Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hello Jamii People. Been a while lakini yote heri au siyo. The messages that I receive mostly zinaniulizia kuhusu more stories. So nikaamua walau kila wiki niwe naandika something. Naanza na hii...
14 Reactions
398 Replies
74K Views
Baadhi yetu tunaamini kusikiliza muziki ni tiba ya bure kabisa (therapy) kitu ambacho kwa namna flani kina ukweli ndani yake, kila mtu ana aina ya mziki anaoupenda, wengine hupendelea gospel...
2 Reactions
7 Replies
689 Views
Hawa vijana wapo moto sana, usiseme ushawahi kusikiliza mziki halafu hii ngoma huna, hii ngoma ni kali balaa ina fleva kali za na amapiano humo ndani inaitwa "Sina ubaya by watu fresh"...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
HADITHI: KIFO CHA MWANDISHI SEHEMU YA KWANZA Mtunzi: More Mawasiliano: 0756320219 Hadi nafika nusu ya safari yangu bado nilikuwa nikijiuliza kama uamuzi wa kuwa na safari hii ulikuwa sahihi. Kila...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mambo niaje wadau, kuna wimbo mpya wa clouds unatumika tumika sana katika vipindi vyao, naweza kuupata jamani
1 Reactions
15 Replies
8K Views
Nyimbo tulizojufunza majeshini mafunzoni na kwenye mchakamchaka. 1. Baku babakubaba siitikii. 2. Inkalankala inka. 3. Nasoro unantafuta. 4. Impiizaaa. Ongezea nyingine
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Tazama video hiyo ambayo itaonyesha huduma nikiwa Nzega Tabora. Kwa sasa napatikana Der es salaam.
1 Reactions
6 Replies
736 Views
SEHEMU YA KWANZA Ushuhuda huu una sehemu 13, sehemu zote utazipata humu humu jamii forumu kila siku, tutakuwa na sehemu moja mpaka tutakapoumaliza ushuhuda hu Karibuni Sana! Marafiki wapendwa...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Huyu mwanadada Libianca ni mwanamuziki wa Cameroon, na mwaka huu ametoa wimbo uitwao PEOPLE. Binafsi nimeusikiliza mara kadhaa na kutambua kwamba huyu dada ana kipaji kikubwa mno cha uandishi na...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Shalom Shalom wapendwa. Ninamaandalizi ya tamasha la uzinduzi wa Albam ya video Mpya. Tamasha linafanyika Mkoani Tabora Nawakaribisha sana kusapoti maandalizi poa karibuni sana ndugu zangu 24...
1 Reactions
4 Replies
399 Views
Picha hizi siukumbusho tu lakini nikwamba Mungu ametuonekania tukiwa Kenya kwenye huduma. Picha na Mtumishi Robert Masai.
1 Reactions
2 Replies
486 Views
Aron Mvembezi Ft Yohana Anthony - Yupo Mungu wa kweli. Ni wimbo wenye matokeo makubwa ya nguvu ya Mungu. Ukisikiliza Nikama umefanya maombi ama imeombwa. Kama huamini hemu utazame na usikilize.
1 Reactions
1 Replies
398 Views
https://youtu.be/OJ_c-kqEd4k?si=CkRnIwDNNegB_gm6
1 Reactions
0 Replies
391 Views
Pasaka njema kwa wakristo wote, naomba niwape kisa hiki cha ukweli kilichotokea kusini mwa Tanzania mkoa x katika nyumba moja ya Bibi mstaafu. Jinsi nilivyo muonekano wangu, sio mfupi sana wala...
24 Reactions
129 Replies
20K Views
Kulikuwa na kijana mmoja aliitwa Prince, alikuwa ni bodaboda aliyekuwa jirani yetu, tulikuwa tunamwamini na hata kumpa baadhi ya mizigo yetu ya msingi atupelekee mahali tulipotaka ifike. Huu ni...
10 Reactions
133 Replies
16K Views
Nimeukuta mtandaoni. Uusikilize mwenyewe!
1 Reactions
1 Replies
728 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: BOKOLO BANA YA MBANDA NAYO MALAMU {𝙬𝙖𝙡𝙚𝙚 𝙫𝙞𝙯𝙪𝙧𝙞 𝙬𝙖𝙩𝙤𝙩𝙤 𝙬𝙖 𝙢𝙠𝙚 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙯𝙞𝙤 } 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: 𝐅𝐫𝐚𝐧𝐜𝐨 𝐋𝐮𝐚𝐦𝐛𝐨 &𝐓𝐏𝐎𝐊 𝐉𝐚𝐳𝐳 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: 𝑚𝑘𝑎𝑛𝑑𝑎𝑟𝑎𝑠𝑖 ^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^ 𝙆𝙞𝙨𝙖 𝙘𝙝𝙖 𝙬𝙞𝙢𝙗𝙤 𝙝𝙪𝙪...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
FATED TO DIE (MWENYE HATMA YA KUFA) SEHEMU YA 01 “Baby, mambo ni mengi nashindwa hata kutulia” aliongea Salome akiwa ameshikilia simu yake, yalikuwa majira ya usiku na alikuwa akiongea na mpenzi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Application gani nzuri kwa ku download Movies za Action
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya kikao na baadhi ya viongozi wa Chama cha Waigizaji Tanzania (TDFAA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho...
0 Reactions
0 Replies
319 Views
Back
Top Bottom