Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Naomba nikwambie kitu kimoja. Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno. Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Ep 01 Sikuwahi kufikiria wala kuwaza kama kuna siku nitakuja kumchukia kwango cha kumlaani marehemu kaka yangu na Mkewe. Kiufupi, nawachukia sana, yeye marehemu kaka na bibi harusi wake...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Moja ya aina ya mziki niliokuwa nautafsiri kama wa kihuni ni pamoja na aina ya huu mziki toka pwani Singeli. Ila huu wimbo wa Mfalme Ninja uitwao Sio Mwizi kidogo umebadili fikra zangu kwa ujumbe...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbali na namba yao kuwa na members saba lakini WANNE ndiyo wamesikika zaidi na nitawalezea kinamba, kwa namna ninavyowakubali; A. KUMI ZA JUMA MOHAMMED MCHOPANGA (MBAKIAJI, X MAN, BISHOO...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
acha tamaa za paka, kuparamia majirani. roho ikakutoka, vya watu kuvitamani. mchana umeokoka, usiku hayawani. kila mtu wamtaka, umtupe kitandani. hebu punguza mizuka, na uache uhuni.
2 Reactions
11 Replies
919 Views
Ua langu limechumwa- bila mimi kujua.. Moyo wangu unauma- natamani kujiua.. Amekosa huruma- ua langu kunyakua.. Hivi nan kamtuma- leo hii naugua.... Ua lilinawairi- kila mtu alidata.. Haikua tena...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Hela mwanaharamu, zinanunua mapenzi Utapata mautamu, bila hata ya hirizi Shingoni atakuchumu na tabasamu la kiwizi Atasema bby tamu, na yatamtoka machozi Bby wew mtaalam, tena anamwaga radhi Bby...
2 Reactions
3 Replies
538 Views
Digital product ni vitu kama mziki, video, movie, games, documents au file lolote lile ambalo lina access Mtandaoni tu. Nataka nisakue watu 1000 wakununua Digital product ya 10k niingize hiyo 10M...
1 Reactions
8 Replies
378 Views
List iko hivi, 1. 100 kilos - Ferre Gola 2. Ya Jean - Madilu 3. MayDay - Fally Ipupa 4. Kwangaru - Harmonize 5. Teacher Konde - Harmonize 6. Tetema - Rayvany 7. Vita Imana - Ferre Gola 8. Mario -...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Wengi walisoma hizi hadithi zamani. Ngoja tujikumbushe humu. Pia unaweza kusioma ndani ya maktaba app na vingine zaidi ya 60. Tupm au namba 0715278384 ukitaka kuungwa. HEKAYA ZA ABUNUWASI NA...
4 Reactions
47 Replies
20K Views
Habari zenu Wana JF, Muda mrefu nimekuwa naitafuta hii muvi ya REROUNI, ni App gani nayoweza ipakua au kuna mtu anayo anistue wandewa.
0 Reactions
5 Replies
396 Views
Kabla ya CCM kuzaliwa Chama cha TANU kilikuwa kinamiliki bendi kupitia twai lake la TANU Yough League ilijulika kama Vijana Jazz. Mwanzoni bendi ilianzishwa na John Ondoro Chacha mwaka 1971 ikiwa...
3 Reactions
5 Replies
706 Views
Hii ngoma nasikia harufu ni nyimbo ya kawaida sana...kuanzia content flow hata beat ila nasikia wana kitaaani wanasema ni ngoma kali sanaaa Mbaya zaidi wanasema chid benz kamfunika Roma lakini...
1 Reactions
9 Replies
896 Views
Pasi na shaka kwa waliobahatika kuitazama series ya GAME OF THRONES mpaka mwisho watakiri kua kwa upande wa mpnagilio wa matukio wahusika mzingara story..... ile series haina mpinzani Ni series...
12 Reactions
39 Replies
5K Views
Naombeni ushauri, mke gani nichague! Niangalie uzuri, mtaani wanijue? Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie. Au alietulia tuli, pekeangu nitanue. Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue. Nichukue...
5 Reactions
13 Replies
908 Views
Leo utahonga laki, kesho atataka dola. ukimnunulia mishkaki, atadai na kijora. yani hawasomeki, ni nyingi zao hila. michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela. Utampeleka samakisamaki, ila...
4 Reactions
9 Replies
418 Views
6 Reactions
158 Replies
14K Views
HAVINTISHI 1 HUSQER BALTAZAR (0657762790) Siku moja nimekaa nyumban nikashangaa baba anakuja na shangazi pamoja na mwanaume ambae alikuwa anaonekana kama hajapishana sana na baba, “havintishi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Taja Mwimbaji wa injili na ngoma zake unazozipenda😍😍😍 Sedekia-zote 1. Ni Neema 2. Dunia ya madiliko R. Muhando almost zote Shusho ndio kabisaaa Essence of Worship B. Bukuku-Nakutegemea Mungu...
5 Reactions
121 Replies
7K Views
siku ya jumapili, maskani niliketi. kwa macho yangu mawili, nikifanya utafiti. akapita kimwali,tena alikua fiti. alikua pisi kali, rangi yake chokoleti. sifa anastahili, yuko vizuri pale kati...
1 Reactions
10 Replies
856 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…