha naona dunia yote imeniangukia mimi, kadri siku zilivyozidi kwenda nikaikubali ile hali kuwa basi nimeshaolewa! ila kwa yule bwana nilikuwa nimeruka majivu kwa kukanyaga motooo


Miezi 9 ikapita nikamzaa kaka yenu huko kijijini, baadae maisha yakawa magumu mume wangu ambae ni Baba yenu akaumwa sana karibu ya kufa, wazee wa baba yenu wakakaa kuumizana kichwa na kufanya maombi ya kimila wakajua aliniiba mkesha wa mwaka mpya, wakamwambia mrudishe mtoto wa watu ukamuoe vizuri kwa upya, uombe na msamaha umekosea sana, mizimu ya kwao inaita haraka arudishwe mtoto wa watu kwao.


Ndio hapo nikapona kwa kurudishwa kwa yule baba jamaa na kakaenu,


Yule baba alipotuona alifurahi sana na mke wake, wazee wakaongeaaa wakaomba msamaha yule baba alienilea akakubali akasamehe wakalipa faini ya ng'ombe 30, mbuzi 20 na kondoo 5, zikaletwa ndani ya siku 3, wakaomba dua, basi mume wangu akaanza kupona, baada ya wiki akawa mzima kabisa.


Wakatufungisha ndoa baada ya wiki 2 ndio nikaolewa sasa na baba yenu rasmi huku nimeshazaa mtoto wa kwanza kaka yenu


Baada ya siku 5 za mila na ndoa tukarudi kijijini kwetu Machame kwa mume pamoja na wazee na kakayenu..


Tulipofika baada ya mwezi mmoja Baba yenu akapigiwa simu amehamishiwa kikazi Dar es salaam ndio tukaingia Dar es salaam mwaka wa 79, kaka yenu akiwa na mwaka mmoja tukaingia kwa baraka za wazazi wote


Nyumba ya kwanza tulioishi ilikuwa Kijitonyama, tukaanza maisha hapo akazaliwa Pendo, ukaja Manka ukaja Nkakeni ndio tukahamia Upanga.


Tukaishi Upanga sana mpaka mwaka wa 2000 tukahamia Mbezi Beach enzi hizo Mbezi Beach ilikuwa hot cake sana, lakini ilikuwa inasikika kama Mbezi Beach ya majambazi


Ndio mpaka leo tupo hapa; mmezaliwa mmekulia, mmesoma Dar, wengine kuanzia nursery mpaka Chuo mpo hapa.

Ila ndio hivyo kuwachukia kwangu wachaga hakujasaidia maana ukatili niliofanyiwa na baba yenu ndio niliofanyiwa na baba mlezi wangu


Sikutamani kuolewa kabisa lakini nikaishiwa kuolewa na wachaga hao hao niliowachukia

Sasa nyie watoto mnataka kuleta mapinduzi yapi tena wakati maisha yenyewe ndio haya haya,


Zikubalini hali zenu jamani, acheni ujinga na tamaa watoto

Mnanicheka mimi angalau mimi nafaidi vinono kama kawaida

Baba yenu akiacha paja la kuku nakula.


Na nyie subiri mkiolewa mtakula vinono vyenu msinisumbue mimi


Pendo tema mate chini tafadhali, maneno yasijekukurudia! kiru... wai!


Maisha haya tulionayo ni mazuri sana kuliko yale niliokuwa naishi mimi.


Manka: haya sio maisha Mama, wewe ulivyokuwa na huyo mlezi wako ulikuwa unamwangalia kama Mungu flani na kumwogopa!?

Chakula hamli pamoja, mnawekwa jikoni, kumwona baba mpaka sikukuu haya ni maisha gani jamani Mama?


Mama: ndio, tena bora nyinyi mimi nilikuwa nakula jikoni na mbwa na ng'ombe si bora nyie mnakula chumbani kwenu au jikoni hapa pazuri kabisa!

Mshukuru Mungu basi na hivi mimi ni mama wa nyumbani hata sijui mtafanyaje.

Lkn angalau mmesoma mpaka chuo na kaka yenu anayo ajira angalau mtanisaidiaga huko baadae


Manka: Thats Bullshit Mama! naona Baba keshakuharibu na wewe umeshaanza kufanana nae, hapa lazima baba tumweke sawa haya sio maisha

Si ndio dada zangu au Mnasemaje? !


Mimi bado naendelea kusema sitakaa kuolewa na mchaga kama dada Pendo sijui Nkakeni. Mimi wachaga sitaki hata kuwaona na hapa wamenifuata wachaga kibao nimewakaaaajee sasa sipendi ujinga na ushenzi na wachaga kabisa mama.


Pendo & Nkakeni : ndio je, ngoja kaka aje tuongee nae tuongee na baba kuwa haya maisha hatuyataki tunataka kumfahamu Baba yetu

Sio kumwona Baba kama kituo cha polisi


Wote wakakubaliana kumpindua Baba yao huku wanacheka, Mama yao anawaangalia tu anajua hapa hamna kitu!

Mara wakasikia honi ya gari ikapigwa peeeeee peeeeeeee


Watoto wakapiga yowe Baba huyoooo basi kila mmoja akakimbia na njia yake kulala, nduki kitandani walishasahu wanataka kuongea na Baba yao.


Mama yao akacheeeeka, akajisemea kweli hapa bado sana akaenda kumkaribisha Mume wake, Mzee wa Kichaga!



WACHA MOVIE LIEBDELEEE TAR 23 JAN 2018 SAA 1 JIONI YA TZ

 


Yani mama mimi sipendi kabisa kuolewa na hawa ma shemeji zako wa kichaga, unajua sielewi kwanini uliolewa nao mama; kwanza ilikuwaje ukaolewa na wachaga!?


Mama Manka: ah acha tu mwanangu, ila baba yako nampenda sana


Manka: du kweli una moyo! sio kwa maisha haya tunayoishi asee. Mzee ana hela ana mali lakini tunaishi kama mafukara machokoraa wa kutupwaa!


Angalia familia ya akina Eliza na akina Ngosha pale angalia akina Lulu wanavyoishi.

Huyu Mumeo sijui yupoje!? kwanza amerudi? maana akiniskia nitakomaa


NKAKENI: kwanza Mama hii Tabia ya Baba kila akirudi nyumbani watoto tunamwogopa kama Mungu ni nini lakini?!


Kwanini tusiwe kama akina Ngosha Baba yao akija tu wanamkimbilia wanamkumbatia wanaenda nae ndani.

Sisi Baba akija kila mtu anakimbilia kulala na hapo uwe umefanya homework zote umemaliza, Baba yako mzazi anakuwa kama shetani wa kuzimu bwana! Mimi haya maisha siyapendi hata kidogo yani wachaga nimewachukia hakuna mfano wake! siwapendi na sidhani kama nataka hata kuolewa nao, wanaanzaje labda? na ikitokea siku mmeamua kula mahari ya mchaga kisa mnanioza mimi, mtajiju, nitafanya mpango huo mtanikuta nimeshaolewa sehemu nyingineee... yani kuolewa na mchaga! Bora nikaolewe na Mpemba au Mwarabu anigeuze jinsia lakini sio Mchaga, Never!


Manka: alafu Tabia ya kutulazimisha kwenda Moshi, kila mwezi wa 12 kama wafungwa nimeshachoka sitaki.. sasa hivi nimemaliza sekondari naenda chuo nataka uhuru wangu. Nimefaulu form 6 sawa naenda hapo Ifm kusoma kwanza nataka nikae hostel, niishi maisha ambayo Mungu amenipangia kuishi sio haya ya Mungu-shetani-Binadamu

Mungu akitokea shetani anakimbia

Shetani akitokea Binadamu anakimbia nimeshachoka Mama


Nataka nikienda chuo niende kujirusha nakula bata na kuku mzima, sio hapa nyumbani ni vipapatio tangu tupo wadogo mpaka wakubwa ni nini hiki?


Mimi mpaka sahivi sina bwana, sijui hata kupenda, sijui chochote kuhusu wanaume, wanaume nawaona kama mashetani maisha gani sasa haya!? yani wanaume siwapendi kwasababu ya huyu anayeitwa Baba yetu, mshenzi sana ni katili wa kufa mtu!


Nkakeni: kuhusu kula kuku, kwanza mpaka twende sabasaba au twende Moshi Krismas ndio tunakula paja na mgongo ila hapa nyumbani vipapatio kwenda mbele yani mama ni aibu sana!


Alafu Mama nimesahau kukwambia, nimepata mchumba Mama yangu, natamani nije kumtambulisha ila nawaza naanzaje, wakati baba namwona kama Chui


Mama; oh mwanangu umepata mchumba, jamaani hongera sana, anaitwa nani, kabila gani, anaishi wapi, anafanya wapi kazi? analeta lini mahari? !


Nkakeni: mahari?! Mahari nani analeta nimempiga stop staki mahari maana ni aibu na huyu baba yetu ushenzi mtupu! Mama sio kwa mateso ya hapa nyumbani

Huyu mzee ni dictator wa kufa mtu, alafu mama mumeo nitakuja mfanya kitu kibaya mpaka arudishe namba kwa Mungu!


Mama: kwaiyo unataka kumwuua baba yako?!


Nkakeni: simuui ila nitamfanya kitu mbaya mpaka ajute kuzaliwa ataondoka mwenyewe atuachie sisi tuishi vizuri.

watu tunaishi kama tupo mafia au Sudan kusini kwenye vita kumbe tunaishi kwa wazazi


Pendo: Hivi Mama, huyu mumeo anajua kupenda kweli?

Kwanza ulimpatia wapi maana wewe sio wa kabila hili wewe ni mtu wa Dodoma


Mama: mh jaman mbona mmeniandama hivi?!

Wewe Nkakeni unataka kuolewa wakati shule ndio kwanza form 4 umemaliza acha ujinga, soma mpaka chuo upate kazi. Baba yako hatopokea mahari bora umrudishe huyo mchumba wako


Manka: dada Pendo, unakumbuka tuliendaga Moshi juzi kati kwa ajili ya christmass, si shangazi akawa anaongea na marafkizake anawaambia wifi yake ni Chyasaka?!


