Kwa Rhumba hili Kali 'Se Yo' lake Fally Ipupa 'Decaprio" itoshe tu kisema Shikamoo Fally Ipupa popote pale ulipo.
Mpinzani wako mkubwa Ferre Gola ana Kazi ya ziada ya Kukujibu kwani ni Wimbo...
1. Jay Mo moja ya msanii bora wa hiphop kwa 2010 kurudi nyuma, alikua mbaya sana haswa kwenye featuring moja ya feallturing kali ni baina yake na Ngwair
2. Sugu ni Legend na Godfather wa...
Album zake ni 1.Tokooos
2.Arsenal de Belles Melodies 3.Droit Chemin 4.Tokooos II 5.Power "Kosa Leka" 6.Control 7.Formule 7.
Kwangu album kalii kutoka kwake ni control...
Good morning jobless wenzangu natumai mko salama na matumaini ya kuijenga himaya kubwa siku za usoni japo mbele kuna kiza kinene.
Twende hapa tujifurahishe
Weka dhanio unatakiwa kutoa sare...
Siku za Juzi kati msanii wa Bongofleva mwenye Sauti yake hapa Mjini Daresalade alimchamba Majizzo na kumtuhumu kumuomba Rushwa ya Ngono na mambo mengine kadha wa kadha. Kitu ambacho kiliibua...
Zote ni nyimbo bora kuhusiana na mji wa New York.
Zote ni nyimbo zilizo dondoshwa na two of the best rappers duniani.
Kwa upande wako ni ipi bora kuliko nyingine...
Rema na nyimbo ya calm down rmx imepata kusikilizwa idadi ya bilioni Moja kwenye Spotify.
Licha ya wasanii wengine afrika ila kwa upande wa wanaijeria na wagana wanautendea haki mziki na Kila...
Leo ni September 11 siku ambayo Marekani wanaikumbuka kwa shambulizi la kihistoria la kigaidi lililofanywa na kikundi cha kigaidi Al Quaeda chini ya Osama bin laden mwaka 2001.
Leo mimi...
Mnamo Juni 1999, taasisi ya Uholanzi ya Madunia ilirekodi hali Halisi, Makala ya video ya dakika 30 kuhusu rap nchini Tanzania (Afrika Mashariki).
Hali Halisi "hali halisi" msemo unaonyesha rap...
Hali zenu wana jf! Mda mwingi mimi nkipumzika napenda kusikiliza radio hivyo mda huo nmebahatika kusikia sauti za watangazaji kadhaa ambao nliona ni wakali nao ni hawa Millard Ayo, B dozen...
Mwanariadha wa Kenya Abel Mutai alikuwa karibu na mstari wa kumaliza mbio, akachanganya alama za kumaliza mbio na kusimama akifikiri ameshaliza na ni mshindi, ingawa hakuwa amevuka mstari ili kuwa...
Sura ya Kwanza
Mara tu baada ya kuvunja ungo, Yasmin aliozwa mume. Alikuwa mume
wa jamii yake ya Ithnashiria ambaye alikuwa akiishi jirani naye hapo
Mtendeni.
Alikuwa ni mume asiyelingana naye...
Wakuu Leo nilikua najikumbusha kuangalia nyimbo za bongo fleva za zamani, hivi Ile nyimbo ya Abby skills ft Mr blue. Mimi wewe, yule demu alietumika mule kwenye video sio qeeen daaring kweli au...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu akizungumza katika Ufunguzi wa Tamasha la Pili la Kitaifa la Utamaduni, Viwanja vya Stendi ya zamani Mkoani Njombe, tarehe 25...
Salaam kwenu wana MUNGU,
Kuna hii nyimbo ya gospel inaitwa maneno mazuri yakwake japhet wa zabron singers ft Ambwene Mwasongwe, hainichoshi jamani.
Naisikiliza tena na tena, tena na tena...
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : NAKOMITUNAKA: 𝙉𝙖𝙨𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖𝙖/𝙉𝙖𝙟𝙞𝙪𝙡𝙞𝙯𝙖
𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : VERKYS & ORCHESTRE VEVE
𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI
"𝙉𝙖𝙠𝙤𝙢𝙞𝙩𝙪𝙣𝙖𝙠𝙖" lilikuwa jibu la Verckys kwa wapinzani wa Mzee Mobutu ambao ni Kanisa...
14 years ago today, Lady Gaga released “LoveGame” as a single from ‘The Fame.’
The track was praised for its now-iconic “I wanna take a ride on your disco stick” hook. It reached the top 10 in...
Hodi hodi wanajukwaa leo nimewatembelea ktk jukwaa lenu.Kwavile jukwaa ni la burudani l,na mm nimeamua kuleta burudan ya aina hii.Naomba mnipokee.
Kisu Chenye Mpini Mwekundu -1
RIWAYA: KISU...
Jana usiku siku ya jumamosi tarehe 9 mwezi wa Septemba nikiwa na rimoti natafuta chanel ya kuniburudisha nikajikuta najaribu kuangalia WASAFI TV nikaona wasanii wa bongo flava wakiwa Ruangwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.