Bob junior Serengeti
Member
- Mar 25, 2023
- 73
- 246
Mimi sio mwandishi mzuri hivyo tutavumiliana kidogo.
Mimi ni kati ya wale vijana wachache ambao tumepata bahati ya kuwa na pesa tukiwa na umri mdogo, nikisema umri mdogo sijui mnanielewa? By 22 nilikuwa na nyumba 5 na gari za kutembelea mbili ukitoa vitu vingine ambavyo sio muhimu kusema.
Kabla hamjaanza kusema hii ni chai labda kidogo niwape chanzo cha mimi kuwa na access ya hizi mali. Kabla ya kufa, baba yangu alikuwa mfanyabiashara mkubwa na mkulima.
Baada ya kufariki mali ziligawanywa nusu kwa nusu kati yangu na aliyekuwa mke wa mzee kwa wakati huo, ingawa ulikuwa ni ugomvi mkubwa sana hadi tukafikia mgawanyo huo (story ya siku nyingine ).
Kwa mzee wangu nilizaliwa peke yangu na mama yangu alifariki baada ya kunizaa mimi, nimelelewa sana na mzee, nilipofika darasa la saba mzee akaamua kuvuta jiko ingawa muda wote hawakufanikiwa kupata mtoto.
pia baada ya kuingia sekondari nilipelekwa boarding hivyo hatukuwa na ukaribu sana na huyo mama mdogo.
Baada ya mgao nilipewa nyumba 5 ambazo 2 zilikuwa Dar na 3 mkoa tuliokuepo (mkoa sitotaja mzee wangu alikuwa maarufu kidogo), mashamba , Rav 4 Kili time na pesa ambazo tuligawana baada ya kuuza baadhi ya vitu.
Baada ya kumaliza Diploma katika Chuo kimoja Jiji la Makala, ndugu zangu ndio wakanipa full access ya vitu vyote, sikuwa na chochote cha kunirudisha mkoani kwangu hivyo nikaamua kuanza maisha Dar.
Nyumba zilikuwa zimepangishwa hivyo niliamua kupanga na pia sikutaka kukaa kwenye nyumba kubwa peke yangu, nilitafuta apartment karibu na town sababu nilikuwa na lengo la kufungua biashara hivyo sikutaka kukaa mbali sana na town. Pia nilinunua Toyota Ist ilikua nisaidia mizunguko ya town, Rav 4 Kili time niliipiga bei maana ilikuwa inafanya nimkumbuke sana mzee kila nikiiangalia.
Baada ya miezi minne ya kupambana kutafuta fremu nikfanikiwa kupata fremu Kariakoo, nikafungua duka la computer's na vifaa vyake. Nilikuwa na uzoefu na biashara hii, pia nilipata msaada kutoka kwa uncle wangu ambae alikuwa akiifanya hii biashara.
Bidhaa nyingi tuliagiza Dubai na China, mara nyingi Uncle alienda kufunga mzigo Dubai hasa hizi computer refurbished na vifaa vingine, kwa hiyo nikawa naunganisha mzigo kwake baadae nikawa naenda pia.
Kwa ufupi baada ya kama miaka 3 hivi nikiwa Dar nilifanikiwa kusettle, nilikuwa na biashara iliyosimama vizuri, nilipata pesa za kodi, mashamba nilikuwa nikikodisha sababu sikuwa interested sana na kilimo, nikanunua gari nyingine Crown athlete.
Pamoja na yote hayo bado nilikuwa naishi kwenye apartment, nilikuwa sio mtu wa bata sana starehe yangu kubwa ilikuwa kucheza game, movies na gambe ingawa nilipenda sana kunywa nyumbani, nikitoka ni mara moja moja sana.
Kipindi hiki chote pamoja na kula mbususu kadhaa ila nilikuwa na demu mmoja tu, tulianza kudate tukiwa diploma akafanikiwa kupata kazi, hivyo mara nyingi alikuwa akija home na kurudi kwao. Alikuwa mwanamke mmoja smart sana, very caring, mpishi mmoja hatari sana, ingawa hakubarikiwa sana sura ila shepu ilikuwa ni shida. Nilimpenda sana pia alinikaba kila kona hata kucheat ikawa kidogo mtihani labda kula kimasihara zilipojitokeza.
Mzee wangu alinifundisha vitu vingi kuhusu biashara pamoja na pesa, pia ukaribu wangu na uncle ulichangia sana kunifanya niwe na matumizi mazuri ya pesa pamoja na kuwekeza.
Hadi kipindi hiki mambo yalikuwa yananiendea vizuri pesa nilikuwa naiona, pia nilikuwa na mpango wa kumvisha pete Lisa ambaye alikuwa mpenzi wangu kwa kipindi hicho.
Ilikuwa ni Ijumaa baada ya kucheza sana game na masela wangu home, mida ya saa tatu nikapokea sms kutoka kwa Lisa, anataka nimfate anakuja kulala kwangu, ikabidi niwapeleke masela home halafu nikampitia Lisa maeneo ya kwao. Alikuwa na nyege sana siku hiyo tulivyofika home hatukuwa na mambo mengi moja kwa moja tulianza show, baada ya round ya pili kuisha tukiwa tunajiandaa kwenda kuoga simu yangu ikaita sababu ilikuwa usiku sana, Lisa akawahi kuchukua simu lengo kujua nani anapiga.
Baada ya kuangali simu na kuona namba ngeni akaniangalia kwa jicho kali akapokea na kuweka loud speaker na kunipa simu huku akisikiliza kwa makini.....
