Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

@haithamkim Musician my new song Utamu ft young lunya inapatikana kwenye digital platform zooteee
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Kila zama na kitabu chake, ilikuwepo zama za Bongo Records na akina Majani, Prof. Ludigo, Soggy Doggy, Bizzman n.k wakidondosha midude ya level nyingine. Huku alikuwepo MJ Records, kule Mawingu...
8 Reactions
86 Replies
11K Views
audiomack.com/haitham-kim/song/changanya
5 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii tamthilia bwana ni ya moto..imejua kuwaanika wanaume yani kiufupi ni tamthilia inayogusa maisha ya familia nyingi.. Kwa upande mwingine inafundisha wanawake kudandia waume za watu...
7 Reactions
62 Replies
6K Views
1. 12 600 Lettres 2. 12 600 Lettres A Franco 3. 12 600 Lettres Débat 4. 5 Ans Ya Fabrice 5. A Moins Que Namikosa 6. A.Z Da 7. Abali Ye 8. Abanza 9. Acceptez Que C Est Vrai 10. Accident Ya Cherie...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwema Wakuu! Moja ya mambo ninayoyapendelea kutazama kwenye Luninga ni Cartoons na filamu za Wanyama. Ninapendelea Cartoons zaidi kuliko filamu za maigizo za watu halisi. Nachelea kusema Watunzi...
10 Reactions
61 Replies
5K Views
Golden tz - Lonely. Kama inavyoonekana hapo juu, Msanii anaitwa Golden tz na wimbo unaitwa Lonely. Frankly kwangu ni wimbo mkali sana Ila nimejaribu kuutafuta kwenye platforms mbalimbali...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Ipokee Hii Orodha Ya Wasanii 10 Bora Wa Muda Wote (Greatest Of All Time) Kwa Mujibu Wa #Billboard Huku #RIHANNA Akipata Bahati Ya Kuwa Msanii Mwenye Umri Mdogo Kwenye List Hiyo. 1. #TheBeatles 2...
3 Reactions
93 Replies
14K Views
Kila nikiukumbuka Wimbo wa Maggie ( hasa Sebene lake ) wa Koffi Olomide nakumbuka mbali mno kwani nilivyokushauri Nauserebuka Kiustadi katika Sherehe uliweza kunipa Mpenzi ambaye baadae alinikataa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Ipi Kali Sana kati ya hizi ngoma speed 120 iliyotoka 2008 au kush n haze iliyotoka 2006. Nimekuwekea ngoma zote mbili hapo uzisikilize Dondosha maoni hapo chini👇👇 NB:RIP kwa Albert Mangwea...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Srinagar (Jammu na Kashmir), Agosti 28 (ANI): Mlimbwende namba moja duniani anayemaliza muda wake wa kushikilia taji la Urembo la dunia kwa sasa Karolina Bielawska amevutiwa na mazingira ya India...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umoja wa Falme za Kiarabu (the united arabic Emirates) ulikuwa wa kwanza kutekeleza marufuku hiyo Hii ilifuatiwa na Saudi Arabia na Pakistan Hivi karibuni Algeria nayo imeungana na nchi za...
3 Reactions
7 Replies
811 Views
Baada ya Khali kutoa kebei kwa wanamziki wa Hip Hop ya Bongo kuwa hawana uwezo wa kushindana naye. Khaligraph Jones alitoa masaa 24 kwa wasanii wa Hip Hop wa Bongo wajitokeze kum-challenge. Japo...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za EDM kuna mkali mwingine anazalisha mangoma kama ya Alan Walker anitajie maana ukiacha ngoma za kusikitisha ngoma nyingine ninazozielewa ni EDM..
0 Reactions
7 Replies
2K Views
GANGWE MOB, MAMILIONEA WA MCHICHA NA KABICHI BABU Inspector Haroun na Luteni Kalama, let me raise hell kuhusu umilionea wa Gangwe Mob. Msimu wa kiangazi unaisha mwaka 2001, Gangwe wapo top...
9 Reactions
7 Replies
2K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amefungua Tamasha la pili la kitaifa la Utamaduni Agosti 25, 2023 katika viwanja vya Stendi ya zamani mkoani Njombe. Katika...
1 Reactions
3 Replies
364 Views
Kuna hii movie ya 2023, inaitwa The Channel. Ni simple tu, kwamba mshikaji (ex marine) anaenda na wenzie kama wanne hivi (nao ni ex marine) akiwemo kaka yake mmoja kupora bank. Mission ilikua...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtu kwao, Mama anaungana na ndugu zake, jamaa na marafiki wa kwao kusheherekea na kuzindua miradi ya maendeleo. Mnaeonda muende salama na mrudi salama majumbani mwenu. 1. Pesa nyingi...
1 Reactions
0 Replies
568 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu akiimba na kikundi cha Utamaduni toka India wimbo wa kihindi katika Tamasha la Pili la Kitaifa la Utamaduni linaloendelea Njombe.
2 Reactions
0 Replies
700 Views
Hata kama hajui kuandika mistari ntamuandikia Mimi. Tutapiga hela hatari. Huyu ndio rapper sasa sio watoto wa mama kama kina Omollo ( pichani ni baada ya mama ake kuja eneo la tukio na...
0 Reactions
2 Replies
889 Views
Back
Top Bottom