Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Naomba mwenye mashairi ya wimbo huo pamoja na historia yake please ni WA kihaya.
1 Reactions
4 Replies
152 Views
Habari wakuu, Napenda kufahamu alipo kwa sasa aliyewahi kuwa Miss Tanzania miaka ya zamani bibie Mbiki Msumi. Ni moja ya ma celebs ambao wamefanikiwa ku-keep low profile.
11 Reactions
65 Replies
9K Views
Mwanamuziki wa Bongofleva, T.I.D (Khalid Mohamed), kupitia ofisi ya mawakili wake wanaomsimamia masuala yake yote ya kisheria, ametoa notisi ya siku saba (7) akiidai Bar ya Kitambaa Cheupe...
3 Reactions
15 Replies
599 Views
Dah Nimeona mitand a o mbali mbali wanaamnanga msanii kaenda na grp lake wakanywa kataka kuondoka kutambaa cheupe bila Kulipa Kama mmefikia huku wasabii mnashauriwa jamaan jamani ishini maisha...
5 Reactions
14 Replies
462 Views
  • Redirect
Staa wa Real Madril na Brazil, Vinícius Jr adaiwa kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha umbo la kidevu (chin harmonization) nchini Brazil, kwa mujibu wa TMC Esporte. Na hizi ni picha za kwanza baada...
0 Reactions
Replies
Views
Hvi unadhani Kati ya hawa maproducer wawili Laizer na Abbah Ni Nani ndo mkali wa kutengeneza beats? Binafsi mi namkubali Abbah Process, huyu mwamba Ni hatari Sana yaani midundo yake Ni noma...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Diamond amefunguka kuwa Mali zake amesaini kwa jina la Mama yake wakati akisherekea sikukuu ya kuzaliwa ya mama yake Mama Dangote na amesema yeye ndio amenifanya Watanzania wanitambue amenipigania...
13 Reactions
76 Replies
2K Views
Nauliza tu maana miaka 2 nyuma ilikuwa kila msanii wa Tanzania alikuwa anatoa ngoma ya Amapiano lakini siku hizi naona upepo umekata kabisa Soma Pia: Spotify yatangaza ngoma na wasanii wa...
1 Reactions
17 Replies
340 Views
Msanii wa Singeli Dogo Paten amesema kuzuiwa kuingia Nchini China kulisababishwa na changamoto mbili ikiwemo kutokuwa na kadi ya benki ambayo angeitumia akiwa Nchini humo pamoja na kutokuelewana...
5 Reactions
5 Replies
323 Views
Huyu ni mmoja ya kati ya wanamuziki bora zaidi wa kiume wa miondoko ya Zuku kuwahi kutokea katika hii dunia. Embu tujikumbushe kidogo na hii ngoma yake Inaitwa Ng’e. Btw wale watoto wa bongo...
18 Reactions
71 Replies
17K Views
Mwanamuziki TID amekanusha vikali madai ya kushindwa kulipa bili ya takribani Sh500,000 katika bar ya Kitambaa Cheupe, Tabata. Amedai sakata hilo lilopelekea kukamatwa na Polisi, ulikuwa mpango...
0 Reactions
5 Replies
275 Views
Mchekeshaji Mzee Shayo amemkosoa vikali Coy Mzungu, akimtuhumu kuwanyonya vijana kwa manufaa yake binafsi na kudai hafai kuitwa game changer wa ucheshi nchini. Shayo amesema game changer halisi...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
Nilikua nacheck mtandaoni namna shughuli ya 40 ya mtoto wa Wema ilivyokua. Miongoni mwa wageni waalikwa na ambao wametambulishwa kuwa ni wajomba wa mtoto ni huyu mtumishi wa Mungu anaejiita...
1 Reactions
10 Replies
460 Views
Wakuu Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025) Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe...
17 Reactions
363 Replies
15K Views
Daaah naona mwamba hayuko sawa baada ya kwenda kutibiwa India anamchukia Kila mtu .....Kwa sababu hakuchangiwa ......na saizi anaona Kila mtu aliye mbele yake ni adui 😂😂😂 Je yeye amewahi toa...
13 Reactions
51 Replies
926 Views
Kama ulikua hujui ni MTU GANI HAPA TANZANIA AKIONGEA KITU HADANGANYI wacha nikufahamishe;- Mtu ambae akisema kitu haongopi ni DUDUBAYA, Huenda ukabisha kuhusu hiki ninacho kisema...
12 Reactions
102 Replies
2K Views
Eti mwanaume bora wa mwaka? Wametumia metrics zipi kumuita mwanaume bora wa mwaka? Alikua anashindanishwa na nani?
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Nimeona huyo mtangazaji wa Clouds anaongelea mambo ya kisiasa ila Nina mashaka na taaluma yake na uwezo wake wa kuongelea national issues
2 Reactions
8 Replies
434 Views
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu? Nasikia ni “Nabii” Je, huduma yake ipo wapi? ============= Huyu ndugu jina lake halisi ni George David Kasambale. Ni mwenyeji wa Singida. Mimi nilianza...
9 Reactions
566 Replies
152K Views
Back
Top Bottom