Hadithi: Havinitishi

mireille

JF-Expert Member
Mar 4, 2020
523
568
HAVINTISHI 1
HUSQER BALTAZAR (0657762790)

Siku moja nimekaa nyumban nikashangaa baba anakuja na shangazi pamoja na mwanaume ambae alikuwa anaonekana kama hajapishana sana na baba, “havintishi njoo tulete vinywaji”, alisema mama mara baada ya wageni kuingia ndani, nilienda nikauliza wanakunywa vinywaji gani wakaniambia kisha nikakimbia dukani kununua, lakin wakati wote huo yule mwanaume aliekuja na baba Pamoja na shangazi alikuwa ananiangalia sana, sikujal maana niliamin huenda ni rafiki yake na baba maana alikuwa anautuuzima flan hivi.

Niliporudi nikawapa vinywaji vyao, maana shangazi na mgeni waliagiza pepsi n a baba akaagiza stone tangawizi, so nikawafungulia pale kisha nikawapa na glass alafu nikaondoka zangu.

Mara mama akaniita, ikabidi nimfate chumban kwake kumsikiliza anataka kunambia nn, “havi mwanangu unataka Kwenda kuzurura na wakat huu ugeni ni wako”, akasema mama.

Wangu? Nikauliza kwa mshango maana suala la yeye kunambia ule ugeni ni wangu sikumuelewa kabisa yaan, “ndio ni ugeni wako”, akaendelea kusema mama ila kwa sauti ya kinyonge sana kana kwamba anaogopa kunambia jambo.

Ehee nambie wangu kivipi? Ikabidi na mm niulize, huyo unaemuona hapo ni mchumba wako na baba yako alishapokea posa kitambo na leo ndio ameleta mahari, akasema mama, na hapo unapomuona mwanangu anawake watatu wewe unaenda kuwa mke wa nne, akaendelea kusema mama.

Kiukweli maneno yale yamenishangaza maana nimeletewa vipi posa na hali ya kuwa mm mwenyewe sijui, na licha ya kutokujua pia sijaikubali sasa inawezekana vipi wachukue na mahari kabisa, alafu mm hata mwanaume simjui inawezekana vipi niolewe mke wan ne?, mbona natongozwaga na vijana wenzangu kila wakat na wananiambiaga wananipenda?, au baba ni kwamba hajaona vijana wenzangu?, au ndio ameshanichoka so anataka kunifukuza?, nikawaza.

“Mama mbona ni mtu mzima hivyo?”,nikauliza.mwanangu vijana ni washenzi bora mwanangu hawa ambao tayar wameshayajua maisha hawawez kukusumbua, watu wazima hawawez kukutesa, akasema mama na kiukweli sikuwa namuelewa kabisa,yaan ndio kwanza ninamiaka 18, alafu ndoa yangu ya kwanza niolewwe na mtu mwenye miaka 40 huko, sibaba yangu kabisa huyu, nikawaza, aweeee !, labda sio havintishi mm, haolewi mtu hapa., nikawaza
Hata sikubisha nikajichekesha pale mbele ya mama kisha nikamtoroka na Kwenda kuwafata mashoga zangu, alikuwa siwema, na mwanakombo, nikawapa Habari ya mambo yanayoendelea kwetu.

Usikubali …… usikubali yaan uzee ale na wazee wenzie ujana aje atake kumalizia kwako,akukome tena, siwema na mwanakombo wakasema na kidogo wakanipa nguvu.
Nafanyaje sasa?, nikawauliza ili walau wanipe mawazo ya nn cha kufanya maana kuolewa na kijitu kizima inataka moyo, kwakweli.
Mnyookee na umpe vidonge vyake, alafu tunasikia ukiolewa na mzee na wewe unazeeka shoga, usikubali kabisa, yaan akitoka pale kwenu mtafutie upenyo umcharue mpaka akome kutaka kuoa vibint vidogo, akasema siwema na mwanakombo akadakia “heheheiyaaa wanasema ng’ombe azeeki maini ila anadumaaa, usikubali kudumazwa shoga angu”, basi wote wakacheka vile vicheko vya kipashkuna na kumuambia havintishi aende akakae karibu na kwao ili kale kazee kakitoka akafate akakape vidonge vyake, na Havi kwa akili yake akakubali chap chap maana kuolewa na mtu mzima inataka moyo kwa kweli, na moyo huo havintishi hakuwa nao kabisa yaani.

Basi kweli akawa anazengea zengea kwao mpaka akamuona yule mzee anatoka akiwa na baba yake, akawafata nyuma nyuma akaona baba yake ameingia kwenye kijiwe cha kahawa na yule mzee anatembea pekee yake, akavizia afike mbali kidogo ili baba yake asije akamuona, kweli aliposogea sogea akamfata
“Shikamoo mume wangu mtarajiwa”, akasema havinitishi kitu ambacho kilimfanya yule mwanaume acheke maana nadhan hata yeye alijua fika havintishi n mdogo na hawezi kukubali kuolewa na mwanaume kama yeye, sijui hata alikuwa anatafuta nn Kwenda kuoa Watoto wadogo,ila hiki choo alichoingia ni cha Watoto yaan asipojuta kumchumbia havintishi hatakaa ajute tena.

“Mume nasikia njaa”, akasema havintishi ili apate sehemu ya kukaa kuongea na yule mwanaume, maana kwanza ni mtu mzima na pili pale mtaani wanamjua sana havintishi n mtu wa matukio wasije wakaanza kumtania bure,na yule baba akatafuta kasehemu kama kakibanda wanacho kaanga chipsi, akamwambia waende pale,na walipofika akamwambia havintishi akaagize chakula, yaan hapo ndio alipobugi mtoto wa mwalusembe huko, enzi hizo bado shamba hata chpsi hawalagi hovyo, wao ni kila siku wanakula ugali wa bada na mihogo, alafu unafika kwenye kibanda cha chips unamwambia agiza si utafariki, yaan hapo ndio utashangaa kumuona binti mrembo ana appetite ya fundi ujenzi, anakula kama anabeba zege, au anachimba mitaro.

Naomba chipsi yai mbili moja mebwedo na nyingine ikauke, hio mdebwedo utaniletea hapa mezan na kipaja cha kuku Pamoja na pepsi baridi, akasema havintishi, yule mzee ni kama hakutegemea akaanza kujichekesha chekesha, havintishi akaona nisije nikaabika nikaosheshwe vyombo hapa bure, akamwambia muhudumu nitafutie chupa yamaji iliotumika uniwekee pepsi yangu na hizo chips zote nitabeba, akashangaa yule baba akasema njoo na zege tatu na kuku nusu, alafu akamuita muhudumu akampa pesa kabisa maana alishaanza kuona huenda havintishi anamuona kama hana pesa hivi.

Ewaaaa… mambo si ndio hayo mwenzio nilikuwa naogopa kuosheshwa vyombo, sasa hapa hata ukiondoka siwi na shida yoyote maana umeshalipa, baada ya muda mfupi akaja yule muhudumu akaleta zege mbili, na kuku nusu maana moja ilikuwa bado haijawa tayar, havintishi akazisogeza zote kwake akaanza kula na yule baba alikuwa ameagiza maji tu anakunywa taratibu, kama utani havintishi alimaliza chipsi zege mbili na nusu kuku, kitu ambacho hata yule baba hakutegemea, alipomaliza sasa akaanza kumpa vidonge vyake yule mzee.

“naomba nikusalimie tena mume mtarajiwa shikamoo”,akasema havintishi mpaka yule baba akajikuta anacheka, sasa mzee wewe cha kutaka kunioa binti mdogo kama mimi ni nn, au ndio umepewa masharti ya m ganga kuwa utafut kabinti bikira, kisa chakutaka kunibemenda mtoto wa watu ni nini, akasema havintishi.

Yaan wazee wa siku hizi wa hovyo sana, yaan ujana wanakula pekee yao alafu wanaanza kutafuta Watoto wa watu wa kumaliziana nao uzee, au unaniona kama nina miaka 38 mzee, mm ni mdogo ndio kwanza form four nimemaliza mwaka jana na ndio kwanza nina miaka 18, nak ama wazaz wangu walikuwa wanaogopa kukuambia, naomba nikuambie mm kuwa sikutaki na siwez kuolewa na mwanaume mzee kama wewe, akasema Havi
Baba yako ameshakula pesa zangu, so huo uwezo wa kukataa huna, akasema yule mzee, weee kamdai nenda kamdai pesa zako, mm sio bidhaa kwamba mtu akijisikia kuninunua ananinunua tu, nakuheshimu sana maana wewe ni mtu mzima, lakin kama unataka nikukosee heshima endeleza hii ndoa, maana hata kama utafanikiwa kunioa jua utaniacha pekee yako bila kutegemea, yaan unawake watatu alafu unataka kuja kunibemenda mtoto wa mwanaume mwenzio, hovyoo……., akasema havintishi huku akiwa anaondoka na ile chipsi zege yake hakuisahau, akaibeba na kumuacha yule mzee anamuangalia (itaendelea…………….)
 
HAVINTISHI 2
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Havintishi alipotoka pale akaenda kwa mashoga zake akawaambia namna alivyomsuuza mzee wa watu, ila akome yaan anataka kuja kukuoa mwenyewe mdogo hivy0, “ila vipi kama atamuambia baba yako, si utapigwa na vile baba yako alivyo mkali”,akasema siwema yule shoga ake na havintishi
“embu acheni kunijaza nidhamu ya uoga na nyie , kwan nikipigwa nakufa, sasa si bora nimempa vidonge vyake yule mzee wa hovyo, asie nahaya kama taulo la guest, yaan anataka aje kuniambukiza uzee wake mm, au nyie mngekubali kuolewa na kijizee, ”, akasema havintishi
Haya sasa kale kazee kakajifanya kanapesa na n imemkomesha leo yaan kama utani nimeagiza zege mbili na kuku nusu, nikazifuta kama maskhara, akabaki katoa macho kama fundi saa,akasema havintishi
Heheheiyaa hakujua kama pale ulikuwa unakula mboga bado ugali, akasema siwema, si ndio hapo kwanza chips sio kitu cha kumshibisha mtu akajibu mwanakombo na wote wakawa wanacheka kile kicheko cha kimbea na kugonga, ndio havintish akatoa ule mfuko wenye chipsi na kuwapa mashoga zake, asee walifurah sana, na siwema akadakia, siku hizi umekuwa sio mroho maana kwa ninavyokujua hizi ungekuwa unakula huku unakuja, unazifanya kama karanga.
Nimewaletea nyie kulen kama hamtaki nipeni chips zangu mm mwenyewe bado hata sijashiba akasema havintishi, na wanamjua vizuri maana hashindwi kuzila chips zote pekee yake tena mbele yao, wakaona wasichezee fursa maana chips wanakulaga mara moja kwa mwaka so nikama chakula cha msimu kwao, wakala walipomaliza wakaagana nakila mtu akaenda upande wake, na havintishi akarudi nyumban kwao, na bahat nzuri mama yake alienda kwenye kikao cha kuvunja mfuko na baba yake alikuwa bado kwenye kijiwe cha kahawa, so aliporudi nyumban akawa anaendelea kuandaa chakula cha jion,.
basi siku hio ilipita na hatimae siku zikawa zinaenda na havintishi akawa anashangaa harakat za harusi zinaendelea, kitu ambacho kilikuwa kinamshangaza sana, kwa sababu alijua ameshampiga yule mzee mkwara, na huenda ataachana na swala la kuoa ila hakuacha na taratabu zikawa zinaendelea kama kawaida
akawafata mashoga zake siwema na mwanakombo wakamshawishi atoroke, maana kuolewa na mwanaume mkubwa inataka moyo sana, na kweli akakubali kutoroka ila akawa hajui hata anaenda wapi, na anafikia kwa nani, ndio siwema akamwambia ana ndugu yake ambae yuko mjini so atamtafuta ili ampokee, na kweli siwema muda huo huo akaenda kuiba simu ya mama yake na kumtafuta huyo ndg yake na akasema kuwa asijali yeye atampokea, na havintishi alifurah sana maana hakuwa tayar kabisa kuolewa na mwanaume mkubwa.
Basi wakaanza kutafuta nauli, na hapo ndio kulikuwa kuna kimbembe maana hawana kazi wanayiofanya yoyite so hata kukopa wasingeweza maana hawajui hata wangerudisha vipi pesa za watu, siku moja havintishi alikuwa chumban kwake ndio katoka kupakwa piko ili kesho yake ndio afunge ndoa, akapewa pesa za kumpa yule mchoraji maana alikuwa ametoka, akaona huu huu ndio upenyo na wakat huo ilikuwa kama saa tano asubuh, akaenda kuwafata mashoga zake, wakamshawishio atoroke, na wakampigia yule ambae havintishi atafikia na akasema yeye hana shida aende tu, kweli huyo akaenda kupanda gari, hapo wazaz wake hawajui na kuanza safari ya Kwenda mjini ambapo ni dar es salam,na marafiki zake wakawa wanamuombea sana maana hata simu hakuwa nayo.
Kweli akaanza safari na kwenye majira yak ama saa kumi alaasiri alifika mjini ila tofauti na alivyotegemea, mwenyeji wake hakumuona.
Alihisi kuwehuka akakaa pale stend mpaka saa moja hola, akajua hapa ameshauzwa akaanza kutembea tembea tu bila matarajio na asijue hata anakwenda wapi, maana alikuwa mgeni kwenye jiji hili la watu, alitembea sana bila matarajio ya kujua wapi anaenda na mkono alikuwa anashilling elfu 10, hakujua kama anatakiwa kuila au kutafuta sehemu ya kulala,so akawa anatembea bila matarijio wala kujua yupo wapi, akafika kwenye nyumba moja kubwa na inageti kubwa sana ila lile geti ni kama limewekewa bati, na muda huo kulikuwa nak ama vimanyunyu, akajibanza pale na akajikuta anasinzia maana alikuwa amechoka, akaja kushutiwa na honi ya gari alafu muhusika akashuka na kumfata.
Alikuwa ni kijana mwenye kama miaka 29 au thelathin, alikuwa kama shombe shimbe alietelekezwa hivi, akamfata na kumuuliza “wewe ni nani na umefata nn hapa?”, naitwa havintishi kinyogoli, nimetokea mwalusembe, naomba unisaidie maana sina ninaemuua hapa, akasema havintishi.
Kwenda nyie ndio matapeli, embu ondoka kwenye nyumba yangu usije ukaniletea matatizo bure akasema yule kijana kisha akaingia ndani na kumuacha havintishi pale nje, havintishi hata hakujua aanzie wapi so akalala pale pale, na yule mwanaume huwa anakawaida ya kwebda kazin saa 10 akashangaa anamkuta havintishi pale ila anatetemeka balaa, wewe bado hujaondoka akauliza, akashangaa mtu chini, kumbe wasiwasi Pamoja na uoga aliokuwa nao haintishi sijui ndio vilimpa homa, maana alikuwa anachemka mno,yule kijana kama binaadamu akaingiwa na moyo wa huruma so akaamua kuacha shughuli zake na kumpeleka havintishi hospital
Hakuwa na tatizo lilote so siku hio hio aliruhusiwa ila akawa anajifanya bado anajisikia vibaya, kwa maana alijua akijifanya mzima huenda akatimuliwa pale kwa yule kijana na yeye hana pa Kwenda, kweli yule kaka akamchukua na kurudi nae nyumban na havintishi hata hakukataa akawa anamuomba mungu kimoyo moyo tu maana alimuona kama msaada wake wa pekee.
Yule kaka alimfikisha kwake ila haongei jaman yuko kama bubu, maana alikuwa ni kama hamuamin havintishi so siku hio hakwenda kazin kabisa ila yuko busy na mambo yake, sasa kama tunavyomjua havintishi namna mdomo unavyomuwasha, maana hakuzoea kuwa kimya ila akajiambia ngoja atulie asijifanya muongeaji mno.
Kesho yake yule kaka alienda kazin ila alimfungi havi kwa ndani na kuuambia asije akawaza kutoka, nah apo hata havintishi hamjui hata jina maana ni wale watu ambao sio waongeaji kabisa, na havi akawa anajifanya hata kula hawez kumbe anamuonea aibu yule kijana, so akiondoka ni anakula kila kinacholika, yaan harembi kabisa, siku ya kwanza yule kijana karudi anaangalia fridge anashangaa vitu vimepungua kwa kiasi kikubwa na havintishi ni kama hana hava, ila yule kaka akaamua kupotezea tu kwa maana chakula sio kitu kikubwa kwake
Havantishi akaona amtolee uvivu maana n nn wanakuwa kimya kama mazombie
Weee kaka kwanza unaitwa nani akauliza havintishi
Jina langu linakuhusu nn, akajibu yule kijana
Hivi humu ndani unafuga mandondocha?, akauliza havintishi
Kwamba umesikia mm ni mchawi?akauliza yule kijana kwa sauti ya kughadhibika kidogo,
Wewe sio mchawi ila umeamua kunifanya mm kama ndondocha maana hata hauwezi kuzungumza na mm, yaan unanichukulia mm kama sanamu, au unataka uje ubemende akili yangu, au niwe chizi maana mwenzio mdomo unaniwasha na mtu wa kuongea nae hata sina, na wewe ukirudi unanuna kama unadaiwa vikoba akasema havintishi.
Your talking too much akajibu yule kijana kisha akaenda zake chumban kwake (itaendelea …………)Full 1000 inapatikana kwenye link
 
HAVINTISHI 3
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Havintishi alijisikia vibaya sana, maana kukaa bila kuongea wala kuzurura ni kama kumuweka jela,na kingine anakaa na mtu ambae hat hajui anaitwa nani, yeye anajifanya yuko busy tun a kazi muda wote, hata muda wa kuongea hana, akajisemea sawa, huyu nitamfundisha adabu maana kazidi, kesho yake akaamka mapema sana akawa anafanya usafi huku anaimba kwa nguvu mno, mpaka boss wake akatoka na kumuuliza “una shida gani wewe, maana ni asubuh sana unapiga kelele”,nachangamsha mdomo boss, maana sina wa kuzungumza nae so nisije kunuka mdomo bure, akasema havintishi, ila kumbuka nimekufadhili tu humu naweza hata kukutimua, akasema yule kijana.
Havintishi akaanza kujiliza na kusema “usifanye hivyo boss siunajua sina pa Kwenda ”, akasema havintishi, kama unajua huna pa Kwenda hakikisha unaadabu akasema boss kisha akaenda chumban kwake, havintishi akabaki kimya ila alikuwa anamlaan sana, maana aliona anaishi Maisha magumu sana, maana humo ndani wako watu wawili tu alafu huyo ambae anakaa nae hata kuongea hataki, ila akajisemea sawa tu, ila lazima atamfundisha adabu hata kama ni kwake, maana hawez akamuona yeye kama sanamu, basi kesho yake havintishi akaona atoke akatembee tembee maana aliona kama kukaa ndani sana ni kama mateso tu kwake, ule mtaa ambao alikuwa ni wakishua, akaanza kusakanya mbuga mpaka mtaa wa pemben akakuta ni usawahili, kumechangamka sio utani, akaenda akaanza nay eye kujichangamsaha, yaan ndani ya siku moja tu aliotoka alipata marafiki wa kutosha, basi aliongea na kutembea mpaka hamu yake ikamuisha ila alivyorud nyumban akakuta mlango umejilock,alihisi kuishiwa pozi na funguo hana, ikabidi aka echini amsubiri boss wake na ndio kwanza ilikuwa ni saa 10 na boss anakawaida ya kurudi usiku, akaona hata asimsubir arudi zake huko mitaan kupiga porojo zake mpaka giza litakapo ingia, akiwa anataka kuondoka mara akashangaa gari linakuja na likafika mpaka pale getin, akashuka mdada mrembo kama wakishua hivi, akafungua geti bila kumsemesha chochote, nay eye akaingia ndani, yule dada ni kama alikuwa anataka kumzuia kuingia ila havintishi hakukubali akaingia kwa nguvu
Alipofika ndani akampigia si,mu mmiliki wa ile nyumba kwa maana ya yule kijana na kumuuliza yule binti alikuwa n nani na kama anamfahamu au laa,akaambiwa anamfahamu na boss wake havintishi akaahidi ,kufika nyumban baada ya muda mfupi sana, na kweli baada ya nusu saa akawa ameshafika,Mirfat umefata nn hapa ?, akauliza yule kijana kwa sauti ya ukali.
Mahiri wewe n kaka yangu, kwan kuna shida ya mm kuja nyumban kwako, akasema mirfat, shida ipo tena sio ndogo, tulishakubaliana mm na ww hatupaswi kuonana mara kwa mara maana sina ndg kama wewe akasema mahiri na kuanza kumtoa dada yake nje, lakin mahiri haupaswi kunifanyia hivi kumbuka sisi ni ndg na tunatakiwa tusameheane maana hakuna asiekosea akawa anasema mirfat huku akiwa anatimuliwa na mahiri hakuwa anaongea nae na kikubwa alichokuwa anakitaka ni kumuona yule dada anaondoka tu, kweli mirfat aliondoka ila baada ya kuondoka mahiri ni kama alikuwa anajisikia vibaya sana, akaenda kwenye garden na kuanza kukaa hukun akiwa amekasirika sana, havintishi alienda akachuukua glass ya juice na kumpelekea na mahiri akaipokea huku akiwa anaendelea na mawazo yake
Muda mwingine wale tunaowategemea ndio wanaoongoza kutuumiza, so hatutakiwi kuwaonesha kama tumeumia bali tunatakiwa tuwe sawa mbele yao hata kama wakiondoka tunalia,ili wajue ubaya wao sio kitu kwetu, bali ni kama daraja la kiutuimarisha Zaidi, akasema havintishi kama maneno ya kufariji hivi, mahiri akamuangalia kisha akamwambia “kumbe sometimes unaakili ee”, weee mm nina akili sana ila wewe ndio unataka kunifanya zezeta, akasema havintishi, kwann nikufanye zezeta akauliza mahiri,siutaki tuongee sijui unataka akilim yangu ilale, yaan unatakiwa ukitoka kazin unanifata kisha unanambia “mfanya kazi wangu eee, njoo nikupe ubuyu”, alafu mm natoka kwa shangwe naanza kukushangilia boss wangu wa taifa, huon kama hii nyumba itakuwa muda wote ni shangwe tu, yaan kunakuwa hakuna kununa wala kukasirika hovyo, akasema havintishi.
Mahiri hakuwa na cha kufanya Zaidi ya kucheka na kusema kweli wewe huna akili sasa mm nitaanza je kuja nyumban na kuanza kupiga makelele, akasema mahiri, embu simama boss nikuoneshe mfano akasema havintishi na Kwenda kumsika mkono mahiri kwa ishara ya kutaka kumuinua, mahiri hakukataa akasimama, na mara baada ya kusimama havi akaenda kukaa mbali kidogo na kumuambia mahiri aseme kwa sauti kuwa “havintishi nimerudi”, mwanzo mahiri akawa anaona kama utoto hivi, ila alikuwa anaenjoy sana kampan ya havintishi akaona asimuangushe akakubali,
Havintishi nimerudi, akasema mahiri.
Woyoooo boss kama boss amerudiii…. Akasema havintishi na kumsogelea mahiri kana kwamba anataka kumpokea, kisha akamkumbatia na kusema “karibu nyumban boss, twende ukaoge alafu utanambia kama utakula ndio ule, au ule ndio utakula”, mahiiri ni kama hakutegemea akajikuta anacheka sana, sasa nikitaka nile alafu ndio nile utanipa,akauliza mahiri. Nikupe nn akauliza havintishi. Si chakula kingine sasa ulivyokuwa unasema nile alafu ndio nile ulikuwa unamaanisha nn?akasema mahiri,kula alafu ndio ule kwa ninavyojua mm ni kula matunda alafu ndio ule chakula au ule chakula ndio ule matunda akasema havintishi na mahiri akajikuta anacheka sana, huna akili wewe akasema mahiri kisha kuanzia siku hio akaanza kuwa na urafiki na havintishi na hata akitoka kazin anakaa anapiga nae story.
Lakin havintishi hakuwa anatosheka kabisa na kupiga story na mahiri, ikawa mchana anatoka anaenda zake kuzurur huko mitaan, akawa anawasaidia watu mtaan Kwenda kudai madeni mpaka wakawa wanamuita kiraka, yaan kwake kila kazi ni kazi, n ahata halipwi ww kama unataka ukamdai mtu msumbufu muite tu, ataenda kumcharua mpaka utalipwa, sijui unaona uvivu kufanya kazi wewe muite atakusaidia cha msingi uwe na story tun a uwe umechangamka, akajizoelea umaarufu mitaan wakawa wanamuita karaka kwa maana yeye popote utakapomuweka anafit, sasa siku moja katika story zake havintishi akawa anawasimulua mashoga zake kuwa anakaka Tajiri alafu handsome so kama kuna mtu anatafuta mchumba ataenda kumuonganisha nae, nak ama tunavyowajua wa dada wa mjini kwa kuchezea fursa si wakataka Kwenda kumuona, na havintishi alivyokuwa na akili fupi, akawa kusanya mashoga zake wakaenda mpaka anapoishi wakaanza kushangaa nyumba namna ilivyo nzuri maana anaonekanaga mshamba mshamba na hakuna ambae alidhan labda anaweza akawa anatoka kwenye nyumba kali vile,sasa akawa anaogopa kuwaingiza ndani, akiwa anasua sua mara gari likawa linakuja upande wao na alikuwa ni mahiri, havintishi akaropoko akasema huyooooo, na alikuwa na wadada watatu wote wakageuka na kuangalia anaekuja.
Kiukweli mahir n handsome sio haba ila nikama hanaga shobo na mademu kabisa, na lipowaona havintishi na mashoga zake pale mlangoni, akajifanya kama hajawaona akapita zake moja kwa moja ndani.
Havi kaka yako mbona ni mzuri sana akasema mmoja ya wadada aliokuwa nao, yaan siniliwaambia alafu anatafuta mke, akasema havintishi.
Niunganishe mm……… niunganishe nae mm …… kila mmoja akawa anataka fursa iwe yake.
Msijali nitaenda kuongea nae na atakae mpenda atakuwa nae, simnajua sisi ambao tuna pesa tunaringaga sana, akassema havintishi.
Ila wewe mtu hawez kukudhania kabisa kama unapesa havintishi, haya sisi tunaondoka wakasema wale mabinti na wakaanza kundoka na havintishi, akaingia ndani.
Una shida gani wewe mwanamke, wale niwakina nani na kwann umewaleta nyumban kwangu?, akauliza mahiri kwa sauti ya ukali akioneshwa kutopendezwa kabisa na namna alivyomkuta havintishi na mashoga zake.
Badala unishkuru unanigombeza, au unanichukulia je, maana wale wadada mm ndio nimewaambia waje na kwanza maskin hawakuwa hata wanataka nikawalazimisha, akasema havintishi.
Wana umuhimu gani? Havi mm sipend vurugu na kelele kwenye nyumba yangu plz akasema mahiri kwa hasira na kuwa anaondoka kuelekea chumban kwake.
Nilikuwa nakutafutia mke, akasema havintishi na mahiri akageuka na kumuangalia havintishi, akajikuta ameangua kicheko maana hakutegemea kama havintishi atamjibu vile
Nakuja........
 
HAVINTISHI 4
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Hivi unashida gani havintishi lakin?, kwan nilikuambia unitafutie mke, akauliza mahiri.
Hujanambia ila unaonekana kabisa unaupungufu wa kupendwa vizr wewe, akasema havintishi, kwann unasema hivyo?, akauliza mahiri. Si unaonekana tu, yaan kila saa umenuna, kila dakika unahasira, kila sekunde unagomba gomba tu, sasa ungekuwa bizze na baby wako huo muda wa kugombana na mm ungeupata wapi akauliza havintishi na mahiri akaishia kucheka na kuingia ndani tu.
Siku zilienda na havintishi akajivulia umaarufu mtaan kwa sababu ya namna ambavyo alikuwa anajiamin na namna ambavyo alikuwa anaongea sana, basi siku moja alitoka akakuta kuna kashughuli mchwara mtaan na hakana MC, akajivika uMC wa ile shughuli na aliutendea haki vzr sana, na kuanzia siku hio akawa anapata tenday a kuwa MC KATika shughuli mbali mbali Ila za mchana, na angalau akawa anajipatia kipato chake cha halali bila ya kumtegemea mahiri, basi mahiri akaanzisha mahusiano na bint mmoja ambae alikuwa n mfanyakazi mwenzie pale ofisin, na yule bint muda mwingine alikuwa anakuja nyumban kwa mahiri n ahata siku moja hajawah kumkuta havintishi, maana kikawaida havintish huwa hakaagi nyumban mchana, so akajiaminisha kwenye ile nyumba hakuna mtu mwingine anaeishi Zaidi ya mahir, bila kujua alikuwa anapishana na havintishi tu.
Siku hio kama kawaida yule bint alikuwa anaitwa salha akaenda bila taarifa kwenye nyumba ya mahir, saa ngapi asimkute havintishi anamwagilia mauwa maji
Wewe n nani na unafanya nn kwenye nyumba ya boyfriend wangu, akauliza salha.
Nampa utamu siunamuona yuko chini yangu na mm niko juu hapa, akasema havintish kitu kilichomkera sana salha, na kupelekea salha kaondoka kwa hasira na alipoondoka tu akampigia simu mahir na kumuambia kilichotokea, na baada ya muda mfupi mahir akafika ila hakumkuta salha.
Yule mwanamke wako mshenzi sana yaan anakuja hapana kuniangalia kama kinyesi hapa, nimemsafisha kamuulize atakuambia, akasema havintishi
Hivi wewe bint unashida gani?akauliza mahir kwa sauti ya ukali
Kuanzia leo nakuomba nisije nikasikia unapita kwenye njia yangu nitakutimua, akasema mahir kwa hasira kisha akaaingia chumban kwake na kuanzia siku hio akawa anakuja na salha analala nae hapo,na kesho yake anaondoka au muda mwingine salha anashinda hapo hapo.
Havintishi akawa anajikuta anaumia sana, sasa hakujua kama ni mapenzi au ndio alishazoea tu kuwa karibu na mahir,ila akawa anajikuta anamchukia sana salha ila hakuwah hata siku moja kumuonesha, na mara zote ,mahiri anadhan kuwa alichofanya ni sahihi maana mara kadhaa havintishi alikuwa anamsisitiza aoe, kumbe upendo ulisha jijemga kwa havintishi kwa kiasi kikubwa sana, ila havintishi mwenyewe hakuwa hata anajua, ila alikuwa anaumia sana akimuona mahir yuko karibu na salha ila ndio hivyo hakuwa na lakufanya. Basi kwa kuwa na yeye alikuwa ni binaadamu na alikuwa na hisia akaona atafute mahusiano, maana kukaa single mwisho wa siku historia ya marehemu iwe fupi, kwamba alizaliwa akazurura akafa, akawa anawaza havintishi.
Siku moja aliitwa akawe MC sehemu na hata hakumuaga mahiri kama kuna sehemu anaenda, sasa mahiri katoka kwenye shughuli zake kama saa moja hivi anashangaa anarudi nyumban hamkuti havintishi, akaamua kumpigia, lakin pia simu haikuwa inapokelewa, kiukweli hakuwa hata anajua n kwann mauwa hapokei simu, akajikuta anapata hofu sana na kukaa nje kabisa ya geti na kuanza kumsubiria Havintishi, amemsubiri sana bila mafanikio, mpaka ikafika kama saa nne kasoro akashangaa gari linasimama kwenye nyumba yake, mara akashuka mauwa na ndani kulikuwa na mwanaume mzuri huyo, akampa Havintishi kitu kama karatasi, na mahir hakuona havintishi kapewa nn na hata aliposhuka kwenye gari akashuka akiwa anatabasamu, kisha akampungia yule kijana aliemleta pale nyumban, na gari likaondoka.
Nambie umetoka wapi saa hizi, akauliza mahir kwa ukali,chakula chako kipo jikon na juice ipo kwenye fridge na nimeshakupasia nguo zako za kuendea kazin kesho, sasa swala la mm kuwah au kuchelewa sidhan kama linakuhusu maana na mm ni binaadamu, tena mtumzima so nina maamuzi kwenye Maisha yangu, akasema havintishi.
Hata kama una maamuzi ila mm ni boss wako, akaendelea kuongea kwa ukali mahiri. Ndio n boss wangu ila sio mume wangu, na kwaninavyojua kuwa boss anatakiwa atiiwe na utekeleze majukumu yote aliokupa lakin sio kukupangia Maisha, akasema havintishi. Unaniletea ujeuri nyumban kwangu, mm ndio mwenye nyumba na sheria za nyumba yangu n kuwa huruhusiwi kutoka nje ya hili geti bila sababu maalum, akaendelea kusema mahiri kwa ukali,Havintish wala hakumjibu akaenda moja kwa moja mpaka chumban kwake na kulala maaana alikuwa amechoka sana so hakutaka hata kubishana na mahiri.
Basi siku hio ilipita na hatimae kukapambazuka, havintish aliamka na kufanya majukum yake ambayo anapaswa kumfanyia boss wake, akampikia chai kisha akamtengea na mara baada ya kumaliza kutenga ile chai akawa anatoka nje kufanya shughuli nyingine, mara simu yake ikaanza kuita na wakat huo ndio muda ambao mahir alikuwa anakuja kunywa chai ukumbin, akawa anamsikiua Havintish anaongea na simu ila kwa bashasha sana, akajikuta roho inamuuma, akamsogelea havintish na kusema kwa sauti ya juu kidogo ‘”mke wangu naomba niletee sukari”,Havintish alishangaa ikabidi akata simu na kumfata mahiri na kumuuliza kwann anamuita mke wake na wakat anasalha.
“wewe huwajui vijana wa dar wewe, so nilikuwa nakukomboa usije ukaingia kwenye mikono ya watu wabaya, nak ama unavyojua umekuwa kama rafiki yangu sasa so lazima nikulinde”, akasema mahiri. Haikuhusu naomba ishi kama boss wangu na sio mpelelezi akasema Havintishi kisha akatoka nje.
Hivi huyu anajikuta nani?, yaan mm namnusuru kutoka kwa matapeli ananifokea tu, acha akatapeliwe na akijiliza jiliza hapa atanijua mm ni nani, akawa anajiambia mahiri. Akanywa zake chai kisha akaanza safar ya Kwenda kazin ila alipofika nje ya geti akaona lile gari ambalo lilimleta havintishi usiku wa jana nje limepaki, akajikuta kaahirisha safar ya kazin kisha akarudi nyumban na kuanza kujilalamisha kuwa anaumwa.
Alimkuta havintish anajiandaa kutoka maana alikuwa ameshamaliza majukum yake yote na ndio alikuwa anatoka.
Unaenda wapi akati mm naumwa, akasema mahiri kwa sauti ya kujilalamisha
Kuna mtu naenda kuonana nae, wewe mpigie salha aje akuhudumie maana anatakiwa kumhudumia mume wake mtarajiwa, akasema havintishi kisha akatoka nje. Na alipofika nje akampigia simu salha na kumuambia hkuwa mahiri anaumwa kisha akaenda kwa yule kijana aliekuwa anamsubiria nje na gari, na lipofika yule kijana akamkumbatia na kumkiss kwenye paji la uso kisha akamfungulia mlango wa gari na havintish akaingia ndani.
Kumbe mahiri alikuwa kajibanza sehemu anawatazama, akajikuta roho inamuuma sana na kuanza kuwafatilia havintish na yule mwanaume aliekuwa nae.
JE MAHIRI KWANN ANAMFATILIA HAVINTISH NA WAKAT ANAMPENZI WAKE?
AU NDIO ANATAKA KUMLINDA MFANYA KAZI WAKE? HATA MM SIJUI
ITAENDELEA
 
HAVINTISHI 5
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Havintish na yule kijana wakaenda mpaka kwenye moja ya hotel na kuagiza chakula, na mahir akaenda mpaka kwenye viti vya pemben kidogo kisha akakaa na kuanza kuwaangalia ila sio siri roho ilikuwa inamuuma sana, mpaka akawa anajishangaa amepatwa na nini cha ghafla.
Samir nashkuru sana maana kuanzia nazaliwa sijawah kuwaza wala kufikiria kufika sehemu kama hii, akasema havintishi kumuambia yule kijana, ambae alimuita Samir. Wewe ni mwanamke wa kitofaut sana havintish mpaka nataman ningekuwa ndio nimeshakuoa, akasema Samir na havintish akatabasamu.
“embu nambie kuhusu wewe, maana nimejikuta nimetaman sana kukujua zaidi ” akasema Samir . usikute unataka kunitoa kafara wewe, maana matajiri hamkawii, akasema havintish na Samir akaanza kucheka. Kwamba nikakutoe kafara ili nipate nn? Akauliza Samir. Ili upate nguvu za kiume, akaropoka havintish na Samir akashindwa kuzuia kicheko na kujikuta anacheka sana,unavituko sana wewe naamin nyumba yetu itakuwa na furaha sana, akasema Samir
Nyumba yetu lazima itakuwa na amani usijal, ila unataka tujenge nyumba na wakat mm sina hela, akasema havintish. Kwan ukishakuwa mke wa mtu, vitu vya mumeo si vyako?, akasema Samir. Kumbe nakaribia kuolewa na sijui akasema havintish. Ila wewe mwanaume mm nilikuwa naona umechangamka kumbe unaogopa wanawake, akasema havintishi, hay abasi nitongoze tujue moja akasema havintish na Samir hakuwa na cha kufanya Zaidi ya kucheka tu.
Embu nambie…. Umeshawah kuwa na wanaume wangapi kuanzia umezaliwa, akauliza Samir.wengi sana, akajibu havintish. Kwamba umeshalala na wanaume wengi, akaendelea kuuliza Samir. Kulala nao vipi yaan mm nilale kitandan na yeye kitandani, mhhh sikumbuki, labda baba yangu, akasema havintish, kwamba umeshawah kulala na baba yako? Akauliza Samir, ndio nimelala nae karibu miaka miwili kipind mama yangu ananinyonyesha, akasema havintish na Samir akacheka sana. Kwamba ndio ulikuwa unalala na baba yako kipind una mwaka, akawa anasema Samir kwa sauti ya kicheko. Ndio au wewe ujawah kulala na mama yako, au kulala na baba yangu ni dhambi, akauliza havintish. Amna sio dhambi….. sio dhambi, maana hata mmm nimelala sana na mama yangu akasema Samir na wote wakawa wanacheka.
Mahir hakuwa mbali, alikuwa anaona namna havintish na Samir wanavyocheka na kutaniana, alijikuta anaumia sana, na hakuwa anajua hata alikuwa anaumia kwa sababu gani. Sasa havintish na Samir wakawa wamemaliza kula, akasimama akamshika havintish mkono kana kwamba anataka kumnyanyua alipokaa, mahir aliumia sana ila akavunga na kuondoka kabla yao na kuelekea nyumban, ila chakushangaza hata alivyofika nyumban alikaa karibu lisaa lizima havintish hajarudi, akajikuta anazunguka nyumba masaa yote ni kama alikuwa amechanganyikiwa.
Baada ya muda kidogo havintish alirudi na alikuwa amerudishwa na Samir, mahir alikaa sehemu akawa anamuangalia na kuwasikiliza, akamsikia samiri anasema “naomba nisiendelee kujivuta na nikuambie ukweli wangu, hakika nimejikuta nimekupenda sana havintish,. Na usijali nitasubiri jibu lako hata miaka mingapi, maana sitanii kwenye hili”.
Havintish alitabasamu na kumuambia “tuendelee kumuomba mungu huenda ikawa kama unavyotaka”, samiri akamkumbatia lile kumbato la kama anataka kumuga kisha akamkiss
Kwenye paji la uso na kusema “nakupenda mamaaa, naomba usinifanye nisubir sana”.
Mahir alikuwa anahisi kupasuka, akarudi ndani kwa hasira mno na kujiambia kuwa hawez kukaa na malaya na atamfukuza nyumban kwake akakae kwa mambwana zake.
Yaan mm nimemfadhili yeye anaenda kufanya umalaya, aseee siwez kukaa na mwanamke mchafu hivi akawa anajiambia mahir.
Ety usinisubirishe sana yeye n nani mpaka aseme viloe nae ty haka kahavintish kanajichekesha tu kama kana tekenywa, hivi mbon hata hawaoni aibu kuongea ujinga hadharan, akawa anajiongelesha mahir, alafu hii tabia ya kutoka toka lazima niikomeshe ndio inasababisha huyu mtoto afanye ufuska, akawa anaendelea kujiambia mahir.
“nakupenda mamaa, so naomba usinisubirshe sana”, akasema mahiri kawa sauti ya kubana pua, kama anampenda si angemsubir, ndio maana huwa nakaambia haka kasichana kila siku kuwa amekutana na tapel, sasa kama akimpenda sana anaogopa vipi kumsubiri, mwanaume Malaya sana yule sijui hata amempata vipi, akawa anaendelea kujiambia mahir.
Halafu huyu binti naona kama uhuru unazidi sana, yaan anajifanyia mamboa anayoyataka tu humu ndani, yaan anaondoka muda anaotaka na kurudi muda anaoutaka, au anachukulia nymba yangu kama danguro nn,lazima nikatengeneze mkataba yaan nimpe sheria za nyumba yangu na asipozifata lazima aondoke, akawa anaendela kujisemea mahir, halafu mwanaume mshenzi sana yule, yaan amemkuta ameshapendaza ndio anajifanya anamtaka, kama angekuwa anampenda si angeenda kumtafuta huko vijijini amkute kapauka tuone kama angempenda, akaendelea kujisema mahir.
Kwanza ndio maana alilazimishwa kuolewa, yaan hata mm ningekuwa baba yake ningemuozesha tu huyu chizi kuliko hizi aibu anazonipa, au sijui nimrudishe kwao akaolewwe maana atakuja kuniletea mimba tu hapa nyumban kwangu, akawa anaendelea kusema mahir na wakt wote huo Samir na havintish walikuwa wako nje wanazungumza yale mazungumzo ya mwisho ya mwisho ili waagane.ke
Mahir alipoona havintish haingii ndani, akajiambia ngoja achungulie maana usikute wameondoka tena maana huyu mpuuzi hajui kama mm nina njaa au, akwa anajisema mahir huku akilisogelea dirisha na kusogeza pazia kyuangalia wanafanya nn muda wote huo havintish na Samir . akamuona havintish anakuja ndani ila Samir anamuangalia sana huku anatabasamu na hata havintish alipogeuka nyuma Samir alimkiss lile kiss la mbali na havintish akatabasamu.
Wanajiamin nn hawa, wanahisi siwez kuwakataza kukaa karibu na nyumba yangu, yaan wanakuja mpka kwangu nakuanza kunionesha kabisa ni namna gani walivyo mabaradhuli wasio na haya, lazima nitawafundisha adabu ,maana wananidhalilisha mpaka mm kwa ushetan wao wanaoufanya, akawa anaendelea kujilalamikia mahir kwa manung’uniko ya hasira na wivu wa kiwango cha juu kabisa.
Havintish aliingia ndani huku anatabasamu na kukutana na sura ya mahir akiwa kanuna mno, unatoka wapi saa hizi na nilikuwambia sijisikiii vizuri lakin ukaniacha hata bila dawa, kama umechoka kazi sema nikupe nauli uende kwenu, akawa anaongea mahiri kwa jazba kubwa.
Havintish alimuangalia kisha akajikuta anaangua kicheko cha maana mpaka mahir akabaki kaduwaa, yaan mm nakuongelesha wewe unacheka, akaendelea kusema mahiri kwa saut ya ukali.
Kusanya kila kilicho chako na uondoke nyumban kwangu, akasema mahir kwa ukali na badala yake havintish ndio kwanza alikuwa anakaukiwa kwa kucheka
JE ATAWEZA KUMFUKUZA HAVINTISH NA NDIO KWANZA ANAONEKANA KUMUONEA WIVU
ITAENDELEA
 
HAVINTISH 6
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Mahir akanza kuuliza upya mara baada ya havintish kuacha kucheka “Umetoka wapi na yule uliekuwa nae ni nani?”, akauliza mahir kwa sauti ya ukali.owww boss unataka nife na upwiru na wewe, au unataka uwe unanipa tamu mwenyewe ili mm nisitoke nje, owwww ila naogopa kumkosea salha bana, so acha na mm nikatafute bwana mkunaji, akasema havintish, siko kwenye masikhara na wewe, mm ndio nimekuweka hapa sasa unawezaje kuwa na tabia za hovyo, so kama umechoka kuishi hapa ondoka…, akaendelea kusema mahir kwa sauti ya ukali.
Vipi unawivu, kauliza havintish, ila hauwez kuwa na wivu wewe ila ngoja sasa nikuambie kitu, akaendelea kusema havintish, kisha akamsogelea Mahiri mpaka kwenye sikio lake na kusema “ I LOVE U BOSS”,kisha akakimbia zake chumban huku anacheka, Mahir nae akajikuta anacheka maana hata yeye hakutegemea kabisa kama Havintish ataweza kumuambia vile, ila maneno yale yalipenya kwenye kifua chake kilichojaa vizuri na Kwenda kutoa kwenye moyo wake, na kuutikisa sana, mpaka akajikuta mapigo ya moyo yanaenda kasi mno na akajikuta anamuangalia havintish anavyopotelea kuingia chumban kwake.
Havintish alienda akabadilisha nguo kisha akatoka akaanza kuandaa chakula cha mchana na wakat wote mahir alikuwa anamuangalia kiuwizi uwizi, na alipomaliza kuandaa chakula akakitenga kisha akawa anavaa kana kwamba alikuwa anataka kutoka, “unaenda wapi?”, akauliza mahir, kwa mashoga zangu, yaan leo sijawaona kabisa toka asubuh so acha nikachangamshe mdomo kidogo usije ukanuka, akawa anasema havintish huku akiwa anataka kutoka, mahiri akawah kwenye geti kubwa kisha akalock mlango na kusema hakuna Kwenda popote, kwanza lile shuka ulilonitandikia likilalia nawashwa so nenda kalibadilishe, akasema mahir na havintish akaanza kucheka, yaan alicheka mpaka mahir akawa anashangaa anacheka nn, maana alikuwa anacheka mpaka anakaa chini kabisa kwa kicheko.
Unanionea wivu, siuseme tu kama unanipenda nijue nakusaidia je, au ulifikiria naenda kwa Samir, akasema havintish huku akiendelea kucheka, hivi unafikiri sikukuona kama ulikuwa unatufatilia ukiwa umekunja sura, akaendelea kusema havintish huku akicheka sana kisha akaanza kuimba.
baba cha wivu….baba cha wivu… acha tamaaa ….. acha tamaaa maana mm siko single, ni kweli nimeshampata wangu, na wewe acha kunionea wivu, kwa sababu .. sitakutaka hata kidogo, kwa maana wewe ni baba cha kununa, unanuna … ndio mpaka unaboa, alafu … na mm nataka kuolewa nan ani? Na yule handsome midevu, anaitwa nani …. Anaitwa SAMIRI my love.
Kwa hio ameshakuwa love wako, akauliza mahir, ndio tena nampenda mpaka nampendelea yaan,akasema havintish.Mm wala sikuonei wivu hata ukiamua kuwa na kibaka, si wewe mm inanihusu nn akasema mahir. Ndio haikuhusu ila inakupa wivu, akasema havintish kisha akaanza kucheka upya. Yaan mm nikuonee wivu wewe au nikufatilie si nitakuwa nimechanganyikiwa, akawa anasema mahiri. Havintish akamsogelea kisha akajilaza kwenye kifua chake kwa madeko, mara akashangaa mashine inaanza kusimama, mahir akam Sukuma huko, kisha akaenda zake chumban kwake, sasa havintish hakuwa na mbavu akawa anacheka mpaka anapaliwa.
Mahir alikuwa nak ama hasira hivi, akaenda akavaa alivyovaa akamwambia na havintish ajiandae kuna sehemu wanaenda jion, na havintish hakukataa, akavaa vizur na mara baada ya kvaa akatoka ukumbin ambapo mahir alikuwa anamsubir, mahir alipigwa na bumbuazi mara baada ya kumuona havintish kapendeza maana anashindiaga vijora na kujifunga matenge tu, sasa hapo alimuona kama Malaika alieteremshwa na macho yake hayakuweza kujizuia kumtazama havintish, maana alikuwa anavutia mno. Basi Wakatoka wakaenda mpaka kwenye mojha ya hotel na mara baada ya kufika, havintsh akashangaa anamkuta salha, kwamba walikuwa wantkiwa wapate dinner yeye, mahir na salma, moyo ukamuuma sana, akajikuta analengwa lengwa na machozi , maana aliona kama mahir kamkosea sana, akapata wazo akamtmia sms Samir na kumuambia alipo na baada ya muda mchache alifika eneo husika na havintish akasimama na kuwaambia “samahanini, nadhan dinner wanatakiwa wawe watu wawili tena wanaopendana so acha niwaache”, mahir kugeuza macho anashangaa anamuona Samir
Owww owwww tumbo tumbo, akaanza kulalamika mahir, tumbo linaniuma uwww, havintish nirudishe nyumban ukanipe zile dawa zangu najisikia vibaya akaanza kulalamika, kila mtu alishangaa maana alikuwa mzima dakika chake zilizopita, sasa hilo tumbo limeANZa saa ngapi, alilalamika sana mpaka kupelekea maswala ya kupata dinner yaishe na waanze kumrudisha mahir nyumban, mahir akawa anataka aondoke na havintish tu, sasa havintisha hata kuendesha gari hakuwa anaweza so ikabidi salha ndio amdrive mahir, na havintish arudishwe nyjmban na samiri. Mahir alikuwa anajifanya anaugulia maumivu ila kila dakika alikuwa anaangalia gari alilopanda havintish na Samir maana ni kama hakuwa na amani kabisa, basi wakaenda mpaka wakafika nyumban na wakaomba waachwe nakila mmoja aende akapumzike anapoishi, na kweli salha na Samir wakaondoka ila wakat wanaondoka samiri akasema “usivunje ahadi yetu ya leo usiku”, kisha akaondoka zake.
Mahiri kusikia maswala ya zawad ya usiku, kwa akili yake ya haraka haraka akajua ni sex kuwa havintish atatoroka aende akaliwe usiku, akawa anajiambia kama utatoka basi sio mm.
Akajifanya ni mgonjwa mahututi kabisa yaan ambae hana hata nguvu ya kufanya chochote kiasi kana kwamba akawa anataka ety havintish amsindikize mpaka choon, kisa yeye n mgonjwa na hawez hata kutembea, yaan kila wakat ambao havintsha atataka kupumzika, mahir anampa majukum. Akaona usinitanie, akawa anaondoka zake Kwenda chumba anacholala, naumwa naumwa … uwiii uwiiii mamaa njoo uniletee majia ya kunywa, akaanza kulalamika mahir.
Wewe unaumwa nan n kama sio homa ya wivu, sasa ni hivi.. wewe umwa mpaka ukate moto mm naenda kulala, maana mm sio mtumwa wako, kwamba sitakiwi kupumzika na mm naenda kulala, maana mm sio mtumwa wako, kwamba sitakiwi kupumzika na sitakiwi hata Kwenda kulala bye… bye bye akasema havintish huku akiwa anaondoka.
Ndio siumwi …. Siumwi hata kidogo, haya nambie unataka Kwenda kufanya nn na yule mpuuzi huu usiku, akasema mahir kwa sauti ya jazba, hapa unakosa nn mpaka utake Kwenda kwa yule mpuuzi au anakupa nn na yule mpuuzi huu usiku, akasema mahir kwa sauti ya jazba, hapa unakosa nn mpaka utake Kwenda kufanya umalaya huko nje, yaan unakula unachotaka, unavaa unachotaka nab ado unawaza kudadanga akasema mahir kwa sauti ya ukali.
Havintish alimgeukia kisha akatabasamu, kisha akabongoa na kupitisha kichwa katikati ya miguu yake akiwa amebong’oa na kusema “hiloooo mahiri mawivu, oooooo utachunda babu”, mahir akashika mto na kumrushia na kuanza kucheka maana yeye mwenyewe hakutegema kama havintish atafanya vile , na havintish akakimbia zake chumban kwake.
Mahir sasa akatoka chumban kwake na kuanza kupita pita kwenye mlango wa chumban kwa havintish kwa lengo la kumzuia asitoke chumban na Kwenda kwa Samir, na havintish alilijua hilo kaaanza kuwaza afanye nn kumkomesha, mara akapata wazo akaanza kwanza kucheka…. Akacheka sana kisha akaanza kujiambia “mahir umeingia kwenye choo cha Watoto na huwez kujisaidia kwenye pot utakoma mwaka huu”.
Je HAVINTISH ANATAKA KUFANYA NN
(ITAENDELEA)
 
HAVINTISH 7
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Havintish akachukua simu kisha akasogea karibu na mlango akaanza kuongea kwa nguvu kana kwamba anaongea na Samir, akawa anasema “hellow darling umeshalala, amna sweetheart siwez kulala bila kuongea na wewe, siunajua….. owww darling kwann umenikasirikia lakin unataka nishindwe kulala….. basi babaa siunajua nakupenda”, akawa anasema Havintish makusudi kisha anamsogea kwenye tundu la mlango anamchungulia mahir, ilikuangalia kama anamsikiliza.
Kweli akamkuta anamsikiliza huku anazunguka zunguka na macho yamekuwa mekundu kana kwamba mtu mwenye hasira kali, Havintish akaona hapa hapa ndio pakumuumizia huyu mjinga.
“owww bby kweli….. nataman sana uniogeshe ukiwa unanisugua mgongo……. Ahhhh basi bby naona unataka hali yangu ibadilike”, akawa anasema Havintish kwa nguvu na kujifanya anaongea na Samir kumbe hakuna mtu ambae alikuwa anazungumza nae, bali alitaka tu kumrusha roho tu mahir. Kweli mahir alikuwa anaumia mno na mwisho akashindwa kujizuia akaenda kugonga mlango wa havintish, havintish akatoka Kwenda kumfungulia huku akiwa bado anajifanya kuongea na simu. Kata hio simu tuzungumze akasema mahir.
Owww honey tutaongea kesho ila kumbuka kuwa nakupenda sana, akasema havintish makusudi kisha akajifanya kukata simu. Nataka tuzungumze, akasema mahir kwa ukali, unataka kuongea na mm usiku wote huu, akasema havintish.
Kwamba ikiwa usiku ndio maneno hayatoki au?, akauliza mahir. Haya nakusikiliza , nambie unataka nn akasema havintish, nataka tupange sheria za hii nyumba na tuzibandike kila mtu azione, akasema mahir na kumtaka havintish aondozane nae mpaka ukumbini. Haya nambie hizo sheria zak, akasema havintish.
Kwanza ukitoka nyumban lazima uage, akasema mahir, pili huruhusiwi kuongea na simu usiku, tatu ukitaka kuonana na mtu lazima unambie, akasema mahir, havintish akawa kama anajizuia kucheka na kumpelekea mahir ashikwe na hasira.
Mm naongea wewe unacheka?, kwa maana ninachokiongea n ujinga, akasema mahir. Amna ila kuna moja iumeisahau akasema havintish. Ipi hio ?, akauliza mahir. Tano sitaki kukuona unasimama na mwanaume, akaongea havintish akawa kana kwamba anaiga namna mahir anavyoongeaga na kupelekea mahir kucheka.
Mm siwez kukuzuia uwe na mwanaume maana wewe si binaadamu, akasema mahir. Nai kama mm ambavyo natakiwa kuwa na mweza, ila usiwe na yule muhuni akaendelea kusema mahir. Muhuni ?, mbona mm namuona mstaarabu sana au kwa kuwa nampenda, akasema havintish. Mahir akabana pua kisha akamuigiza namna havintish alivyosema “Mbona mm namuona mstaarabu sana, au kwa kuwa nampenda”, utasema wa kwanza kupenda ni wewe, muone, akasema mahir kisha akamuaga havintish kwaajili ya Kwenda kulala maana ulikuwa tayar ni usiku sana.
Basi siku hio ilipita na wakat kulipopambazuka, havintish akaamka mapema kama kawaida yake ya kila siku, akashangaa anamkuta salha yuko jikon anamuandalia mahir chai. Kiukweli roho ilimuuma sana na akajua fika kuwa mahir kamuita salha makusudi. Ikabid amuache salha jikon yeye anaendelee na majukum mengine. Salha aliandaa kifungua kinywa na mara baada ya kuandaa akamfata mahir chumban kwake, na mahir akatoka akiwa amemshika salha kiuno, na havintish aliyaona yote hayo ila akajifanya anapuuza maana alikuwa anaumiza mno. Akashangaa anaitwa ety wakanywe chai ya Pamoja.
“Nyie endeleen, mm kuna kazi naimalizia, akasema havintish maana alijua fika asingeweza kukaa meza moja na salha, maana ndio anamchukuliaga kama adui yake namba moja.
Wakawa wanalishana kwa mapozi na baada ya kulishana, wakatoka Pamoja kuelekea kazin, havintish akajifanya hawaoni na kuendelea na majukumm yake, ila gari lilipoondoka alikaa chini na kuanza kulia, nyie alilia kama amefiwa vile, maana alikuwa anampenda sana mahir, ila ndio hivyo hana la kufanya.
Siku hio hakutoka kabisa na hakutaka kuonana na mtu yoyote yule, aliamua kutulia nyumban na kuifikiria hatma yake, mahir alirudi nyumban kama saa 11 jion akamkuta havintish amejilaza zake ukumbin, akachukua simu yake na kupiga simu sehemu, akasikika anasema “njoo nyumban salha, unajua hata kama nimekaa na wewe sana kazin ila siunajua sijawah kuchoka kukuangalia,”akasema mahir makusudi. Havintish alijikuta anakurupuka na kumuangalia mahir kwa jicho kali, mpaka mahir akashangaa havintish anashida gani, so akaamua kukata simu na Kwenda kumuuliza anashida gani.
Unashida gani mamaa, akauliza mahir. Havintish akamuangalia kwa unyonge kisha akasema “nilikuwa naumia mahir”, unaumia ? akauliza mahir. Ndio naumia sana, akajibu havintish kwa ile sauti yake ya unyonge, alimshangaza sana mahir maana kuanzia anamjua havintish hajawah kumuona akinyong’onyea kiasi kile. Kinachokuumiza n nn? Akauliza mahir. Naumia kwa sababu yako, akasema havintish.
Mm tena nimefanya nn mamaa, akauliza mahir. Hujui ulichokifanya?,yaan sijui ni kwa sababu gani hujawah kunielewa,au unaona kama mm sina maana kwako, akaendelea kusema havintish. Akili ya mahir ikawa inamtuma kuwa havintish amepatwa na wivu, labda alivyoongea na salha mbele yake kumemuumiza. Au nilivyoongea na salha umejisikia vibaya?,akauliza mahir. Havintish akamsogelea na kumusogea mpaka masikion kwake kisha akasema kwai le ile sauti yake ya upole kuwa “naumia kwa sababu mm nimejifanya zangu nanyong’onyea kwa raha zangu wewe unadhan naumwa, nani alikuambia nikiumwa nakuwa mpole?, mm ni kazi kazi tu, niwe mzima au naumwa, acha kuwaza ujinga”, mahir akajikuta anacheka na kuona kabisa hapa hamna mtu.
Hivi havintish ulishawah kumiliki akili, akauliza mahir kwa sauti ya kicheko. Sijawah boss maana kila siku shulen mm nilikuwa wa mwisho na kitu pekee nilichokuwa naongoza ni kupiga kelele, akasema havintish na kupelekea mahir kucheka sana. Na tangu nimefiuka hapa nikawa natumia akili zako, akaendelea kusema havintish. Kwa maana mm nina akili mbovu hivi?, akauliza mahir. Eee sijachukua akili zote nimechukua kidogo na ndio hzi unazoniona nazo, akasema havintish na mahir akajikuta anacheka sana na kuona hapa hana mtu.
Baada ya kama lisaa limoja,Havintish akaomba atoke ila mahir hakuwa anataka kabisa, ila havintish alilazimisha mpaka akaondoka, ila wakat wote mahir hakuwa na rah ana mara kadhaa alikuwa anawaza Havintishi atakuwa ameenda wapi, maana hakumuambia anapoenda. Kumbe havintish alienda kukutana na Samir na Samir alikuwa anaonekana kumpenda sana havintish.waluenda wakakaa sehemu na Samir wakati wote alikuwa anamtazama kimahaba sana, kwa maana ni kama alikuwa anataka kumuambia kitu havintish.
Unakumbuka mara ya kwanza tulipokutana akasema Samir kwa sauti yake ya kigentral man, maana alikuwa na sauti moja tamu sana.ndio nakumbuka, akajibu havintish. Siku ile nilihisi nimekutana na mwanamke wa Maisha yangu, namna ambavyo ulivyonipambania nikajua kabisa kuwa nahitaji mwanamke wa aina yako kwenye Maisha yangu, akasema Samir. Kweli?, akauliza havintish . ndio mamaa sitanii kwenye hili, akajibu Samir
Alafu yule mjinga kwann alikuwa anakufanyia vile, akaliza havintish. Samir akaangalia chjini kwa sekunde kadhaa kisha akasema kwa sauti ya kinyonge na kusema “mariam alijua kuwa siwez kumuacha maana nilikuwa nampenda sana, asante sana kwa kunitoa kwake, maana mm mwenyewe sikuwa najua nawezaje kutoka kwa mariam”, ila mbona ulikuwa mnyonge sana na wewe ni mwanaume, akauliza havintish.
Ni upendo ….. nilikuwa nampenda sana
Ila ulipokuja pale ni kama ulinifungua macho na kunifanya nione tena, akajibu Samir
JE HAVINTISH ALIMKOMBIO VIPI SAMIR KUTOKA KWA MAHIRI
USIKOSE KIPANDE KINACHOFUATA
HAVINTISH 8
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Havintish akaanza kukumbuka ilivyokuwa.
Siku hio havintish alipata tenday a kuwa MC kwenye sherehe moja ya watu wanaojiweza, alifanya kazi yake mpaka kama saa nne hivi maana ndio muda aliojiwekea wa kufanya kazi, ila wakat anaondoka akamkuta kijana amepiga magoti na mbele yake kulikuwa na mwanamke na mwanaume, na yule mwanaume alikuwa anabembelezwa asiachwe na kumuomba mwanamke asimuumize kiasi kile , ila ndio kwanza mwanamke akawa anamtolea dharau za hali ya juu. Havintish alishuhudia hilo na akajikuta anaumia sana, maana hakupenda kumuona yule mwanaume anadhalilika kiasi kile.
Kwanza hakuna mwanamke atakaeweza kukupenda, labda mwanaume aje kwako kwa sababu anataka pesa zako, akasema huyo bint. Havintish akasogea mpaka walipo Samir na huyo dada ambae hakumjua jina ambae alikuwa anaitwa mariam Pamoja na huyo kijana, alimnyanyua Samir kisha akaanza kumkung’uta vumbi huku akisema “sikuwa najua hili ila nakupenda sana, naomba unipe nafasi niweze kuwa na wewe na nakuahidi kukupa furaha siku zote za Maisha yangu,”hakuna alietegemea lile maana pia hakuna ambae alikuwa anamfahamu havintish, ila samir alijisikia aibu sana ila akasimama na havintish akamkumbatia na kusema “kifua changu kipo kwaajili ya kuyapokea machungu yako”,kisha akamshika mkono Samir na kuondoka nae. Mariam akajifanya hajali kabisa kisha akaondoka na bwana ake, ila Samir alijisikia vizur sana baada ya kuona havintish kamtetea.
Unaitwa nani, akauliza Samir wakat wanaondoka na havintish. Naitwa havintish kinyogoli, yaan hili jina langu mama alinambia alikuwa anagombana sana na mawifi zake, na wakawa wanamtishia kuwa hatozaa na watahakikisha anaachwa, ila aliponizaa ndio akaamua kuniita havintish, kwa maana havimtish vitisho vyao. Samir alijikuta anacheka maana aliona hapa amekutana na mtambo wa maneno, maana anaongea kama amemeza Cd vile.
Naomba nikupeleke nyumban, akasema Samir na havintish akakubali maana alona walau atasave pesa yake ya usafir.wakiwa njian yaan njia nzima n havintisha anaongea na Samir yeye akawa anacheka tu na akajikuta hata machungu yake yameisha kwa namna havintish alivyokuwa anamchangamsha. Walipofika anapoisha havuntish Samir alitaman ndio kwanza awe ndio anaanza safar na havintish maana anajua namna yakumtoa majonzi mtu na kumfanya ajisikie vizur, na kuanzia siku hio akawa anajikuta anammiss havintish sana, na taratibu akajikuta anampenda.
Alikuwa kila akitoka kazin akutane na havintish, na kila anapopata mapumziko kazin basi aongee nae walau kidogo, maana alikuwa anasikia Faraja sana moyon mwake kuongea na havintish, na ndio maana kila wakat alikuwa anamzengea ili watoke na kumuomba watoke out kila wakat.
Mahir alimsubir sana havintish bila mafanikio, akaanza kumpigia ila havintish aliweka simu silence kwa maana hakusikia hata mara moja mahir alivyompigia, mahir akajikuta anapatwa na hasira mno na kutaman kujua alipo, maana hakuwa na aman na akili yake ikawa inamtuma kuwa atakuwa na Samir tu, akawa anajiuliza havintish kampendea nn Samir, akaanza kukumbuka namna alivyonyoa maana Samir anapenda kunyoa kipara alafu anafuga ndevu. Akaenda kunyoa kipara na yeye, sijui hata akili yake ilikuwa inamtuma nn, maana alikuwa anafanya ujinga.
Alipotoka saluni akaanza kuwaza namna ambavyo Samir anavaa, maana Samir anapenda kuvaa suruali za jinzi na tishet na mahiri alikuwa anapenda sana kuvaa suti. Akaenda kutafuta tishet na jinzi , n araba moja kali sana, na baada yah apo akaanza kuwaza manukato ya Samir, yaan alijikuta anataman kuwa kama Samir. Ila kwa bahat mbaya akawa hakumbuki manukato ya Samir.
Sasa Havintish karudi nyumban akashangaa anasikia kana kwamba kuna mtu anapika, Kwenda kuchungulia anakutana na mtu kanyoa kipara kama anataka kufanyiwa jando, akaenda kumuangalia vzir maana mahir alibadilika sana, mahir akamgeukia na tabasamu, aseeee hapo ndipo alipokosea maana havintish aliangua kicheko cha maana, yaan alicheka sana mpaka akapaliwa. Shida nn mamaa akauliza mahir kwa sauti ya upole kidogo, akawa anajifanya nay eye yuko romantic. Mbona umenyoa ubara kama tak*, na baada ya kusema hivyo havintish akaendeleaa kucheka.
Unamuiga Samir, akasema havintish huku akiwa anacheka, Samir …Samir ndio nani?,akawa anauliz mahir kwa kigugumiz flan hivi, kisha akajifanya anatenga chakula mezan ili asiulizwe maswali.hya njoo ule, akasema mahir. Mm nimeshiba akajibu havintish.
Ni sawa nilisahau, ni lazima uwe umeshiba maana huwez kutolewa out na mpenzi wako bila kula, akasema mahir. Hovi umempendea nn yule mwanaume, au kwakuwa anakichogo na komwe, akauliza mahir, havintish akawa kimya anamuangalia tu, au kile kifua chake kama mgonjwa wa kifua kikuu, akaendelea kusema mahir, maana sio sir Samir alikuwa kajazia kwa mazoezi. Unanipenda? Akauliza havintish. Nikupende nkupeleke wapi mm, mm siwez kumpenda mwanamke kama wewe, akasema mahir,. Havintish akamuangalia mahiri kisha akaenda chumban kwake na baada yak ama dakika tanoa kawa ametoka akiwa amependeza mno.
Mahir jicho la uchu lilimtoka mno na havintish akaosha vyombo akiwa kavaa vile, akamaliza akasafisha nyumba kisha akachukua simu yake na kumpiga Samir, upo busy wakat huu akauliza havintish, ndio ila namaliza majukumu yangu kama baada ya lisaa limoja na nusu baada ya hapo nitakupitia nikuone mrembo, akasema Samir na havintish alikuwa ameweka saut kubwa makusud, basi sawa tutaonana utakapomaliza majukumu yako akasema havintish na kukata simu
Havintish akawa busy na simu yake na mahir muda wote alikuwa anamuangalia tu maana havintish alikuwa kimya sana, vipi unaumwa akasema mahir na havintish hata hakumjibu.aya niletee juice, akasema mahir na havintish hakujibu akanyanyuka akaenda akamletea, mahir akashangaa maana havintish ni mbish sana, nikande miguu akasema mahir makusudi kumtaka havintish aongee, ila hakusema kitu na badala yake akakaachin na kuanza kumkanda miguu.
Niache bwana kwanza unaniumiza, akasema mahir kwa ukali maana hakutegemea havintish kama atakubali, unashida gani akauliza mahir, havintish hakumjibu akasimama na Kwenda kuifata simu yake na kue na kuendelea kuichezea na mahir alijikuta anapandwa na hasira ila hakusema kitu, na kunyanyuka kana kwamba anaenda chumban, mara havintish akapigiwa simu, akajibu tu sawa nakuja kisha akasimama upesi na kutaka kuondoka.
Samir alimfata na kumuuliza unaenda wapi?,kwan wewe ni mume wangu mpaka ujue kila ninapoenda, akasema havint, akasema havintish. Haya ngoja nikuambie ninapoenda, naienda kuonana na Samir, maana nimeamua nianzishe nae mahusiano rasmi, akasema havintish.
Plz naomba usiende akasema mahir na kumvuta mkono havintunaomba usiende akasema mahir na kumvuta mkono havintishi kisha akamkumbatia na kusema “don’t go mamaaa plzzz, do not go”.
ITATAENDELEA
Njoo na 800 umalizie
 
HAVINTISH 9
HUSQER BALTAZAR (0657762690)
Kwan unataka nn unanipenda, au unataka kuwa na mm, kwann unanizuia nisitafute mwanaume, au unataka nife single, mm ni binti na mwisho wa siku natakiwa niwe na mwanaume ambae ndio atakuwa mwanaume wa Maisha yangu,akasema havintish kwa sauti ya ukali. Au unanipenda akauliza havintish. Nitakupenda vipi na wakat tayar nina mwanamke wangu, akasema mahir. Sasa kwann unanizuia nisiondoke , sasa tufanye hivi wewe nenda kwa mwanamke wako na mm niende kwa mwanaume wangu, akasema havintishi huku akiwa anaondoka,na safar hii mahir hakumzuia kuondoka. Na safar hii mahir hakumzuia na akawa anamsindikiza kwa macho tu.
Havintish akatoka mpaka alipo Samir na Samir alikuwa anaplay party yake ya kumfanya havintish ampende maana alikuwa tayar ameshazama penzin, na havintish alikuwa anamuwaza mahir na yote aliokuwa anayafanya alikuwa anafanya kwa sababu anataka mahir aache ujeuri na kumtamkia kuwa anampenda maana alikuwa anaonesha ishara zote za kumpenda ila ujeuri ndio ulikuwa unamsumbua.
Mahir nae akaona aende kazin tu, ila akili ikawa haikai na kila wakat akawa anamuwaza havintish tu nakujikuta hana raha, kuna muda salha alikuja ofissin kwake na mahir alikuwa kaugeuzia mgongo mlango wa kuingilia ofisin kwake,akaanza kuhisi harufu ya havintish na kujikuta moyo wake unamuenda mbio sana, akajikuta anatabasamu kisha akasema akiwa hata hajamuangalia aliekuja ofisin kwake n nani “nilijua tu utakuja kuniona na utaondoka kwa yule mwenye kifua kama anakwashakoo, haya havintish mamaa naomba nambie kilichokuleta ofisin kwangu, ww kichwa boga”, maana alikuwa anapenda kumuita havintish kichwa boga, mara kwa mara,salha akajikoholesha na mahir akageuka kwa mshangao, kisha akatabasamu lile tabasamu uchwara na kusema “kumbe n wewe”, ndio ni mm ila nakuona unamuwaza sana kijakazi wako, akasema salha.
Amna ila siunajua ndio ninaishi nae, akasema mahir. Unaishi nae mpaka ameshakuachia athari yaan kila wakat unamuwaza na kumfikiria yeye tu, akasema salha kana kwamba amekasirika. Au unampenda? Na kama unampenda kwann ulikuwa unahangaika na mm na kunipotezea muda wangu, akawa anasema salha kwa hasira. Amna mm nakupenda ww, akasema mahir. Ila ni kama maneno hayakutoka moyon na salha akaliona hilo.
Mahir akanyanyuka maana alijua kabisa ameshaharibu mambo,na Kwenda nyumban moja kwa moja akitegemea atamkuta havintish ila hata hakumkuta, akashika simu yake na kutaka kumpigia ila akasita maana aliona kana kwamba anajishusha Thaman. So akakaa kimya ila uzalendo ukamshinda akajikuta anatuma sms inasema “unarudi saa ngapi maana mwenzio nasikia njaa”. Sms haikujibiwa akajikuta anapatwa na hasira sana na moyo unamuuma mno.
Samir alivyotoka na havintish hotelin akaanza kumzungusha sehemu yenye mabembea na wakawa wanafuraha sana, kwa maana havintish alienda kwenye sehemu ambazo hata hakuwah Kwenda wala kufikiria Kwenda hata siku moja katika Maisha yake,alikuwa na furaha sana nak ila wakat Samir alikuwa anamuangalia sana kwa jicho la matamanio kana kwamba anataman hata amguse, ila ni kama havintish alikuwa anamkwepa, kuna muda wamezunguka nguo zikawa zimechafuka, Samir akaagiza mtu alete nguo so wakatafuta ka lodge ambapo watabadilisha nguo. Sasa havintish hakufunga mlango akawa ameurudishia tu, sasa Samir akawa ameleta nguo na wakat anaigia ndio muda ambao havintish alikuwa anatoka kuoga, na alipomuona Samir akapatwa na kiwewe na kutaka kurdi bafuni, sasa miguu yake ilikuwa na maji maji, na mule ndani kulikuwa na tilies so havintish akawa kana kwamba anataka kudondoka, Samir akamuwah kabla hajafika chini. Na wakajikuta wanaangaliana, nak ama tunavyojua namna ambavyo Samir alivyo nahisia kali kwa havintish, akajikuta anataka kumkiss.
Mahir acha akasema havintish n ahata hakuwa amejigundua kama amesema mahir, kwamba unamfikiria sana mahir hata ukiwa na mm akauliza Samir kwa sauti ya kinyonge.
Amna kwan mahir katoka wapi? akauliza havintish.
Ni kwamba haujajisikia akasema Samir, siulisema yule ni boss wako, na ukasema hujawah kumpenda sasa mbona unamuwaza sana, akaendelea kusema Samir. Au ndio umemzoea sana?, akaendelea kusema, haya nambie utakuwa tayar kuhama pale uje uishi na mm?, akauliza Samir, Hapana yule amenisaidia sana so siwez kuondoka kwake ghafla hivi, akasema havintish. Ni kwamba amekusaidia sana au unampenda embu nijibu, akauliza Samiri. Nimpende vipi yule kifurukobe, mwanaume ananuna kama mjamzito tena mwenye mimba changa, na anagubu kama mwanaume wa kidigo,akasema havintish, alafu ananionea wivu utasema anataka kunioa, mwanaume mwenyewe hata hawez kuongea na mm kila saa ananiletea masimango yake utasema yeye ndio kanizaa, mara usiende nje, mara sitaki kukuona na flani, na wakat hata hanipendi, akaendelea kusema havintish, kwamba angekuwa anakupenda ingekuwaje, ungemsikiliza na kuniacha, akauliza Samir kwa sauti ya jazba kidogo maana aliona kabisa kama havintish anampenda mahir ila alikuwa anamtumia kama ticket ya kumuumiza mahir,hakusubir jibu la havintish, akaamua kutoka zake nje na kumuacha havintish abadilishe nguo.
Roho ilikuwa inamuuma sana maana alikuwa anampenda sana havintish na kumuona kama mkombozi wake kwenye swala la mahusiano maana alimpa nuru na mwanga mpya wa Maisha yake, alitaman kumshikilia mno havintish ila alishajua kama hakuwah kumpenda ila ni kama alikuwa anamfariji tu, kwa upande mwingine alijisikia vizuri maaana havintish kafanikiwa kumfanya ajihisi kama mwanaume na yeye, maana mariam alimpotezea kujiamin kabisa yaan.
Mahir alirudi nyjmban baada ya kuacha na salha, alipofika nyumban hakumkuta havintishi, mahir hakuwa naraha maana alikuwa anajua fika kua lazima havintish atakuwa na Samir, akaingia chumban kwa havintish na kuanza kunusa nguo zake na kuzikumbatia, alikua anapata hisia sana, kwaakawa anajibiringisha kitandan kwa havintish na kuhisi yuko nae, alijikuta anateseka sana kiasi kana kwamba akawa anataman hata havintish aje amkumbatie, mwili wake ulikuwa unasisimka sana kila akimkumbuka, alitaman walau aje mara moyo amtie machoni walau moyo wake utaridhika,akaanzaa kumpigia simu havintishi na namna ambavyo alikuwa hapokei ndio kama alikuwa anamzidishia ukichaa, alihisi kuchanganykiwa sana, maana alikuwa anapiga kila baada ya sekunde kadhaa, aliuwa kammiss sana havintish mpaka anashindwa kujizuia.
Muda ulienda hatimae giza likaanza kuingia, mahir alishinda anazunguka zunguka tu, mara akapigiwa simu na salha na kumuomba wapate Pamoja chakula cha jioni, na mahir akaona bora aende maana nyumban alikuwa ameboeka tu, kweli alijiandaa na baada ya muda mfupi alikuwa tayar ametupia nguo zake nzuri zilizochonga vyema kifua chake na kisha akajipulizia manukato yake ya kila siku na kutoka, akaelekea sehemu ambayo walipanga kukutana na salha.
Alifika na kumkuta salha amekaa pekee yake, mara baada ya dakika tano akashangaa havintish anaingia na Samir, mahir alihisi kupasuka, alikuwa anaumia vibaya sana kiasi kana kwamba alikuwa anashindwa kujizuia na macho yake yakaanza kuwa mekundu nak ila mmoja aliekuwepo pale aliliona hilo.
Heeee kumbe kila mtu na demu wake, akasema havintish huku akitabasamu, haya kwann umetuita hap ana wakat sisi tulikuwa na starehe zetu, akasema havintish, acha sisi tuondoke akaendelea kusema. Naomba ukae hapo akasema mahir kwa sauti ya ukali kidogo, mpka kila mtu akamgeukia, unaniamrisha wewe kama nani?, akauliza havintish huku akiwa kamshika mkono Samir na kutaka waondoe.
Nasema kama boss wako, akasema mahir, sasa boss unataka kunipangia mpaka na Maisha, au unataka kunitafutia mchumba nn, akauliza havintish huku wakiwa wanaendelea kuondoka.
Mahir alisimama na kumvuta havintish, kitu ambacho hakuna hata mmoja aliekitegemea, kisha baada ya kapo akamtandika kiss moja la maana kwenye lips, na kila mtu hakutegemea, na hata havintish alipotaka kujitoa kwake, akasema “I will never let you go, because you are mine”.
NAKUJA……………………..
 