Pendo & Nkakeni: eh niliskia nilitamani kumpiga shangazi na jiwe kama sio kaka kunistopisha! alinikera sana shangazi


Pendo: Hawa wachaga mimi siwapendi hata tone

Embu angalia Baba ana hotel 3 Dar es salaam. .. Ana hotel 1 Moshi. .. Ana nyumba 3 dar za kupanga, anafanya kazi serikalini ni boss lakini watoto wooote tumesoma shule za kayumba kuanzia vidudu mpaka chuo labda kama Nkakeni atapata bahati ya kusomeshwa shule za uzunguni za ulaya


Mimi kama dada yenu Pendo sitaki kabisa kusikia habari za kuolewa.


Kama wanaume wote wapo kama baba yangu, basi wakae na madyu dyu yao sitaki kabisa kuwaona! bora nife na bikira yangu nirudi Mbinguni niitwe Mtakatifu kuliko kumpa mwanaume usichana wangu alafu aje anitese kama Baba alivyomtesa Mama, sitaki huo ujinga hata kusikia!


Mama: akainama chini, mchozi ukaanza kumtoka mama wa watu, wakawa wanambembeleza ikabidi Mama yao afunguke kabla mumewe hajarudi


Unajua nimeumia sana pale Pendo aliposema hataki kuolewa tena imeniuma sana. Pendo naomba ufute hio kauli haraka sana maana itakutesa maisha yako yote hata kama utaolewa au laa


Miaka ya 70 nilipomaliza shule form 6, wazazi wangu wote walifariki katika ajali ya bus, wakitokea dodoma kwenda Dar.


Wazazi wangu walikuwa wanapendana sana sana sana hamna mfano wake!


Tangu hapo nikaja kulelewa na jamaa ya baba alikuwa Mchaga, alinitesa sana hakunijali alinifanya kama kijana wa kazi... kuamka asbh saa 12 kukatia ng'ombe majani na kurudi kukamua maziwa mpaka uje kunywa chai ni saa 4 asbh, chakula cha mchana saa 9 jioni cha usiku saa 5 usiku Kuamka asbh saa 10 asbh

Maisha yakawa magumu Elimu yangu ya form 6 ikaishia hapo hapo sikuweza kwenda national service wala wapi nikawa mkatia ng'ombe majani wa jamaa alienichukua.


Kwetu nimezaliwa mtoto peke yangu, sikuwa na ndugu na wazazi walipokufa nikabaki mwenyewe


Nikaishi na wale watu kwa muda wa miaka 5, siku moja akaja Baba yetu toka kijiji kingine cha huku Moshi, akaniona akanipenda akawa ananitaka mimi namkataa kwasababu sikuwahi kuwapenda wachaga kabisaa kwa yale mateso ya yule Baba na mkewe


Hapo natamani kutoroka sipati nafasi, kila nikijaribu nakamatwa basi nikakata tamaa nikaamua kukaa tu sasa sina msaada hakuna kitu, kanisani siendi maana nimeshakuwa dada wa kazi wa ile nyumba.


Nikaona bora nijifunzage na kichaga nikaanza kujifunza nikaweza!


Yule baba alienichukua aliniwekea ulinzi mkali na akahakikisha watu wote pamoja na majirani kuwa mimi ni mtoto wake.


Maisha ykawa yanazidi kuwa magumu kwangu kweli kweli, tena sana nikawa navumilia navumilia nahisi 40 yangu ikafikia tamati.


Siku 1, ilikuwa usiku wa mwaka mpya pale kijijini kwetu Kilimanjaro, wakawa wanachoma matairi shangwe za hapa na pale, wanapika pombe za makunduuu (makunduu ni ndizi za kupikia pombe )




Nikakaa kwenye kijiwe naangalia watu wanasherehekea mwaka mpya wa 1978

Sipo mbali na mlango wa nyumbani nikaamua kuonja na pombe ya makunduuu

Mara naskia mtu ananikaba shingo alafu akaniziba mdomo sikukumbuka kitu kingine tena baada ya hapo!


kuzinduka niko kwenye chumba nisicho kijua, kuna kitanda kimoja basi.

Nikajua naota nikarudia kulala, kuzinduka tena baadae kweli sipo nyumbani kwetu, nikaanza kupiga kelele;

Mara akaja kijana mmoja nisiemjua akanifokea unanini wewe mwanamke shida nini?!

Hujui kuwa umeshaolewa?!


Nikamwuliza nimeolewa?! kivipi?!


Kijana: nimekuoa jana usiku nimekuiba kwenye mkesha wa mwaka mpya na leo yameshapita masaa 18 yakifika 48 hawakuoni nyumbani basi wanajua ushaolewa


Eh kuskia hivyo nikapiga makelele zaidi, ili majirani waje lakini hamna cha majirani wala nini!

Kumbe kanificha porini hamna watu mpaka utembee km 5, alifanya makusudi akijua kule watanitafuta akaamua kunificha mbali.


Kweli masaa 48 yakapita kweli, nikawa rasmi mke wa mtu nisiemjua kwa kuibwa baada ya siku 3 nikarudishwa kijijini kwao Machame.

Nikakaa mke wa mtu, nina uchungu sina raha naona dunia yote imeniangukia mimi, kadri siku zilivyozidi kwenda nikaikubali ile hali kuwa basi nimeshaolewa! ila kwa yule bwana nilikuwa nimeruka majivu kwa kukanyaga motooo


Miezi 9 ikapita nikamzaa kaka yenu huko kijijini, baadae maisha yakawa magumu mume wangu ambae ni Baba yenu akaumwa sana karibu ya kufa, wazee wa baba yenu wakakaa kuumizana kichwa na kufanya maombi ya kimila wakajua aliniiba mkesha wa mwaka mpya, wakamwambia mrudishe mtoto wa watu ukamuoe vizuri kwa upya, uombe na msamaha umekosea sana, mizimu ya kwao inaita haraka arudishwe mtoto wa watu kwao.


Ndio hapo nikapona kwa kurudishwa kwa yule baba jamaa na kakaenu,


Yule baba alipotuona alifurahi sana na mke wake, wazee wakaongeaaa wakaomba msamaha yule baba alienilea akakubali akasamehe wakalipa faini ya ng'ombe 30, mbuzi 20 na kondoo 5, zikaletwa ndani ya siku 3, wakaomba dua, basi mume wangu akaanza kupona, baada ya wiki akawa mzima kabisa.


Wakatufungisha ndoa baada ya wiki 2 ndio nikaolewa sasa na baba yenu rasmi huku nimeshazaa mtoto wa kwanza kaka yenu


Baada ya siku 5 za mila na ndoa tukarudi kijijini kwetu Machame kwa mume pamoja na wazee na kakayenu..


Tulipofika baada ya mwezi mmoja Baba yenu akapigiwa simu amehamishiwa kikazi Dar es salaam ndio tukaingia Dar es salaam mwaka wa 79, kaka yenu akiwa na mwaka mmoja tukaingia kwa baraka za wazazi wote


Nyumba ya kwanza tulioishi ilikuwa Kijitonyama, tukaanza maisha hapo akazaliwa Pendo, ukaja Manka ukaja Nkakeni ndio tukahamia Upanga.


Tukaishi Upanga sana mpaka mwaka wa 2000 tukahamia Mbezi Beach enzi hizo Mbezi Beach ilikuwa hot cake sana, lakini ilikuwa inasikika kama Mbezi Beach ya majambazi


Ndio mpaka leo tupo hapa; mmezaliwa mmekulia, mmesoma Dar, wengine kuanzia nursery mpaka Chuo mpo hapa.

Ila ndio hivyo kuwachukia kwangu wachaga hakujasaidia maana ukatili niliofanyiwa na baba yenu ndio niliofanyiwa na baba mlezi wangu


Sikutamani kuolewa kabisa lakini nikaishiwa kuolewa na wachaga hao hao niliowachukia

Sasa nyie watoto mnataka kuleta mapinduzi yapi tena wakati maisha yenyewe ndio haya haya,


Zikubalini hali zenu jamani, acheni ujinga na tamaa watoto

Mnanicheka mimi angalau mimi nafaidi vinono kama kawaida

Baba yenu akiacha paja la kuku nakula.


Na nyie subiri mkiolewa mtakula vinono vyenu msinisumbue mimi


Pendo tema mate chini tafadhali, maneno yasijekukurudia! kiru... wai!


Maisha haya tulionayo ni mazuri sana kuliko yale niliokuwa naishi mimi.


Manka: haya sio maisha Mama, wewe ulivyokuwa na huyo mlezi wako ulikuwa unamwangalia kama Mungu flani na kumwogopa!?

Chakula hamli pamoja, mnawekwa jikoni, kumwona baba mpaka sikukuu haya ni maisha gani jamani Mama?


Mama: ndio, tena bora nyinyi mimi nilikuwa nakula jikoni na mbwa na ng'ombe si bora nyie mnakula chumbani kwenu au jikoni hapa pazuri kabisa!

Mshukuru Mungu basi na hivi mimi ni mama wa nyumbani hata sijui mtafanyaje.

Lkn angalau mmesoma mpaka chuo na kaka yenu anayo ajira angalau mtanisaidiaga huko baadae


Manka: Thats Bullshit Mama! naona Baba keshakuharibu na wewe umeshaanza kufanana nae, hapa lazima baba tumweke sawa haya sio maisha

Si ndio dada zangu au Mnasemaje? !


Mimi bado naendelea kusema sitakaa kuolewa na mchaga kama dada Pendo sijui Nkakeni. Mimi wachaga sitaki hata kuwaona na hapa wamenifuata wachaga kibao nimewakaaaajee sasa sipendi ujinga na ushenzi na wachaga kabisa mama.


Pendo & Nkakeni : ndio je, ngoja kaka aje tuongee nae tuongee na baba kuwa haya maisha hatuyataki tunataka kumfahamu Baba yetu

Sio kumwona Baba kama kituo cha polisi


Wote wakakubaliana kumpindua Baba yao huku wanacheka, Mama yao anawaangalia tu anajua hapa hamna kitu!

