Kitumbua cha asubui, kina raha yake.
Watoto wadogo hawajui, kinavyotutoa upweke.
Usiombe kikiwekwa tui, utakula usichoke.
Ninyime vyote asubui, ila kitumbua ukiweke.
Usikifunike baibui...
Wapenzi na wafatiliaji wa movies nina swali kuhusu hii movie ya money heist/ La casa de papel, toka ilipoishia season 5 netflix walisema hakuta kuwa na seoson lakini baadae wakaja kusema kuwa...
Noma! Hayawi hayawi, leo yamekuwa. Baada ya kutikisa kwa seasons tatu mfululizo, La Casa De Papel au Money Heist imerudi tena mjini na NetFlix washaweka Season 04 kwenye platform yao...
Mambo vipi wakuu bila Shaka mko good ok, leo nimeona niwaletee hii app kwa wale wapenzi wa movies Aina zote basi app hii utapata mpaka season cha kufanya ni kwenda Google search then pakua au...
Wadau kama nilivyoahidi leo naanza kuishusha riwaya ya tai kwenye mzoga mpaka mtunzi atakavyonielekeza tofauti. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule KELVIN e. MPONDA. Wasiliana naye kwa namba...
(Majina na matukio katika hadithi hii ni yakubuni. Mfanano wowote na watu, mahali au matukio halisi ni wa kinasibu na si kusudio la mwandishi. Haki zote za kunakili na kuchapisha zimehifadhiwa -...
Hapa tutatiririka na nyimbo kali na albums kali za kwaya kutoka R.C
Unazo ona zimetikisa kweli iwe katika jimbo au mkoa wako au Tanzania nzima.
Mimi bwana nitaanza na hawa kwaya ya mtakatifu...
Naomba nikwambie kitu kimoja.
Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno.
Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi...
Ep 01
Sikuwahi kufikiria wala kuwaza kama kuna siku nitakuja kumchukia kwango cha kumlaani marehemu kaka yangu na Mkewe. Kiufupi, nawachukia sana, yeye marehemu kaka na bibi harusi wake...
Moja ya aina ya mziki niliokuwa nautafsiri kama wa kihuni ni pamoja na aina ya huu mziki toka pwani Singeli.
Ila huu wimbo wa Mfalme Ninja uitwao Sio Mwizi kidogo umebadili fikra zangu kwa ujumbe...
Mbali na namba yao kuwa na members saba lakini WANNE ndiyo wamesikika zaidi na nitawalezea kinamba, kwa namna ninavyowakubali;
A. KUMI ZA JUMA MOHAMMED MCHOPANGA (MBAKIAJI, X MAN, BISHOO...
acha tamaa za paka, kuparamia majirani.
roho ikakutoka, vya watu kuvitamani.
mchana umeokoka, usiku hayawani.
kila mtu wamtaka, umtupe kitandani.
hebu punguza mizuka, na uache uhuni.
Ua langu limechumwa- bila mimi kujua..
Moyo wangu unauma- natamani kujiua..
Amekosa huruma- ua langu kunyakua..
Hivi nan kamtuma- leo hii naugua....
Ua lilinawairi- kila mtu alidata..
Haikua tena...
Hela mwanaharamu, zinanunua mapenzi
Utapata mautamu, bila hata ya hirizi
Shingoni atakuchumu na tabasamu la kiwizi
Atasema bby tamu, na yatamtoka machozi
Bby wew mtaalam, tena anamwaga radhi
Bby...
Digital product ni vitu kama mziki, video, movie, games, documents au file lolote lile ambalo lina access Mtandaoni tu. Nataka nisakue watu 1000 wakununua Digital product ya 10k niingize hiyo 10M...
Wengi walisoma hizi hadithi zamani. Ngoja tujikumbushe humu. Pia unaweza kusioma ndani ya maktaba app na vingine zaidi ya 60. Tupm au namba 0715278384 ukitaka kuungwa.
HEKAYA ZA ABUNUWASI NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.