Wema Sepetu nakupenda sana na huu ndio ushauri wangu

Pagan Amum

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
1,932
4,395
Nimeona kuna kila dalili zote za Wema Sepetu kwenda CHADEMA... Wema nimekuwa fan wako kwa muda mrefu sana, nakupenda sana na hata ningependa uwe mke wangu sema ndio hivyo tu.... Naomba nikupe ushauri wangu tafadhali usiende Chadema. Pamoja na matatizo ya utawala huu CCM bado ni chama kikongwe na bado kuna fursa kwako ndani ya CCM kuliko CHADEMA


Hichi ni kipindi cha mpito, 2025 mambo yatakuwa sawa Madame. Tafadhali sana, nakijua CHADEMA, nakijua CCM. Usichague kwenda CHADEMA na kuacha CCM.... Makonda amekuja na ataondoka na atakiacha CCM. Wako wapi wakina Mulongi, wakina Nyalandu.

Vuta subira Mamaa, nakupenda sana. Usiondoke CCM... Mimi ni mkosoaji mkubwa sana wa CCM kwa sasa, ila siwezi kuondoka bali navuta muda 2025 nijipange tena
 
Nimeona kuna kila dalili zote za Wema Sepetu kwenda CHADEMA... Wema nimekuwa fan wako kwa muda mrefu sana, nakupenda sana na hata ningependa uwe mke wangu sema ndio hivyo tu.... Naomba nikupe ushauri wangu tafadhali usiende Chadema. Pamoja na matatizo ya utawala huu CCM bado ni chama kikongwe na bado kuna fursa kwako ndani ya CCM kuliko CHADEMA


Hichi ni kipindi cha mpito, 2025 mambo yatakuwa sawa Madame. Tafadhali sana, nakijua CHADEMA, nakijua CCM. Usichague kwenda CHADEMA na kuacha CCM.... Makonda amekuja na ataondoka na atakiacha CCM. Wako wapi wakina Mulongi, wakina Nyalandu.

Vuta subira Mamaa, nakupenda sana. Usiondoke CCM... Mimi ni mkosoaji mkubwa sana wa CCM kwa sasa, ila siwezi kuondoka bali navuta muda 2025 nijipange tena

Mwache aende CHADEMA
 
Nimeona kuna kila dalili zote za Wema Sepetu kwenda CHADEMA... Wema nimekuwa fan wako kwa muda mrefu sana, nakupenda sana na hata ningependa uwe mke wangu sema ndio hivyo tu.... Naomba nikupe ushauri wangu tafadhali usiende Chadema. Pamoja na matatizo ya utawala huu CCM bado ni chama kikongwe na bado kuna fursa kwako ndani ya CCM kuliko CHADEMA


Hichi ni kipindi cha mpito, 2025 mambo yatakuwa sawa Madame. Tafadhali sana, nakijua CHADEMA, nakijua CCM. Usichague kwenda CHADEMA na kuacha CCM.... Makonda amekuja na ataondoka na atakiacha CCM. Wako wapi wakina Mulongi, wakina Nyalandu.

Vuta subira Mamaa, nakupenda sana. Usiondoke CCM... Mimi ni mkosoaji mkubwa sana wa CCM kwa sasa, ila siwezi kuondoka bali navuta muda 2025 nijipange tena
Unapigia 2025 waƙat 2020 tu anaonɗƙa
 
Who is Sepetu by the way? Hana political effect hata kidogo. Hana chochote kwenye uringo wa siasa labda huko fb na akina dangote sijui diamond whatever comes froth! Ni kosa kubwa sana kumpokea Wema ndani ya Chadema. Alikokuwa ameona kuwaka moto hamna wa kumsaidia anaamua kuja chadema kiurahisi hivi. Nooo watu wamemwaga damu kuikijenga chama siyo kubana pua. Km anakuja awe mwanachama wa kawaida ila siyo kwa maonesho km haya. Hakika chadema wakifanya maonesho ya kumvuna Wema mi sitakuwa mwanachadema tena
 
Wema umechemka kwakweli amnt a fan of any political party bt hukushaurika mama yani hujui the govnt is an iron arm?unakesi wewe subiri ziishe unakimbia kuhama Chama wakati huu ?mbona unhesubiri mda bado?nimapema sana wema hii inaonyesha usivyo mvumilivu,Tabia za mamakweli zinaambukiza wtt
 
Who is Sepetu by the way? Hana political effect hata kidogo. Hana chochote kwenye uringo wa siasa labda huko fb na akina dangote sijui diamond whatever comes froth! Ni kosa kubwa sana kumpokea Wema ndani ya Chadema. Alikokuwa ameona kuwaka moto hamna wa kumsaidia anaamua kuja chadema kiurahisi hivi. Nooo watu wamemwaga damu kuikijenga chama siyo kubana pua. Km anakuja awe mwanachama wa kawaida ila siyo kwa maonesho km haya. Hakika chadema wakifanya maonesho ya kumvuna Wema mi sitakuwa mwanachadema tena
kwani wewe ukiondoka, chadema itakuwa imepungukiwa nini? kula kona hata sasa
 
Who is Sepetu by the way? Hana political effect hata kidogo. Hana chochote kwenye uringo wa siasa labda huko fb na akina dangote sijui diamond whatever comes froth! Ni kosa kubwa sana kumpokea Wema ndani ya Chadema. Alikokuwa ameona kuwaka moto hamna wa kumsaidia anaamua kuja chadema kiurahisi hivi. Nooo watu wamemwaga damu kuikijenga chama siyo kubana pua. Km anakuja awe mwanachama wa kawaida ila siyo kwa maonesho km haya. Hakika chadema wakifanya maonesho ya kumvuna Wema mi sitakuwa mwanachadema tena
kama ww ulivyovuja damu kwa ajili ya chama hata yeye ipo siku atavuja damu kwa ajili ya chama!.
 
Wema umechemka kwakweli amnt a fan of any political party bt hukushaurika mama yani hujui the govnt is an iron arm?unakesi wewe subiri ziishe unakimbia kuhama Chama wakati huu ?mbona unhesubiri mda bado?nimapema sana wema hii inaonyesha usivyo mvumilivu,Tabia za mamakweli zinaambukiza wtt
kwani unadhania utafungwa au?? hata mie niso jua sheria na jua hapo hamna kesi! kila siku unaambiwa kesi ya jinai ya kutumia madawa ya kulevya haina dhamana imekuaje yeye kapewa dhamana.
 
Back
Top Bottom