Wasanii wangu 20 wa Muda wote TOP 20 of all time in Tanzania

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Vigezo vyangu

A. Mashairi
B. Ujumbe
C. Heshima ndani ya Mashairi
D. kucheza na jukwaa
E. Muda wa Mziki wake kudumu


Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia.

1. Dr Remmy Ongalla ......6869.8
2. Juma Nature ....... 6586.2
3. Professor Jay. ......6578.02
4. Lady Jay dee......6576
5. Mzee Yusuph ..... ..6389
6. James Dandu....... 6286
7. Saida Karoli. .......6133
8. Fid Q .....6086
9. Mandojo na Domokaya .......5978
10. Albert Ngwair......... 5833
11. Ali Kiba..........5792
12. Mwana FA .......5581
13. Hard Mad ......5433
14. Diamond ........5380
15. Ray C............5332
16. Lord Eyes (Nako 2 Nako) .....3726
17. Ambwene Yesaya. ....3691
18. Banza Stone......3531
19. Christian Bella. .....3422
20. Ferooz..........3328
 
.
7573967_screenshot20180815085745_jpegb63cc54ea906228cb2cfffb13890a431.jpeg
 
Kuna jamaa anaitwa Pasha.. He's so good asee kwenye mashairi ya mahaba. Kuna Dogo mmoja anaitwa S Kide. Yule dogo with sincerely heart Nakubali anakipaji kikubwa cha kutunga mashairi kwa kufuata urali wa vina na mizani. Tatizo dogo kaweka Uhuni/Usela nnya na Bangi mbele..
Kama kuna mtu yupo karibu nae amshauri abadirike kwa kipaji kile sio wa kuimba upuuzi ule (Japo namsikiliza hvo hvo (
 
Vigezo vyangu

A. Mashairi
B. Ujumbe
C. Heshima ndani ya Mashairi
D. kucheza na jukwaa
E. Muda wa Mziki wake kudumu


Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia.

1. Dr Remmy Ongalla ......6869.8
2. Juma Nature ....... 6586.2
3. Professor Jay. ......6578.02
4. Lady Jay dee......6576
5. Mzee Yusuph ..... ..6389
6. James Dandu....... 6286
7. Saida Karoli. .......6133
8. Fid Q .....6086
9. Mandojo na Domokaya .......5978
10. Albert Ngwair......... 5833
11. Ali Kiba..........5792
12. Mwana FA .......5581
13. Hard Mad ......5433
14. Diamond ........5380
15. Ray C............5332
16. Lord Eyes (Nako 2 Nako) .....3726
17. Ambwene Yesaya. ....3691
18. Super Nyamwela. ......3531
19. Christian Bella. .....3422
20. Ferooz..........3328
Hii maada imekosa maana baada ya kukosa sugu na banza stone mwana masanja
 
Profesa jizzy

juma nature

na fid q yule wazamani sio huyu wa fresh. Hao ndio malegends wakitambo nao waelewa
 
Vigezo vyangu

A. Mashairi
B. Ujumbe
C. Heshima ndani ya Mashairi
D. kucheza na jukwaa
E. Muda wa Mziki wake kudumu


Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia.

1. Dr Remmy Ongalla ......6869.8
2. Juma Nature ....... 6586.2
3. Professor Jay. ......6578.02
4. Lady Jay dee......6576
5. Mzee Yusuph ..... ..6389
6. James Dandu....... 6286
7. Saida Karoli. .......6133
8. Fid Q .....6086
9. Mandojo na Domokaya .......5978
10. Albert Ngwair......... 5833
11. Ali Kiba..........5792
12. Mwana FA .......5581
13. Hard Mad ......5433
14. Diamond ........5380
15. Ray C............5332
16. Lord Eyes (Nako 2 Nako) .....3726
17. Ambwene Yesaya. ....3691
18. Banza Stone......3531
19. Christian Bella. .....3422
20. Ferooz..........3328

Mfalme wa rhymes hayupo? Alishawahi kutokea mwingine baada yake?
 
Vigezo vyangu

A. Mashairi
B. Ujumbe
C. Heshima ndani ya Mashairi
D. kucheza na jukwaa
E. Muda wa Mziki wake kudumu


Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa wasikilizaji, kukubalika, muda wake kudumu, Rate ya vyombo vya habari kumkuza mtu nje ya uhalisia.

1. Dr Remmy Ongalla ......6869.8
2. Juma Nature ....... 6586.2
3. Professor Jay. ......6578.02
4. Lady Jay dee......6576
5. Mzee Yusuph ..... ..6389
6. James Dandu....... 6286
7. Saida Karoli. .......6133
8. Fid Q .....6086
9. Mandojo na Domokaya .......5978
10. Albert Ngwair......... 5833
11. Ali Kiba..........5792
12. Mwana FA .......5581
13. Hard Mad ......5433
14. Diamond ........5380
15. Ray C............5332
16. Lord Eyes (Nako 2 Nako) .....3726
17. Ambwene Yesaya. ....3691
18. Banza Stone......3531
19. Christian Bella. .....3422
20. Ferooz..........3328
Hawa ni watu public sana
 
Juma nature
J more
Prof j
Hard mad
Mwana F.a
Ay
Ferooz
Inspector (Babu)
Kali p
Mchizi mox
Jose mtambo
Mr Paul
Solo thang
Afande sele
Tid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom