Kajala Masanja, shukrani ya Punda ni mateke

warumi

R I P
May 6, 2013
16,218
18,440
Hapa sizungumzii punda wauza unga,maana mijitu itaamza kuandika barua hapa,wewe kajala nilikua nakulia Timing tu siku zote hizo ambazo mwenzio kakamatwa kwa shutuma za madawa, nikajua mwenzangu na mimi uta show love pengine hata ya kinafki,eeh warumi mie nikashangaa kuona bibie ndo kwanza huna habare umejibeba mwenyewe na akina lemutuz nyamtumbo hao Arusha mkaenda kula bata,which means ulifurahia mwenzio kupatwa na matatizo,ndio tunajua mna ugomvi bado ila kwenye issue kama hii atleast ungeonyesha kujali walau hata kutoa pole, ushasahau mwenzio aligombana na familia yake kwa ajili yako utoke selo, leo ndo unajifanya unajua starehe,hao akina albert msando cjui huyo mwanasheria mbona hakukusaidia ulipokua jela wkati yeye ni mwanasheria, sasa hivi ndo anajifanya kukujua sana? hakyamungu wewe una matatizo ,umeshindwa hata kwenda polisi kumuona? hata kama angekufukuza lakini umefika umesha play part yako,wewe una experience ya polisi,ungeenda kumtoa hofu na kumfariji mwenzio,ingekua poa sana , na wewe lulu mnafiki sana unajifanya hujui kinachoendelea sasa hivi ila kwenye party za wem hukauki kuuza sura na uanduje wako,mtoto mchawi sna, msisingizie sijui kesi iko polisi mnaogopa kuingilia,kwani mkienda kumuona ina maanisha mna support tuhuma zake? , na wewe wolper c unajifanya shoga ake wema? tena huko china mlikokutana mkajishaua kupiga picha wote kumbe unafiki tu, kwanza na wewe uitwe polisi,kila siku china unaenda kwa kazi gani?kajala Mungu anakuona tena wewe ndo wa kwanza kulaumiwa kuliko mtu mwingine,kweli tenda wema nenda zako.ptuuu
540bf6b8217a539309c82f7c3c27663a.jpg
 
Aiseee mie nimemuona kajala kama mtu asiyekuwa na fadhila kabisa.Katika hiki kipindi mie nilihisi utakuwa mwanzo wao wa kupatana.Nilitegemea mtu wa kwanza kujitokeza polisi ni Kajala ila hana hata chembe ya fadhila wala ustaarabu yani yeye ndio kwanza anapost anavyokula bata wakati mwenzake alimlilia.
By the way wanasemaga tenda wema ondoka zako na malipo ni hapa hapa duniani lets wait and see
 
binamu kula tano
nimeamini pata shida umjue rafiki wa kweli

yaan kajala sio mtu hata kidogo mwanamke ana roho mbaya yuleee..
daahh!hata kujikosha kashindwa
hata kama wema ana kasoro zake Ila kwa alilomfanyia kweli ashindwe ht tu ile kupostii

kazidiwa hadi na jike shupaa..

Wema ndo ujifunze hapa...
 
Hapa sizungumzii punda wauza unga,maana mijitu itaamza kuandika barua hapa,wewe kajala nilikua nakulia Timing tu siku zote hizo ambazo mwenzio kakamatwa kwa shutuma za madawa, nikajua mwenzangu na mimi uta show love pengine hata ya kinafki,eeh warumi mie nikashangaa kuona bibie ndo kwanza huna habare umejibeba mwenyewe na akina lemutuz nyamtumbo hao Arusha mkaenda kula bata,which means ulifurahia mwenzio kupatwa na matatizo,ndio tunajua mna ugomvi bado ila kwenye issue kama hii atleast ungeonyesha kujali walau hata kutoa pole, ushasahau mwenzio aligombana na familia yake kwa ajili yako utoke selo, leo ndo unajifanya unajua starehe,hao akina albert msando cjui huyo mwanasheria mbona hakukusaidia ulipokua jela wkati yeye ni mwanasheria, sasa hivi ndo anajifanya kukujua sana? hakyamungu wewe una matatizo ,umeshindwa hata kwenda polisi kumuona? hata kama angekufukuza lakini umefika umesha play part yako,wewe una experience ya polisi,ungeenda kumtoa hofu na kumfariji mwenzio,ingekua poa sana , na wewe lulu mnafiki sana unajifanya hujui kinachoendelea sasa hivi ila kwenye party za wem hukauki kuuza sura na uanduje wako,mtoto mchawi sna, msisingizie sijui kesi iko polisi mnaogopa kuingilia,kwani mkienda kumuona ina maanisha mna support tuhuma zake? , na wewe wolper c unajifanya shoga ake wema? tena huko china mlikokutana mkajishaua kupiga picha wote kumbe unafiki tu, kwanza na wewe uitwe polisi,kila siku china unaenda kwa kazi gani?kajala Mungu anakuona tena wewe ndo wa kwanza kulaumiwa kuliko mtu mwingine,kweli tenda wema nenda zako.ptuuu
540bf6b8217a539309c82f7c3c27663a.jpg
Usisaidie mtu ambaye sio ndugu yako,ndugu yako hawezi kukacha kwenye shida hata siku moja,hata uwe mbaya kiasi gani,au hata yeye awe mbaya kiasi gani hatakuacha,ndio maana ilisemwa mchuma janga hula na wakwao.Mimi sina rafiki nimeshasema,nina watu niliozoweana nao!
 
binamu kula tano
nimeamini pata shida umjue rafiki wa kweli

yaan kajala sio mtu hata kidogo mwanamke ana roho mbaya yuleee..
daahh!hata kujikosha kashindwa
hata kama wema ana kasoro zake Ila kwa alilomfanyia kweli ashindwe ht tu ile kupostii

kazidiwa hadi na jike shupaa..

Wema ndo ujifunze hapa...
we muache ajishaue kama pochi la mchawi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom