Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Teaser Trailer ya series ya House of the Dragon imetoka. Ni Prequel ya Game of thrones. Inaanza tarehe 21 August 2022. Hii series mpya toka HBO ikielezea kiundani chimbuko na historia ya House...
3 Reactions
332 Replies
22K Views
Civilian-Coin has officially released three major collaboration remixes: "Touch My Body" featuring Mariah Carey, "See You Again" featuring Charlie Puth, and "Whenever, Wherever" featuring Shakira...
4 Reactions
16 Replies
151 Views
Mimi naikubali hii Pig Black ft Ay - Mtoto wa mjini
6 Reactions
424 Replies
55K Views
15. Dar-Es-Salaam stand up -chid benz 14.Anakuja - Sister P 13. Hayakuhusu - Rah P 12. Stimu zimelipiwa -Joh makini 11. Bila sanaa -Imamu Abbas ft Juma nature. 9. Ni hayo tu - Fid q 10. Wauguzi...
4 Reactions
92 Replies
58K Views
Muziki wa Bongo unakaribia Miongo miwili sasa, wanamuziki wengi pamoja na maproducer wamechangia muziki huu kufika ulipo sasa, ifuatayo ni orodha ya midundo mikali zaidi katika historia ya Muziki...
3 Reactions
114 Replies
43K Views
"Tukianzia uzuri tu She got a gwan Tabia, heshima, ndio huyo doo She got a gwan Mpaka kwa ma sista doo oh yeah Nabaki tu kusema ooh She got a gwan Tukianzia uzuri tu She got a gwan Tabia, heshima...
3 Reactions
24 Replies
816 Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane. Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho...
71 Reactions
2K Replies
588K Views
Hell... Nazungumzia hawa kama wanajiita sijui Watubaki na cheka tu. Naonaga matangazo yao kiukweli naona watu wanacheka vitu ambavyo hata havichekeshi. Au ni mimi ndiye nina stress. Maana ule ni...
10 Reactions
64 Replies
885 Views
Masafa Marefu- Tancut Leo nimeona nilete mbele yenu moja ya kazi bora kabisa zilizowahi kutokea katika tasnia ya muziki wa dansi hapa nchini Tanzania. Huu ni wimbo wa "Masafa Marefu"...
1 Reactions
2 Replies
71 Views
Kwa wale mnaofuatilia tamthilia ya olhan kila 3 mpaka ijumaa wameondoa baadhi ya wahusika mpaka ladha! inapotea"" mfano olhan ni mwingine othman wameleta jingine bala malhun n.k wamewabadilisha...
3 Reactions
11 Replies
120 Views
Habari za wikendi hii wana-JamiiForums! Leo nimeona tukumbushane kidogo kuhusu dhahabu ya muziki wetu wa kale (Zilipendwa). Nataka tuuangazie wimbo mmoja maarufu sana unaoitwa "Nacheka Cheka...
0 Reactions
0 Replies
205 Views
Hii ni hadithi inapatikana katika app yetu ya kahawa time A SPY AND ASSASSIN IN LOVE - Continue Reading on Kahawa Time ikiwa imeandikwa na mwandishi wako mkali EDDAZARIA G. MSULWA ntakua napost...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Simulizi: Kurudi Kwa Moza Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Moza alikuwa msichana mrembo ila aliishi maisha ya shida na kumfanya ajaribu kufanya kazi za...
4 Reactions
316 Replies
83K Views
Nayajua Maisha yangu mpaka TONGWE kama muvii..oooh kaa tayar...oooh... action...oohh.... Naanza mwisho kwenda mwanzo.... NGOMA Ina goooo...goooo.. nayajua Maisha yangu mpaka tongwe Kama muviiii...
9 Reactions
133 Replies
4K Views
Wadau wa burudani na wapenzi wa Hip-Hop/Melodic Rap ya ukweli hapa nchini, mambo vipi!Leo naomba kuwasogezea kazi zangu mpya kutoka kwa msanii anayechipukia kwa kasi kutoka pande za Arusha, Eazy...
1 Reactions
0 Replies
41 Views
KABURI LA MSOMI. Karibuni sana wapenzi wa simulizi. Leo naitambulisha kwenu simulizi hii tamu iendayo kwa jina la KABURI LA MSOMI. Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
https://youtu.be/mh0br-fqA04?si=vElRUzw7QfXSoOUc
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Peter Parker ndani Hulk ndani Punisher. Trailer imeachiwa na Sony leo. Unataka nini cha ziada? 31st July. Screen Kubwa.
3 Reactions
3 Replies
107 Views
Alimgeuka business partner wake wa muda mrefu dame dash na akahakikisha anafirisika ili asiwe tena mshindani wake. Alianza kudate na beyonce tangu akiwa na miaka na 16, alidate na aliyah akiwa na...
5 Reactions
56 Replies
832 Views
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Rayvanny, amezungumzia umuhimu wa wasanii wa Tanzania kushiriki katika majukwaa makubwa ya kimataifa, akieleza kuwa hatua hiyo inachangia kukuza tasnia ya muziki...
0 Reactions
1 Replies
187 Views
Back
Top Bottom