Mara wakasikia honi ya gari ikapigwa peeeeee peeeeeeee


Watoto wakapiga yowe Baba huyoooo basi kila mmoja akakimbia na njia yake kulala, nduki kitandani walishasahu wanataka kuongea na Baba yao.


Mama yao akacheeeeka, akajisemea kweli hapa bado sana akaenda kumkaribisha Mume wake, Mzee wa Kichaga!

 
B. WAPARE ON FLEEK



Sisi wanatuitaga Pare sisters ila sisi tunajiita Dante sisters

Sisi ni wapare wa Mwanga, sisi sio wabahili kama wale wa Same
Kwanza wapare wa Mwanga ni wazuri, wameumbika kama midoli, wana mashepu kama akina Beyonce, K.Michelle, Nicki Minaj, kifupi sisi ni wazuri, alafu sisi ni watumiaji wa hela, tupo proud, tunajiskia, tunanata si hela ipo, tofauti na hawa ndugu zetu chokambaya wa Same, alafu tunajua kujipenda, tunavaaje na kupendezaje sasa


Kitandani ndio usiseme, Mpare anatoa darasa kwa Mhaya na Mchaga; Mpare akimkamata mumeo, mke atasubiria sana
Nashangaa watu wanasema wanawake wa Singida wakimkamata mumeo hawachomoki ila wamesahau wapare ndio no 1
Sasa madada wa Singida anajuaje kuhusu Class?! wakati wamezaliwa huko porini na manyani na mbuga za wanyama kibao, wanavyovaa nguo zao kwa rangi za ajabu ajabu kama wanyasa au upinde wa mvua?!
Sisi wapare ni kiboko, wanatuita weka mbali na watoto


Lakini ambacho nashindwa kuwaelewa wa Tanzania wenzangu ni kwanini wanapenda kutuita wabahili, tuna kula ugali na picha ya samaki

Wapare sio wote wabahili; kuna wapare wabahili ila sio wote, labda wapare wa Same ila sio wa Mwanga.. sisi tunatumbua maisha kwa kwenda mbele

Ndio Upareni hapajajengeka kiviiile kama kwa Wachaga, Waarusha, Wasukuma na Wahaya, lakini ipo sababu mtaijua tu mbeleni

Kwa jina naitwa Omana, mrembo wa kipare, kwa wazazi wangu tumezaliwa wadada 3, ila mimi ni mzaliwa wa mwisho, dada yangu wa kwanza anaitwa Jomana, wa pili Noelina

Tumekulia kijijini Mwanga, tumesomea Mwanga kuanzia vidudu mpaka darasa la 7
Baada ya hapo Baba akapata Biashara Dar ikabidi tuhamie Dar, tukatua Keko Magurumbasi tukaanza shule keko form 1 mpaka form 4 Baba akapata channel kubwa ya biashara tukahamia Mikocheni B.

Hapo ndipo maisha yetu yalibadilika, naongelea maisha ya familia yangu mimi ya kipare.

Shule tukahamishwa tukaanza kusoma za kizungu kama Academic schools, tukaanza kula bata mjini, tukaanza kuishi maisha mazuri, shopping kila mwezi tunapelekwa Woolworth, tunaenda Kenya enzi hizo Kenya ni Hotcake, kusema kweli ukisema Wapare wabahili mimi siwezi kukuamini maana wazazi wangu hawakuwa wabahili tangu tupo kijijini
Sijui wengine maisha yao yalivyo na wala siwezi kuwasemea


Manka:
Yani wewe Omana kwa kujisifia umeshida,


Mwone kwanza huna lolote
Huyu mwoneni hivi hivi kuna vitu havisemi anajipaisha paisha bure tu hapa

Wewe Omana wewe, kwanini dada yako Jomana haolewi? Ameshaposwa mara 3 lakini wanaume wanakimbia!

Ina maana mzee wako kazi yake ni Kupokea mahari? Au anawafanya mabinti zake kitega uchumi cha kupatia hela?!
Omana:

Wewe Manka mbona dada zako hawaolewi?! si bora wangu wanachumbiwa?!

Manka:
Sasa yupi afadhali?! Mwenye dada asiechumbiwa na hajaolewa au mwenye dada anaechumbiwa na kuwekewa gundu na wanaume alafu haolewi?! Eti Money Penny tuambie!

Money Penny Tz:
Nikanyamaza kwa muda kidogo, baadae nikamwuliza Manka, kwani kuolewa na kutoolewa kunaingiliana nini na Upare?!

Manka:
Wapare bwana mashauzi kibao lakini hawana kitu, sijui wapoje, mimi kila siku namwambia Omana acha kujishaua kujipaisha wala maisha yenu hayapo ivyo!

Money Penny, huyu Omana, Babake sasa hivi hana hata hela kwa taarifa yako, ndio zamani walikuwa na hela, wakasomeshwa vizuri sana mpaka chuo, kazi dada zao wanafanya mabenki, wana nafasi nzuri ndio wanafunika wazee wao na hata hapo Mikocheni wameshahama wanaishi Kunduchi Beach kiwanja ambacho Baba yake alipewa zawadi na rafiki yake ndio wakajenga hapo kwa mkopo wa benki dada zake Omana wamechukua.

Wakajenga nyumba ya vyumba 3 wakahamia hapo, vinginevyo wangerudi Same sijui Mwanga sijui Moshi Kijijiniiii, huyu Mashauzi mwongo sana hana lolote.

Money Penny Tz:
Sasa Manka mbona unaonekana kama una hasira na Omana au una hasira na Wapare? ! Unanichanganya ujue! kuna nini hapa kati ambacho sikielewi!

Omana:
Ndioooo mwambie dada penny, ahahahaha uuuwi kweli wachaga na wapare hawawezi kaa chungu kimoja ndio maana mababu wakatufanya kuwa watani ili kumaliza ugomvi

Manka:
Yani dada penny ngoja nikueleze ukweli wa Omana,
huyu bibie anapenda maisha flani ambayo kwao yalishaisha, huyu mwone hivyo hivyo ni kahuni balaa!
Tena usijejiloga penny ukamwonyesha Mumeo utajuta!

Yani weka mbali na mume huyu anaitwa!

Omana wewe si unaendaga na kwa waganga wewe au sio?!
Juzi kati kaenda bagamoyo, hapo kuna mume wa mtu alimpata ana vihela, haka ka-Omana kanapenda mabonge ya bwana hataki kukubaliana na hali ya familia yao anataka mambo makubwa tu na hata Baba yake alishamweleza ila ni kichwa panzi hasikii


Kamwendea Baba wa watu kwa mganga Bagamoyo, uzuri mke wa huyo Baba ni Mlokole, Omana akashindwa
Alipoona ameshindwa akakaa kimya akaachana na yule Baba.


Baadae akaja kupata bwana mwengine mfanya biashara Mkinga ana maduka kkoo, akafanya vile vile kwa kumwendea kwa mganga ila safari hii hakwenda bagamoyo akaenda kwao Mwanga, sasa huo ugomvi wake sikuhio tupo pale chuoni Ifm kwenye discussion usiku, akaja Mkinga wake kwa jazba anamwita, akajua kimenuka
akaniomba Manka nisindikize nikija kuuawa wewe shahidi.


Kwenda kuskiliza ugomvi nikajua kuwa Mkinga nae ni mchawi vile vile. Akamwambia Omana wewe mwanamke unataka kuniloga mimi utakufa wewe kabla yangu, mimi nimekupenda kama ulivyo na wala sijatumia dawa nina mke na watoto nyumbani lakini nimekupenda sijakuzuilia kupata vijana wenzako kabisaa wala sijakuendea kwa waganga
Sasa kama unataka kuniloga utakuwa chizi, utajuta kuzaliwa naweza hata kukugeuza mbwa nikakukula mshenzi mkubwa wewe! Akaondoka Mkinga wa watu mimi namshangaa na kucheka Omana anajiliza.


Ndio siri ikatoka Omana anapenda kwenda kwa waganga tangu sikuhio Omana hana mashauzi tena kwangu, kama anaendesha maisha yake na masomo kwa nguvu za giza asithubutu kuniloga mimi half-cast wa kichaga.. wagogo kwa mama wana dawa kuliko wapare na wamachame ndio usiseme

Ndo ivyo penny hawa wapare hamna kitu ubahili tu na ulimbukeni unawasumbua

Kwanza penny huyu Omana ni mbahiiiiliiii hakuna mfano alafu ana roho mbaya sana, nadhani dada zake wapo hivyo hivyo ndio maana wakichumbiwa wanaume wanawakimbia
Roho mbaya na uchoyo kwa wapare unawafanya waitwe wabahili.


Ngoja nikwambie kwanini Dada Penny, juzi kati nilipoteza hela pale chuoni nikampigia simu Omana nikamwomba anisaidie kwa kunikopa elfu 30 nimalizie mitihani nikirudi nyumbani nitamrudishia, huwezi amini Penny alinikatalia katu katu!
Basi nikamwomba dada mwengine akanifadhili na elfu 20 nikapumua.
Baada ya nusu saa Omana akaja chumbani akaweka wallet kwenye kitanda akasema anaenda chooni.


Nikaichungulia wallet yake, kuangalia nakuta ana laki 3, nikachukua elfu 30 nikajikausha
Akaja toka chooni, anajiongelesha oh mimi sina hela, nisamehe Manka ningekuwa nayo ningekupa


Mimi namwangalia tu Omana ananiadithia sijui karudiana na Bwana wake Mkinga, sasa mambo ni shwari ameshasahau blah blah blah kibao

Baada ya lisaa limoja Omana akaondoka hajui kama nimemwibia elfu 30, wewe Omana mchoyo sana na una roho mbaya mtoto wa kipare na ukiendelea hivi utakufa vibaya kama mbwa na ulimi nje.

Omana:
ahaa! kumbe ndio wewe uliniibia elfu 30 yangu ee, kweli nimeamini wachaga wezi, bora umejisema nipe hela yangu haraka

Manka: wala sikupi kwanza, maana sina

Omana: nipe bwana tutagombana!

