Soma pia: Nicki Minaj akiwa UN: Nigeria Wakristo wanashambuliwa, wanafukuzwa majumbani mwao na kuuawa
“I love Nicki Minaj,” President Trump told guests at the White House Black History Month...
Copy and Pest from lemutuz
PART 1
Safari yangu ya USA ulikua ni uamuzi wangu mgumu wa kuacha Ubaharia nikiwa Melini "MV. Luxemburg"ICMB Belgian Shipping Line tukiwa South China Sea tunatokea...
Saida Karoli Amezaliwa mkoani Kagera tarehe 4 Aprili 1976 ni mwanamuziki wa nyimbo za asili ya Kihaya Saida alipata elimu ya msingi mwisho darasa la tano tu, ambapo ilibidi aache shule kutokana...
Kadri unavyokua na kusonga mbele maishani, unawapoteza baadhi ya marafiki, kwa sababu hiyo inaitwa kuziba pengo.
Hili pengo ndilo lilikuwepo tulipoanza safari pamoja. Kadri unavyokua, utaona wewe...
HISTORIA FUPI YA DJ SWEET FRANCIS BUNDALAIMG-20260217-WA0000.jpg
Sweet Francis jina kamaili ni Francis James Bundala,mwaka 1964 alianzisha bendi iliyoitwa The Screemers na Dj Sweet Francis akiwa...
Sina haja ya salamu.
Kuna mwamba ameniambia katapeliwa 200,000Tsh na CHIEF GODLOVE. Swali kwenu, je huenda haka kajamaa ni katapeli?
Mwamba hakuishia hapo, aliendelea kwamba hakuna cha jicho la...
Zikiwa zimepita siku 6 tangu tukumbuke kumbukumbu ya kuzaliwa ya rapper XXXTENTACION (Jahseh Dwayne Onfroy), aliyezaliwa tarehe 23 Januari 1998 nchini Marekani.
Alijulikana kwa muziki wake...
Mzuqa
Yani Mayweather anakera kupita maelezo. Mimi nilishamdelete kwenye Instagram yangu sitaki upuzi. Yani ni limbukeni aliyekubuhu.
A normal sane aged person cant behave like this. This dude...
Msanii tajwa fani ya muziki na filamu Baby Madaha aelezea changamoto zinazoua wasanii ktk fani zao ni za kimfumo.
Baby Madaha anashangaa kuwa msanii wa umri wa miaka 36 hapa Tanzania anahesabika...
Yuko wapi huyu mdada Lissa hajaonekana mda mrefu sana si mtaani wala mitandaoni
Ikumbukwe lisssa alikua mdau wa utalii wa ndani Tz miaka ya 2011 pia aKawa manager na mke wa mabeste msanii wa...
Wizara ya Sheria ya Marekani (DOJ) imetoa mamilioni ya nyaraka zinazohusiana na kesi ya Jeffrey Epstein, zikiwa na majina ya watu mbalimbali wakiwemo watu mashuhuri, wafanyabiashara wakubwa na...
Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym
Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee...
Hivi Karibuni Rapper kutoka Marekani Card B ameonekana akipiga show jijini Riyadh katika nchi ya Saudi Arabia ambapo ndipo chimbuko la Uislamu. Watu wamehoji kuwa misingi ya Uislamu katika nchi...
Wakuu,
Naona Tayla kashinda huko kwenye Grammy kwa mara ya pili kwenye kipengele cha "Best African music performance"
Najua watu wengi wataanza kusema Watanzania tuna mziki mbovu ndo maana...
Kwanini Watanzania hampendi kuwashangilia wasanii wenu kama mnavyoshangilia wasanii wa nje?
Davido alipokuwa akitumbuiza alipata ushirikiano mkubwa kutoka kwa shabiki tofauti na wasanii wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.