geek jo
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 1,134
- 1,144
1. Hajamfunga mkanda mtoto.
2. Anacheza mziki akiwa anaendesha na kuhatarisha maisha ya watumiaji wengi wa barabara pamoja na aliowapakia.
Wanaosimamia sheria.. Raisi alishasema hakuna cha umaharufu.. Kamata weka ndani.
2. Anacheza mziki akiwa anaendesha na kuhatarisha maisha ya watumiaji wengi wa barabara pamoja na aliowapakia.
Wanaosimamia sheria.. Raisi alishasema hakuna cha umaharufu.. Kamata weka ndani.