Leo February 8, 2017 Kamanda wa Polisi wa Kanda maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kuwa jeshi lake bado linamshikilia Wema na wenzake saba ambao walikamatwa na vielelezo na kuwa jalada...
leo diamond wetu amepost picha hii ikiwa na maneno the UK top 10 biggest songs of the week .
sio kweli! wimbo wake haupo kwenye list ya nyimbo kali uk
ukienda kwenye hyo website list ni kama...
Habarini Wadau
Mbona mzee wa Upako anavimba tu macho na kuota ukungu?
Ukijaribu kuangalia picha zake za awali kidogo tu na sasahv kwakweli utagundua huyu Lusekelo anavimba usoni hasa maeneo ya...
Habari zenu wanajamvi ?
Kwa upande wangu mm ni mzima tu bukheri wa afya ,
Leo nataka tuangalie baadhi ya tabia za ajabu za team kiba kwa diamond
1) Team kiba wengi wanaongoza kwa kum follow...
1. Hajamfunga mkanda mtoto.
2. Anacheza mziki akiwa anaendesha na kuhatarisha maisha ya watumiaji wengi wa barabara pamoja na aliowapakia.
Wanaosimamia sheria.. Raisi alishasema hakuna cha...
Yule msanii nyota anayejitahidi kujimarket kimataifa, Vanessa Mdee amedaiwa kujitumbukiza katika matumizi ya madawa ya kulevya aina ya Heroin.
Vanessa anadaiwa kuanza kusniff baada ya kujiingiza...
Kuna mdada mmoja anatangaza Clouds Fm kwenye XXL segment ya 411 story za wasanii wa ulaya lakini mda mwingi hua anapiga makelele na kucheka bila kueleza habari kwa ufasaha unacheka cheka sana...
Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.
Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza...
Picha aliyopost Ommy Dimpoz ikiashiria kuwa huyo ndiye mpenzi wake Ommy Dimpoz alisema hayo kwenye kipindi cha E-Newz cha EATV wiki kadhaa zilizopita, Ommy alifunguka na kuthibitishakuwa kwa sasa...
Nimeyasikiliza maelezo ya kamanda siro Leo wakati akitoa feedback kuhusiana na operesheni iliyokua ikiendelea ya madawa ya kulevya!
Kamanda katika maelezo yake alitaja umri wa Wema sepetu kuwa...
Habari wadau hope mko poa
Wakuu Naimani wapo wadau wa sanaa humu wanao penda kuwekeza na kuiendeleza sanaaa
Yatanzania
Nawaomba mtuangalie nasisi wenye uwezo katika swala zima lasanaa lakini...
Mwigizaji maarufu Charles Warren ambaye ni shoga anayeigiza sinema katika tasnia ya sinema ya Nollywood nchini Nigeria amefariki ghafla alhamisi iliyopita majira ya usiku katika Hospitali moja...
Wakuu kwa ninachokiona kwa sasa kwa hili tukio la wasanii kuhusishwa na matumizi ya dawa za kulevya ni kutaka kuondoa attention ya watu kuhusu;
1)matokeo mabovu ya wanafunzi wa kidato cha nne...
Familia ya msanii wa bongo fleva Q Chilla wameamua kuingilia kati mkataba wa msanii huyo na kusema mkataba huo unamfanya aishi maisha magumu kiasi cha kushindwa kuchangia mambo yakifamilia...
Amini usiamini meneja wa mwanamuziki Naseeb Abdul au diamond platnumz kama anavyojulikana na wengi aitwae Hamis Taletale al maarufu kama babu tale ana pesa nyiingi saana kuliko diamond platinum...
Hapa sizungumzii punda wauza unga,maana mijitu itaamza kuandika barua hapa,wewe kajala nilikua nakulia Timing tu siku zote hizo ambazo mwenzio kakamatwa kwa shutuma za madawa, nikajua mwenzangu na...
Kwako mfwatiliaji wa mabingwa wa kuchekesha wanaoishikilia rekodi ya wachekeshaji waliotazamwa sana kwenye TV nchini Tanzania kuanzia time hiyo ya Ze Comedy mpaka Orijino Komedi walivyokuwa...