Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Tangu Mirror aingie kwenye bifu zito na petii amepotea kabisa katika ramani ya muziki Petii alimwambia kabisa bwana mdogo nitake radhi la sivyo utapotea kwenye gemu dogo akajifanya mjanja...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
KAMATI YA MAZISHI YA KANUMBA NA KASHFA YA KUCHAKACHUA MICHANGO Hawa wenye suti na miwani myeusi ndio baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wanaodaiwa kufanya upigaji huo wa fedha za michango ya...
0 Reactions
158 Replies
24K Views
Ney wa mitego ni msanii ambaye anajua sana kukwepa maswali ya kimtegotego Nimekuwa nikimfatilia kwenye interviews nyingi jinsi anavyoulizwa maswali na anavyojibu ,aisee huyu bwana mdogo yupo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Mpambe na Rafiki Mkubwa wa Wema Sepetu Petit Man Amesema Kamwe Hawezi kuachana na Wema eti kwa Sababu Shemeji yake Diamond Ana mahusiano na Mwanamke mwingine.. Kauli hiyo inaashiria kwamba...
1 Reactions
49 Replies
18K Views
Hakuna tukio lililoniumiza jana kama hatua ya Wema Sepetu kuhamia CHADEMA. Sikutaka huyu binti mrembo na ambaye nampenda sana kutoka CCM. Najua ndani ya CHADEMA anaenda kupotea kabisa... Cha...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wadau... Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...
9 Reactions
135 Replies
22K Views
Msanii wa bongo fleva Khalid Mohamed 'T.I.D' ameahidi kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaosambaza taarifa kuwa amepewa pesa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kama kivuli katika...
7 Reactions
37 Replies
8K Views
The brother-man from Harlem has been the center of attention lately, especially on twitter. Bila huyu jamaa, pengine Jay-Z, The hottest Rapper that ever did it asingekuwa kabisa au angechelewa...
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Nyota wa Africa diamond platnumz ameweka record mpya kwenye mziki wake baada ya kuingia 20 ya wasanii wapya nchini marekani kwa video take ya marry you kupitia mtandao wa Vevo Video ya marry you...
13 Reactions
44 Replies
8K Views
Ni muda mrefu nimekuwa nikimsikia akijinasibu kama mchekeshaji maarufu hapa nchini, na kwa kuwa mimi siyo mfuatiliaji wa movie za kibongo pamoja na hao wanaojiita wachekeshaji hata sikuwahi...
7 Reactions
64 Replies
23K Views
Lulu ina maana hizo pimples kwa shemela wetu huzioni au wewe unaangalia pochi tu? Ebu angalia uso wa shemela ulivyokuwa na chunusi kama embe ng'ong'o, ukikutana nae usiku unaweza kukimbia halafu...
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Huyu Dada apart from being a former miss Tanzania 2006 haijulikani ni shughuli gani anayoifanya kwakweli. Nimepitia profile ya page yake ya Instagram naona kaandika yey e ni actress ila so far...
6 Reactions
52 Replies
7K Views
Wadau, ni hivi majuzi tu mdada mwenye skendo zisizoisha Wema Sepetu alisherehekea birthday yake kutimiza miaka 26. Ni birthday iliyoacha gumzo na kwa upande mwingine maswali kibao hasa ukizingatia...
7 Reactions
568 Replies
74K Views
Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa...
7 Reactions
161 Replies
19K Views
Ndugu zangu nina maswali najiuliza juu ya hii saga ya huyu nyota Wema Sepetu kukutwa na msokoto wa bangi. Nakumbuka kuwa Wema aliitwa kituoni kujibu tuhuma zake za kuhusishwa na madawa ya...
4 Reactions
27 Replies
8K Views
Msanii wa filamu Irene Uwoya amesema kuwa ana mpango wa kuwa Mchungaji pamoja na kumiliki kanisa lake yeye mwenyewe siku za usoni na kwamba anamuomba Mungu kila siku aweze kutimiza ndoto hizo...
4 Reactions
91 Replies
15K Views
Nimeona kuna kila dalili zote za Wema Sepetu kwenda CHADEMA... Wema nimekuwa fan wako kwa muda mrefu sana, nakupenda sana na hata ningependa uwe mke wangu sema ndio hivyo tu.... Naomba nikupe...
12 Reactions
78 Replies
11K Views
ALI KIBA STUDIO, AY MUZIKI, DIAMOND BIASHARA STUDIO MUZIKI Wimbo Marry You ambao Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameimba na fundi wa sauti na kucheza kutoka Marekani, Shaffer Chimere Smith...
18 Reactions
40 Replies
17K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…