Manka: mmmh wapare bwana, njaa tu zinawasumbua yani wewe kunisaidia elfu 30 ninakufa na shida unashindwa?!

Omana: kama wewe ulivyo na njaa mpaka ukaniibia, mwizi mkubwa wewe nipe elfu 30 yangu

Manka: akatoa elfu 30 akampa na akatoa na elfu 10 akamrushia usoni, hio utakunywa soda maana umetoa povu sana kila mtu hapa hotelini anakushangaa

Money Penny nikacheeeka nikacheka mpaka Omana akaamua kuondoka kwa aibu na ile elfu 10 kaichukua, cheza wapare wewe
Shikamoo Wapare!



Tuonane tar 8 FEB 2018 SAA 2 USIKU YA TZ

 
Hili la wachaga wezi, matapeli, wadhulumati nilkuwa nalsikia tu mpaka nlipokuja jihakikishia baada ya kupigwa pesa ndefu
 
KWAJINA NAITWA MONEY PENNY KWA MSIONIFAHAMU

NI MWANDISHI WA HADITHI ZA MAPENZI MAISHA NA MAHUSIANO

HADITHI YANGU YA LEO INAANZA KAMA IFUATAVYO:​

Yani mama mimi sipendi kabisa kuolewa na hawa ma shemeji zako wa kichaga, unajua sielewi kwanini uliolewa nao mama; kwanza ilikuwaje ukaolewa na wachaga!?

Mama Manka: ah acha tu mwanangu, ila baba yako nampenda sana

Manka: du kweli una moyo! sio kwa maisha haya tunayoishi asee. Mzee ana hela ana mali lakini tunaishi kama mafukara machokoraa wa kutupwaa!

Angalia familia ya akina Eliza na akina Ngosha pale angalia akina Lulu wanavyoishi.

Huyu Mumeo sijui yupoje!? kwanza amerudi? maana akiniskia nitakomaa

NKAKENI: kwanza Mama hii Tabia ya Baba kila akirudi nyumbani watoto tunamwogopa kama Mungu ni nini lakini?!

Kwanini tusiwe kama akina Ngosha Baba yao akija tu wanamkimbilia wanamkumbatia wanaenda nae ndani.

Sisi Baba akija kila mtu anakimbilia kulala na hapo uwe umefanya homework zote umemaliza, Baba yako mzazi anakuwa kama shetani wa kuzimu bwana! Mimi haya maisha siyapendi hata kidogo yani wachaga nimewachukia hakuna mfano wake! siwapendi na sidhani kama nataka hata kuolewa nao, wanaanzaje labda? na ikitokea siku mmeamua kula mahari ya mchaga kisa mnanioza mimi, mtajiju, nitafanya mpango huo mtanikuta nimeshaolewa sehemu nyingineee... yani kuolewa na mchaga! Bora nikaolewe na Mpemba au Mwarabu anigeuze jinsia lakini sio Mchaga, Never!

Manka: alafu Tabia ya kutulazimisha kwenda Moshi, kila mwezi wa 12 kama wafungwa nimeshachoka sitaki.. sasa hivi nimemaliza sekondari naenda chuo nataka uhuru wangu. Nimefaulu form 6 sawa naenda hapo Ifm kusoma kwanza nataka nikae hostel, niishi maisha ambayo Mungu amenipangia kuishi sio haya ya Mungu-shetani-Binadamu

Mungu akitokea shetani anakimbia

Shetani akitokea Binadamu anakimbia nimeshachoka Mama

Nataka nikienda chuo niende kujirusha nakula bata na kuku mzima, sio hapa nyumbani ni vipapatio tangu tupo wadogo mpaka wakubwa ni nini hiki?


Mimi mpaka sahivi sina bwana, sijui hata kupenda, sijui chochote kuhusu wanaume, wanaume nawaona kama mashetani maisha gani sasa haya!? yani wanaume siwapendi kwasababu ya huyu anayeitwa Baba yetu, mshenzi sana ni katili wa kufa mtu!


Nkakeni: kuhusu kula kuku, kwanza mpaka twende sabasaba au twende Moshi Krismas ndio tunakula paja na mgongo ila hapa nyumbani vipapatio kwenda mbele yani mama ni aibu sana!

Alafu Mama nimesahau kukwambia, nimepata mchumba Mama yangu, natamani nije kumtambulisha ila nawaza naanzaje, wakati baba namwona kama Chui

Mama; oh mwanangu umepata mchumba, jamaani hongera sana, anaitwa nani, kabila gani, anaishi wapi, anafanya wapi kazi? analeta lini mahari? !

Nkakeni: mahari?! Mahari nani analeta nimempiga stop staki mahari maana ni aibu na huyu baba yetu ushenzi mtupu! Mama sio kwa mateso ya hapa nyumbani

Huyu mzee ni dictator wa kufa mtu, alafu mama mumeo nitakuja mfanya kitu kibaya mpaka arudishe namba kwa Mungu!

Mama: kwaiyo unataka kumwuua baba yako?!

Nkakeni: simuui ila nitamfanya kitu mbaya mpaka ajute kuzaliwa ataondoka mwenyewe atuachie sisi tuishi vizuri.

watu tunaishi kama tupo mafia au Sudan kusini kwenye vita kumbe tunaishi kwa wazazi

Pendo: Hivi Mama, huyu mumeo anajua kupenda kweli?

Kwanza ulimpatia wapi maana wewe sio wa kabila hili wewe ni mtu wa Dodoma

Mama: mh jaman mbona mmeniandama hivi?!

Wewe Nkakeni unataka kuolewa wakati shule ndio kwanza form 4 umemaliza acha ujinga, soma mpaka chuo upate kazi. Baba yako hatopokea mahari bora umrudishe huyo mchumba wako

Manka: dada Pendo, unakumbuka tuliendaga Moshi juzi kati kwa ajili ya christmass, si shangazi akawa anaongea na marafkizake anawaambia wifi yake ni Chyasaka?!

Pendo & Nkakeni: eh niliskia nilitamani kumpiga shangazi na jiwe kama sio kaka kunistopisha! alinikera sana shangazi

Pendo: Hawa wachaga mimi siwapendi hata tone

Embu angalia Baba ana hotel 3 Dar es salaam. .. Ana hotel 1 Moshi. .. Ana nyumba 3 dar za kupanga, anafanya kazi serikalini ni boss lakini watoto wooote tumesoma shule za kayumba kuanzia vidudu mpaka chuo labda kama Nkakeni atapata bahati ya kusomeshwa shule za uzunguni za ulaya

Mimi kama dada yenu Pendo sitaki kabisa kusikia habari za kuolewa.

Kama wanaume wote wapo kama baba yangu, basi wakae na madyu dyu yao sitaki kabisa kuwaona! bora nife na bikira yangu nirudi Mbinguni niitwe Mtakatifu kuliko kumpa mwanaume usichana wangu alafu aje anitese kama Baba alivyomtesa Mama, sitaki huo ujinga hata kusikia!

Mama: akainama chini, mchozi ukaanza kumtoka mama wa watu, wakawa wanambembeleza ikabidi Mama yao afunguke kabla mumewe hajarudi

Unajua nimeumia sana pale Pendo aliposema hataki kuolewa tena imeniuma sana. Pendo naomba ufute hio kauli haraka sana maana itakutesa maisha yako yote hata kama utaolewa au laa

Miaka ya 70 nilipomaliza shule form 6, wazazi wangu wote walifariki katika ajali ya bus, wakitokea dodoma kwenda Dar.

Wazazi wangu walikuwa wanapendana sana sana sana hamna mfano wake!

Tangu hapo nikaja kulelewa na jamaa ya baba alikuwa Mchaga, alinitesa sana hakunijali alinifanya kama kijana wa kazi... kuamka asbh saa 12 kukatia ng'ombe majani na kurudi kukamua maziwa mpaka uje kunywa chai ni saa 4 asbh, chakula cha mchana saa 9 jioni cha usiku saa 5 usiku Kuamka asbh saa 10 asbh

Maisha yakawa magumu Elimu yangu ya form 6 ikaishia hapo hapo sikuweza kwenda national service wala wapi nikawa mkatia ng'ombe majani wa jamaa alienichukua.

Kwetu nimezaliwa mtoto peke yangu, sikuwa na ndugu na wazazi walipokufa nikabaki mwenyewe

Nikaishi na wale watu kwa muda wa miaka 5, siku moja akaja Baba yetu toka kijiji kingine cha huku Moshi, akaniona akanipenda akawa ananitaka mimi namkataa kwasababu sikuwahi kuwapenda wachaga kabisaa kwa yale mateso ya yule Baba na mkewe

Hapo natamani kutoroka sipati nafasi, kila nikijaribu nakamatwa basi nikakata tamaa nikaamua kukaa tu sasa sina msaada hakuna kitu, kanisani siendi maana nimeshakuwa dada wa kazi wa ile nyumba.

Nikaona bora nijifunzage na kichaga nikaanza kujifunza nikaweza!

Yule baba alienichukua aliniwekea ulinzi mkali na akahakikisha watu wote pamoja na majirani kuwa mimi ni mtoto wake.

Maisha ykawa yanazidi kuwa magumu kwangu kweli kweli, tena sana nikawa navumilia navumilia nahisi 40 yangu ikafikia tamati.

Siku 1, ilikuwa usiku wa mwaka mpya pale kijijini kwetu Kilimanjaro, wakawa wanachoma matairi shangwe za hapa na pale, wanapika pombe za makunduuu (makunduu ni ndizi za kupikia pombe )

Nikakaa kwenye kijiwe naangalia watu wanasherehekea mwaka mpya wa 1978

Sipo mbali na mlango wa nyumbani nikaamua kuonja na pombe ya makunduuu

Mara naskia mtu ananikaba shingo alafu akaniziba mdomo sikukumbuka kitu kingine tena baada ya hapo!

kuzinduka niko kwenye chumba nisicho kijua, kuna kitanda kimoja basi.

Nikajua naota nikarudia kulala, kuzinduka tena baadae kweli sipo nyumbani kwetu, nikaanza kupiga kelele;

Mara akaja kijana mmoja nisiemjua akanifokea unanini wewe mwanamke shida nini?!

