Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Heri ya mwaka mpya uwe wa neema na baraka katika maisha yako
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wazee wa fitina wasema kwa sasa anatakiwa kuitwa chidi vits...
2 Reactions
554 Replies
122K Views
Karibu baba lakn usiwe kama 2016. Sent from my TECNO-M3 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
0 Replies
685 Views
Nawasalim , wana bodi hasa katika hili jukwaa la celebrities, Ni muda mrefu toka niache kufatilia muziki huu wa kibongo hii ni kutokana na kukosa mashairi yenye kuvuta hisia kwa jamii ,Mara ya...
6 Reactions
23 Replies
3K Views
diamond is very luck yooo ex boyfriend wa zari analia The best revenge you can get on your ex is to move on and let them see you happy with someone who treats you better than they did. Farouk...
2 Reactions
63 Replies
20K Views
Nimeshaanga sana Leo.. Sijawahi kujua kuwa anamfollow mtu mmoja tu Instagram... Cha kushangaza Hayupo katika Top 5.. Kazidiwa na Vanessa mdee hata Harmonize anakaribia kumfunika.. What's...
3 Reactions
102 Replies
10K Views
Na: Edo Kumwembe. NI zaidi ya kujikuta juu ya kitanda na msichana unayempenda kuliko wote duniani. Ni zaidi ya kutazama bao la ushindi la timu yako katika dakika za majeruhi katika mechi muhimu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Najua wengi mlikuwa Mkisubiri hili jwa hamu kujua tadhimini nzima ya show mbili za Diamond na Team nzima ya Wasafi zilizo Fanyika Iringa na Dar! Sasa leo nimekuleteeni tathimini ya show zote mbili...
25 Reactions
122 Replies
15K Views
From Chid Benzi to Chid Vits.... Aisee tumwombee huyu mshakaji...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
ALI KIBA Imeandikwa Kila Mtu Na Msalaba Wake. Na Wewe Ndo Roho Yangu Me Nataka Utoke, ALICHONIPA MUNGU mimi NAKIJUA SINA HAJA YA KUJITUTUMUA NIKAUMIA ,Ile Saa Alioniacha Babu naikumbuka Me...
12 Reactions
124 Replies
18K Views
Katika kile kinachoonekana viongozi wa serikali kuvutiwa na jinsi Diamond na lebel yake WCB wanavyoibadilisha tasnia ya muziki wa Tanzania kuwa fursa ya kibiashara na kazi rasmi, Mh. Waziri wa...
3 Reactions
73 Replies
9K Views
Yule mwanamichezo maarufu wa Marekani Serena Williams amepata nchumba. Hiii ni habari mbaya kwa wale marafiki zangu wa Tanzania walioko huko ambao wengi walitarajia hako kanafasi. Hatahivyo...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Ni mtangazaji wa choice Fm anaitwa Mo J ana miaka 23
2 Reactions
71 Replies
15K Views
Unaweza kuwatambua hawa!??
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Yule wa WCB. Kiukweli naye huyu sikjua katokea wapi, mara nikamwona kasajiliwa na Wasafi. Nikimsikiliza nasikia kile ninachopenda kusikia, yaani sauti nzuri ya uanamuziki. Nikajisemea kuwa Diamond...
7 Reactions
32 Replies
8K Views
December 31. 12. 2016 10 of the biggest African tracks of 2016: Tekno,Diamond Platnumz ,Babe Wodumo and more From Diamond Platnumz’s update of a Tanzanian classic to an ode to dirt-cheap South...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Inahitaji nguvu ya ziada kufikisha views milioni 2 kwa mwaka mwenye mtandao wa Youtube. Tumekuandalia orodha ya video 16 za wasanii wa Bongo zilizotazamwa zaidi mwaka 2016. Hizi ni zile ambazo...
5 Reactions
25 Replies
5K Views
Wasanii wengi wa Bongo Flavour wameamua kujiunga na kufanya music pamoja kama makundi. Ni jambo jema na zuri kabisa. Tunapata music mzuri wenye radha nzuri tofauti kutoka kwao. Wanasaidiana na...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Edo Kumwembe Chid Benzi anatushangaa tunavyomshangaa Na Edo Kumwembe NI zaidi ya kujikuta juu ya kitanda na msichana unayempenda kuliko wote duniani. Ni zaidi ya kutazama bao la ushindi la timu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
RIP JOHN au BIG JOHN ni Mwigizaji toka Bongo movie na filamu yake ya mwisho kama wataka kumjua ni BARMED ya Nice na Irene Owoya aliact kama Boss wa bar ambae alimpa ukimwi Irene Uwoya nazani...
0 Reactions
19 Replies
24K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…