Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hakuna mwanamuziki wa kawaida tu ambaye anaishi Jijini Kinshasa au ataweza kuishi Kinshasa. Kwa msiojua Mji wa Kinshasa ni wa gharama za juu mno na ndiyo maana ni Watu matajiri tu (Mapedeshee) na...
5 Reactions
34 Replies
704 Views
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA IMEANDIKWA NA : NYEMO CHILONGANI CHANZO : BURE SERIES SEHEMU YA KWANZA Matangazo yalikuwa yamebandikwa kila kona ndani ya Jiji la Dar es Salaam yaliyokuwa yakihusu ujio...
5 Reactions
28 Replies
24K Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane. Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho...
71 Reactions
2K Replies
582K Views
1. The Blacklist 2. Missing 3. Battle Creek 4. 24 5. Numb3rs 6. Bones 7. Quantico 8. The F.B.I 9. FBI:International 10. Profiler 11. Haven 12. City on a Hill 13. Unsub 14. Will Trent 15. Wiseguy...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
kipindi Cha nyuma mwaka jana nliwahi kuangalia hili dubwasha Kwa jina la "From" Najutaa🤣
10 Reactions
79 Replies
921 Views
1.Taylor swift- huyu anasikilizwa sana duniani na ni mmoja mwenye ma followers wengi ila hakuna hata kazi yake moja naijua wala kuisikiliza 2-Migos-hata sielewi nyimbo wanazoimba trap gani...
4 Reactions
14 Replies
326 Views
Kwa kweli leo baada ya kufungua redio yangu nimekutana na kipindi cha nani zaidi pale Redio One na waliopambanishwa ni Hussein Jumbe na Remy Ongala ambapo nyimbo Tano za Dr Remmy zilipigwa na...
9 Reactions
42 Replies
608 Views
THE MODERN WAR (Vita ya kisasa) Sehemu ya.........01 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 UTANGULIZI Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na...
5 Reactions
162 Replies
84K Views
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA MTUNZI:SINGANOJR . AGE:18+ NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346 PROLOGUE../DIBAJI...
35 Reactions
4K Replies
2M Views
Ndugu zangu habari za kuwapotea? Naam ni mimi Euphoria mwandishi wa Solo king, mniwie radhi kwa kupotea na kuwa kimya kwa muda mrefu zaidi, kipindi kile nilikuwa nikiumwa, nilikuwa nalala kitanani...
2 Reactions
47 Replies
3K Views
Enzi za uhai wake Mzee wetu Kasongo Mpinda Clayton, wakati anaitumikia band ya Marquis du Zaire tarehe 18/6/1982 alitunga wimbo unaoitwa "Angelou". Na haya ni sehemu tu ya mashairi yake:-...
3 Reactions
3 Replies
72 Views
WACHUJA NAFAKA Tusisubiri Wapotee wote.....ndiyo tuseme waliwahi kutoa Moja ya Albamu kali, Narudia Tena Albam kali kuwahi kutokea Tanzania. Fatilia Uzi Huu utajua kwanini nakuambia Ilikuwa moja...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Miaka Ile wimbo wao ulibamba sana😊😊 Alicom na Celina_wapambe Katika pita pita nimesikia uki pigwa Enzi izo ulikua moto Africa mashariki na kati🌍🌍 Jamaa sijui yupo wap Kwa Sasa... "Wapambe tusi...
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Huu uzi utakua maalum kwaajili ya kutupia nyimbo kali za gospel mwaka 2026. https://audiomack.com/voiceofpraise603/song/mungu-ni-pendo-remix?share-user-id=216220807
4 Reactions
11 Replies
183 Views
Wakuu humu si tunapenda kucheka? Basi tujuzane kuhusu movies za vichekesho na sisi tukazitafute tucheke. Ni fresh ukigusia kidogo zinachohusu na kututahadharisha kama kuna sex scenes. Ngoja...
1 Reactions
83 Replies
28K Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane!. Kwanza kabisa nipende kuwashukuru wote ambao mmeendelea kuwa na mimi bega kwa bega tangia mwanzo wakati naanza kusimulia visa vya maisha yangu ambayo...
141 Reactions
7K Replies
2M Views
Kwanza nawapa salamu, nazingatia itifaki/ Nadhani Mvumbo mnamfahamu, kwenye mistari mimi ndiye chaki/ Naandika zaidi ya kalamu, mwana Hip hop kindaki ndaki/ Ma mc's wa Jamii Forums, karibuni nyuma...
26 Reactions
687 Replies
108K Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane! Kwenye haya maisha kuna wakati huwa ninakaa chini na kusema "Kama sikufa kipindi kile,basi siwezi kufa mpaka Mungu atakaporuhusu" Nadhani wengi...
118 Reactions
2K Replies
574K Views
Mtoto wa Baba Paroko : SEHEMU YA KWANZA Erick Amuona Lucia Kwa Mara Ya kwanza “Amani ya Kristu iwe nawe” “Iwe nawe pia” walikuwa ni Eric na Lucia wakipeana mikono ya amani katikati ya ibada ya...
11 Reactions
246 Replies
64K Views
Ilkua Ni Siku ya alhamis jion, Katikati ya ugomvi uliosababisha tukawa tumenuniana sana na Mchepuko Wangu wa Siku zote Mama J. Kuna vitu vya kijinga alijiongelesha mbele yangu tukiwa kitandani...
22 Reactions
142 Replies
21K Views
Back
Top Bottom