Hujui kuwa umeshaolewa?!

Nikamwuliza nimeolewa?! kivipi?!

Kijana: nimekuoa jana usiku nimekuiba kwenye mkesha wa mwaka mpya na leo yameshapita masaa 18 yakifika 48 hawakuoni nyumbani basi wanajua ushaolewa

Eh kuskia hivyo nikapiga makelele zaidi, ili majirani waje lakini hamna cha majirani wala nini!

Kumbe kanificha porini hamna watu mpaka utembee km 5, alifanya makusudi akijua kule watanitafuta akaamua kunificha mbali.

Kweli masaa 48 yakapita kweli, nikawa rasmi mke wa mtu nisiemjua kwa kuibwa baada ya siku 3 nikarudishwa kijijini kwao Machame.

Nikakaa mke wa mtu, nina uchungu sina raha naona dunia yote imeniangukia mimi, kadri siku zilivyozidi kwenda nikaikubali ile hali kuwa basi nimeshaolewa! ila kwa yule bwana nilikuwa nimeruka majivu kwa kukanyaga motooo

Miezi 9 ikapita nikamzaa kaka yenu huko kijijini, baadae maisha yakawa magumu mume wangu ambae ni Baba yenu akaumwa sana karibu ya kufa, wazee wa baba yenu wakakaa kuumizana kichwa na kufanya maombi ya kimila wakajua aliniiba mkesha wa mwaka mpya, wakamwambia mrudishe mtoto wa watu ukamuoe vizuri kwa upya, uombe na msamaha umekosea sana, mizimu ya kwao inaita haraka arudishwe mtoto wa watu kwao.

Ndio hapo nikapona kwa kurudishwa kwa yule baba jamaa na kakaenu,

Yule baba alipotuona alifurahi sana na mke wake, wazee wakaongeaaa wakaomba msamaha yule baba alienilea akakubali akasamehe wakalipa faini ya ng'ombe 30, mbuzi 20 na kondoo 5, zikaletwa ndani ya siku 3, wakaomba dua, basi mume wangu akaanza kupona, baada ya wiki akawa mzima kabisa.

Wakatufungisha ndoa baada ya wiki 2 ndio nikaolewa sasa na baba yenu rasmi huku nimeshazaa mtoto wa kwanza kaka yenu

Baada ya siku 5 za mila na ndoa tukarudi kijijini kwetu Machame kwa mume pamoja na wazee na kakayenu..

Tulipofika baada ya mwezi mmoja Baba yenu akapigiwa simu amehamishiwa kikazi Dar es salaam ndio tukaingia Dar es salaam mwaka wa 79, kaka yenu akiwa na mwaka mmoja tukaingia kwa baraka za wazazi wote

Nyumba ya kwanza tulioishi ilikuwa Kijitonyama, tukaanza maisha hapo akazaliwa Pendo, ukaja Manka ukaja Nkakeni ndio tukahamia Upanga.

Tukaishi Upanga sana mpaka mwaka wa 2000 tukahamia Mbezi Beach enzi hizo Mbezi Beach ilikuwa hot cake sana, lakini ilikuwa inasikika kama Mbezi Beach ya majambazi

Ndio mpaka leo tupo hapa; mmezaliwa mmekulia, mmesoma Dar, wengine kuanzia nursery mpaka Chuo mpo hapa.

Ila ndio hivyo kuwachukia kwangu wachaga hakujasaidia maana ukatili niliofanyiwa na baba yenu ndio niliofanyiwa na baba mlezi wangu

Sikutamani kuolewa kabisa lakini nikaishiwa kuolewa na wachaga hao hao niliowachukia

Sasa nyie watoto mnataka kuleta mapinduzi yapi tena wakati maisha yenyewe ndio haya haya,

Zikubalini hali zenu jamani, acheni ujinga na tamaa watoto

Mnanicheka mimi angalau mimi nafaidi vinono kama kawaida

Baba yenu akiacha paja la kuku nakula.

Na nyie subiri mkiolewa mtakula vinono vyenu msinisumbue mimi

Pendo tema mate chini tafadhali, maneno yasijekukurudia! kiru... wai!

Maisha haya tulionayo ni mazuri sana kuliko yale niliokuwa naishi mimi.

Manka: haya sio maisha Mama, wewe ulivyokuwa na huyo mlezi wako ulikuwa unamwangalia kama Mungu flani na kumwogopa!?

Chakula hamli pamoja, mnawekwa jikoni, kumwona baba mpaka sikukuu haya ni maisha gani jamani Mama?

Mama: ndio, tena bora nyinyi mimi nilikuwa nakula jikoni na mbwa na ng'ombe si bora nyie mnakula chumbani kwenu au jikoni hapa pazuri kabisa!

Mshukuru Mungu basi na hivi mimi ni mama wa nyumbani hata sijui mtafanyaje.

Lkn angalau mmesoma mpaka chuo na kaka yenu anayo ajira angalau mtanisaidiaga huko baadae

Manka: Thats Bullshit Mama! naona Baba keshakuharibu na wewe umeshaanza kufanana nae, hapa lazima baba tumweke sawa haya sio maisha

Si ndio dada zangu au Mnasemaje? !

Mimi bado naendelea kusema sitakaa kuolewa na mchaga kama dada Pendo sijui Nkakeni. Mimi wachaga sitaki hata kuwaona na hapa wamenifuata wachaga kibao nimewakaaaajee sasa sipendi ujinga na ushenzi na wachaga kabisa mama.

Pendo & Nkakeni : ndio je, ngoja kaka aje tuongee nae tuongee na baba kuwa haya maisha hatuyataki tunataka kumfahamu Baba yetu

Sio kumwona Baba kama kituo cha polisi

Wote wakakubaliana kumpindua Baba yao huku wanacheka, Mama yao anawaangalia tu anajua hapa hamna kitu!

Mara wakasikia honi ya gari ikapigwa peeeeee peeeeeeee

Watoto wakapiga yowe Baba huyoooo basi kila mmoja akakimbia na njia yake kulala, nduki kitandani walishasahu wanataka kuongea na Baba yao.

Mama yao akacheeeeka, akajisemea kweli hapa bado sana akaenda kumkaribisha Mume wake, Mzee wa Kichaga!

 
B. WAPARE ON FLEEK





Sisi wanatuitaga Pare sisters ila sisi tunajiita Dante sisters

Sisi ni wapare wa Mwanga, sisi sio wabahili kama wale wa Same
Kwanza wapare wa Mwanga ni wazuri, wameumbika kama midoli, wana mashepu kama akina Beyonce, K.Michelle, Nicki Minaj, kifupi sisi ni wazuri, alafu sisi ni watumiaji wa hela, tupo proud, tunajiskia, tunanata si hela ipo, tofauti na hawa ndugu zetu chokambaya wa Same, alafu tunajua kujipenda, tunavaaje na kupendezaje sasa


Kitandani ndio usiseme, Mpare anatoa darasa kwa Mhaya na Mchaga; Mpare akimkamata mumeo, mke atasubiria sana
Nashangaa watu wanasema wanawake wa Singida wakimkamata mumeo hawachomoki ila wamesahau wapare ndio no 1
Sasa madada wa Singida anajuaje kuhusu Class?! wakati wamezaliwa huko porini na manyani na mbuga za wanyama kibao, wanavyovaa nguo zao kwa rangi za ajabu ajabu kama wanyasa au upinde wa mvua?!
Sisi wapare ni kiboko, wanatuita weka mbali na watoto


Lakini ambacho nashindwa kuwaelewa wa Tanzania wenzangu ni kwanini wanapenda kutuita wabahili, tuna kula ugali na picha ya samaki

Wapare sio wote wabahili; kuna wapare wabahili ila sio wote, labda wapare wa Same ila sio wa Mwanga.. sisi tunatumbua maisha kwa kwenda mbele

Ndio Upareni hapajajengeka kiviiile kama kwa Wachaga, Waarusha, Wasukuma na Wahaya, lakini ipo sababu mtaijua tu mbeleni

Kwa jina naitwa Omana, mrembo wa kipare, kwa wazazi wangu tumezaliwa wadada 3, ila mimi ni mzaliwa wa mwisho, dada yangu wa kwanza anaitwa Jomana, wa pili Noelina

Tumekulia kijijini Mwanga, tumesomea Mwanga kuanzia vidudu mpaka darasa la 7
Baada ya hapo Baba akapata Biashara Dar ikabidi tuhamie Dar, tukatua Keko Magurumbasi tukaanza shule keko form 1 mpaka form 4 Baba akapata channel kubwa ya biashara tukahamia Mikocheni B.

Hapo ndipo maisha yetu yalibadilika, naongelea maisha ya familia yangu mimi ya kipare.

Shule tukahamishwa tukaanza kusoma za kizungu kama Academic schools, tukaanza kula bata mjini, tukaanza kuishi maisha mazuri, shopping kila mwezi tunapelekwa Woolworth, tunaenda Kenya enzi hizo Kenya ni Hotcake, kusema kweli ukisema Wapare wabahili mimi siwezi kukuamini maana wazazi wangu hawakuwa wabahili tangu tupo kijijini
Sijui wengine maisha yao yalivyo na wala siwezi kuwasemea


Manka:
Yani wewe Omana kwa kujisifia umeshida,


Mwone kwanza huna lolote
Huyu mwoneni hivi hivi kuna vitu havisemi anajipaisha paisha bure tu hapa

Wewe Omana wewe, kwanini dada yako Jomana haolewi? Ameshaposwa mara 3 lakini wanaume wanakimbia!

Ina maana mzee wako kazi yake ni Kupokea mahari? Au anawafanya mabinti zake kitega uchumi cha kupatia hela?!
Omana:

Wewe Manka mbona dada zako hawaolewi?! si bora wangu wanachumbiwa?!

Manka:
Sasa yupi afadhali?! Mwenye dada asiechumbiwa na hajaolewa au mwenye dada anaechumbiwa na kuwekewa gundu na wanaume alafu haolewi?! Eti Money Penny tuambie!