Itaendelea....
Mimi ni kati ya wale vijana wachache ambao tumepata bahati ya kuwa na pesa tukiwa na umri mdogo, nikisema umri mdogo sijui mnanielewa? By 22 nilikuwa na nyumba 5 na gari za kutembelea mbili ukitoa vitu vingine ambavyo sio muhimu kusema.
Kabla hamjaanza kusema hii ni chai labda kidogo niwape chanzo cha mimi kuwa na access ya hizi mali. Kabla ya kufa, baba yangu alikuwa mfanyabiashara mkubwa na mkulima.
Baada ya kufariki mali ziligawanywa nusu kwa nusu kati yangu na aliyekuwa mke wa mzee kwa wakati huo, ingawa ulikuwa ni ugomvi mkubwa sana hadi tukafikia mgawanyo huo (story ya siku nyingine ).
Kwa mzee wangu nilizaliwa peke yangu na mama yangu alifariki baada ya kunizaa mimi, nimelelewa sana na mzee, nilipofika darasa la saba mzee akaamua kuvuta jiko ingawa muda wote hawakufanikiwa kupata mtoto.
pia baada ya kuingia sekondari nilipelekwa boarding hivyo hatukuwa na ukaribu sana na huyo mama mdogo.
Baada ya mgao nilipewa nyumba 5 ambazo 2 zilikuwa Dar na 3 mkoa tuliokuepo (mkoa sitotaja mzee wangu alikuwa maarufu kidogo), mashamba , Rav 4 Kili time na pesa ambazo tuligawana baada ya kuuza baadhi ya vitu.
Baada ya kumaliza Diploma katika Chuo kimoja Jiji la Makala, ndugu zangu ndio wakanipa full access ya vitu vyote, sikuwa na chochote cha kunirudisha mkoani kwangu hivyo nikaamua kuanza maisha Dar.
Nyumba zilikuwa zimepangishwa hivyo niliamua kupanga na pia sikutaka kukaa kwenye nyumba kubwa peke yangu, nilitafuta apartment karibu na town sababu nilikuwa na lengo la kufungua biashara hivyo sikutaka kukaa mbali sana na town. Pia nilinunua Toyota Ist ilikua nisaidia mizunguko ya town, Rav 4 Kili time niliipiga bei maana ilikuwa inafanya nimkumbuke sana mzee kila nikiiangalia.
Baada ya miezi minne ya kupambana kutafuta fremu nikfanikiwa kupata fremu Kariakoo, nikafungua duka la computer's na vifaa vyake. Nilikuwa na uzoefu na biashara hii, pia nilipata msaada kutoka kwa uncle wangu ambae alikuwa akiifanya hii biashara.
Bidhaa nyingi tuliagiza Dubai na China, mara nyingi Uncle alienda kufunga mzigo Dubai hasa hizi computer refurbished na vifaa vingine, kwa hiyo nikawa naunganisha mzigo kwake baadae nikawa naenda pia.
Kwa ufupi baada ya kama miaka 3 hivi nikiwa Dar nilifanikiwa kusettle, nilikuwa na biashara iliyosimama vizuri, nilipata pesa za kodi, mashamba nilikuwa nikikodisha sababu sikuwa interested sana na kilimo, nikanunua gari nyingine Crown athlete.
Pamoja na yote hayo bado nilikuwa naishi kwenye apartment, nilikuwa sio mtu wa bata sana starehe yangu kubwa ilikuwa kucheza game, movies na gambe ingawa nilipenda sana kunywa nyumbani, nikitoka ni mara moja moja sana.
Kipindi hiki chote pamoja na kula mbususu kadhaa ila nilikuwa na demu mmoja tu, tulianza kudate tukiwa diploma akafanikiwa kupata kazi, hivyo mara nyingi alikuwa akija home na kurudi kwao. Alikuwa mwanamke mmoja smart sana, very caring, mpishi mmoja hatari sana, ingawa hakubarikiwa sana sura ila shepu ilikuwa ni shida. Nilimpenda sana pia alinikaba kila kona hata kucheat ikawa kidogo mtihani labda kula kimasihara zilipojitokeza.
Mzee wangu alinifundisha vitu vingi kuhusu biashara pamoja na pesa, pia ukaribu wangu na uncle ulichangia sana kunifanya niwe na matumizi mazuri ya pesa pamoja na kuwekeza.
Hadi kipindi hiki mambo yalikuwa yananiendea vizuri pesa nilikuwa naiona, pia nilikuwa na mpango wa kumvisha pete Lisa ambaye alikuwa mpenzi wangu kwa kipindi hicho.
Ilikuwa ni Ijumaa baada ya kucheza sana game na masela wangu home, mida ya saa tatu nikapokea sms kutoka kwa Lisa, anataka nimfate anakuja kulala kwangu, ikabidi niwapeleke masela home halafu nikampitia Lisa maeneo ya kwao. Alikuwa na nyege sana siku hiyo tulivyofika home hatukuwa na mambo mengi moja kwa moja tulianza show, baada ya round ya pili kuisha tukiwa tunajiandaa kwenda kuoga simu yangu ikaita sababu ilikuwa usiku sana, Lisa akawahi kuchukua simu lengo kujua nani anapiga.
Baada ya kuangali simu na kuona namba ngeni akaniangalia kwa jicho kali akapokea na kuweka loud speaker na kunipa simu huku akisikiliza kwa makini.....
Itaendelea....