This is the list of my best 10 hip hop lyricists of All time.
1. Nas
2. Kool G Rap
3. Immortal Technique
4. Rakim
5. Ice Cube
6. KRS-1
7. Big Pun
8. Eminem
9. Jay Z
10. Scarface
Honourable...
Kadri ziku zinavyokwenda watazamaji wengi wanaipotezea tamthiliya ya HUBA na kuelekea nyingine hasa Jua Kali.
Huba wamekosea wapi? Je, hawana uhalisia - tamthiliya nzima hakuna role models...
Recently kumekuwepo na mfumuko wa Diss Tracks nyingi sana kwenye game ya Hip-Hop, but Diss tracks ambazo zimeweza kupata umaarufu mkubwa sana kwasasa ni Diss record ya Drake kwenda kwa Meek Mill...
HAbari ndugu zangu natanguliza pole na majukumu mbalimbali mungu awatie nguvu.
Mimi ni daktari(medical doctor) nilietokea uswazi changanyikeni so nayajua matatizo mbalimbali yanayotusibu mtaani...
Jamani wadau wa jukwaa hili naomba mwenye link ya kudownload wimbo wa hard mad ft fatma- tamala anisaidie.
Ni wa kitambo kidogo link nazopata naona hazifanyi kazi hivyo mwenye link anisaidie maana...
Wakuu nimekuwa nikifatilia hiki kipindi kinaitwa HAWAVUMI LAKINI WAMO kinarushwa na luninga moja maarufu kwa lengo la kujipima ili namimi siku moja niwe mtajika ktk eneo hili.
Kwa wale wenye...
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.
Natafuta wadau wa kushirikiana nao kuendesha shindano la WATU wenye sura mbaya Tanzania mkoa wa Dar es salaam. Fomu zinapatikana BUREE. Mshindi atapatiwa...
Wakuu nimetafuta humu kwenye entertainment sijabahatika kuona threads za games humu.
Hapa nazungumzia michezo ya kwenye simu ,computers, hata board games migumu zaidi (mind games) iliyopo duniani...
Kuna nyimbo kadhaa nikisikiliza naweza nisijue ametamka nini huyo msanii mpaka inaweza chukua hata miezi au zaidi ndo nakuja kuelewa kilichotamkwa,
Kwa mfano kuna nyimbo nilikuwa nasikiliza...
Hii ni nyingine tena,
Ni Bongo Records tena,
P Funk
KIITIKIO
Ni gheto langu tu,
Linalowachengua maduu,
Linaloniweka kwenye chati za juu,
Kijitonyama mpaka East Zoo,
Ni gheto langu tu...
Pictuspublishers tumefasiri kitabu How to win friends and influence people. Kila wiki siku ya ijumaa tutasoma sehemu moja. Unaweza kusoma sehemu iliyofasiriwa ndani ya maktabaapp. kuungwa tucheki...
Baada ya simba kutoa sare leo uwanja wa nyumbani, zile nyuzi za kuikebehi na kuiponda yanga zimepungua kama hazijamalizika kabisa.
Matokeo ya mpira wa miguu huja tofauti na matarajio ya wengi...
Wapenzi wa simulizi, hii ni Simulizi iliyotoka mwaka 1886 huko Urusi iliyotungwa na Nguli wa Fasihi, Leo Tolstoy. Mwanafasihi huyu ameandika Riwaya na Hadithi fupi fupi nyingi sana. Riwaya zake...
[Verse 1]
In the sunshine, we're feelin' irie (irie, irie)
With the rhythm, we're catchin' the vibe (vibe, vibe)
Breezy melodies, takin' us higher (higher, higher)
In this reggae groove, we gonna...
Katika maisha kila mtu anakuwa na matukio ambayo siyo rahisi kuyasahau hata akumbwe na changamoto ya namna gani.
Leo na mimi nimeamua ku share na nyinyi Wana JF tukio hili ambalo sio la kutisha...
Juzi nilikuwa napitapita Insta kweny page za entertainment za Nigeria, aisee jamaa wanasema sana, wanamsimanga hadi nilijisikia vibaya.
Mimi sio kwamba mshabiki sana wa diamond, ila nikiona...