Msanii Mkongwe wa Filamu Nchini Hashim Kambi amefariki dunia hii leo April 27, 2026 ambapo taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msemaji wa Shirikisho la Filamu Nchini Coletha Raymond...
Umaarufu kitaifa kwenye sanaa, michezo, mitandaoni, n.k.
Tuelewane kidogo, wawe ni vijana wasiozidi miaka 40 walioishi na kukulia huko, sio wazazi kutokea huko.
1. Katavi
2. Mara
3. Lindi
4...
Ukwaju wa kitambo
Leo nimebahatika kukutana na msanii Kigwema Bosco kwa jina Maarufu anafahamika kama kigwema. Ni msanii wa zamani wa Bongo Fleva. Naimani unatamkumbuka kwa ngoma kali kama Vile...
BREAKING NEWS: Pastor Jerry Eze Trends Amid Debate Over Publicized Charity Works
Nigeria’s social media landscape is once again abuzz as Pastor Jerry Eze, convener of the widely followed NSPPD...
Gangster Hiphop ya Arusha, Muziki unaosambaza mbolea ya magenge, mihadarati, uhalifu na vurugu, ukifumbiwa macho ukamea ni bomu linalosubiri kulipuka
Muziki wa hiphop wa Arusha unazidi...
Hawa wanawake wengine ni shida, ya ndani analeta hapa mtandaoni kweli dah. somenihapo chini (instagram)
joycekiriasuperwoman
Kilewo baba Watoto wangu, yaliyotokea ilibidi yatokee ili kila...
Chama cha Ma-DJ kule Nigeria kimetangaza mgomo wa kupiga nyimbo za Burna Boy. Wamepiga marufuku Ma-DJ wote ndani na nje ya nchi kupiga ngoma za msanii huyo sehemu yoyote.
Kisa na mkasa ni kwamba...
🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea?
Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa...
HADITHI YA CINDY LE CŒUR MAMACY
LA VOIX QUI DEVINT REINE :
HISTOIRE DE CINDY LE CŒUR
01) Alizaliwa tarehe 11 Novemba 1983, Candy Nkunku anafahamika na kuheshimiwa katika jukwaa la muziki wa Congo...
Umofia Kwenu wana JF,kwanza nawapenda kuwatakia heri ya mwaka mpya wa 2014
Kuna jamaa mtajwa hapo juu alitikisa sana miaka ya 2007-2008 kwa utajiri wa hajabu,lakini nikaja kusikia kama alikamatwa...
Msanii wa Bongo Flava, Matonya (Sefu Shabani Ramadhan), amefunguliwa mashtaka ya ubakaji mjini Mombasa, Kenya kufuatia tukio linalodaiwa kutokea Aprili 7, 2026.
Matonya, anayejulikana kwa nyimbo...
Kifo cha Kibo Marealle kimenishtua sana, hasa kwa kuzingatia kwamba alikuwa bado kijana. Cha kusikitisha zaidi ni kwamba muda mfupi kabla ya mauti kumfika, usiku huo alikuwa kwenye sherehe...
Habari Wakuu,
Taarifa inataarifu mlembwende huyo ambaye ni influensa kutoka USA amefia kwenye moja ya Resort ya hali ya juu hapa TZ. Hii habari ni ya zamani mimi ilinipita au ni manga'nyu...
Mitandao ya kijamii imetoa fursa kubwa sana kwa mtu yeyote ‘kwenda mjini’ chap. Hii ni orodha ya baadhi ya watu ambao kusingekuwa na intaneti, wasingepata umaarufu walioupata.
DKT. LOUIS SHIKA...
Miaka 15 iliyopita, Juma Kassim Nature kutoka Temeke alikuwa moja kati ya wasanii watatu wenye majina makubwa zaidi kwenye mkondo mkuu wa Bongo Fleva.
Albam yake ya kwanza, ‘Nini Chanzo’ pamoja...
Kuna tetesi mwanamuziki A.K.A kutoka South Africa amepigwa risasi huko Durban, South Africa
A.K.A aliwahi kushirikiana na mwanamuziki Diamond miaka ya nyuma wakachia kibao kinaitwa 'Make Me Sing'...
Mrisho Mpoto
Watanzania wengi wanamjua Msanii Mrisho Mpoto ambaye anafahamika si tu kwa kazi zake, bali pia kwakuwa hutembea peku peku wakati mwingi.
Mpoto amejipatia umaarufu kwa utaratibu wake...
African Princess Records inapenda kuwataarifu rasmi wadau wa muziki, vyombo vya habari, na mashabiki wote kuwa msanii wetu mpendwa Yasirun Yasin Shaban, anayefahamika zaidi kwa jina la kisanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.