Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwanza nawapa salamu, nazingatia itifaki/ Nadhani Mvumbo mnamfahamu, kwenye mistari mimi ndiye chaki/ Naandika zaidi ya kalamu, mwana Hip hop kindaki ndaki/ Ma mc's wa Jamii Forums, karibuni nyuma...
26 Reactions
687 Replies
108K Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane! Kwenye haya maisha kuna wakati huwa ninakaa chini na kusema "Kama sikufa kipindi kile,basi siwezi kufa mpaka Mungu atakaporuhusu" Nadhani wengi...
118 Reactions
2K Replies
574K Views
Mtoto wa Baba Paroko : SEHEMU YA KWANZA Erick Amuona Lucia Kwa Mara Ya kwanza “Amani ya Kristu iwe nawe” “Iwe nawe pia” walikuwa ni Eric na Lucia wakipeana mikono ya amani katikati ya ibada ya...
11 Reactions
246 Replies
64K Views
Ilkua Ni Siku ya alhamis jion, Katikati ya ugomvi uliosababisha tukawa tumenuniana sana na Mchepuko Wangu wa Siku zote Mama J. Kuna vitu vya kijinga alijiongelesha mbele yangu tukiwa kitandani...
22 Reactions
142 Replies
21K Views
Fareed Kubanda, broadly known as Fid Q, The Tanzanian Hiphoop artist, activist, and one of the unique Icons of Tanzania in music industry, is probably the most cheered Hip-hop artist in the whole...
4 Reactions
241 Replies
74K Views
Habari wapendwa? Poleni na jukumu zito la ujenzi wa nchi yetu nzuri ya Tanzania. Ama baada ya salamu niende kwenye maada moja kwa moja. Leo nimeona nilete simulizi kumi kali nilizowahi kusoma hapa...
40 Reactions
231 Replies
193K Views
Naam Kwa Mara Nyingine Tena, Hii Ni Kwa Wale Wapenzi Wa Simulizi Mzuri Zenye Kusisimua Kutoka Kwa EDGAR MBOGO Leo Nakuletea Simulizi Mpya Inayokwenda Kwa Jina La (KIFO CHA HAWARA (Mkono Wa Jini)...
13 Reactions
2K Replies
140K Views
Once again tunakutana kwenye mchezo bora huu hapa. Tukapate kumsoma secret agent mmoja ambaye alikuwa assigned kuwa mlinzi wa raisi. Lakini baadae anagundua kwamba mfumo hauko sawa na yeye ndiye...
10 Reactions
355 Replies
75K Views
Naam Kwa Wale Wapenzi Wa Simulizi Mtumzi Wetu EDGAR MBOGO ametuandalia Kigongo Kingine Hichi Sio Cha Kukikosa Kitakujia Hapa Hapa Jamii Forums, Kwa Wale Ambao Wamesoma Simulizi Ya (Asali...
8 Reactions
925 Replies
190K Views
Sehemu ya Kwanza Nikiwa tayari nimekaa kwenye kiti changu ndani ya Basi, nasubiri muda ufike tuanze Safari kuelekea jijini Mwanza, tukitokea jiji la Dar es salaam. Natazama nje ya Basi naona...
7 Reactions
29 Replies
15K Views
Ladies and gentlemen, its me again. The creater of stories like “How I met my wife” na “Cheaters: the series”. Nakuleteeni Goodness of fit. A story of love, blackmail, betrayal and politics...
29 Reactions
182 Replies
63K Views
...
0 Reactions
7 Replies
798 Views
RIWAYA: HATARI Imeandikwa na Halfani SUDY SIMU 0629 360357 Hii ni sehemu ya kwanza. MLANGO wa ofisi yake ulisukumwa kwa nguvu, kwa haraka, macho mawili ya Daniel Mwaseba yaliangalia pale...
3 Reactions
101 Replies
36K Views
Naona kwenye mitandao inasemekana kwamba tanzania kuna wasanii wanaofanya bongo movie wakitajwa utakuta kina ray kigosi, Steve Nyerere, Toni Muya, Niva super Marioo, Pastor Muyamba n.k lakini...
1 Reactions
8 Replies
122 Views
Call it love and devotion Call it the mom's adoration (foundation) A special bond of creation, hah For all the single moms out there Going through frustration Clean Bandit, Sean-Da-Paul...
4 Reactions
6 Replies
137 Views
Movie ya Michael inakuja 2026. Teaser ishatoka. Lions Gate wanasimamia show. Kama haitoshi, Jaafar Jackson ataigiza kama Michael himself.
1 Reactions
8 Replies
295 Views
Kama fan mkubwa sana wa movies, sometimes inabidi kuangalia genre nyingine out of my favorite genres Napenda action na horror ila sometimes naangalia genre nyingine na ninaenjoy just fine Kuna...
7 Reactions
32 Replies
489 Views
this song is Goated 10/10 aliyeutunga Mungu abariki kalumu yake alete tena kitu kama hiki ... na huyu jamaa wa kuitwa Tikiti kaumix vizuri sana aisee wimbo gani unakubariki siku hii ambayo bwana...
3 Reactions
16 Replies
161 Views
Back
Top Bottom