Movie nyingi za Hollywood ni za kinabii

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,866
Naomba nikwambie kitu kimoja.

Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno.

Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi Waafrika tunasema; "Hizo muvi tu uongooooo."

Bro! Unaambiwa siri za dunia hii halafu unasema ni muvi tu. Ile miaka ya 90 wakati Anold anatengeneza ile muvi ya Total Recall, alionyesha kwamba shtuka kuna kitu cha clone, ila sisi tukachukulia muvi.

Siri zinapogundilika, wajanja wanaziweka kwenye muvi. So muwe mnaangalia, mkiona kuna kitu kinaonyeshwa na hakipo, bro, hicho kipo njiani kuja.

Tumeonyeshwa maroboti tangu zamani, sasa hivi yanakuja.

Ukitizama movie kama za Terminator na muendelezo wake wote, kwamba machine ziliwasaliti wanadamu na zikaanza kuwadhuru. Movie ya iRobot ya will smith na nyinginezo nyingi tulikuwa tunaona ni nadharia tu ila ndio uhalisia.

Tumeonyeshwa magari ya umeme, sasa hivi yapo.

Tumeonyeshwa ndege zinazojiendeamsha zenyewe, sasa hivi zipo

Yaani kwa jicho lako unachukulia muvi, ila kwa macho yetu tunachukulia ni ulimwengu ujao.
 
Hollywood wameshaku-brainwash, wametimiza lengo lao.

Ukiacha media kama CNN, VoA n.k, film industry ni sehemu nyingine ambayo Marekani wanatumia kusambaza propaganda zao

Mataifa makubwa wanatumia vitu kama movies kusambaza propaganda za mataifa yao

Ndio maana ukienda mataifa makubwa kama China, before any Hollywood film can be shown in China, it must first get past Chinese government censors
 
Naomba nikwambie kitu kimoja.

Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno.

Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi Waafrika tunasema; "Hizo muvi tu uongooooo."

Bro! Unaambiwa siri za dunia hii halafu unasema ni muvi tu. Ile miaka ya 90 wakati Anold anatengeneza ile muvi ya Total Recall, alionyesha kwamba shtuka kuna kitu cha clone, ila sisi tukachukulia muvi.

Siri zinapogundilika, wajanja wanaziweka kwenye muvi. So muwe mnaangalia, mkiona kuna kitu kinaonyeshwa na hakipo, bro, hicho kipo njiani kuja.

Tumeonyeshwa maroboti tangu zamani, sasa hivi yanakuja.

Ukitizama movie kama za Terminator na muendelezo wake wote, kwamba machine ziliwasaliti wanadamu na zikaanza kuwadhuru. Movie ya iRobot ya will smith na nyinginezo nyingi tulikuwa tunaona ni nadharia tu ila ndio uhalisia.

Tumeonyeshwa magari ya umeme, sasa hivi yapo.

Tumeonyeshwa ndege zinazojiendeamsha zenyewe, sasa hivi zipo

Yaani kwa jicho lako unachukulia muvi, ila kwa macho yetu tunachukulia ni ulimwengu ujao.
Sio unabii , hao waigizaji na movie studios producers WA Hollywood ni puppets WA Illuminati so wanatumika kama chombo kufikisha ujumbe kwa hadhira na kuiandaa jamii kiakili
Kuna movie imetoka tena wakina Obama wamehusika humo kwenye mchakato
Inaitwa " Leave the world behind "
Hii movie inatoa ujumbe kuhusu anguko kubwa la kiuchumi na kijamii linalokuja siku si nyingi zijazo

Mwenye muda akaipitie na uangalie kwa umakini na utulivu mkubwa halafu ajaribu kuconnect dots , hili anguko ni kitu kitatokea ni suala la muda tu
 
Elewa movies industry ipo chini ya freemason na Siri zote za wanasayansi wote ni freemason.
Wao ndio uamua Siri zipi zitoke wakati Gani.
Mfano nasssa wanasiri nyingi sana wamezibania hadi ufike wakati
 
Jiulize kwann tamthilia zote ulimwenguni bila kujali lugha zinafanana maudhui SI za kiswahili,Spain,Korea,Hindi,nk.
Ajenda kuu ya tamthilia ni kubomoa taasisi ya ndoa,kupitia maudhui.
 
Hollywood wameshaku-brainwash, wametimiza lengo lao.

Ukiacha media kama CNN, VoA n.k, film industry ni sehemu nyingine ambayo Marekani wanatumia kusambaza propaganda zao

Mataifa makubwa wanatumia vitu kama movies kusambaza propaganda za mataifa yao

Ndio maana ukienda mataifa makubwa kama China, before any Hollywood film can be shown in China, it must first get past Chinese government censors
Lakin still hazipishani content maana zipo chini ya mwamvuli mmoja wa freemason iwe ni Chinese freemason
 
Naomba nikwambie kitu kimoja.

Wanasayansi hawapendi sana muvi kwa kuwa zinatoa siri zao nyingi sana. Yaani ni bora hata vitabu kuliko muvi, hawazipendi mno.

Wakati watu wanatengeneza muvi. Sisi Waafrika tunasema; "Hizo muvi tu uongooooo."

Bro! Unaambiwa siri za dunia hii halafu unasema ni muvi tu. Ile miaka ya 90 wakati Anold anatengeneza ile muvi ya Total Recall, alionyesha kwamba shtuka kuna kitu cha clone, ila sisi tukachukulia muvi.

Siri zinapogundilika, wajanja wanaziweka kwenye muvi. So muwe mnaangalia, mkiona kuna kitu kinaonyeshwa na hakipo, bro, hicho kipo njiani kuja.

Tumeonyeshwa maroboti tangu zamani, sasa hivi yanakuja.

Ukitizama movie kama za Terminator na muendelezo wake wote, kwamba machine ziliwasaliti wanadamu na zikaanza kuwadhuru. Movie ya iRobot ya will smith na nyinginezo nyingi tulikuwa tunaona ni nadharia tu ila ndio uhalisia.

Tumeonyeshwa magari ya umeme, sasa hivi yapo.

Tumeonyeshwa ndege zinazojiendeamsha zenyewe, sasa hivi zipo

Yaani kwa jicho lako unachukulia muvi, ila kwa macho yetu tunachukulia ni ulimwengu ujao.
Wanasayansi wana siri? Hizo concept zote ulizozitaja zilikuwepo toka enzi na enzi. Hollywood wametengeneza tu stori kutokana ideas/concepts ambazo tayari zilikuwepo.
 
Back
Top Bottom