Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Huu wimbo nimeutafuta miaka 5 bila mafanikio si mitandaoni si wapi!! Mwenye nayo hii album au baadhi ya nyimbo kwene hii album zawadi nono kutolewa
2 Reactions
4 Replies
84 Views
SIMULIZI: NAJISALIMISHA MTUNZI:JUDITH KAUNDA 0682253906 STELLA Kwenye hii Dunia kuna mambo ambayo kila mmoja wetu amelazimika kuwa nayo bila hiari yake, kama ambavyo maisha hayatupi nafasi...
7 Reactions
12 Replies
9K Views
Ukiachana na mambo ya siasa, Sugu ni genius kwenye mambo ya biashara ya burudani. Fast toward, mwaka 2004 Sugu aliandaa / aliratibu tamasha maalumu la kutoa elimu ya na malaria na UKIMWI kwa...
7 Reactions
28 Replies
398 Views
Kwa zaidi ya muongo mmoja, Marvel Studios imefanikiwa kujijenga kama kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa filamu za mashujaa duniani. Ingawa DC ina baadhi ya wahusika maarufu zaidi kuwahi...
6 Reactions
10 Replies
191 Views
Wakuu kwema Mbele yenu nina list ya drama ambazo zilinisikitisha me personally baada ya kuziangalia, ziko nyingi but nimezi-compress hadi nimetoka na kumi tuu, ambazo naamini ukienda kuziangalia...
25 Reactions
177 Replies
17K Views
Mimi filamu hii nimependa kwamba imetukumbusha kuwa wanawake tusiwe ving'ang'a na UKIMWI pamoja na magonjwa ya zinaa bado vipo. Tuweni makini wakuu hayo mengine mtayaorodhesha hapo chini.
2 Reactions
12 Replies
458 Views
Mwandishi: ROISA. Namba ya simu: 0694840213. Riwaya: JE UNANIKUMBUKA MARIAMU? ( USIPOHUKUMIWA NITAKUHUKUMU MIMI). sehemu ya 1. Nilikuwa nimebana macho yangu, nikihisi ubaridi wa ajabu...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
NYUMBA YA MAJINI “KAMA kuna watu hawayajui haya nitakayoyaongea basi nawataka kuanzia sasa wajue kwamba, hapa Dar kuna mambo makubwa sana ambayo ukisimuliwa unaweza kusema si kweli, lakini wale...
25 Reactions
42 Replies
9K Views
Habari za muda huu Wana-JF wenzangu, natumai mko salama. Leo kwenye jukwaa la burudani na kumbukumbu (Zilipendwa), natamani tuutazame kwa ukaribu wimbo mmoja maarufu sana uliorekodiwa miaka ya...
2 Reactions
2 Replies
63 Views
1: Sos B - Kukuru kakara. sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania. 2: Picko - Kikongwe 3: JI -Kidato kimoja 4...
6 Reactions
101 Replies
5K Views
GENERAL DEFAO mara ya kwanza nasikiliza album ya Defao (Defao Matumona) ilikuwa inaitwa General and Big Stars mwaka 1993 nlipenda saut ya huyu jamaa alikuwa naimba kw autulivu flani ingawa sikuwa...
28 Reactions
249 Replies
56K Views
Teaser Trailer ya series ya House of the Dragon imetoka. Ni Prequel ya Game of thrones. Inaanza tarehe 21 August 2022. Hii series mpya toka HBO ikielezea kiundani chimbuko na historia ya House...
3 Reactions
332 Replies
22K Views
Civilian-Coin has officially released three major collaboration remixes: "Touch My Body" featuring Mariah Carey, "See You Again" featuring Charlie Puth, and "Whenever, Wherever" featuring Shakira...
4 Reactions
16 Replies
144 Views
Mimi naikubali hii Pig Black ft Ay - Mtoto wa mjini
6 Reactions
424 Replies
55K Views
15. Dar-Es-Salaam stand up -chid benz 14.Anakuja - Sister P 13. Hayakuhusu - Rah P 12. Stimu zimelipiwa -Joh makini 11. Bila sanaa -Imamu Abbas ft Juma nature. 9. Ni hayo tu - Fid q 10. Wauguzi...
4 Reactions
92 Replies
58K Views
Muziki wa Bongo unakaribia Miongo miwili sasa, wanamuziki wengi pamoja na maproducer wamechangia muziki huu kufika ulipo sasa, ifuatayo ni orodha ya midundo mikali zaidi katika historia ya Muziki...
3 Reactions
114 Replies
43K Views
"Tukianzia uzuri tu She got a gwan Tabia, heshima, ndio huyo doo She got a gwan Mpaka kwa ma sista doo oh yeah Nabaki tu kusema ooh She got a gwan Tukianzia uzuri tu She got a gwan Tabia, heshima...
3 Reactions
24 Replies
811 Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane. Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho...
71 Reactions
2K Replies
588K Views
Hell... Nazungumzia hawa kama wanajiita sijui Watubaki na cheka tu. Naonaga matangazo yao kiukweli naona watu wanacheka vitu ambavyo hata havichekeshi. Au ni mimi ndiye nina stress. Maana ule ni...
10 Reactions
64 Replies
882 Views
Masafa Marefu- Tancut Leo nimeona nilete mbele yenu moja ya kazi bora kabisa zilizowahi kutokea katika tasnia ya muziki wa dansi hapa nchini Tanzania. Huu ni wimbo wa "Masafa Marefu"...
1 Reactions
2 Replies
68 Views
Back
Top Bottom