Money Penny Tz:
Nikanyamaza kwa muda kidogo, baadae nikamwuliza Manka, kwani kuolewa na kutoolewa kunaingiliana nini na Upare?!

Manka:
Wapare bwana mashauzi kibao lakini hawana kitu, sijui wapoje, mimi kila siku namwambia Omana acha kujishaua kujipaisha wala maisha yenu hayapo ivyo!

Money Penny, huyu Omana, Babake sasa hivi hana hata hela kwa taarifa yako, ndio zamani walikuwa na hela, wakasomeshwa vizuri sana mpaka chuo, kazi dada zao wanafanya mabenki, wana nafasi nzuri ndio wanafunika wazee wao na hata hapo Mikocheni wameshahama wanaishi Kunduchi Beach kiwanja ambacho Baba yake alipewa zawadi na rafiki yake ndio wakajenga hapo kwa mkopo wa benki dada zake Omana wamechukua.

Wakajenga nyumba ya vyumba 3 wakahamia hapo, vinginevyo wangerudi Same sijui Mwanga sijui Moshi Kijijiniiii, huyu Mashauzi mwongo sana hana lolote.

Money Penny Tz:
Sasa Manka mbona unaonekana kama una hasira na Omana au una hasira na Wapare? ! Unanichanganya ujue! kuna nini hapa kati ambacho sikielewi!

Omana:
Ndioooo mwambie dada penny, ahahahaha uuuwi kweli wachaga na wapare hawawezi kaa chungu kimoja ndio maana mababu wakatufanya kuwa watani ili kumaliza ugomvi

Manka:
Yani dada penny ngoja nikueleze ukweli wa Omana,
huyu bibie anapenda maisha flani ambayo kwao yalishaisha, huyu mwone hivyo hivyo ni kahuni balaa!
Tena usijejiloga penny ukamwonyesha Mumeo utajuta!

Yani weka mbali na mume huyu anaitwa!

Omana wewe si unaendaga na kwa waganga wewe au sio?!
Juzi kati kaenda bagamoyo, hapo kuna mume wa mtu alimpata ana vihela, haka ka-Omana kanapenda mabonge ya bwana hataki kukubaliana na hali ya familia yao anataka mambo makubwa tu na hata Baba yake alishamweleza ila ni kichwa panzi hasikii


Kamwendea Baba wa watu kwa mganga Bagamoyo, uzuri mke wa huyo Baba ni Mlokole, Omana akashindwa
Alipoona ameshindwa akakaa kimya akaachana na yule Baba.


Baadae akaja kupata bwana mwengine mfanya biashara Mkinga ana maduka kkoo, akafanya vile vile kwa kumwendea kwa mganga ila safari hii hakwenda bagamoyo akaenda kwao Mwanga, sasa huo ugomvi wake sikuhio tupo pale chuoni Ifm kwenye discussion usiku, akaja Mkinga wake kwa jazba anamwita, akajua kimenuka
akaniomba Manka nisindikize nikija kuuawa wewe shahidi.


Kwenda kuskiliza ugomvi nikajua kuwa Mkinga nae ni mchawi vile vile. Akamwambia Omana wewe mwanamke unataka kuniloga mimi utakufa wewe kabla yangu, mimi nimekupenda kama ulivyo na wala sijatumia dawa nina mke na watoto nyumbani lakini nimekupenda sijakuzuilia kupata vijana wenzako kabisaa wala sijakuendea kwa waganga
Sasa kama unataka kuniloga utakuwa chizi, utajuta kuzaliwa naweza hata kukugeuza mbwa nikakukula mshenzi mkubwa wewe! Akaondoka Mkinga wa watu mimi namshangaa na kucheka Omana anajiliza.


Ndio siri ikatoka Omana anapenda kwenda kwa waganga tangu sikuhio Omana hana mashauzi tena kwangu, kama anaendesha maisha yake na masomo kwa nguvu za giza asithubutu kuniloga mimi half-cast wa kichaga.. wagogo kwa mama wana dawa kuliko wapare na wamachame ndio usiseme

Ndo ivyo penny hawa wapare hamna kitu ubahili tu na ulimbukeni unawasumbua

Kwanza penny huyu Omana ni mbahiiiiliiii hakuna mfano alafu ana roho mbaya sana, nadhani dada zake wapo hivyo hivyo ndio maana wakichumbiwa wanaume wanawakimbia
Roho mbaya na uchoyo kwa wapare unawafanya waitwe wabahili.


Ngoja nikwambie kwanini Dada Penny, juzi kati nilipoteza hela pale chuoni nikampigia simu Omana nikamwomba anisaidie kwa kunikopa elfu 30 nimalizie mitihani nikirudi nyumbani nitamrudishia, huwezi amini Penny alinikatalia katu katu!
Basi nikamwomba dada mwengine akanifadhili na elfu 20 nikapumua.
Baada ya nusu saa Omana akaja chumbani akaweka wallet kwenye kitanda akasema anaenda chooni.


Nikaichungulia wallet yake, kuangalia nakuta ana laki 3, nikachukua elfu 30 nikajikausha
Akaja toka chooni, anajiongelesha oh mimi sina hela, nisamehe Manka ningekuwa nayo ningekupa


Mimi namwangalia tu Omana ananiadithia sijui karudiana na Bwana wake Mkinga, sasa mambo ni shwari ameshasahau blah blah blah kibao

Baada ya lisaa limoja Omana akaondoka hajui kama nimemwibia elfu 30, wewe Omana mchoyo sana na una roho mbaya mtoto wa kipare na ukiendelea hivi utakufa vibaya kama mbwa na ulimi nje.

Omana:
ahaa! kumbe ndio wewe uliniibia elfu 30 yangu ee, kweli nimeamini wachaga wezi, bora umejisema nipe hela yangu haraka

Manka: wala sikupi kwanza, maana sina

Omana: nipe bwana tutagombana!

Manka: mmmh wapare bwana, njaa tu zinawasumbua yani wewe kunisaidia elfu 30 ninakufa na shida unashindwa?!

Omana: kama wewe ulivyo na njaa mpaka ukaniibia, mwizi mkubwa wewe nipe elfu 30 yangu

Manka: akatoa elfu 30 akampa na akatoa na elfu 10 akamrushia usoni, hio utakunywa soda maana umetoa povu sana kila mtu hapa hotelini anakushangaa

Money Penny nikacheeeka nikacheka mpaka Omana akaamua kuondoka kwa aibu na ile elfu 10 kaichukua, cheza wapare wewe
Shikamoo Wapare!



 
SEHEMU C.

TEA PARTY

PALM BEACH Hotel




Kila baada ya miezi 3 warembo 5 hukutana kwa ajili ya tea party, si unajua tena mambo ya kikundi

Katika warembo hao walikuwepo Omana, Manka, Doreen na Elizabeth

Omana na Manka kama unavyojua ni wapare na wachaga, Doreen ni Mpare na Elizabeth ni Msukuma

Basi wanakutanaga kwenye Tea Party wanadiscuss mambo yao ya kikundi na maendeleo, wanaongea mambo mengi ya masomo na maisha Baada ya masomo na mambo ya mapenzi na mengine mengi!

Wakiwa katika kikao kirefu, Manka akamchokonoa Omana kwa kumpitia Eliza na Doreen

Manka:
Eliza shemeji hajambo?!

Eliza:
mh hamna cha shemeji, mimi ni kama nipo single kwa sasa

Omana:
mmmh totoz kama wewe unakuwaje single?!

Eliza: akacheka tu, si unajua tena Eliza mpole, ila watu wapole ni wa kuogopwa maana wanabeba siri kubwa

Manka:
Alafu Eliza nimekumbuka, juzi kati nimekuja chuo kwenu Udsm nakuona unaingia kwenye shangingi moja la hatari, yule alikuwa baba yako au mjomba wako? Maana ilikuwa saa 3 usiku?!

Elizabeth:
akatabasamu lakini hakujibu,
Omana na Doreen na Manka wakaanza kuangaliana leo Eliza vipi? iyo mood vepee, wakaamua kumuacha maana anaonekana kama anapoteza network vile

Manka:
Doreen hawajambo nyumbani kwako?! Shemeji nae mzima?

Doreen:
Nyumbani wazima nitaenda baadae kuwasalimia,
Shemeji yenu hajambo ila yule wa last time nimeshapiga chini sasa hivi nipo na mwengine ila wapo 2

Omana & Manka:wawili?!

Doreen:
Ndio, mimi nimechoka na watanzania wanasumbua tu, nimeamua kutoka nje ya Tz

Manka na Omana:kama wapi?!

Eliza:
Uarabuni na China

Ikabidi wote wacheke, haaaaa! Doreen unabwana wa kichina?! Waarabu sawa tunawaelewa ngoja tukuweke kiporo ila wa kichina hili tunaanza nalo

Doreen:
jamani mabwana wa kwangu mimi nyie inawashangaza nini?!

Manka:
Ndugu yetu huyu bwana wa kichina anajua kizungu au mnaongea kichina?!

Eliza:
Mmh! hajui kizungu wala kiswahili hapo ni ububu mwanzo mwisho

Omana:
Hahaha hii kali, kwahiyo sasa ulimkubaliaje mpaka mkawa wapenzi?! maana hio inaitwa Lugha Gongana!

Manka:
Mmeshapigana mechi au bado?!

Doreen:
Tayar kila kitu, tena ananipeeendaa kweli kweli

Manka:
Oh jamaani! Akyanani ivi kwanza huyu mchina anafanya shughuli gani nchini au ndio anauza vigae na mapazia kariakoo?!

