Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Soma pia: Nicki Minaj akiwa UN: Nigeria Wakristo wanashambuliwa, wanafukuzwa majumbani mwao na kuuawa “I love Nicki Minaj,” President Trump told guests at the White House Black History Month...
2 Reactions
6 Replies
310 Views
Copy and Pest from lemutuz PART 1 Safari yangu ya USA ulikua ni uamuzi wangu mgumu wa kuacha Ubaharia nikiwa Melini "MV. Luxemburg"ICMB Belgian Shipping Line tukiwa South China Sea tunatokea...
67 Reactions
2K Replies
551K Views
WATU PORI " AFANDE SELE & MC KOBA" NELIE NA NANI Intro: Afande sele Mh..!! Aah.!! Mapenzi Hahahaha Ooh..! Labda haikuwa Bahati Yangu Bwana Haya Aah..! Sawa Chorus: MC koba Mwezenu nalia Nilie...
1 Reactions
1 Replies
180 Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
Saida Karoli Amezaliwa mkoani Kagera tarehe 4 Aprili 1976 ni mwanamuziki wa nyimbo za asili ya Kihaya Saida alipata elimu ya msingi mwisho darasa la tano tu, ambapo ilibidi aache shule kutokana...
1 Reactions
2 Replies
255 Views
Kadri unavyokua na kusonga mbele maishani, unawapoteza baadhi ya marafiki, kwa sababu hiyo inaitwa kuziba pengo. Hili pengo ndilo lilikuwepo tulipoanza safari pamoja. Kadri unavyokua, utaona wewe...
10 Reactions
16 Replies
435 Views
HISTORIA FUPI YA DJ SWEET FRANCIS BUNDALAIMG-20260217-WA0000.jpg Sweet Francis jina kamaili ni Francis James Bundala,mwaka 1964 alianzisha bendi iliyoitwa The Screemers na Dj Sweet Francis akiwa...
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Mtu umetoka zako kijijini ukafika chuo juzi leo unataka kujiona kama umezaliwa DSM. wanaomsikiliza Mwijaku naona akili zenu zipo sawa naye.
2 Reactions
7 Replies
307 Views
Sina haja ya salamu. Kuna mwamba ameniambia katapeliwa 200,000Tsh na CHIEF GODLOVE. Swali kwenu, je huenda haka kajamaa ni katapeli? Mwamba hakuishia hapo, aliendelea kwamba hakuna cha jicho la...
3 Reactions
20 Replies
572 Views
Zikiwa zimepita siku 6 tangu tukumbuke kumbukumbu ya kuzaliwa ya rapper XXXTENTACION (Jahseh Dwayne Onfroy), aliyezaliwa tarehe 23 Januari 1998 nchini Marekani. Alijulikana kwa muziki wake...
3 Reactions
7 Replies
333 Views
Mzuqa Yani Mayweather anakera kupita maelezo. Mimi nilishamdelete kwenye Instagram yangu sitaki upuzi. Yani ni limbukeni aliyekubuhu. A normal sane aged person cant behave like this. This dude...
3 Reactions
127 Replies
15K Views
Msanii tajwa fani ya muziki na filamu Baby Madaha aelezea changamoto zinazoua wasanii ktk fani zao ni za kimfumo. Baby Madaha anashangaa kuwa msanii wa umri wa miaka 36 hapa Tanzania anahesabika...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Yuko wapi huyu mdada Lissa hajaonekana mda mrefu sana si mtaani wala mitandaoni Ikumbukwe lisssa alikua mdau wa utalii wa ndani Tz miaka ya 2011 pia aKawa manager na mke wa mabeste msanii wa...
2 Reactions
20 Replies
594 Views
Wizara ya Sheria ya Marekani (DOJ) imetoa mamilioni ya nyaraka zinazohusiana na kesi ya Jeffrey Epstein, zikiwa na majina ya watu mbalimbali wakiwemo watu mashuhuri, wafanyabiashara wakubwa na...
2 Reactions
6 Replies
459 Views
Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee...
8 Reactions
194 Replies
14K Views
Hivi Karibuni Rapper kutoka Marekani Card B ameonekana akipiga show jijini Riyadh katika nchi ya Saudi Arabia ambapo ndipo chimbuko la Uislamu. Watu wamehoji kuwa misingi ya Uislamu katika nchi...
6 Reactions
66 Replies
2K Views
Wakuu, Naona Tayla kashinda huko kwenye Grammy kwa mara ya pili kwenye kipengele cha "Best African music performance" Najua watu wengi wataanza kusema Watanzania tuna mziki mbovu ndo maana...
2 Reactions
13 Replies
315 Views
Kwanini Watanzania hampendi kuwashangilia wasanii wenu kama mnavyoshangilia wasanii wa nje? Davido alipokuwa akitumbuiza alipata ushirikiano mkubwa kutoka kwa shabiki tofauti na wasanii wa...
1 Reactions
17 Replies
262 Views
Back
Top Bottom