Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 259
Nimeisikiliza hii ngoma ya Dizasta Vina. Inaitwa Mwanajua....nimeskiliza zaidi ya mara 20 Lakini hadi leo sijaelewa hii fasihi jamaa alilenga kitu gani, Kuna anaefahamu?
Huyu Dizasta
#forgive me.
Huyu Dizasta
#forgive me.