Tungo: Nipeni ushauri, mke gani nichague

nentewene

Senior Member
Jun 9, 2017
144
94
Naombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.

Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko, anaejua kukiwasha.
Au anaejua jiko, aje kunishibisha.
Mie nataka mwenye mshiko, anipe raha za maisha.
 
Naombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.

Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko, anaejua kukiwasha.
Au anaejua jiko, aje kunishibisha.
Mie nataka mwenye mshiko, anipe raha za maisha.
Inaonekana mkuu mtaalamu wa vigodoro
 
Naombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
u anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.

Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko, anaejua kukiwasha.
Au anaejua jiko, aje kunishibisha.
Mie nataka mwenye mshiko, anipe raha za maisha.
Hivi mkuu ni kweli ndio unatuuliza mambo kama haya..? Sasa mungalie mke wa baba yako sifa zake halafu fuata nyayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom