Jana usiku siku ya jumamosi tarehe 9 mwezi wa Septemba nikiwa na rimoti natafuta chanel ya kuniburudisha nikajikuta najaribu kuangalia WASAFI TV nikaona wasanii wa bongo flava wakiwa Ruangwa...
ILIPOSIKIKA sauti yake kila mpenzi wa muziki anayefuatilia bendi za hapa nyumbani alihisi kuna kitu kipya kimeingia katika tasnia ya
muziki wa dansi. Hiyo ilikuwa mwaka 1982 alipoingia kwa mara ya...
Huyu jamaa katika Tanzania hii ukimtoa Hasheem Dogo, sijui kama kuna msanii anaeweza kumfikia kwa tungo zake! Hakika mchops aka moe technics anastahili sifa na tunzo maalum kutokana na kazi zake...
VIPEPEO WEUSI
SEASON 2 - FROM ZURICH WITH RULES
EPISODE 01
BARABARA INAYOELEKEA KWENYE MAKAZI YA WAZIRI MKUU – MLIMWA, DODOMA
“Ili kuweka kumbukumbu kwa usahihi zaidi naomba urudie tena...
Naona live wasafi tv show ya wasafi festival inafanyika ila nashangaa wasanii wakubwa wote wameshapanda stejini..! Au sababu ya tanesco kumfanya figisu ya kukata umeme usiku wakati show ikifanyika...
Habar za wakati huu ndugu wana-board. Tafadhali, husikeni na mada tajwa hapo juu.
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za Koffi Olomide a.k.a Papa Fololo a.k.a Papa na Didi Stone a.k.a Nicholous Sykoz...
Zimepita siku 5 baada ya Young Lunya kuachia ngoma yake mpya ya freestyle session 5, wimbo huo kwa asilimia kubwa amemdiss Rapa Young Killer. Young Killer nae baada ya kupita siku 3 akajibu mapigo...
Hakuna Kitu ambacho GENTAMIYCINE nakipenda ukianza Kuntukuza Mwenyezi Mungu, Mpira na Kusikiliza Muziki wa Congo DR tena mpaka Kuiimba na Kuicheza kabisa na kusahau matatizo yangu yote yakiongozwa...
Nimeusikiliza kwa makini sana, hakika kijana Elibariki aka Nay wa Mitego moyoni mwake amejaa ujasiri na moyo wa kuwasemea wasio na sauti.
Ndipo likazaliwa swali hili, je ungekuwa mkazi wa...
The Ultimate Heir System
FREE FREE FREE!
MegaNovel Sep 9 2023
The Anderson family mansion looked different tonight. The sound of applause filled the room as a woman and a man took turns putting...
Muziki wa kizazi kipya Bongo au maarufu kama Bongo Fleva, ndiyo unaaoongoza kwa kuwa na mashabiki wengi kwa sasa nchini Tanzania, hilo halina ubishi. Vijana wengi wamejiajiri kupitia muziki huu...
Maana ya uhuru huisha baada ya utambuzi
Baada ya kutambua kwamba uhuru si maamuzi
Maana Kifungo na mipaka vinafanana
Aliyekuambia kuna uhuru utaupata kakudanganya
Ipo asili inayofanya mwili...
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: VITA IMANA
𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: FERRE GOLA
𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI
𝙄𝙣𝙩𝙧𝙤
Le malheur poursuit celui qui peche
Et le bonheur recompense le juste
Ferre Chaire de Poule
Ecouter ma chanson
𝘽𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞...
Wanasema Afrika Kongo ni nyumba ya mziki mzuri, nahisi hii imethibitishwa.
Tupe jina la msanii na nyimbo alizoimba tuburudike, mimi nitaanza:
1. Franco Luambo - orodha ya nyimbo zote
2. Papaa...
Hizi nyimbo za rhumba huwaga zinakumbusha mbali sana
Mayaula mayoni- Mbongou
Diblo Dibala- Machete
Papa Wemba yolele
Extra music- Shalai
Extra music- Losambo
General defao- Famile kikute
Kanda...
Kwa wale wapenzi na washabiki wanaomkubali ferre gola lepadre, ambao wameweza kusikiliza album yake yote ya dynastie yenye nyimbo 18. Mtakua mmeona jamaa alivyo na uwezo mkubwa hasa kwenye nyimbo...
Nyota wa Tamthilia ya Breaking Bad, Aaron Paul amedai kutolipwa Mirabaha yake na Kampuni ya Kuonesha Maudhui ya Netflix, inayoonesha Tamthilia hiyo
Japokuwa Breaking Bad imekuwa moja ya tamthilia...
Umewahi kusikiliza nyimbo ya KAMANDA - DAZ NUNDA ukiwa umelewa wewe?
Basi leo Alhamisi kwenye TBT ukipata nafasi fanya hivyo utakuja kunishukuru baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.