Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jana usiku siku ya jumamosi tarehe 9 mwezi wa Septemba nikiwa na rimoti natafuta chanel ya kuniburudisha nikajikuta najaribu kuangalia WASAFI TV nikaona wasanii wa bongo flava wakiwa Ruangwa...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Barnaba ft Joel lwaga (sayuni )vs Moses bliss (Daddy wey dey pamper) Nini kimewakumba wasanii wa bongo mpaka kuanza ku copy idea za watu wengine...?
1 Reactions
8 Replies
871 Views
ILIPOSIKIKA sauti yake kila mpenzi wa muziki anayefuatilia bendi za hapa nyumbani alihisi kuna kitu kipya kimeingia katika tasnia ya muziki wa dansi. Hiyo ilikuwa mwaka 1982 alipoingia kwa mara ya...
11 Reactions
38 Replies
16K Views
Huyu jamaa katika Tanzania hii ukimtoa Hasheem Dogo, sijui kama kuna msanii anaeweza kumfikia kwa tungo zake! Hakika mchops aka moe technics anastahili sifa na tunzo maalum kutokana na kazi zake...
6 Reactions
57 Replies
18K Views
VIPEPEO WEUSI SEASON 2 - FROM ZURICH WITH RULES EPISODE 01 BARABARA INAYOELEKEA KWENYE MAKAZI YA WAZIRI MKUU – MLIMWA, DODOMA “Ili kuweka kumbukumbu kwa usahihi zaidi naomba urudie tena...
40 Reactions
505 Replies
111K Views
Naona live wasafi tv show ya wasafi festival inafanyika ila nashangaa wasanii wakubwa wote wameshapanda stejini..! Au sababu ya tanesco kumfanya figisu ya kukata umeme usiku wakati show ikifanyika...
5 Reactions
5 Replies
767 Views
Habar za wakati huu ndugu wana-board. Tafadhali, husikeni na mada tajwa hapo juu. Kwa wale wapenzi wa nyimbo za Koffi Olomide a.k.a Papa Fololo a.k.a Papa na Didi Stone a.k.a Nicholous Sykoz...
5 Reactions
129 Replies
21K Views
Zimepita siku 5 baada ya Young Lunya kuachia ngoma yake mpya ya freestyle session 5, wimbo huo kwa asilimia kubwa amemdiss Rapa Young Killer. Young Killer nae baada ya kupita siku 3 akajibu mapigo...
5 Reactions
40 Replies
8K Views
Hakuna Kitu ambacho GENTAMIYCINE nakipenda ukianza Kuntukuza Mwenyezi Mungu, Mpira na Kusikiliza Muziki wa Congo DR tena mpaka Kuiimba na Kuicheza kabisa na kusahau matatizo yangu yote yakiongozwa...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Nimeusikiliza kwa makini sana, hakika kijana Elibariki aka Nay wa Mitego moyoni mwake amejaa ujasiri na moyo wa kuwasemea wasio na sauti. Ndipo likazaliwa swali hili, je ungekuwa mkazi wa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
The Ultimate Heir System FREE FREE FREE! MegaNovel Sep 9 2023 The Anderson family mansion looked different tonight. The sound of applause filled the room as a woman and a man took turns putting...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Muziki wa kizazi kipya Bongo au maarufu kama Bongo Fleva, ndiyo unaaoongoza kwa kuwa na mashabiki wengi kwa sasa nchini Tanzania, hilo halina ubishi. Vijana wengi wamejiajiri kupitia muziki huu...
6 Reactions
11 Replies
8K Views
Maana ya uhuru huisha baada ya utambuzi Baada ya kutambua kwamba uhuru si maamuzi Maana Kifungo na mipaka vinafanana Aliyekuambia kuna uhuru utaupata kakudanganya Ipo asili inayofanya mwili...
1 Reactions
4 Replies
440 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: VITA IMANA 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: FERRE GOLA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI 𝙄𝙣𝙩𝙧𝙤 Le malheur poursuit celui qui peche Et le bonheur recompense le juste Ferre Chaire de Poule Ecouter ma chanson 𝘽𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Wanasema Afrika Kongo ni nyumba ya mziki mzuri, nahisi hii imethibitishwa. Tupe jina la msanii na nyimbo alizoimba tuburudike, mimi nitaanza: 1. Franco Luambo - orodha ya nyimbo zote 2. Papaa...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Hizi nyimbo za rhumba huwaga zinakumbusha mbali sana Mayaula mayoni- Mbongou Diblo Dibala- Machete Papa Wemba yolele Extra music- Shalai Extra music- Losambo General defao- Famile kikute Kanda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi na washabiki wanaomkubali ferre gola lepadre, ambao wameweza kusikiliza album yake yote ya dynastie yenye nyimbo 18. Mtakua mmeona jamaa alivyo na uwezo mkubwa hasa kwenye nyimbo...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Nyota wa Tamthilia ya Breaking Bad, Aaron Paul amedai kutolipwa Mirabaha yake na Kampuni ya Kuonesha Maudhui ya Netflix, inayoonesha Tamthilia hiyo Japokuwa Breaking Bad imekuwa moja ya tamthilia...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Umewahi kusikiliza nyimbo ya KAMANDA - DAZ NUNDA ukiwa umelewa wewe? Basi leo Alhamisi kwenye TBT ukipata nafasi fanya hivyo utakuja kunishukuru baadae.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom