warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,406
MSANII wa muziki wa mduara Bongo, Zuwena Mohamed ' Shilole ' amefunguka kwamba shavu la shoo alilopata la Bara la Ulaya limetokana na kukata kwake kiuno hivyo mashabiki kuvutiwa nae.
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hiliakiwa barani humo anakoendelea kufanyashoo, Shilole alisema juhudi zake binafsindizo zilizompa shoo huko na hakutafutiwana mtu yeyote pia anamshukuru Mungukwani ameweza kuliteka soko la nje .
"Kiuno changu na muziki ninaoimba ndiyoumenifanya nikapata shoo za Ulaya na juhudizangu pia hapa nina shoo nne ambaponitarudi Bongo Desemba baada yakuzimaliza ," alisema Shilole.
GlobalPublishers
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hiliakiwa barani humo anakoendelea kufanyashoo, Shilole alisema juhudi zake binafsindizo zilizompa shoo huko na hakutafutiwana mtu yeyote pia anamshukuru Mungukwani ameweza kuliteka soko la nje .
"Kiuno changu na muziki ninaoimba ndiyoumenifanya nikapata shoo za Ulaya na juhudizangu pia hapa nina shoo nne ambaponitarudi Bongo Desemba baada yakuzimaliza ," alisema Shilole.
GlobalPublishers