Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwanza kabisa Wife nisamehe kama utasoma uzi huu.....lakini pia nisifie kama utasoma uzi huu..... Nilikuwa najichukulia dhaifu(according to kamwili kangu,...na vile sina ka ist...)kumbe kuna...
3 Reactions
5 Replies
563 Views
Kama hujaicheki itafute kisa chake kina husu mdada mmoja hivi ambae alikuwa akizinguana na mumewe na kupelekea kupata msongo wa mawazo sana na pia bi dada alikuwa ni mwalimu wa chekechea sasa...
2 Reactions
3 Replies
556 Views
Tafuteni Movie Moja Inaitwa FAR FROM HOME ni Wanigeria walioigiza. Yaani Movie imefanana na zile Movie za Kimarekani Kabisa asilimia 100 mpaka wamewazidi, sijui hapa kwetu tunafeli wapi...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Bongo star search (BSS) kimekosa mvuto na sijui hao wakina Master Jay na Salama jabiri wanatafuta vipaji vya namna gani?? Kama ningepewa nafasi ya kupendekeza Basi @NALIANGWENA ningependekeza...
1 Reactions
4 Replies
783 Views
Wanabodi, Niko kwenye dala dala naelekea viwanja vya Mnazi Mmoja kusafishia macho siku ya "Wanawake Duniani", dereva kaweka Radio One Stereo, kipindi cha Mtaa wa Mangoma kinachopiga nyimbo za Old...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
SEHEMU YA KWANZA.(utangulizi) Sam, saam , samsoniii, huko unakoenda hakikisha unakula huko huko, maana huwezi kunisumbua kila siku , kwanini husikii weee mtoto Sasa nikwambie tu kuwa leo hakuna...
17 Reactions
1K Replies
169K Views
Nimehudhuria sherehe ya maadhimisho ya miaka 3 ya The Legend, DJ JD John Dilinga Matlou hapa Isumba Lodge. Sherehe zilifana sana, zilitaka kuingia dosari pale JD alipotangaza pia tunasherehekea...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Katika kikao kilichofanyika huko Jijini Accra, Nchini Ghana, kilichoandaliwa na wasanii wa Afro beat kutokea Nchini gani, kimezua taharuki baada ya wasanii hao kuchachamaa na kutaka Sehemu zote za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani mwenye jingles za RTD tafadhali sana naomba unisaidie kuzipata.
1 Reactions
92 Replies
32K Views
Kwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia. Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives...
28 Reactions
535 Replies
128K Views
Nitakuwa naweka hapa nyimbo za kitanzania ambazo mashairi yake ni ya busara na ya kizalendo kuanzia mwaka 1960 hadi leo. Jisikie free kuweka za kwako pia; nitaanza na nyimbo za 1960-1970 halafu...
1 Reactions
1 Replies
351 Views
Shout out to dogo dizasta vina kwa hit nyimbo kali sana, Sanaa flow etc. Hii hapa, sikiliza ngoma kali sana. Hakika u feminist ni janga
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Hope wote mko salama,na kwa anaumwa basi maombi yangu yapo juu yake Kumekua na wimbi na kampeni kubwa inayosema KATAA NDOA, Leo katika kujituliza nikaona ngoja nimsikilize dizasta maradona...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
RIWAYA: WAKALA WA SIRI Mtunzi; Robert Heriel 0693322300 Episode 01 MAABARA YA BORETI. Jokofu maalumu kwa ajili ya kuchunguzia maiti lilikuwa limezungukwa na Madaktari bingwa wa maswala ya...
14 Reactions
311 Replies
92K Views
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI😳🔥 Sehemu ya Kwanza ( 1 ) *************** KILA Mtu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥...
13 Reactions
71 Replies
18K Views
MWANAHERI BINTI WA KIJAKAZI 1 MTUNZI SMILE SHINE WHATSAPP:0688156169 MWANAHERI Ni binti alielelewa na mzazi wake mmoja ambae Ni mama yake baada ya baba yake mzazi kufariki miaka mitano...
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Alieangalia hii series asimulie visa vya mulee,,,humu kumejaa usalitiii ,mapenzi,,yaan ni vurugu tupu ,wenzetu wanajua kuigizaa Nimeumia yule Lincoln kuuawa jamani,ningependa awe hadi mwisho wa...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
[emoji625]Indiana jones and the dial of destiny. imeachiwa leo baada ya kukaa cinema kwa zaidi ya mienzi miwili. Indiana jones ni moja kati ya movie kali za muda wote kwenye upande wa Adventure...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
DIZASTA VINA FT CONBOI. Hii ndio collabo ambayo naisubiri sana kwenye game la Hip hop sijui itakuwaje. 🔥🔥🔥
3 Reactions
4 Replies
499 Views
Salaaam wakuu wa JamiiForums, Tarehe 10/12/2023 kulikuwa na uzinduzi wa taasisi ya professorjay foundation ambayo lengo lake kuu ni kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa figo...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom