Habari wana Jamii Forums!
Nimekuwa nikifuatilia sana mijadala hapa JF, na nimegundua kuna uhaba wa mada kuhusu Anime na Manga, hususan zile za Kijapani.
Mimi ni mgeni kwenye ulimwengu huu...
Kwa upande wangu mimi muvi za animation nilizokubali kuna:
1. How to Train ze Dragon
2. The Monsters
3. The Croods
4. Aladdin.
Mimi nimeanza na hizo na wewe kama mdau wa animation ongezea basi...
Hii Tv show imekuwa created na Justin Roiland and Dan Harmon.
Ni kati ya zile animation bora binafsi naikubali yani haipiti week sijarudia hata episode 1, iko full package ni Dark, funny...
Salaam
Huu uzi ni kwaajili ya animation (cartoon) kali ambazo uwezo angalia. Pia kujulishana ambazo zitatoka.
Animation yangu ya kwanza ilikua ni Big Hero 6, hii ilinifanya niwe mpenzi na...
Wakat napiga Kaz kwenye mel km oiler ikatokea nafas eng class3 alifanya maamuz ya kurud hom akafanye mambo mengine kwa hiyo nafas yake ilipaswa kuzibwa na ili niipate ile nafas nalazimika kuingia...
JE, HISTORIA YA PHILIBERT KABAGO IMESAHAULIKA KWENYE MIAKA 30 YA BONGO FLEVA?
Tarehe 8 Agosti 2026, macho ya wadau wa muziki yataelekezwa jijini Mwanza katika tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva...
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!.
Kwanza kabisa nipende kuwashukuru wote ambao mmeendelea kuwa na mimi bega kwa bega tangia mwanzo wakati naanza kusimulia visa vya maisha yangu ambayo...
Wakuu naomba tutupie nyimbo kali za gospel zilizobamba sasa na zamani hapa bongo na east africa kwa ujumla. Hii itatusaidia kuzidownload pia na kutafuta album husika. Hii iwe special thread.
Tunaendelea tulipoishia diss track za sister p kuhusu ngoma ya mwana fa na jay moe " ingekuwa vipi.?
Leo tunakutana na clew ya " walugaluga crew " na ngoma yao inaitwa "ingekuwa soo"
Unaweza...
HAPO ZAMANI
_______________
Vichwa viwili muhimu katika historia ya muziki wa Hip Hop nchini ambapo chimbuko lake ndilo lililozaa muziki wa Bongo fleva, Adili Kumbuka (Nigga One) na Robert...
Ningependa kujua ilipo bendi moja ya mchiriku ambayo ili-modernize muziki wa mchiriku (kwa kuweka vinanda na magitaa) mwanzoni mwa miaka ya 1990 ambayo iliitwa Hisani Musical Club ambyo ilitoa...
KAMA UKITAKA KURINA ASALI USIPIGE TEKE MZINGA
Tarehe 7 mwezi wa tano mwaka 1931 kulikuwa na msako wa aina yake wa mhalifu ambao jiji la New York halijawahi kushuhudia. Baada ya msako wa wiki...
S.K.P FEATURING QUEEN DARLINE - MTOTO PILI.
Intro:
Wa da For Yo.!! Ma
This skp Simple Pozi Kwa Pozi ft. Majangili
For Over Israel Teacher Boy
Nyandu B, Ommy G , Queendareen
Chorus:
"Mtoto...
ANTI-VIRUS NA MIAKA 30 YA BONGO FLAVA: KUMBUKUMBU ZINAZOENDELEA KUAMSHA MJADALA
Historia ya Bongo Flava haiwezi kukamilika bila kutaja harakati za Vinega wa Anti-Virus, movement iliyotikisa...
SINA CHAGUO
Simulizi tamu ya maisha, iliyosheheni visa na mikasa ya kuzisisimua hisia chanya za msomaji. Ukafumbuka macho uone, yazibuke masikio usikize kwa usahihi kila kilichotamkwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.