Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii Mkongwe wa Filamu Nchini Hashim Kambi amefariki dunia hii leo April 27, 2026 ambapo taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msemaji wa Shirikisho la Filamu Nchini Coletha Raymond...
17 Reactions
68 Replies
2K Views
Umaarufu kitaifa kwenye sanaa, michezo, mitandaoni, n.k. Tuelewane kidogo, wawe ni vijana wasiozidi miaka 40 walioishi na kukulia huko, sio wazazi kutokea huko. 1. Katavi 2. Mara 3. Lindi 4...
3 Reactions
33 Replies
933 Views
Habari nataka kujua huyu msanii SPARK yupo wapi? Je, anaendelea na muziki au ameacha? Nakumbuka alitamba sana na Nyimbo yake ya USINIACHE?
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Ukwaju wa kitambo Leo nimebahatika kukutana na msanii Kigwema Bosco kwa jina Maarufu anafahamika kama kigwema. Ni msanii wa zamani wa Bongo Fleva. Naimani unatamkumbuka kwa ngoma kali kama Vile...
1 Reactions
12 Replies
447 Views
BREAKING NEWS: Pastor Jerry Eze Trends Amid Debate Over Publicized Charity Works Nigeria’s social media landscape is once again abuzz as Pastor Jerry Eze, convener of the widely followed NSPPD...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Gangster Hiphop ya Arusha, Muziki unaosambaza mbolea ya magenge, mihadarati, uhalifu na vurugu, ukifumbiwa macho ukamea ni bomu linalosubiri kulipuka Muziki wa hiphop wa Arusha unazidi...
3 Reactions
26 Replies
614 Views
Hawa wanawake wengine ni shida, ya ndani analeta hapa mtandaoni kweli dah. somenihapo chini (instagram) joycekiriasuperwoman Kilewo baba Watoto wangu, yaliyotokea ilibidi yatokee ili kila...
15 Reactions
574 Replies
87K Views
Chama cha Ma-DJ kule Nigeria kimetangaza mgomo wa kupiga nyimbo za Burna Boy. Wamepiga marufuku Ma-DJ wote ndani na nje ya nchi kupiga ngoma za msanii huyo sehemu yoyote. Kisa na mkasa ni kwamba...
2 Reactions
10 Replies
597 Views
🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea? Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa...
2 Reactions
10 Replies
745 Views
HADITHI YA CINDY LE CŒUR MAMACY LA VOIX QUI DEVINT REINE : HISTOIRE DE CINDY LE CŒUR 01) Alizaliwa tarehe 11 Novemba 1983, Candy Nkunku anafahamika na kuheshimiwa katika jukwaa la muziki wa Congo...
7 Reactions
11 Replies
363 Views
Umofia Kwenu wana JF,kwanza nawapenda kuwatakia heri ya mwaka mpya wa 2014 Kuna jamaa mtajwa hapo juu alitikisa sana miaka ya 2007-2008 kwa utajiri wa hajabu,lakini nikaja kusikia kama alikamatwa...
0 Reactions
56 Replies
18K Views
Msanii wa Bongo Flava, Matonya (Sefu Shabani Ramadhan), amefunguliwa mashtaka ya ubakaji mjini Mombasa, Kenya kufuatia tukio linalodaiwa kutokea Aprili 7, 2026. Matonya, anayejulikana kwa nyimbo...
7 Reactions
59 Replies
2K Views
Ushauri kwa nikki unakuwa fala chalii, fla kweli kweli
68 Reactions
997 Replies
152K Views
Kifo cha Kibo Marealle kimenishtua sana, hasa kwa kuzingatia kwamba alikuwa bado kijana. Cha kusikitisha zaidi ni kwamba muda mfupi kabla ya mauti kumfika, usiku huo alikuwa kwenye sherehe...
2 Reactions
74 Replies
20K Views
Habari Wakuu, Taarifa inataarifu mlembwende huyo ambaye ni influensa kutoka USA amefia kwenye moja ya Resort ya hali ya juu hapa TZ. Hii habari ni ya zamani mimi ilinipita au ni manga'nyu...
4 Reactions
11 Replies
406 Views
Mitandao ya kijamii imetoa fursa kubwa sana kwa mtu yeyote ‘kwenda mjini’ chap. Hii ni orodha ya baadhi ya watu ambao kusingekuwa na intaneti, wasingepata umaarufu walioupata. DKT. LOUIS SHIKA...
42 Reactions
96 Replies
11K Views
Miaka 15 iliyopita, Juma Kassim Nature kutoka Temeke alikuwa moja kati ya wasanii watatu wenye majina makubwa zaidi kwenye mkondo mkuu wa Bongo Fleva. Albam yake ya kwanza, ‘Nini Chanzo’ pamoja...
50 Reactions
135 Replies
28K Views
Kuna tetesi mwanamuziki A.K.A kutoka South Africa amepigwa risasi huko Durban, South Africa A.K.A aliwahi kushirikiana na mwanamuziki Diamond miaka ya nyuma wakachia kibao kinaitwa 'Make Me Sing'...
17 Reactions
382 Replies
45K Views
Mrisho Mpoto Watanzania wengi wanamjua Msanii Mrisho Mpoto ambaye anafahamika si tu kwa kazi zake, bali pia kwakuwa hutembea peku peku wakati mwingi. Mpoto amejipatia umaarufu kwa utaratibu wake...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
African Princess Records inapenda kuwataarifu rasmi wadau wa muziki, vyombo vya habari, na mashabiki wote kuwa msanii wetu mpendwa Yasirun Yasin Shaban, anayefahamika zaidi kwa jina la kisanii...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom