Kwanza kabisa Wife nisamehe kama utasoma uzi huu.....lakini pia nisifie kama utasoma uzi huu.....
Nilikuwa najichukulia dhaifu(according to kamwili kangu,...na vile sina ka ist...)kumbe kuna...
Kama hujaicheki itafute kisa chake kina husu mdada mmoja hivi ambae alikuwa akizinguana na mumewe na kupelekea kupata msongo wa mawazo sana na pia bi dada alikuwa ni mwalimu wa chekechea sasa...
Tafuteni Movie Moja Inaitwa FAR FROM HOME ni Wanigeria walioigiza. Yaani Movie imefanana na zile Movie za Kimarekani Kabisa asilimia 100 mpaka wamewazidi, sijui hapa kwetu tunafeli wapi...
Bongo star search (BSS) kimekosa mvuto na sijui hao wakina Master Jay na Salama jabiri wanatafuta vipaji vya namna gani??
Kama ningepewa nafasi ya kupendekeza Basi @NALIANGWENA ningependekeza...
Wanabodi,
Niko kwenye dala dala naelekea viwanja vya Mnazi Mmoja kusafishia macho siku ya "Wanawake Duniani", dereva kaweka Radio One Stereo, kipindi cha Mtaa wa Mangoma kinachopiga nyimbo za Old...
SEHEMU YA KWANZA.(utangulizi)
Sam, saam , samsoniii, huko unakoenda hakikisha unakula huko huko, maana huwezi kunisumbua kila siku , kwanini husikii weee mtoto Sasa nikwambie tu kuwa leo hakuna...
Nimehudhuria sherehe ya maadhimisho ya miaka 3 ya The Legend, DJ JD John Dilinga Matlou hapa Isumba Lodge.
Sherehe zilifana sana, zilitaka kuingia dosari pale JD alipotangaza pia tunasherehekea...
Katika kikao kilichofanyika huko Jijini Accra, Nchini Ghana, kilichoandaliwa na wasanii wa Afro beat kutokea Nchini gani, kimezua taharuki baada ya wasanii hao kuchachamaa na kutaka Sehemu zote za...
Kwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives...
Nitakuwa naweka hapa nyimbo za kitanzania ambazo mashairi yake ni ya busara na ya kizalendo kuanzia mwaka 1960 hadi leo. Jisikie free kuweka za kwako pia; nitaanza na nyimbo za 1960-1970 halafu...
Hope wote mko salama,na kwa anaumwa basi maombi yangu yapo juu yake
Kumekua na wimbi na kampeni kubwa inayosema KATAA NDOA,
Leo katika kujituliza nikaona ngoja nimsikilize dizasta maradona...
RIWAYA: WAKALA WA SIRI
Mtunzi; Robert Heriel
0693322300
Episode 01
MAABARA YA BORETI.
Jokofu maalumu kwa ajili ya kuchunguzia maiti lilikuwa limezungukwa na Madaktari bingwa wa maswala ya...
SIKUJUA KICHAA ANAELALA NJE YA JENGO LANGU NI MPELELEZI ANAEMTAFUTA GAIDI WA KIZUNGU NILIYEMUOA BILA MIMI KUJUA NI GAIDI😳🔥
Sehemu ya Kwanza ( 1 )
***************
KILA Mtu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥...
MWANAHERI BINTI WA KIJAKAZI 1
MTUNZI SMILE SHINE
WHATSAPP:0688156169
MWANAHERI Ni binti alielelewa na mzazi wake mmoja ambae Ni mama yake baada ya baba yake mzazi kufariki miaka mitano...
Alieangalia hii series asimulie visa vya mulee,,,humu kumejaa usalitiii ,mapenzi,,yaan ni vurugu tupu ,wenzetu wanajua kuigizaa
Nimeumia yule Lincoln kuuawa jamani,ningependa awe hadi mwisho wa...
[emoji625]Indiana jones and the dial of destiny.
imeachiwa leo baada ya kukaa cinema kwa zaidi ya mienzi miwili.
Indiana jones ni moja kati ya movie kali za muda wote kwenye upande wa Adventure...
Salaaam wakuu wa JamiiForums,
Tarehe 10/12/2023 kulikuwa na uzinduzi wa taasisi ya professorjay foundation ambayo lengo lake kuu ni kukusanya michango kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa figo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.