Mpaka sasa hivi amechukua tuzo;
1. Most gifted New-comer
2. Most gifted Afro-pop
3. Most gifted video of the year
In what may be seen as a stroke as of bad luck or a decline in the quality...
Miaka 15 ya Wale jamaa wa Mjengoni, 88.5.
==========
Leo Nimewasikia hawa watangazaji wabunifu na Machachari wa Radio hii ya Clouds FM ambao waliacha kazi muda mrefu sasa. Waliitwa kwa ajili...
Nimemuona huyu jamaa mitaa ya Sinza makaburini leo, it's been a looong time, kakonda, kadhoofika sana , hali mbaya sanaaa, unga umemchukua, hajiwezi , hali ni mbaya sana, na muda huo namuona...
Mpiga drams maarufu nchini, aliyepata kupiga kazi na bendi Extra Bongo, Martine Kibosho, ambaye ni ndugu moja na mpiga drams wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta', James Kibosho, anazidi...
MSANII wa muziki wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ' Shilole ' amefunguka kwamba shavu la shoo alilopata la Bara la Ulaya limetokana na kukata kwake kiuno hivyo mashabiki kuvutiwa nae...
Ile project ya Diamond itahamia Uganda hapo tarehe 18 December kwenye Zari white party inayofanyika kila December. Mgeni rasmi atakuwa Diamond. Wakati huohuo Wema nae atakuwa akiserebuka kwenye...
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mwana bongo fleva Ally Kiba Tumtakie maisha marefu na yenye baraka
N:B Sitarajii kama huu utakuwa uwanja wa Kupambanisha watu tumtakie tu Ally Kiba heri ya siku/tarehe...
Huu ni utafiti wangu na maoni yangu mimi ( Money Stunna)
Utafiti huu umeangalia wanawake mbalimbali ambao msanii diamond alikuwa nao kwa kipindi tofauti hakuna ambao aliomsaidia zaidi ya Wema...
STAA wa filamu za Kibongo, Blandina
Chagula ( pichani) maarufu kama Johari, hivi
karibuni alidaiwa kuonekana akiingia
nyumbani kwa mganga wa kienyeji ( jina
linahifadhiwa) katika Kijiji cha...
Najua wewe ni mrembo sana ,una exposure na una pesa.Sawa wanasema mwanamke bila mwanaume haiwezekani ila kwa mimi naona inawezekana.
Jana nimekuona sehemu fulani Kinondoni umelewa sana sana,hivi...
Hawa madogo huleta mzozo kila majibishano yao yanapoanza wengine wanamkubali Young Dar es Salam na mtaa wa pili wanamsoma Young Killer Msodoki.
Tumalize mjadala humu humu ndani nani mkali?
Hahaha muzeee wa project a.k.a msaniii bora East africa A.k.a ngazi ya waliopotea amechaguliwa kwenye Le project mpya ya We are the world africa
Projekt hiyo imewashirikisha wasanii wote bora...
Hatimaye Lady Jaydee amethibitisha kwa kauli yake mwenyewe
kuwa ndoa yake na mtangazaji mkongwe wa redio, Gadner G
Habash imevunjika.
Akiongea leo kwenye Exclusive Friday ya kipindi cha Sunrise...
Baada ya uvumi kuenea kuwa, ndoa ya muigizaji kiwango bongo, Irene Pancras Uwoya imevunjika, wawili hao walinaswa Live Airport nchini Rwanda wiki iliyopita, ambapo mke huyo wa Ndikumana alienda...
Jamani mimi hii picha nimeipenda, alafu huyu mama kanichapa sana fimbo mkononi dah!!!
Gazeti la Mwanchi la Dec 2, 2007 limemkariri Rais Jakaya Kikwete akisema; "Baada ya kupima na kuingia kwenye...
jamani tujuzeni sisi wala bata.. Inasemekana kuna club moja matata inafunguliwa siku si nyingi maeneo ya usa river. Mwenye kujua atujuze wa mikoani maana hata kuna rafiki yangu wa Mwanza kaniambia...
Kati ya watoto wakali ninaowakubali apa mujini basi huyu ni nambar One, mtoto mkali utadhani nini, i wish ungeingia bongo movie uwakimbize, maana im sure hakuna ata mmoja atakayegusa level zako.
Tusubiri yatakayojiri humo ndani mi nasubiria lugha atakavyomwagika kingereza.Ni tofauti na nilivyoona Dimond yuko vizuri sana nmemkubali sana tisha Dimond asante kwa kuwakilisha vyema,waliomuona...
Kwa wakazi wa Mkoa wa Mwanza: je, ni kweli Mkuu wa mkoa wa Mwanza Dr. Alex James Msekela(Pia Mbunge wa Tabora Kaskazini), kuwa wamekuwa wakisumbuliwa na nyoka katika nyumba yake. Inadaiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.