nentewene
Senior Member
- Jun 9, 2017
- 144
- 94
Leo utahonga laki, kesho atataka dola.
ukimnunulia mishkaki, atadai na kijora.
yani hawasomeki, ni nyingi zao hila.
michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela.
Utampeleka samakisamaki, ila nyumbani hawajala.
Utamkodia pikipiki, ila mkeo daladala
utampeleka Denimaki, kama mtoto wa Kajala.
Mwisho utakua dodoki, na atakufanya fala.
Michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela.
Utalala kwake wiki, ila bado atazila.
Utampa kadi ya benki, bado atadai dira.
Ukijifanya fulubeki, atakuchezea mpira.
achune zako steki, ubakie na kipara.
michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela
ukimnunulia mishkaki, atadai na kijora.
yani hawasomeki, ni nyingi zao hila.
michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela.
Utampeleka samakisamaki, ila nyumbani hawajala.
Utamkodia pikipiki, ila mkeo daladala
utampeleka Denimaki, kama mtoto wa Kajala.
Mwisho utakua dodoki, na atakufanya fala.
Michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela.
Utalala kwake wiki, ila bado atazila.
Utampa kadi ya benki, bado atadai dira.
Ukijifanya fulubeki, atakuchezea mpira.
achune zako steki, ubakie na kipara.
michekupo hawaridhiki, zitaisha zako hela