HAVINTISHI 10
HUSQER BALTAZAR (0657762790)
Mahir akamkumbatia havintish kwa nguvu na hakuwa anataka kabisa kumuachia maana alijua kuwa anaweza akaenda kwa Samir, salha akaanza kupiga makofi na kusema “nilijua tu unampenda naomba msikomoane, maana hakuna kitu kibaya kama kuwa na mtu ambae anampenda mtu mwingine”, naomba niwatakie Maisha mema, salha akaanza zake kuondoka, Samir alikuwa kimya akiwaangalia tu, mara salha akamshika mkono na kusema “hao wanapendana achana nao”, kisha akaondoka na Samir.
Baada ya salha na Samir kuondoka ndio mahiri akamuachia havintish,haya nambie ulikuwa unasema nn, akauliza havintish. Kumbe unanipenda, hahahahahahaha, akawa anasema havintish kuhu anacheka. Wala usinge zunguka sana ungekuja tun a kunambia havintish mamaaa nakupenda sana, mwenzio kila nikikaa nakufiiria wewe tu, alafu yule Samir sitaki kukuona nae maana unaniumiza, ungesemea hivyo ili nianze kuringa ringa na mm, siunajua kutongozwa n raha sana, akasema havintish.
Nani… mm!akasema mahir kwa mshangao, yaan mm nikae kabisa nakupenda ww kwan sina kazi za kufanya, akaendelea kusema mahir. Basi sawa acha mm niondoke zangu nikatafute wa kunipenda, bye …bye boss leo sitorudi kabisa nyumban, akasema havintish akashanga mahir kamshika mkono kisha akasema “acha ujinga, saa hizi ni usiku twende nyumban huko”, havintish alimuangalia kisha akatabasamu na kusema “hivi ukinitongoza unapunguiwa na nn?”, napungukiwa maji mwilin, akajibu mahir na havintish akaanza kucheka, na mahir nae akaanza kujicheka maana aliona ameongea ujinga. Haya usinitongoze hivyo hivyo boss alafu udhan nitakaa nikusubir na waat mm ni mrembo, akasema havintish
Ungekuwa mrembo ungetaka kuolewa na yule mzee, shukuru hata mungu kama nikikubali kukuoa maana utakuwa umepata bahat, akasema mahir. Kuolewa na ww ingekuwa bahat si ningejisaidia hap ana Arusha tena kwa mafungo, akat mm nakuonea huruma tu hapa, alafu nimekumbuka ngoja nimfate Samir wangu maana anajua kunibembeleza sio ww unajifanya kauzu kama dagaa mchele, akasema havintish. Mahir akabana pua kisha akaanza kuyasema maneno aliyoyasema havintish kuwa “ety ngoja nimfate Samir wangu maana anajua kunibembeleza ”, embu acha utoto na wewe, tangu lini mtu mzima anabembelezwa embu twende nyumban huko akasema mahir akiwa anatangulia kwenye gari.
Havintish akamuangalia kisha akapata wazo akaanza kutabasamu, akaenda kwenye gari kisha akakaa siti ya mbele, maana hata hapendag kukaa hio siti,mahir alipomuona akaanza kutabasamu.
Alipofika kwenye gari ni kama alikua na wasiwasi sana, kana kwamba anataka kufanya kitu ila akawa anaogopa kukifanya sana, so akawa kama anajishauri, mpaka mahir akaliona hilo, akamuangalia kisha akamuuliza “wewe unashida gani”.
Shida yangu kubwa ni kukupenda, yaan kila nikikuona najiona kabisa nakuowa sion maana nakuona kama nuru ya macho yangu na kama unavyojua kwamba jicho likikosa nuru halioni, akasema havintish na mahir alicheka, yaan alicheka sana mpaka havintish akaanza kumshangaa.
Wewe msukuma umeanza lini kuwa romantic akasema mahir, kisha akaendelea kucheka. Samir kanifundisha ndio nikaja kufanya majaribio kwako, maskin mm kumbe hata sijamuelewa mwalimu wangu, akasema havintishi. Mahiri akakunja sura mno, havintish akamuangalia kisha akatabasamu na kusema “mbona umekunja sura kama unataka kumwaga”. Ndio huyo mjinga wako akitaka kumwaga anakunja sura hivyo?, akasema mahir kwa ukali.
Wala yule hakunjagi sura hata anasemaga “nakuja mamaaaa, nakujaa…… kisha anaanza kunisifia ”, anasema “havintish wewe ni mtamu… mtamu sana, usije ukaniacha ” mahir alinuna kisha akashuka kwenye gari kwa hasira, akaegemea gari huku akiwa ameangalia chini na anajikuna kidevu. Havintish akajua ameshayaharibu mambo ngoja akayatengeneze.
Boss … boss… umekasirika, akaanza kusema havintish. Haya ngoja nikueleweshe, akaendelea kusema havintish. Naomba ingia kwenye gari, sitaki kuzungumza na mtu, akasema mahir kwa ukali. Najua hutaki kuongea na mtu ndio maana nimekuja hapa, akasema havintish. Kwamba wewe ni nani? Akauliza mahir. Mm ni havintish kinyogoli mzaliwa wa mwalusembe, akasema havintish na mahir akaanza kucheka. Unacheka vizur boss , haya twende kwenye gari basi boss.au utaki Kwenda nyumban nikakupe utamu, akasema havintish. Hnikiutaka huo utamu utanipa?, akauliza mahir. Havintish hakuwa na jibu lolote lile akaanza kucheka tu, maana hata huo utamu wenyewe hajawah kumpa mwanaume yoyote yule.
Kweli wakapanda gari na wAlipofika havintish akajilaza kwenye kiti kisha kaanza kujibebisha kwa mahir, mahiri alipowasha gari tu akaanza kumshika mkono mara amshike ndevu, mara amuangalie usoni, yaan mahir likuwa anajisikia raha sana ila akajifanya hajal, havintish akashikwa na hasira ila akasema ngoja aendelee kujibebisha mpaka afike nyumbani, akaanza kusema “honey.. unajua kuwa ww ni mhandsome sana,yaan nataman nikuangalie ila dakika maana kila nikikuangalia nahisi kupagawa”, yale maneno yalimsisimua sana mahir mpaka akajikuta baadhi ya kiungo vyake vimeanza kutuna kwa hisia kali alizozipata.
Wamefika nyumban havintish hata hakusema nae, maana kajidekeza na kujibebisha Barabara nzima alafu mtu hata anajifanya haelewi,mahir alitaka kuendelea kushikwa shikwa na havintish maana alikuwa anajisikia raha sana, so alipofika nyumban namna havintish alivyojinunisha akajikuta anaumia,maana hisia zilikuwa zimeshampanda kwa kiasi kikubwa mno, hata hakuwa na hali kabisa,so akaanza kumfata havintish nyuma mpaka chumban kwake na wakati wote havintish hakuwa anamuona maana alimchukulia kama amemdharau na havintish akaona kana kwamba alikuwa anajidhalilisha,kichwan kwake akawa anamtukana sana mahir, maana alikuwa anampenda kuanzia mwanzo lakin mahir akawa anajifanya haelewi. Hivi najikuta nani huyu kichwa boga, anajiona keki sana akati ni mbaya kama nn, akawa anajisemea havintish huku anaelekea chumban kwake, kwanza hata haendani na mm, mwanaume ananuna kama hana bandama, akawa anaendelea kujisema havintish taratibu, kwanza ukikaa na mwanaume ambae hacheki kuna uwezekano wa kuzaa Watoto wasiota meno, akawa anaendelea kujisemea havintish huku anaelekea chumbani kwake,akafika akafungua mlango akashangaa ameshika bega na mahir, Kisha akamsukuma kwa ndani.
Havintish alishtuka mno maana hakujua wakat wote kama mahir alikuwa anamfata, akawa anahisi yale aliokuwa anajisemea zake huenda mahir kayasikia ndio maana anamfata, so akaanza kumuangalia mahir kwa makin kutaka kujua anataka nn,na mahir alikuwa kimya anamuangalia tu havintish kana kwamba kuna kitu anataka ila hawez kusema hivi.
Havintish akaona kama anamletea jau tu maana alikua anahasira nae mno kw akule kumpuuza alikokuwa anampuuza wakat wanarudi nyumban so akaanza kumuuliza, “Unataka kufanya nn akauliza havintish, ondok….., kabla hajasema chochote mahir akaweka kidole chake kwenye lips za havintish kisha akasema, naomba usiongee lolote na usikilize na kupokea ninachotaka kukupa, na naomba usinizuie maana ninauhakika nina haki ya ukipata ninachokitaka kutoka kwako,akasema mahir kisha akahema kwa nguvu.
Ule mhemo aliohema mahir ulimvuruga sana havintish, akajikuta hana hali na akaanza kulegea, mahir akamuangalia havintish kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kuzikagua lipsi za havintish, na havintish akajikuta amefunga macho maana hata yeye alikuwa na hisia kali kwa mahir
NAKUJA……………………..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom