Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Naomba kujua Hawa walioimba hizi nyimbo ni Nani...najua tuu melody zao nime attach nikiwajua ntashukuru
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Yaani inahit Sana ?
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Kitumbua cha asubui, kina raha yake. Watoto wadogo hawajui, kinavyotutoa upweke. Usiombe kikiwekwa tui, utakula usichoke. Ninyime vyote asubui, ila kitumbua ukiweke. Usikifunike baibui...
2 Reactions
2 Replies
753 Views
Wapenzi na wafatiliaji wa movies nina swali kuhusu hii movie ya money heist/ La casa de papel, toka ilipoishia season 5 netflix walisema hakuta kuwa na seoson lakini baadae wakaja kusema kuwa...
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Noma! Hayawi hayawi, leo yamekuwa. Baada ya kutikisa kwa seasons tatu mfululizo, La Casa De Papel au Money Heist imerudi tena mjini na NetFlix washaweka Season 04 kwenye platform yao...
7 Reactions
32 Replies
8K Views
Mambo vipi wakuu bila Shaka mko good ok, leo nimeona niwaletee hii app kwa wale wapenzi wa movies Aina zote basi app hii utapata mpaka season cha kufanya ni kwenda Google search then pakua au...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau kama nilivyoahidi leo naanza kuishusha riwaya ya tai kwenye mzoga mpaka mtunzi atakavyonielekeza tofauti. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule KELVIN e. MPONDA. Wasiliana naye kwa namba...
7 Reactions
354 Replies
214K Views
(Majina na matukio katika hadithi hii ni yakubuni. Mfanano wowote na watu, mahali au matukio halisi ni wa kinasibu na si kusudio la mwandishi. Haki zote za kunakili na kuchapisha zimehifadhiwa -...
4 Reactions
32 Replies
51K Views
Hapa tutatiririka na nyimbo kali na albums kali za kwaya kutoka R.C Unazo ona zimetikisa kweli iwe katika jimbo au mkoa wako au Tanzania nzima. Mimi bwana nitaanza na hawa kwaya ya mtakatifu...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naomba nikwambie kitu kimoja. Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno. Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Ep 01 Sikuwahi kufikiria wala kuwaza kama kuna siku nitakuja kumchukia kwango cha kumlaani marehemu kaka yangu na Mkewe. Kiufupi, nawachukia sana, yeye marehemu kaka na bibi harusi wake...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Moja ya aina ya mziki niliokuwa nautafsiri kama wa kihuni ni pamoja na aina ya huu mziki toka pwani Singeli. Ila huu wimbo wa Mfalme Ninja uitwao Sio Mwizi kidogo umebadili fikra zangu kwa ujumbe...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbali na namba yao kuwa na members saba lakini WANNE ndiyo wamesikika zaidi na nitawalezea kinamba, kwa namna ninavyowakubali; A. KUMI ZA JUMA MOHAMMED MCHOPANGA (MBAKIAJI, X MAN, BISHOO...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
acha tamaa za paka, kuparamia majirani. roho ikakutoka, vya watu kuvitamani. mchana umeokoka, usiku hayawani. kila mtu wamtaka, umtupe kitandani. hebu punguza mizuka, na uache uhuni.
2 Reactions
11 Replies
916 Views
Ua langu limechumwa- bila mimi kujua.. Moyo wangu unauma- natamani kujiua.. Amekosa huruma- ua langu kunyakua.. Hivi nan kamtuma- leo hii naugua.... Ua lilinawairi- kila mtu alidata.. Haikua tena...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Hela mwanaharamu, zinanunua mapenzi Utapata mautamu, bila hata ya hirizi Shingoni atakuchumu na tabasamu la kiwizi Atasema bby tamu, na yatamtoka machozi Bby wew mtaalam, tena anamwaga radhi Bby...
2 Reactions
3 Replies
534 Views
Digital product ni vitu kama mziki, video, movie, games, documents au file lolote lile ambalo lina access Mtandaoni tu. Nataka nisakue watu 1000 wakununua Digital product ya 10k niingize hiyo 10M...
1 Reactions
8 Replies
377 Views
List iko hivi, 1. 100 kilos - Ferre Gola 2. Ya Jean - Madilu 3. MayDay - Fally Ipupa 4. Kwangaru - Harmonize 5. Teacher Konde - Harmonize 6. Tetema - Rayvany 7. Vita Imana - Ferre Gola 8. Mario -...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Wengi walisoma hizi hadithi zamani. Ngoja tujikumbushe humu. Pia unaweza kusioma ndani ya maktaba app na vingine zaidi ya 60. Tupm au namba 0715278384 ukitaka kuungwa. HEKAYA ZA ABUNUWASI NA...
4 Reactions
47 Replies
20K Views
Habari zenu Wana JF, Muda mrefu nimekuwa naitafuta hii muvi ya REROUNI, ni App gani nayoweza ipakua au kuna mtu anayo anistue wandewa.
0 Reactions
5 Replies
395 Views
Back
Top Bottom