Doreen:
Ana biashara yake Kawe pale kuna garage kabla haujavuka daraja la kwenda kawe wamefungua garage

Manka:
Mmmh, haya mlikutana wapi embu tupe basi mkanda mnzima maana kukuuliza uliza kama mapolisi tunachoka

Doreen akaona aibu kujielezea ikabidi Eliza aingilie kati aongee

Eliza:
Nyie hamjui huyu ndugu yenu Doreen niwaambie mambo anayofanya ya aibu kabisaa

Doreen :
Eliza maliza tu kuongea na mie nayaweka yako hewani malizia tu

Eliza:
Weka, kha! Yangu yana afadhali kuliko ujinga unaoufanya

Basi niwaambie siku moja tupo Mlimani city pale tunasubiria kuingia kwenye Cinema, mara akaja mchina nae anakata tiketi, nadhani alichagua movie ya Skyfall ya James bond
Doreen na upare wake sijui njaa akaniambia huyu mchina handsome, very handsome amejazia ... angalia simu anayotumia ngoja niende kumsalimia
Nikamzuia lakini wapi hataki kuelewe akaenda akajigongesha kwa mchina wa watu, akajiangusha chini, ikabidi mchina amuokote na kumwomba samahani, hapo ndipo walianza kuongea

nikawa nawaangalia Doreen nikijua Mchina anajua kidhungu, kumbe bi Doreen hapa anamuongelesha kwa vitendo, mchina anaitikia kwa kichwa kama Mbwa

Wakaenda mpaka kwenye movie wote, nikaachwa kwenye mataa, ikabidi nikakae seat ya Mchina, Mchina akakaa siti yangu
Movie imeisha sijawaona akina Doreen nikaamua kuchukua bajaj kurudi chuo. Kufika nampiga simu hapatikani; aliniweka sana roho juu maana sikujua yupo na hali gani huko alipo!

Naulizia kwa roommate zake wanasema hajaja, nikarudi chumbani nakuta sms yake nipo na Mchina tuonane kesho simu imeisha chaji wewe rudi tu chuo.
Nikazima simu nikalala

Akaja kesho yake saa 6mchana kachokaa anaona hata aibu kwenda room kwake akaja room kwangu kuomba aoge alafu alale ndio arudi kwake
Nikamuhifadhi bibie si unajua mimi sina choyo mtoto wa kisukuma

Alipoamka na kujiandaa akaanza kunipa stori ya bwana wake wa kichina

Ananiambia jana usiku tukaenda nyumbani kwa mchina mikocheni, kufika show za awali zilikuwa nzuri

Cha kushangaza wakati namvua namkuta Mchina wa watu ana kidyudyu kidogo (kibamia) najaribu kukivaa kibamia kinapwaya hamna raha karaha mwanzo mwisho

Eliza nikacheeeka sio kwa kupatikana huku kwa Doreen akome kudandia wanaume namna ile, nikamwuliza ivi Doreen Tabia yako ya kutafuta mabonge ya bwana utaacha lini?! Kwanini unakuwa na tamaa kiasi hiki kwenu mpoje lakini?!

Doreen: akaniambia kuwa yeye hana wazazi ni yatima
Nimeelewa na mtu baki ambae alinitesa sana pale kijijini, nilipovunja ungo, akawa ananitaka kila siku, nikamtishia nakusemea kwa mkeo akaona namtania nilipoenda kumsemea kwa mkewe; mkewe akacheka, akaniambia wewe mtoto si ushakuwa mkubwa, sasa nakwambia utoke kwangu ukatafute bwana wako naona unanizengea mume wangu eti anakutana, akutake wewe una nini?! Jinsia tatu au?!

Nikafukuzwa nikaondoka kwenda kukaa kwa jirani? hapo nimemaliza darasa la 7

Nikaishi kwa jirani muda mrefu ila jirani alikuwa jirani wa mbali, majibu yakatoka nimefaulu darasa la 7, jirani akafurahi na mkewe wakakubali nisome kidato cha kwanza ila nikae boarding, Jirani akanifadhili nikasoma form 1 mpaka form 4, nikamaliza nikarudi pale kwake nikakaa nisubiri majibu ya form 4,

Katika shughuli za hapa na pale sikumoja yule akapita yule ambae nilikuwa naishi nae mwanzo mumewe akanitaka wakanifukuza, akaleta fitina kwa mama mwenye nyumba, yule mama jirani akaanza kuamini akaanza kunifanyia vituko si kajazwa maneno kwanini nimeruhusiwa kukaa hapa miaka yote hii?! akamwambia yule mama mwenye nyumba kuwa natembea na mume wake! mpaka nimesomeshwa lazima natembea nae!

ikabidi niondolewe pale kwa jirani, jirani akaniuliza unataka kwenda wapi sasa?!

Nikaumiza kichwa spati jibu mara naskia wimbo kwenye redio wa Mr Nice, Unaitwa Wawaaa
Unaimbwa hivi
kuku kapanda baiskeli bata Kavaa raizoni daresalaam wawaaaa, ikooo ikikoo ikooo kokokokokoo ikooo ikikoo shangiliaaa shangilia wewe, wawaaaa

Nikamwambia yule baba anataka kwenda Dar es salaam, sina hili wala lile sina 100 sijui naanza wapi maisha, hata matokeo yangu ya form form 4 hayajatoka.

Yule jirani akanipa hela kwa siri akanipeleka kituo cha bus, akanilipia usafiri wa kwenda Dar es Salaam, akanipa Tsh laki 3, akaniaelekeza Dar es salaam jinsi ya kufika, nikifika ubungo napanda daladala za kwenda sinza Kijiweni, nikifika Kijiweni niulizie chumba za kupanga lazima nitapata
Basi nikamuaga, nikaondoka Same kuja Dar, kufika nikafuatisha kweli maelekezo ya yule jirani, nikatua Sinza, nikashushwa kijiweni nikaakaa muda mrefu pale kituoni baadae nikamwona mama mtu mzima mwenye hekima zake nikamwuliza natafuta vyumba vya kupanga, akaniambia twende mwanangu mimi mwenyewe natafuta mpangaji, naona ni Mungu amekuleta ndio nikapata chumba na hifadhi Dar es salaam, kilikuwa chumba ki1 choo cha nje si unajua tena sinza palivyo, huyo mama alikuwa na nyumba kubwa mbele yetu sisi tukawa tunakaa kwa nyuma, tulikuwa wapangaji wa5, nikalipa kodi ya miezi 6, enzi hizo kodi alinifanyia elfu 40


Maisha yanaenda sina kitu zaidi ya nguo, najifungia tu ndani nikitoka nakula chips vibandani narudi kulala

Sikumoja Baba mwenye nyumba akaambiwa mimi naishi kwa kula chipsi vibandani akanichukua na mkewe wakaenda kuninunulia jiko la mchina na sufuria 3 na mwiko na mchele, mafuta, sukari, chumvi, maji ya kupikia, maji ya kunywa, viungo vya kupikia mboga, nyama, samaki, na mazagazaga yote ya upishi unayoyajua wewe ila hapo ni baada ya kuwaelezea nilipotoka na kuwa mimi ni yatima, wakanihurumia
Nikatafutiwa na kubarua cha u secretary kwa jamaa ya baba mwenye nyumba pale mwenge steshenari imagine graduate wa form 4 ... kweli usipokuwa na wazazi hata kama una degree hamna atakaekuangalia mara 2


Nikapiga mzigo mwenge steshenari, kwa muda wa miezi 3 naondoka asbh saa 12 narudi saa 2 usiku nalala sipiki nanunua msosi vibandani naingia kulala
Nikapiga kazi pale steshenari kwa muda wa miezi 6 nikaielewa dsm vizuri sana weekend j2 nazunguka mitaani makariakoo sijui wapi kote nazungushwa na majirani zangu mpaka nikauelewa mji wa dsm ulivyo kwa daladala


Baada ya miezi 8 majibu ya form 4 yakatoka, kwenye redio wakatangaza mwaka huu wamefanya vibaya sana kimatokeo nikajua na mie ndio baaas basi tena
Nikakaa mwezi mzima sijachungulia majibu, basi akaja baba m1 pale steshenari anataka kumwangalizia mwanae matokeo nikamfungulia akaangalia akafurahi mwanangu amefaulu jamani, mimi natamani kumwomba nashindwa
Akaja boss wangu pale anampa hongera, Boss akaniuliza wewe Doreen umeshacheki majibu yako, angalia sasa hivi mtandao naona hausumbui nikaingia kucheki matokeo roho yaniuma najua nimeshafeli, ile nafungua kudadeki nina div 1 ya mwisho nilifurahije sasa nikajua hapa sasa nitapata form six kama sio


Nikaamua kwenda kujiunga na chuo CBE diploma, nikapata masomo ya jioni nikapewa ruhusa na boss jioni naondoka saa 9 nanusu naenda kusoma diploma narudi home saa 4 usiku najisomea mpaka saa 6 kila siku nalala saa 6 kama sio saa 7, saa 12 nipo macho saa 1 asbh nipo mzigoni mwenge kwa muda wa miaka 2, nikafaulu vizuri sana sana sikuwahi kusapu! miaka miwili ya diploma

narudi home saa 4 usiku najisomea mpaka saa 6 kila siku nalala saa 6 kama sio saa 7, saa 12 nipo macho saa 1 asbh nipo mzigoni mwenge kwa muda wa miaka 2, nikafaulu vizuri sana sana sikuwahi kusapu! miaka miwili ya dimploma ikaisha, nilikuwa najisomesha kwa hela zangu na zingine mama mwenye nyumba ananisaidia kulipa kwa miaka 2 shule ikaisha, nimefaulu nikaona bora nije kujaribu bahati yangu kwa kusoma degree nione kama nitapata, nikaomba chuo IFM na UDSM na ST. Augustine maana niliskia mikopo inatolewa nikaenda kuomba kule Bodi ya Mikopo!

Kweli baada ya miezi 6 nikapata chuo Udsm kozi ya BCOM, nikaomba na hostel nikapata baada ya miezi 2 nikaanza chuo nikahama pale sinza, wale wenye nyumba walilia na majirani maana tumezoeana sio kitoto! wapangaji wenzangu hawataki niondoke wameshanipenda, mwenye nyumba akaamua kunihifadhia vitu vyangu vya jikoni ambavyo sikuweza kubeba hostel nikaondoka nimepata mkopo asilimia 100, nikapata nikaanza maisha yangu chuoni Udsm kwa upya

Mwaka wa kwanza nilikaa Mabibo hostel, kule ndio nilijua maisha ya mziki, tunatoka usiku tunaenda disco, maisha ya hostel za mabibo ni ya vituko, tunalala kitanda cha dabo deka, mwenzio analala juu na bwana wake wewe umelala chini unaskilizia wenzio wanapigana mechi na hamna kusema kwa mtu
Akyanani maisha ya mabibo yalikuwa ni nyokoo


Nikapataga kibwana kimoja cha kichaga nilipoenda disco, huyo bwana anaitwa kimaro mfanya biashara basi kila weekend tupo billcanas mara maisha club mara sijui wapi shule nikaona chungu nikajua lazima nita disco

Kimaro hakuwa mbahili alikuwa ananipa hela kila week na hivi alijua mimi ni yatima basi ana toa hela kama mchanga, ndio alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, basi mapenzi kem kem.

Kila weekend kwangu ilikuwa kama cinderela movie, lazima nifatwe na Prado ijumaa kurudishwa j3 asbh darasani
Kila mtu alijua huyu bwana atanioa, mwaka wa kwanza ukaisha nikafaulu sana kuliko nilivyotegemea
Nikaenda mwaka wa 2, nikahama mabibo nikahamia Udsm hostel za ndani kule nipo tu na kimaro wangu
Watu wakajua kimaro kimaro ndio atanioa nyooo
Ile mwaka wa 2 nimeshapiga pepa zote nasubiria matokeo bado nakaa hostel za chuo maana sina pa kwenda nikamfanyia surprise kimaro nyumbani kwake kufika si namkuta anamkung'uta demu kitandani mwake, kha! Nilichoooka ghaflaa nguvu zikaniisha,
Nikawa nimeganda nawaangalia machozi yananitoka mpaka wanakuja kumaliza wanashangaa mtu ameanguka chini puuu


Kuja kuzinduka nipo hospital na kimaro pembeni!

Kimaro: oh ulizimia baby nimekuleta hospital pole sana, kama sikumbuki alichonifanyia nikajifanya fala ili alipe bili ya hospital na kunirudisha chuoni

Kufika hostel nikamwambia bro mimi na wewe basi tena,

Kimaro hakuamini alilia kama mwenda wa zimu, hakutaka tuachane kabisaa nikamfukuza akaondoka ila ndio kila siku simu sms simu sms,

Wakati naugulia maumivu na machungu wakaja watu wa supplimentary shuleni kusoma, nikawa nimekaa kwenye ngazi nalia najiona maisha ndio basi tena akaja bibie Eliza hapa anaenda kusoma kafeli anawahi diskashen
Akanikuta nalia akaanza kunibembeleza jaman usilie pole sana akasahau na kwenda discussion akanipeleka chumbani kwake ikabidi nilale pale


Asbh akaamka akaondoka amefunga chumba kaweka namba yake ya simu ... akarudi saa 5 asbh bado nimelala akaniamsha kwa fujo nikaamka si unajua kwa watu tena, nikamwelezea yalionikuta maskini anaskitika usijali wanaume ndio walivyo wewe hauwajui achana nae blah blah blah kibao mimi namwangalia kama mahindi ya kuchoma

Akanitengenezea chai, akanipa panadol nikanywa nikala nikarudi kulala yeye buzy na kusoma

Baada ya siku 3 namwuliza Eliza unasoma nini?!
Akaniambia amefeli, anasoma sijui somo gan ambao mimi nimepata A
Nikampiga pindi anashangaa mambo marahisi wakati discussion anaiona chungu... hapo ndio nikapata rafiki wa kwanza wa kike anaitwa Eliza... alipomaliza mitihani ya supplimentary tukaenda kuomba tukae chumba kimoja kwa matron akakubali akahamishiwa chumbani kwangu tukawa marafiki tangu siku hio mpaka sasa


Kabla ya shule kuanza tukawa tunazurura, Eliza enzi hizo ana kibwana chake kinampeenda mimi namwangalia tu namhurumia nikijua lazima atapigwa tu sikumoja asiingize miguu na mikono yote kwa huyo bwana

Eliza akawa hasikiii, bwana mwenyewe mpare na mimi wapare nawajua vitombi hatari Eliza kakolea sijui yule bwana kamwekea dawa hata sielewi

Kabla hatujafungua chuo bwana wa Eliza asinitake nisimrekodi video kwenye simu na kumtishia namwonyesha Eliza utumbo unaoniambia akaacha ujinga wake ila mimi nilijua Eliza kuna sehemu atatundikwa tu msalabani, ila kwa sasa ngoja afaulu kwanza sapu na amalize shule maana atajiua Msukuma kama mhehe akipenda hehe

Mimi nikakaa single kwa muda mpaka tunafungua chuo nikaja kupata bwana pale pale chuo lecturer ila anafundisha corse nyingine, nikawa natoka nae kisiri siri Eliza hajui wala nini, shule ikaanza na mambo ya field na project bado nipo na lecturer Eliza hajui wala nini, hata tunaachana na lecturer Eliza hajui

Nikaja kupata mume wa mtu, kanikuta tu mlimani city ananitaka nikamsikiliza mume wa mtu ananipa hela mpaka nikawa namhurumia mkewe kuja kufanya uchunguzi naambiwa yule bwana ana mawe hatari, yani pale mimi nile navyotakaaa ila kuna tetesi yule bwana ni positive
Eh kusikia positive nikampiga hela nikakimbia na hivi sina makazi maalum alinipata wapi labda?!


Haya Eliza inatosha, nirudi kwako na wewe kupenda kuhadithia ya watu, je umewaeleza akina Omana ulivyotendwa na kaka zake?!

Doreen: Miezi 3 iliopitaa, Eliza alikuja kwangu analia, oh bwana wangu wa kipare nimemfumania anatembea na yule demu chumba cha tatu pia anatembea na lecturer wetu yule kadada ah Eliza aliumiaje Manka?!
Hapa kapona ndio maana mnamwona hivi ndio anapona pona ivoo, Eliza hakuwahi kuwa muhuni, Uhuni kaanza juzi mbonaa, ni sheedah, niseme nisiseme Eliza? !


Eliza huyu mnamwona hapa alishasema mapenzi basi, Msukuma kasusaaa...sasa hivi analipiza kisasi na kulenga tu hataki ujinga

Basi akaja kumpata huyo bwana sijui kamtoa wapi kudadeki, anamsaidia kutafuta wanaume... yupo kama dalali flani, anaitwa dalali nani we Eliza? !

Wenzake wanacheka hawana mbavu hio dalali vepee! ?

Eliza amenunaje sasa siri imetoka, prostitute la kisukuma Umeona wapi Eliza wewe- akajisemea Manka

Doreen:
Mimie simhukumu najua mapenzi yanauma sana, hasa unapokuwa umependa mazima mazima kama bibie ila hili la kuuzwa na huyo dalali nani tena, ah nimekumbuka Dalali Michael...


Manka na Omana:
Michael? ! Huyu Michael maarufu?!


Doreen:
Huyo huyo mnaemjua


Manka na Omana:
My dia ondoka kwa huyo kaka kabla hayajawa mabaya my dia, utajipatia maukimwi huko sijui utawaambia nini wazazi wako


Eliza:
mniacheeeee!
Pain changed me


Manka na Omana:
Haya mama tumekuacha, wewe endelea tu na dalali Michael tutakuja kukuletea juice na misosi hospital na maua kaburini kwako.


Manka:
Sasa naelewa kwanini nilikukuta unaingia kwenye gari kali nilipokuja chuoni kwenu Udsm usiku ule, kumbe shoga ulikuwa unaenda kutoa huduma?!
Unaenda kazini!
Haya unalipwa bei gani sasa?!


Eliza:
Kwa usiku m1 dola 300
( hapo dola 1 inasoma 2000)


Manka:
Tobaaaaaaa yani unaenda kutumika kwa laki 6 ambayo wewe unapata kwenye boom?! makubwaaa!


Mimi nakwambia Eliza kama rafi yako uko mbele utakuja kuozaaa, ukidhani unakomoa wanaume kumbe unajikomoa mwenyeweee
Chiu itaisha hio utakaa kama wa bibi mzee, itafika kipindi watakulipa hata dola 5000 wakufanye kinyume na maumbile mambo ya sodoma na gomora utaweza wapi shoga yangu wewe msukuma tangu lini akageuzwa kinyume na maumbile, unatia aibu ujue!


Wengine watakupa hata mil 100 wakuharibu tu, wanaume hawana maana, ukija kwenye kuzaa itabidi ujifungue kwa kisu kama utataka kwa njia ya kawaida itabidi wakuwekee magozi kama waarabu maana kusukuma mtoto sio mchezo.

Lakini nyie mademu wa Udsm wajinga sana, na wewe Doreen
Na hao waarabu vepee?! Usikute na wewe unageuzwa kinyume na maumbile unajishaua tu hapa


Doreen : Kimyaaaa!

Omana:
Doreen mpenz, usimsikilize mchaga mshenzi tu huyu hana ishu, nyuma au mbele mwili ni wa kwako, embu niambie hawa waarabu unawapata wapi?!
Na wewe Eliza nipe namba ya dalali Michael nataka mteja mie naona umezubaa, mwili wangu utauzwa mil 10 kwenda mbele sitaki ujinga


Manka:
Oh my gooood! Nilijua tu bibie huyu wa kipare na njaa zake lazima arukie tenda ahahahahahaha, haki ya Mungu mimi nawaambia mtanikumbuka maneno yangu na kwenye upuuzi wenu msinishirikishe, vitu gani lakini mnafanya?!


We Doreen hata kama ni yatima lakini Mbona Mungu amekusaidia umefaulu umepata mkopo haujawahi kufeli darasani, kitu gani kinakufanya mkajiuze uze namna hii
Mbona hamna dignity kabisa?! Class ya kipare imeenda wapi labda?!


We Eliza kwenu si mna hela lakini?! Unajiuza kwasababu mwanaume amekuumiza?!
Get over it sio wa kwanza kuumizana, my gaaad!


embu mimi nirudi hostel naona mnaniboa tu hapa na ujinga wenu

Manka akainuka huyooo akaondoka zake kawaacha warembo wanashangaa


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom